Pole sana bro changamoto zipo ili zipitiwe na viumbe hai ndo ssi wenyewe pia ukifanikiwa maadui huwa niwengi sana wengine huji fanya malafikhi sana wengine machawa pole sana bro piga moyo konde pia mshukuru mngu kwa kila jambo pia tukifanikiwa tupunguze malafkhi
Naomba kuulza, lla hyu kaka ni tapel anakuambia tuma hela utumiwe dawa alaf ukimtumia hela baadae anakuambia eti huyo uliemtumia hela alikua ni mfanya Kaz wangu ila kwa Sasa nimemfukuza wakat ni yeye mwenyew, yaan wananch wangemuua tu tapel Mkubwa huyu hzo ni laana za watu anaowatapel Mungu atalpa, one day yes
Me nachoshangaa nikitu kimoja tu,yaani huo wivu wa maisha ya huyu kijana uko upande upi? Kwamba yy anamiliki mabilioni kias umati wote ule ushuhudie maovu yak?😢😢😢 vp kuhusu tuhuma za mkenya nae😢😢kwa uelewa wang mdg wivu wa maendeo huwez chukiw na umati wala kuchokwa na umati wote ule😢😢
@fettymilly7664 kuna kitu hakipo saw,alafu yy anawavuaza police lkn Mungu ndio hakimu wa haki km kaua hizo damu za hao watu zitamlilia kutoka aridhini kiasi apate fimbo ya Mungu,na vile saa hii malipo hayachelewi bas atalipwa kutokana na kikombe wenzie wamenywea
@@JosephineAlex-d8f kumtumikia shetani kuna ghalama ya kutoa kamasi maana akijua atauwa mlinzi na kuyamaliza kama kawaida yake sasa ona kamlaza babake Kwa uchungu na subili na bado asipotubu kibao kimeshageukana ataona ya kuona yatakayomtoa jasho la damu
Kaka wa marehemu yule mlinzi alisema mlinz alifungiwa ndani sku 3 kama aliona mlinz wake sijui kaiba si angempeleka polisi kiufup ata ajifiche vipi hii laana itamtafuna milele
Uyu jamaa ni tapeli na ni muongo anataka kujisafisha mtandaoni ila majirani wake ndo wanamjua zaidi ,,, kwanin ajaongelea mtaara wa marehemu serikali ichukue hatua Kali zidi yake Taz gineus
Tazz pore kaka,ila haki yako itapatikana tu,ninaimani kuna kundi la wahuni nao watafahamika tu. Ukiangalia tu shuhuda za watu unaona kabisa kuna uhuni unaenderea. Pore sana Kaka
Mali ulitoa wapi kaka...umbri unao huna ujuzi wa Daktari sio Pilot wala Mwanasiasa. Utapeli sio mzuri bro wa mine..kuwa mkweli otherwise utapitia mingi. Pole sana kwa baba yako na askari mlinzi wako.
Ww Taz atukatai chuki kwa binadam zipo lakin nikwanin matukio kama hayo yanajiludia sana upande wko inamana kuna mtu nyuma yako anakusaidia kuwaua wabaya wako au unajua unachokifanya😢
Nimuongo huyu kama nikweli ungeenda kuandikisha habari kituo cha polisi kabla kwa kuwa unatumia nguvu zanguza ila kila lenye mwanzo linamwisho mpaka majirani zako unawatishia maisha hawana amani n wewe
Una mawazo ya kimaskini kupitiliza wewe unaona MTU akijemga nyumba na kununua tugali tuwili tutatu tayali keshapata na anasthili kuonewa wivu yaani wewe jamaa akili finyu huna tofauti na huyo muuwaji alipopata kajumba amejiona mungu na anawaza kutoa roho ya yoyote ona sasa kasababisha mauti ya babake hakuwaza Hilo akijua atauwa mlinzi na kwake kutabaki salama sasa ona kamletea Mzee wake mauti kabla ya MDA wake na huo ndio mshahala wa kumtumikia shetani lazima akutoe jasho na kamasi
Yaan anavo ongea utazani panya ndio kauliwa eneo lake na ww utakufa tuuu mungu yupo km kweli umehusika damu ya hao marehemu itakufuata ktk uzao wako na utalaanika
Daah! Hili ndio kusema mkuu wa majeshi, .hata kifo Cha magu Kuna wakuu wa police wenyetamaa hawakutaka ,katibaifuatwe Samia kua Rais .Sasa kama ndio hivyo wanachi tutapata hakizetu?
