Team kiba munachonifanyia sio fair toka ni comment sijawai kupata Like leo mukinipa like mia tu zinatosha nami nijisikie kuwa moja wa mashabiki wa Team ya upendo lakini King music mmetisha hii ngoma sio ya nchi hii
king music wanafanya mziki mkubwa sana alikiba umewatengeneza vizur sana cheed k2ga killy na. Abdukiba nasema hivi king music levels zingine hahahaha kama umemuona DJ Kiba gonga like
Happy birthday king kiba kama unamtakia King miaka Mingi ya kuishi kutu shushia hits Gonga like +(254) Hii ngoma moto wa kuotea mbali tushafunga mwaka sasa💥💯
Zungu Berry yaan hawa watu Mm waeniacha dialema, kila mtu kaua kwa nafasi yake. Hawa watakuwa majini maana sio kwa uimbaji huoo,,, much congratulations to u teacher kiba! maana wewe ndo kiwanda chenyewe. #King's musics
Abdu umetereza,,,,,vizuriiiii kabisaaaa,,,,afu K2GA mbona unanichanganyaaaa kwa radha yako ya sauti,,,,me nikajua kateleza king kiba kumbe wewe dogo 😂 😂 😂,,,,, """"unanikomesha katisha datishaa.... "",,, kila mtu kaimba vizuri, yaani Kama kitabu basi kila mtu Kavaa uhusika wake.. moooooko,,,, ,Umetisha saaaana,,respect kwa director.!!, video kali.,,sauti zote bombaaaa,, Hakuna hata chembe ya tusi,,Hikika najivunia kuwa na upenzi wa muziki mzuri toka kwa king music. #king kiba #abdu kiba #killy #cheed #K2GA Nawakubali Sana. Team kiba twenzetu na like ili hii nyimbo iwe funga mwaka.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂khaaaakhaaaaaaakhaaaaaakhaaaa Baba nambie wapi kwa ku record voice maaaaaaana nimecheka hadi furaha tumbo linauma Inamaaaaaana ulijua fundi ndie kafunguka maswaga yake kumbe ni K-2GA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kuna siri kubwa Kiba anaifanya nimesha fahamu kuwa sasa hivi ategemei media kupromote Nyimbo zake anangalia watu wana mfatiliaje bila ya promo kwenye media video ameiweka asubuh mpaka sasa ina Fanya vizur bila promo wala kuzindua pala xxxl au play list au kipind chochote hii anataka ajue ukubwa wake je anaweza kuwa kubwa kama media na amefanikia jamani video mpaka sasa hivi ni vizur jamani 👏👏
Daaaa yani nyie jamaaa mnaboa sana yani sio kujua mme pitiliza zaidi ya kujua daaa aiseee hongeren san mnajua mpk mmevuka mipak saaa nice kz nzuli zd ya nzul
alikiba HAWA watoto umewatoa wapi sio kwa kufanya mziki mzur kama huu walifanya mwambiesina nikasema si yupo Kiba director Wa mziki wamebaatisha kumbe eehh na hii dude wamenipa KO mamae eehh king music amna wapinzani jamani abdukiba cheed k2ga killy love u
utabaki kuitwa kiba alafu kunatofauti kati ya kuanza na kufata wewe kiba unaanza alafu watu wengine tunafata no one like wewe gonga like kwa kiba
Mdogo wangu kaniambia siwezi fikisha like zaidi ya 3 kwa #kingsmusic
Kama ww ni #Team_kiba #Kingmusic #WCB basi like hapa 🦅🦅
Ndio mzee baba acheni kubania like team wehu
Kenya hatujalala jamani shemeji yetu anatoa toto
Haaaaaaa tuendeleeee Ku views zaidi maana tamu sana
Huna akili
@@hadijarama8152 hahahahahaha ok mashemej
Team kiba munachonifanyia sio fair toka ni comment sijawai kupata Like leo mukinipa like mia tu zinatosha nami nijisikie kuwa moja wa mashabiki wa Team ya upendo lakini King music mmetisha hii ngoma sio ya nchi hii
Nice
Mo Fireeeeeee
On fire
Haha
Sana brother
