NAINGIZA ZAIDI YA MILIONI 24 KILA BAADA YA MIEZI MITATU YA KUVUNA
Вставка
- Опубліковано 6 січ 2016
- Salum ni mkulima wa matikiti maji, anajivunia kazi yake. Ni kijana wa kisasa na moja kati ya vijana wenye kipato kikubwa sana nchini na kipato chake ni halali. Ana ndoto kubwa na akiangalia alipotokea mpaka alipofanikiwa kufika leo anaamini kwamba kilimo ndio kila kitu kwake. Ndoto zake zitatimia.
Hilo li mziki linsdistort information mnayotaka kuideliver... Mbn mnakuwa Kama hamjaingia darasan
Background yenu hiyo sijui mziki gani huo mnaweka.... Hatuskii kinachoongelewa tunaskia tu Husla poor channel
big up sana mwana
Good
Hayo makelele ya mziki ya nini? Inakera kwel kwel
Hahaha nitasema ukweli daima sipendi kudanganywa
Hiyo kelele jaribu kupunguza next time so that you concentrate on the topic. Thanks.
Naomba Namba yako ya simu nimenunua eka moja nataka kulima
upo mkoa gan nataka kufanya kilimo cha tikiti
Mariah Aponga safi sana kiongozi uko wapi na ntakupataje?
weka namba ya sim please
Jamaa anaonekana kama anatunga tu
Milioni 12 sio kitoto
Wewe matango yanalipa wewe fikiria nipate kimoja tu 500
Muziki umezid jamani
natafuta soko la tikiti ,tikiti langu limekaribia kutoka hapa mkuranga
The music is boring
kaz nzr
Mm natamani nilime kwakweli
Unayauzaje kwa mfan tkt moja au unaza jumla Qa shamba!
HONGERA
Sea Rock pilipili
Sasa nyimbo zanini makeleleeee tuu
😂😂
Laki5 sio mtaji kitotoo
Mimi nishaanza na nakaribia kuvuna ila tatizo wateja bado unaweza kunisaidia kwa hili DJTEE
sorry nashida waweza nichek whatssap 0719968222
+Joel Sanga 0717577350 nichek nikuonganishe group ujue zaidi kama unashida
@@Therealjoh Kaka unanunua? matikit.ninaoyo yapo vizuri san
hongera sana kaka, bt ninahitaj msaada wa ziada kuhusu hiki kilimo, plz nitafute whatsap kwa no hiz
0768900976
congrants uku side gani naeza para hio ukulima
Una vuna baada ya muda gani?
ninamaswali mengi nikuuloze
NITEXT HAPA MKUU+255784551616
Uliza
Mwaka huu lazima nitusue kwenye matikiti
HONGERA SANA SHUJAAZ VIPI USHAANZA
DJTee 255 djtee me nimkulima natokea Kilimanjaro Tanzania VIP niubganishe na wateja huko kenya
DJ TEE nataka kufaham kuhusu soko la passion nihunganishe ikibidi
Kaka naomba uniunganishie wateja nimeivisha tikiti ni nyingi San na ziko vizuri mno namba