Unapoona tukio la mauwaji nyumbani kwako unalipoti police au unaanza kuwapigia ndugu wa malehemu na kuongea na mpelelezi? Jamani police hebu tuomdoleeni hii laana ya watu waovu kijikinai na kuona wameiweza selekali kwa pesa zao huwezi kuona tukio la mauwaji halafu unampigia ndugu au baba yako unaanza kuongea na mpelelezi wakati huo police hujalipoti
Yaani sio kwamba ni uvumi wa mitandaoni kaka acha ushetani mambo yako ya kipuuzi yameghalimu maisha ya baba yako mzazi hivi utawaambia nini watoto yako kuhusu kifo cha babu yao
Huyo ndugu kwanza si mtu mwema hapana .taarifa za raia ambao ni majirani nzake wasingeongea uongo .Kwanza omeongea kuwa ameshawasiliana na police upelelezi ,ombi langu taarifa zake pamoja na huyo polisi yachunguzwe.Nakumbuka raia waliongea kuwa akitenda kosa akipelekwa polisi huwa anaachiwa ivyo wakati mwingine wapo Marefari wake huko polisi.Kwanza raia mulifanya makosa mngeteketeza mali yake yote.Na akirudi hapa siti fanyane kitu ili ajue utapeli sio kitu.
Hata kufunga mwenyewe hawezi keshazoea uongo wa kuwaibia pesa hao wateja wake anafikili hapo anaongea kilingeni haeliwi anaongea na dunia ya watu wenye za kupambanua mambo hiyo sula yake Tu inasomeka uongo
@@geofreylucas7870 kufunga uongo hawezi anajifunga Kwa maneno yake mwenyewe mala nimeongea na mpelelezi hivi utaongea na mpelelezi shauli hujalipeleka polisi utawaambia ndugu wake wachukue mwili hujalipoti police yaani huyu oooooooo kweli
Hawa watu wanaotoa maelezo hawajielewi hayo maelezo Yao yanaweza kumfanya jamaa aonekane Hana hatia hawajui kueleza mara Ving,ora kauziwa mikelele Hawa Kuna chuki ndani Yao pamoja hayo lakini Wana chuki Hawa hawajielewi hakuna point hapo
Toka jana saa moja kamili siko nyumbani kwangu!! Nimetoka tandale nikatafuta sehemu nikapumzika. Yani hiyo kauli ndio imenifanya niamini you did it … Yani ungetafuta lawyer before ya kuongea huu utopolo! Hana huzuni ata kidogo
Yn mm nimeumia sn maana nilikua nakufatilia sn Ila nashanga wengi kwenye comment watu wengi walikua wanakufagilia lkn baada ya matatizo wengi wanakuponda Ila komaa kaka penye ski patasimama sw
Ana uzoefu nahaya mambo anaona kwamba anauwezo wakucheza na akilizawatu kwasababu ameshafanya maranyingi na akafajikiwa lakini hiikesi hana lazima hakimu alie bobea ipowazi sana
Wewe nitapeli na umekua kweli ndomana ulikimbia ilautakamatika tu haiwezekani wananchi wote wakusingizie istoshe ulimfungia huyomlinzi ukiwakamanani katika serikalihii ?