Sijui gundu hata like moja khaa much love toto
USA 🇺🇸 naicheki mda huu wa saa tatu usiku ARIZONA weka like zako hapa kama umewaelewa KINGS MUSIC 🎶
JUDE VEVO
Niko #Tucson hapa na Enjoy #TOTO
Lala bhana niusiku
#Pete abandelwa ngoma haileti usingizi
@@dennicjude leo tutakesha TuBe from Kansas wichita
Hapa Kenya tunatambua Alikiba..siombi likes hata but nasema tu ukweli
Kweli jamani shem yuko sawa
You can say that again💯
neymare gershon n vzur mkawajua na hawa aliowaibua
neymare gershon ua-cam.com/channels/Z8nPsT41XHQxRh5CG3MRtw.html
kibaa ni pure talent ..nampenda Diamond pia lakini King kiba ni mnomaa
Aliyerudia Mara 50 kuview hii ngoma kabla haijafika 1M viewers like hapa
Mie nhc n zaid y 200
Yp
Team kiba tuna jisahau sana ngoma ikifika viwes miliyoni 1basi tunalizika siyo vizuli inabidi tusapoti benga kwa benga
kweli
👌😃😃😃😃 toroka uje huku mambo ni 🔥
+Shemeji waxxl wap
+gutugukuru wanga WCB
tupo mpaka kieleweke
sisi wakenya venye tunasema hii gomakalisa sana like mingi kwa sisi bakenya
team kiba ya 🇨🇦 usiku mwema namaliza kuangalia kichupa kipya usiku mwema sote na asubuhi njema kwa wenzetu wa🇹🇿
Asante sana
Aziza ujala
Mmeipokeaje hii nyimbo huko
Hivi siwezi kuapata like kama hizi kweli😂 kam kweli gonga tu tapah👍 #alikiba toto hii ngoma ni noma baba ake 🔥🔥maswala ya konki konki hatuhitaji 😂😂
Fyeeeeka mbli team wamama kiba yebabaa
@@salimaamir5561 😂😂
Congratulations wa king kiba nyote... mbona patam apa 👌
@@fallymetoo191 😂 mchezo usiuchezee 😂😂 kiba ni 🔥 hamn wakuzima
Uyo mwenye Rasta anacheza mpk sio powa
Director wa hii video ni mkenya wakenya hebu tumpe Bosco junior likes
Kiba lazma afanye kazi na mashemegi
Jaman wakwanza kutazama naomba like kiba atali na watoto wake sauti tu me napagawa nawapenda sana jaman
Twaa buree
No Mimi ndio wa kwanza Niko 251 hapa adama city Ethiopia from tz
Namimi ni likeni basi team kiba msiwe wachoyo wa like 😊
Don't worry tuko wengi
Ni follow pls
Namm Jamn msiwe wachoyo wa like mm team kibaa
😱😱😍
Toto
Kings Music ni tiba ya fleva tuliyotaka kuipoteza
kweli kbs
jamani na mm pia ni shabiki wa kingmusic niko barani Asia naombeni like zenu japo sijui vizuri kiswahi
Nice
gooder
Ndio kisa ukaandika ki Asia
+Fatma B Tili hahaha hahaha! listen song
Prince Kijay how are you hahah😅😅😅😅😅😅
wale wa 254 tupigie likes zote hapa hawa wa 255 wajue kiba ni wetu sote twendeni nalo goma hili
kawaida ya mwisho wa mwaka lazima king king king yeeees
kawaida ya mwisho wa mwaka lazima king king king yeeees
atali mme tisha xana
Nyimbo haina ushindani kwa sasa watu tunatqka bengers
Kenya kama kawa tumekamatika na ttozy
Oooooooooooooooyo wale wotye Tim kiba usiach like kama zote
Katisha msanii pia mchezaji kote hakoseii
Jaman team kibah😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘fire aseee
Kama umeirudia hii nyimbo kuiangalia mara kadhaa hebu zama ndan npe like yako hapa
Kiboko Yao
alikiba hawa watoto kama kawafunga vinanda wahllah,,,,wananipa raha
@@officialbaclara mwanzo huyu K2GA ni mnoma sana
Kama umeikubali gonga like
wimbo mzuri mtamu kuusikiliza,,,video ipo bomba pia,,,tuloamkia kuusikiliza huu wimbo like hapa plz😘
Kwa kwel mziki wa kitz
najua unaheshim kaz za king kiba so comment km zoteee kwake
& like zisipungiwe m1
Motooo king
zaid y motoooo
