NAINGIZA ZAIDI YA MILIONI 24 KILA BAADA YA MIEZI MITATU YA KUVUNA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 січ 2016
  • Salum ni mkulima wa matikiti maji, anajivunia kazi yake. Ni kijana wa kisasa na moja kati ya vijana wenye kipato kikubwa sana nchini na kipato chake ni halali. Ana ndoto kubwa na akiangalia alipotokea mpaka alipofanikiwa kufika leo anaamini kwamba kilimo ndio kila kitu kwake. Ndoto zake zitatimia.

КОМЕНТАРІ • 41

  • @danielkembo2177
    @danielkembo2177 4 роки тому +3

    Hilo li mziki linsdistort information mnayotaka kuideliver... Mbn mnakuwa Kama hamjaingia darasan

  • @danielkembo2177
    @danielkembo2177 4 роки тому +4

    Background yenu hiyo sijui mziki gani huo mnaweka.... Hatuskii kinachoongelewa tunaskia tu Husla poor channel

  • @nankodyasteven2858
    @nankodyasteven2858 8 років тому

    big up sana mwana

  • @shambadarasamkusi4449
    @shambadarasamkusi4449 5 років тому

    Good

  • @patricknchimbi2978
    @patricknchimbi2978 Рік тому

    Hayo makelele ya mziki ya nini? Inakera kwel kwel

  • @ndodeyevenas5284
    @ndodeyevenas5284 2 роки тому

    Hahaha nitasema ukweli daima sipendi kudanganywa

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS 3 роки тому

    Hiyo kelele jaribu kupunguza next time so that you concentrate on the topic. Thanks.

  • @castongasi5421
    @castongasi5421 6 років тому

    Naomba Namba yako ya simu nimenunua eka moja nataka kulima

  • @mariahaponga6988
    @mariahaponga6988 7 років тому +7

    upo mkoa gan nataka kufanya kilimo cha tikiti

    • @fareedufahamu8893
      @fareedufahamu8893 6 років тому

      Mariah Aponga safi sana kiongozi uko wapi na ntakupataje?

  • @marygabriel6657
    @marygabriel6657 8 років тому

    weka namba ya sim please

  • @faizebrahim338
    @faizebrahim338 4 роки тому +1

    Jamaa anaonekana kama anatunga tu
    Milioni 12 sio kitoto

    • @NeemaKmussa
      @NeemaKmussa 4 роки тому

      Wewe matango yanalipa wewe fikiria nipate kimoja tu 500

  • @evakiwia1052
    @evakiwia1052 4 роки тому +1

    Muziki umezid jamani

  • @karatasinyeusi707
    @karatasinyeusi707 5 років тому

    natafuta soko la tikiti ,tikiti langu limekaribia kutoka hapa mkuranga

  • @veronicambutua2028
    @veronicambutua2028 5 років тому +1

    The music is boring

  • @annahockson1427
    @annahockson1427 7 років тому

    kaz nzr

  • @omarychediel1307
    @omarychediel1307 6 років тому

    Mm natamani nilime kwakweli

  • @davidkadutha6441
    @davidkadutha6441 8 років тому

    Unayauzaje kwa mfan tkt moja au unaza jumla Qa shamba!

  • @SeaRockinvestments
    @SeaRockinvestments 8 років тому +2

    HONGERA

  • @mohaisha
    @mohaisha 3 роки тому +1

    Sasa nyimbo zanini makeleleeee tuu

  • @richardmichael7708
    @richardmichael7708 6 років тому

    Laki5 sio mtaji kitotoo

  • @mariakayana2417
    @mariakayana2417 8 років тому +3

    Mimi nishaanza na nakaribia kuvuna ila tatizo wateja bado unaweza kunisaidia kwa hili DJTEE

    • @Therealjoh
      @Therealjoh 7 років тому

      sorry nashida waweza nichek whatssap 0719968222

    • @mariakayana2417
      @mariakayana2417 7 років тому +1

      +Joel Sanga 0717577350 nichek nikuonganishe group ujue zaidi kama unashida

    • @christinamelikioli9201
      @christinamelikioli9201 2 роки тому

      @@Therealjoh Kaka unanunua? matikit.ninaoyo yapo vizuri san

  • @esterjacob9649
    @esterjacob9649 6 років тому

    hongera sana kaka, bt ninahitaj msaada wa ziada kuhusu hiki kilimo, plz nitafute whatsap kwa no hiz
    0768900976

  • @njeshkaris7951
    @njeshkaris7951 7 років тому

    congrants uku side gani naeza para hio ukulima

  • @marygabriel6657
    @marygabriel6657 8 років тому +2

    ninamaswali mengi nikuuloze

  • @fedrickisse2330
    @fedrickisse2330 8 років тому

    Mwaka huu lazima nitusue kwenye matikiti

    • @djtee255
      @djtee255  8 років тому +1

      HONGERA SANA SHUJAAZ VIPI USHAANZA

    • @larickmtui2852
      @larickmtui2852 7 років тому

      DJTee 255 djtee me nimkulima natokea Kilimanjaro Tanzania VIP niubganishe na wateja huko kenya

    • @zainabshabani7076
      @zainabshabani7076 6 років тому

      DJ TEE nataka kufaham kuhusu soko la passion nihunganishe ikibidi

    • @christinamelikioli9201
      @christinamelikioli9201 2 роки тому

      Kaka naomba uniunganishie wateja nimeivisha tikiti ni nyingi San na ziko vizuri mno namba