Wewe unafurahisha kama uliona hayo uliwapigia polisi umeshaambiwa kuna mlinzi wako kauwawa, ulienda wapi muda huo wewe unataka kusema wanaokubeba kwenye maovu yako unahisi na hili litakuwa ivo ivo acha ujinga, wewe umekimbia kwanini kwa nini usikimbilie polisi.
Lakini kaka,mbona ulikuwa mnamsumbua kwa mshahara? Mbona wa2 umewachuna laki 5,unawaambia walale makaburini,wa2mie maji Maiti ya mtoto wa mwaka mmoja,huoni watoto waliuwawa kwa akili yako?
Wewe kwako kuna alarm akipita tu paka inapiga kelele kwann hao wezi walivoingia alarm aijapiga kelele na ndo wewe uliyempigia cm kaka wa marehemu kuwa aende kumchukia ndugu yake amelala
Macho tu unaonekana mnafki fulani ivi mungu anakuona kwasababu kwanza kuua ni dhambi kubwa unafki pia mungu apende watu wote wakudanganye na ulivyokosa akili unanusuru roho ya mke na watoto unamuacha baba baba yako una akili bloo ila unaroho ngumu sana Allah akulipe yote unayoyafanya
Yaani maelezo yako hayashawishi wala kuonesha kama ww unasingziwa, unaelewa vizuri kilichofanyika ila unajitahidi kujitengenezea utetezi wenye mashaka tele.
Mimi ni nilipitia michezo ya karate na boxer yaan ngumi na niliwahi kukaa magereza tulifundishwa kuwa mtu muongo akiongea huwa anapepesa macho huwa akuangalii uso kwa uso. Apo bro umejichanganya jiandae tu kwenda mahabusu kukaa inshu ya kufungwa bado sana hadi upelelezi kukamilika sio leo umeyakanyaga ndugu mganga
Wewe Umetuzulumu sana tena sana... ukikamatwa tutaenda kutoa ushahidi we ni mbaya saaana tena hufai ktk jamiii
😂😂😂😂 pooooole
Ina mana wananchi wote wakusingizie
Uyu ni muongo yuwajitetea
Kaka kua mkweli tu na ogopa mungu usipende kucheza na jina la mungu
Mambo ya shetani naMungu wapi na wapi!!
Jamaa kalia na mungu sna na yy ni mfuasi wa shetani
Mungu ndiye anaejuaa naombaa sana msitumieee chuki kwa mafanikio ya mtuu
Pole sana bro changamoto zipo ili zipitiwe na viumbe hai ndo ssi wenyewe pia ukifanikiwa maadui huwa niwengi sana wengine huji fanya malafikhi sana wengine machawa pole sana bro piga moyo konde pia mshukuru mngu kwa kila jambo pia tukifanikiwa tupunguze malafkhi
Naomba kuulza, lla hyu kaka ni tapel anakuambia tuma hela utumiwe dawa alaf ukimtumia hela baadae anakuambia eti huyo uliemtumia hela alikua ni mfanya Kaz wangu ila kwa Sasa nimemfukuza wakat ni yeye mwenyew, yaan wananch wangemuua tu tapel Mkubwa huyu hzo ni laana za watu anaowatapel Mungu atalpa, one day yes
Mie nilishituka ila ilibaki kidog anitapel
@@PelicePetro-t3dulishamtumia hela akakutapeli
Dah sasa mnakaaje kimya ripotini polisi
huyu muuwaji tena tapeli mkubwa. geleza linakusubili.