Muzikiii ndio huuu unaotakiwa #killy umetisha #Abdu mzaziii umewakilisha vyema bila kumsahau K2gaa wp Cheed mkoo vzr King Music
king music wanafanya mziki mkubwa sana alikiba umewatengeneza vizur sana cheed k2ga killy na. Abdukiba nasema hivi king music levels zingine hahahaha kama umemuona DJ Kiba gonga like
kama unaikubali label ya AliKiba Gonga like hapa....❤❤❤❤❤
nimekua.wa 72 kuangalia iih vidio naomba ka like jaman
Wow my music we mtoto we mtoto unanivuruga akili kama mtoto 😘😘😘😘😘🙏🏻
Watanzania na warundi tuungane mnipe like Kama munaangalia na kusoma comment Kama mimi
Team kiba mimi sijawah kupata like hata siku moja kwaiy fany km unalike twende sawa
We una shida kiba 4 lf
Kazi nzuri
Eyfd Fhuf nyimbo ikovizur
daaaaah!!! Kings music mnanifurahixha xana ngoma kali xauti zenu kali mnavyo imba hivyo napenda xana kings music
sana babuu
Kama umerudia kungalia hii ngoma wacha #like 2juane
Nice xana
Nan yuko hapa tena🙋...king kiba+ king music=gud music 😊
Happy birthday king kiba kama unamtakia King miaka Mingi ya kuishi kutu shushia hits Gonga like +(254) Hii ngoma moto wa kuotea mbali tushafunga mwaka sasa💥💯
Prince Newton nkubli
@@mchungamchunga7729 same💥
Team kiba muache unfki munipe likes zangu bwana 🗣🗣🗣🗣🗣
tumefurahi kuona wameachia ngoma aya like yako iyo usilielie tena
Sawa ushasema wangu
Chukua izooo
Dooh bonge la ngoma aisee
Kingmusic
Nani mwengine anangali huku akisoma #comment za wa2
bary Tz ulijuaje
bary Tz ulijuaje. from mozambiki
In fact kama wakubali kama #teamkiba ndo KING OF BONGO FLEVA 😍😌gonga like hapa
Daaah....+254 ebu musintenge pia mm like kwa ILI DUDE LA MWAKA
Hashim M2 ua-cam.com/channels/Z8nPsT41XHQxRh5CG3MRtw.html
Alikiba n atareee
Kali sana
Achia video mxzee baba embu weka like kama zote kama una mkubali King 👑 Kiba mwenyewe
Ni sheedah
Sauti tamtam all the time king kiba
Kama umeliona uno la huyo dogo K2ga gonga like twende sawa
Averina Marco goood
uno kama looote
Aisee huyo dogo anajua hatari
Wangapi wanajaribu kulinganisha ukomavu wa kwenye ruhmba na too
Nipo Colombia sijui kiswahili ila hili ji song la King kiba nimelielewa balaa 😀😀😀🔥🔥watu wa Colombian like hapa 🏃🏃
Hujui kiswahili na mbona umeandika kiswahili?
npo tayari kkupa tafsiri la dude zima ju tayari wachina wanalifagilia
😂😂😂😂😂😂😂
ua-cam.com/channels/Z8nPsT41XHQxRh5CG3MRtw.html
SR_ dullah manyoko wew
Wallahi Hii Ngoma Kali Sana, Cheed Anajua Sana
Zungu Berry yaan hawa watu Mm waeniacha dialema, kila mtu kaua kwa nafasi yake. Hawa watakuwa majini maana sio kwa uimbaji huoo,,, much congratulations to u teacher kiba! maana wewe ndo kiwanda chenyewe. #King's musics
King"s atali sana
mi ni team wcb ila ngoma kali jaman ukweli lazima tuseme mziki ukiwa mzuri tunatakiwa tusifie pia
Nimekuelewa sana hapo ulipo kama ngoma ume idownload bas ipigwe kwa pongezi kutoka kwa #shamshery_aj47
Huo ndio ushabiki kwamba
Geophrey Chinaco mbo lvyo jama
Haijawah kuisha cku bila kuickiliza hii ngoma
ukiwa kama Mimi mpenda muzik mzur like hapa
@Lucy Opanda hatar sana huu umeme
toka kenya mimi... nasema kiba ndo king wa afrika mashariki... ako dope.... like nipate kibao wanaumkubali
Kwel
inabidi wale WA kujitambua kuwa wao ndo simba waelewe kuwa kuna mfalme anayetambulika na watu na sio minyama
p1.