Jamani mlotapeliwa pelekeni malalamiko yenu serikali inawatafuta kweli hawa matapeli wa mitandaoni
Kwann usingeenda polisi kutoa maelezo haya
Namshangaa
Mungu akubariki sana kaka
Hata nyiee mnatakiwa mkamatwe Kwa kumuua baba yake wote na taz genius muwe Ndani Kwa mauwaji
Me nachoshangaa nikitu kimoja tu,yaani huo wivu wa maisha ya huyu kijana uko upande upi? Kwamba yy anamiliki mabilioni kias umati wote ule ushuhudie maovu yak?😢😢😢 vp kuhusu tuhuma za mkenya nae😢😢kwa uelewa wang mdg wivu wa maendeo huwez chukiw na umati wala kuchokwa na umati wote ule😢😢
Ana dalilizoto kwaba huyu nimuhuni wahaliyajuu saana anaknekena nimzoefu wahaliya juusana haja azanyeye kupata hicho alichonacho huyu nimshenzi
Haiwezekan watu wote wamchukie yeye tuuu hakuna lazima utakuwa na matatizo tyu
@@ZariaAbdullah-r5t wewe umeona km mimi
@fettymilly7664 kuna kitu hakipo saw,alafu yy anawavuaza police lkn Mungu ndio hakimu wa haki km kaua hizo damu za hao watu zitamlilia kutoka aridhini kiasi apate fimbo ya Mungu,na vile saa hii malipo hayachelewi bas atalipwa kutokana na kikombe wenzie wamenywea
Jamaa wanajaaa sana waongo
ANAONGEA UONGO ASILIMIA 99.9% na hajiskii vby babake kuuwawa.
Nenda police kajisalimishe usiongelee pembeni
Pole sana mdogo wangu kwa mapito hayo.
Mh mungu anakuona wew kama kwel utalipa maan auae Kwa panga hat yet atakufa hvyhvy
Hiv mnaskia iyo kauli "kama hujafanya serikali ipo itafanya uchunguzi kama akarekebisha na kusema kama sijafanya " hii mbon naka imeandikwa 6:40 mnts
Mungu.hafichwi.anajua.kila kitu.atakuhukumu.siku yakiyama.ikifika
Kashatoa kafara uyu kunguni,,, baba kafa unaongea kawaida HiVO??
Kashadata unacheza na damu ya watu ndugu yangu
pole sana kwakupoteza baba yako ila mwambie mama yako akutafutie baba mwingine
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
Punguza ukali wamaneno najitahid kuomba yasikukute
we tapeli kafie mbele
Usije ukamponza huyo mfanya usafi maana uongo sidhani kama una kumbukumbu kuliko kitu halisi
Mimi nasema huyu nimuwaji na zimtazania na huo mlizi kanamtowa kafara pia na huo baba
Ake kanamtowa kafara
Ulimteka na kumfungia ndani ukiwa umemfinga kamba
Juzi tu , Leo kafa ww unatokaje hapo
Omba yasikukute mwombee dua
@@JosephineAlex-d8f UNANZAJE KUMUOMBEA DUA TAPELI AU NAWE NI WALEWALE TU
@@JosephineAlex-d8f kumtumikia shetani kuna ghalama ya kutoa kamasi maana akijua atauwa mlinzi na kuyamaliza kama kawaida yake sasa ona kamlaza babake Kwa uchungu na subili na bado asipotubu kibao kimeshageukana ataona ya kuona yatakayomtoa jasho la damu
Freemasoni huyooo kakosea mashart anaumbuka han maisha marefu kuandamwa nabidamu nikitu kibaya sana
Dah wivu mbaya sana 💯
Hawa wananchi ni WIVU UNAWASUMBUA
Si angeenda police
Kaka wa marehemu yule mlinzi alisema mlinz alifungiwa ndani sku 3 kama aliona mlinz wake sijui kaiba si angempeleka polisi kiufup ata ajifiche vipi hii laana itamtafuna milele
Hakuna cha wivu hili jamaa ni katili
Huyo mschana wa usafi asepe mapema kabla mambo hayajamuharibikia jamaa keshasema kuwa alipigiwa cm na huyo mdada keshamtumbukiza kwenye balaa
Kwa kweli Taz binadamu sio yani hapa ni uongo TU inamaana jamaa hajui mwezi na miezi6. Chuki binafsi.
Jisalimishe polisi kama unajiona hauna hatia. Polisi wana vyombo vya kuchunguza ili kupata ukweli. Ukijificha inaonyesha wazi kuwa unahusika na tukio.
Unachotakiwa ufanye kazi ya uhalali, Achana na utapeli wewe sio mganga, usitumie matatizo ya watu, ujipatie pesa kwa kuwadanganya
Uyu jamaa ni tapeli na ni muongo anataka kujisafisha mtandaoni ila majirani wake ndo wanamjua zaidi ,,, kwanin ajaongelea mtaara wa marehemu serikali ichukue hatua Kali zidi yake Taz gineus
Tabia zako tunazijua wewe mpaka umesha wai kumteka ndugu yangu ukampiga tukaripot police ukaenda ukaoga pesa ukatoka wewe wadanganye hao wengine wasio kujua tabia yako
Mr daudi pole
Tazz pore kaka,ila haki yako itapatikana tu,ninaimani kuna kundi la wahuni nao watafahamika tu. Ukiangalia tu shuhuda za watu unaona kabisa kuna uhuni unaenderea. Pore sana Kaka
😂Mhuni tu huyo.
Mali ulitoa wapi kaka...umbri unao huna ujuzi wa Daktari sio Pilot wala Mwanasiasa. Utapeli sio mzuri bro wa mine..kuwa mkweli otherwise utapitia mingi. Pole sana kwa baba yako na askari mlinzi wako.
Pole broo hayo ni malimwengu, ukweli hajuaye mungu nimeumiya sana kama fan wako wakaribu, kama hujafanya nenda polisi mungu atakutetea
Akienda huko hawezi kurudi tena ndio itakuwa mwisho wake.
Ww Taz atukatai chuki kwa binadam zipo lakin nikwanin matukio kama hayo yanajiludia sana upande wko inamana kuna mtu nyuma yako anakusaidia kuwaua wabaya wako au unajua unachokifanya😢
Komenti nyigi ni zachuki na kuhukum
Watu wanaingilia kaz ya mungu ya kuukumu
Nimuongo huyu kama nikweli ungeenda kuandikisha habari kituo cha polisi kabla kwa kuwa unatumia nguvu zanguza ila kila lenye mwanzo linamwisho mpaka majirani zako unawatishia maisha hawana amani n wewe
Ukweli wako upo na Mungu basi
wananchi wanakusubili kwenye msiba wa baba yako ili mushilikiane kwenye mazishi ukimaliza kulekodi njoo msibani
Binadamu bwana ukipata kidogo wanaanza kuku ona m'mbaya
PIMBI WEWE KATI BAKHRESA NA HUYU NA ZAIDI MBONA HUJASIKIA KAPIGWA NA WATU
Una mawazo ya kimaskini kupitiliza wewe unaona MTU akijemga nyumba na kununua tugali tuwili tutatu tayali keshapata na anasthili kuonewa wivu yaani wewe jamaa akili finyu huna tofauti na huyo muuwaji alipopata kajumba amejiona mungu na anawaza kutoa roho ya yoyote ona sasa kasababisha mauti ya babake hakuwaza Hilo akijua atauwa mlinzi na kwake kutabaki salama sasa ona kamletea Mzee wake mauti kabla ya MDA wake na huo ndio mshahala wa kumtumikia shetani lazima akutoe jasho na kamasi
Pole sana
Kaka Mungu akusaidie,Hawa wananchi wambea tu hawana uhakika na wanachosema, police wafanye uchunguzi ,
Inaonekana kama mna fani moja😅😅😅
Jela inakusubili wewe muuwaji mkubwa na tapeli uwende jela ukaliwe kiboga😂😂😂
Yaan anavo ongea utazani panya ndio kauliwa eneo lake na ww utakufa tuuu mungu yupo km kweli umehusika damu ya hao marehemu itakufuata ktk uzao wako na utalaanika
Wewe ukiwawapi naulichukua hatua gani mbonahukujitokeza kwenda kulipoti polici wemuuwaji2 mukonowashelia utafanyakaziyake
Nenda kazike baba ako ushirikian na wananch msiban ha😅😅😅😅
Yani unapigiwa sim mlizi wako kauwawaa kwanini usiende kituoni muda uo uo kutowa taharifa
Daah! Hili ndio kusema mkuu wa majeshi, .hata kifo Cha magu Kuna wakuu wa police wenyetamaa hawakutaka ,katibaifuatwe Samia kua Rais .Sasa kama ndio hivyo wanachi tutapata hakizetu?