Wale wa kusoma comments nipe like ya KINGKIBA
Killy on file💯💯💯💯💯 ingawa wote mpo vizuli
kama umerudia kuicheki ngoma kama mimi gonga like twend sawa
Abdu umetereza,,,,,vizuriiiii kabisaaaa,,,,afu K2GA mbona unanichanganyaaaa kwa radha yako ya sauti,,,,me nikajua kateleza king kiba kumbe wewe dogo 😂 😂 😂,,,,, """"unanikomesha katisha datishaa.... "",,,
kila mtu kaimba vizuri, yaani Kama kitabu basi kila mtu Kavaa uhusika wake..
moooooko,,,, ,Umetisha saaaana,,respect kwa director.!!, video kali.,,sauti zote bombaaaa,, Hakuna hata chembe ya tusi,,Hikika najivunia kuwa na upenzi wa muziki mzuri toka kwa king music.
#king kiba
#abdu kiba
#killy
#cheed
#K2GA
Nawakubali Sana.
Team kiba twenzetu na like ili hii nyimbo iwe funga mwaka.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂khaaaakhaaaaaaakhaaaaaakhaaaa
Baba nambie wapi kwa ku record voice maaaaaaana nimecheka hadi furaha tumbo linauma
Inamaaaaaana ulijua fundi ndie kafunguka maswaga yake kumbe ni K-2GA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😁😁yebaba
Duh mm nina bahati mbaya. Yaani sijapata like hata moja
Kama umechelewa kazini kama mim kingoja hii ngoma gong like
Ase hii ngoma nikal mazeeee nataka like zangu km na ww unauelewa huu mzigo.!
Jamani haya mauno ya k2ga ni balaa
Kama umerud hapa mara kumi na bado utarud Nipe like na urud million in 24hrs let’s keep it going #yebaba#yap#popitin
tunarudia rudia had tufike 1M
@@laurentchimbirani3434 iko no ngapi sai mana sipati picha kwa uno la ki2ga atauwa haswa Kenya mi mwenywe binfsi amenifinish mmaeee
Mi nakupendaga tu kiba🔥🔥🔥na timu yako.
Ata mkiniimbia wimbo wa taifa nitaipenda tuuuu😀😀😀
Like hapa kama na wewe tupo njia moja king kiba 4rearly
Mi haunipendi sasa?
😀😀😀
😂😂😂😂Mwajumaa njanga ww yako kalii
Kama Umependa ngoma hii zaidi ya ile ya kwanza GONGA like hapa TUJUANE
Uyu mwenye rasta anavocheza mie hoi
Tulio angalia hii video kabla haijafikisha 1m views tujuane bhac😂
Yni aisinyi
Haha tumejua basi hadi huku +254 unajua tunashare king kiba pia huku
Hahaha "shori zigizagazalizozabambata" hatari xn vijana hawa
Tuko wengi
Joan Shishi mokko
Kuna siri kubwa Kiba anaifanya nimesha fahamu kuwa sasa hivi ategemei media kupromote Nyimbo zake anangalia watu wana mfatiliaje bila ya promo kwenye media video ameiweka asubuh mpaka sasa ina Fanya vizur bila promo wala kuzindua pala xxxl au play list au kipind chochote hii anataka ajue ukubwa wake je anaweza kuwa kubwa kama media na amefanikia jamani video mpaka sasa hivi ni vizur jamani 👏👏
true
Aɓyan Seef no kiki
Hatar xana king
Kaz kz kaka fund fund t at a BL plm
sasa hu munao nifanhiya ni ubaguzi.eti to ni Nmozambike ndomana ata like kwangu sioni . haaa jamani like zeno. obrigado.kings music 4 life.
ata mimi ni nmozambique king kiba 100%
xtamox junto from pemba
Ata mm in Mozambique auko pekeako
Ncade Bachir Ncady kaka Mozambique uko sehemu gani
Kwa sasa niko Beira
Cheeeeeeddddd🙌🙌🙌🙌🔥...wale majaji waliosema ukiimbe hatutajua kama.ka kike ama kakiume sasa hivi wanaona ulivyo lidume.. mashallah...talents 🔥🔥🔥🔥🔥
daah mi ni team mondi ila nisiwe mnafki kwakweli hii ngoma kali sana.kama umependa alivoimba abdukiba gonga like kama zote apa
😁😁😁
K2ga🔥🔥🔥🔥🔥
noma sana
kwani team #kiba tunafanyiana ubaya?