Mnafki muone mungu anakuona tena atakulipa duniani na kesho ahera
Unapoona tukio la mauwaji nyumbani kwako unalipoti police au unaanza kuwapigia ndugu wa malehemu na kuongea na mpelelezi? Jamani police hebu tuomdoleeni hii laana ya watu waovu kijikinai na kuona wameiweza selekali kwa pesa zao huwezi kuona tukio la mauwaji halafu unampigia ndugu au baba yako unaanza kuongea na mpelelezi wakati huo police hujalipoti
Yaani sio kwamba ni uvumi wa mitandaoni kaka acha ushetani mambo yako ya kipuuzi yameghalimu maisha ya baba yako mzazi hivi utawaambia nini watoto yako kuhusu kifo cha babu yao
Wew fara enzi za magu ungeshughurikikiwa fara wew
Dar...macho makav
Kumbe hawa waganga wanamtanguliza Mungu
Nenda pale kaunta centrol ukaongelee hayo ..
We muongo Kwanini mda ya kazi alipopiga simu huku Toa taarifa polisii hadi kuwasiliana na baba yako na wengine unajifunga alafu unajifanya genius
Ww huna hofu ya mungu hata kidogo unataka jina la mungu kinafik ,ila tambua aneua kwa upanga anakufa kwa upanga na ww muda wako utafika tu
Kw nn ulimfungia cku za mwanzo ukiuwa kw upanga utakufa kw upanga
Chuki mbaya sana kipato huleta chuki wasikize hawa watu ni chiki tu pilice chunguzeni chuki wivu wa maisha
Wachunguze kwa undani binadamu wabaya wanaweza dhulumu huyu
Kuna wivu wa maisha lkn inaonekana kuna ukweli wa tuhuma zinazomkabili...
Hakuna wivu wamaisha huyu nimkorofi wa wazi
Huyo ndugu kwanza si mtu mwema hapana .taarifa za raia ambao ni majirani nzake wasingeongea uongo .Kwanza omeongea kuwa ameshawasiliana na police upelelezi ,ombi langu taarifa zake pamoja na huyo polisi yachunguzwe.Nakumbuka raia waliongea kuwa akitenda kosa akipelekwa polisi huwa anaachiwa ivyo wakati mwingine wapo Marefari wake huko polisi.Kwanza raia mulifanya makosa mngeteketeza mali yake yote.Na akirudi hapa siti fanyane kitu ili ajue utapeli sio kitu.
anavoongea n kama anatunga maneno hiv
Ana Tunga huyu
Over
Hata kufunga mwenyewe hawezi keshazoea uongo wa kuwaibia pesa hao wateja wake anafikili hapo anaongea kilingeni haeliwi anaongea na dunia ya watu wenye za kupambanua mambo hiyo sula yake Tu inasomeka uongo
@@geofreylucas7870 kufunga uongo hawezi anajifunga Kwa maneno yake mwenyewe mala nimeongea na mpelelezi hivi utaongea na mpelelezi shauli hujalipeleka polisi utawaambia ndugu wake wachukue mwili hujalipoti police yaani huyu oooooooo kweli
Why you didn't call the police??
Duh
Ooo Taz Damu ya babaako itakulilia Maisha yako yote tulikuonya mapema tukakuambia mafanikio huleta majivuno umejionea na ndy mwisho wako pole
Mungu atakulipa kwa ili acha kudanganya watu wewe mwisho wako ni mabaya kijana
Hawa watu wanaotoa maelezo hawajielewi hayo maelezo Yao yanaweza kumfanya jamaa aonekane Hana hatia hawajui kueleza mara Ving,ora kauziwa mikelele Hawa Kuna chuki ndani Yao pamoja hayo lakini Wana chuki Hawa hawajielewi hakuna point hapo
Katoe point zako we msomi
Kila mtu anawasilisha Kero zake juuu ya jamaaa acha usenge mbwa ww na una Mattz ya kuelewa
Sio chuki acha usenge
Kwa mfano tuh ww umesikia mauwaji nyumbani kwako utaenda TikTok au utaenda kwako na kutoa taarifa polisi
@@johdullayo4960 unatafuta bwana endelea
Unajuwa utawekwa ndani tuu
Sawa ila Kuna Waliosoma CUBA wanajua nyuma ya Unachoongea Kikubwa Serikali ipo Macho na Ushahidi utapatikana
Wivu mbaya sana wamaendeleo
Unaonekana huyobwana kazoea kuhonga hao polisi ningeshauri naowachunguzwe manakama wangeifanyakaziyao kwaweledi asingekuana kiburi kiasihicho.
Mbna ulikimbia
Jamani angekaa leo hii angekua marehemu
@@josephmbuya9860 UMETUMWA KAKA MAAANA UNAJIBU KILA MESEJI KUNGUNI WAKE NINI
Wee nimuaji mkumbwa unalolote unajitetea mungu anakuona mpelelezi wako hamisi wote wachawiii😂😂😂 nakama umeua utajibu haherah unalolote umemuaa mlinzi uondio ukweli unalolote
Unawezaje kuukumu wakati na ww unapaswa kuukumiwa tusingilie kaz ya mungu chuki na fitina sio sawa
We n muongo, tukio kama Hilo utapigia police ama kakaake marehem?
Mbona hata sura inaonyesha ni tapeli kabla hajakutapeli. Sema watu tumekua na tamaa ya pesa bila kuitolea jasho ndo maana watu wanaingia mkenge.
Toka jana saa moja kamili siko nyumbani kwangu!! Nimetoka tandale nikatafuta sehemu nikapumzika. Yani hiyo kauli ndio imenifanya niamini you did it … Yani ungetafuta lawyer before ya kuongea huu utopolo! Hana huzuni ata kidogo
Kwako si nasikia kuna kamera zitaonyesha kama hujafuta
Yan wew unatakiwaufungwee taper mkubwa sana unajivunia helaa jambaz mkubwa wew tokazako ukoo polix msimuachehuyoo
Mwenyezimungu atasimama na wewe hatakama umeuwa kitakulambatu jipeleke
😂😂😂
Nitapeli halafu huyo mlinzi alimlisha sumu babake hakawajibu ovyo raia wakamua hamewabia wengi sana
Kwanini hukupiga simu police? Ila majirani huishinao vizuri pia. Lakini watu hua na chuki na maendeleo
Kwenye mitaa Kuna vitu vingi vinavyoendelea balozi, mtemdaji , Mwenyekiti wanafanya nini ukitowa taharifa kwao wanakuchoma tunaishi na matapeli, wezi,wauza unga, bangi, piwa na majambazi
Jeshi letu la Polisi ninaliaminia. Tumuache atatarike kama bisi a police watamnasa tu .
Hivi ni nani Hufurahia Vita? Mungelikuwa ndio Nyie na vurugu hizo zinatokea kwenu Mngekaa Majumbani Mwenu ? Unafiki hujengi.
Yn mm nimeumia sn maana nilikua nakufatilia sn Ila nashanga wengi kwenye comment watu wengi walikua wanakufagilia lkn baada ya matatizo wengi wanakuponda Ila komaa kaka penye ski patasimama sw
Pole kaka
Ana uzoefu nahaya mambo anaona kwamba anauwezo wakucheza na akilizawatu kwasababu ameshafanya maranyingi na akafajikiwa lakini hiikesi hana lazima hakimu alie bobea ipowazi sana
Wewe nitapeli na umekua kweli ndomana ulikimbia ilautakamatika tu haiwezekani wananchi wote wakusingizie istoshe ulimfungia huyomlinzi ukiwakamanani katika serikalihii ?
Wewe unafurahisha kama uliona hayo uliwapigia polisi umeshaambiwa kuna mlinzi wako kauwawa, ulienda wapi muda huo wewe unataka kusema wanaokubeba kwenye maovu yako unahisi na hili litakuwa ivo ivo acha ujinga, wewe umekimbia kwanini kwa nini usikimbilie polisi.
Lakini kaka,mbona ulikuwa mnamsumbua kwa mshahara? Mbona wa2 umewachuna laki 5,unawaambia walale makaburini,wa2mie maji Maiti ya mtoto wa mwaka mmoja,huoni watoto waliuwawa kwa akili yako?
Innall nllaaih waiinna illaih rajiuuuun
Ukiwaangalia unaona kuna chuki za umasikin ndani yao ila acha sheria ifuate njia yake
Bola ungekaaa kimya.unazidi kutuchefua wallah.Uongo usio na kichwa wala miguu. DAMU YA MTU HAIPOTEI BULE.
Vijana tafuteni pesa kihalali njia za mkato sio sawa.matokeo ndio hayo.kijana nenda polisi karipoti.usikimbie kukimbia niko kosa
Wewe kwako kuna alarm akipita tu paka inapiga kelele kwann hao wezi walivoingia alarm aijapiga kelele na ndo wewe uliyempigia cm kaka wa marehemu kuwa aende kumchukia ndugu yake amelala
Macho tu unaonekana mnafki fulani ivi mungu anakuona kwasababu kwanza kuua ni dhambi kubwa unafki pia mungu apende watu wote wakudanganye na ulivyokosa akili unanusuru roho ya mke na watoto unamuacha baba baba yako una akili bloo ila unaroho ngumu sana Allah akulipe yote unayoyafanya
Yaani maelezo yako hayashawishi wala kuonesha kama ww unasingziwa, unaelewa vizuri kilichofanyika ila unajitahidi kujitengenezea utetezi wenye mashaka tele.
Mimi ni nilipitia michezo ya karate na boxer yaan ngumi na niliwahi kukaa magereza tulifundishwa kuwa mtu muongo akiongea huwa anapepesa macho huwa akuangalii uso kwa uso. Apo bro umejichanganya jiandae tu kwenda mahabusu kukaa inshu ya kufungwa bado sana hadi upelelezi kukamilika sio leo umeyakanyaga ndugu mganga
Huyu jeuri yake pesa inamaana hata serikari kaiweka mfukoni Ila ana bahati enzi za mzee magu angejutia ujinga wake
Mbona ulikimbia ??ungeenda polisi kusema hayo na uchunguzi ungefanyika ujulikane kama ni ukweli !!
Muongo! Mbona ulidanganya dude limeibiwa wakati ulilificha?
Yaahhh mbona........
Kutoka tandale mpaka pugu unapumzika kaka
😂😂😂😂😂yaaani hata kudanganya hajui
@@anitamwehonge8287Yani hajui hajui mshambaa huyuu Kijiji kizima Wana msema vibayaaa
Tufanye wewe ndio hakimu mtuumiwa kajitetea ivyo utamuelewa au anachukulia Sheria inatungwa chumbani kwake
Acha utapeli usiringie hyo punzi kila neno la kichwa chako utalitolea hesabu ipo siku