haya naombeni like kama tunapendana
tumeipenda sana iyo
Hahaaa
Dooooh hiii ngoma ya mwak K_2ga umekimbiza jombaaaa
sanaa
Team kiba naomba tujuane kw kugonga like
Bonge la song
Good song
mabula msabula yooooooooo
Kweli Now mambo my ni fire kings music
Nice
Daaaa yani nyie jamaaa mnaboa sana yani sio kujua mme pitiliza zaidi ya kujua daaa aiseee hongeren san mnajua mpk mmevuka mipak saaa nice kz nzuli zd ya nzul
Yani ni balaaaa
Sauti ya @ki2ga kama king Mwenyew kama unaamin hivyo ganga like
Huyu jamaa aliimbaga wimbo unaitwa Rosa watu walijuaga kiba anajua sana
inabidi k2ga achukue number king au unasemaje yusuph
@@hameesabdalah3780 hahahahah.......daaah.......kwel ban
Sauti ya king so prince anafanya yake
Huu wimbo sichokii kuusikiliza
Waaaaaah kizazi sana homa la East Africa hili hapa gonga like kama umeikubali hiii....nipeni like mwenzenu
Kumbe tupo weng tunaosubili dude💣💣💣like kama we team #kiba
Ebhn hii bonge la ngoma kila Day lazima nilipitie
waaa round hii niatari km wakubaliana na mm weka like twende sawa
Wale wa #TEAMKIBA na #KINGSMUSIC 👑 kwa ujumla gongeni like hapa tujuane 😎😎
Kama we team kiba like hapa acha uchoya..kiba festival inakuja like
Uchoyo yawa
Jaribu kuja kidogo zama ndani tazamaaaa usjeleta zogoooo king nomaaaa?????
Kama 😍naweweni team kiba ngonga like tusonge mbelee
Nimerudia mara3 Eti jaman goma tam hili naomba like zenu twende sawa guys 👏
Sempre king nao faria force kings muzicas uma wera uma boa king kibaaaaaaaaaaa ye baba
Team 254 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 chukuenu register apa 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
oyeeeeee king kiba
Iko poa sana
Naipenda hii nyimbo kinoma noma!!!!!! Huyo mwenye rasta anavyocheza ananifurahisha mno,
jamani hii nyimbo imwnifanya nihamie team kiba mazima
nimeona huko upande wa pili wanazingua
naombeni team kiba mnipokee
kalibu sana mpnz tu nakupenda pia 💝💝💝💝💝💝
Karbuu mwanetu cye atuna roho mbaya
Karibu bby team hatunaga ubishoo karibu × zote
Babylon Lonboy karibu bro
Chama la wasomaaa comment mko wapiiii
Tupoooo
@@leticiachunga9118 ngomaa l kizaz xanaa🔥🔥🔥
Wale Team kubwa King kiba+Kings music nipate like bac
Nawakubali sana kings musics 👍👍❤️
Sijawah kupata like kwa king kiba
Kama unaamini k2ga ndo mrithi wa kiba twende sawa hapaa🔥🔥🔥
Abiola Kenedy team k2ga tupoo namuona mbali saana
Yah namuona
Abiola Kenedy kabis
Ni nouma 🔥🔥🔥
Noma sanaaa
Hawaamini wanacho kiona 😂😂😂😂😂#TeamKiba tupo Wañgai tujuane
#Jamanikiba uyukiba shetani aujini manaDah iingoma kali pakakelo
hahaha
kama umedata na hii ngoma weka 💞💞💞💞 ya kibabe hapa
emanuel ndamo kali kama kuma
Haliishi ham
King always king and forever king good music alive achana na mamb ya nyegee
Hataa hivyo ili hit vinoma
Waoow so marveloux king code 😘😘
Huyu jamaa anajua mbak anakera
Ziz
bora king kiba umebadilika atleast umeweka mdundo wa maana tumepumzika na sebene ila ngoma iko fireeeeeee...
Feisal Baruan WCBS
Umeona eee
Daaah i abdul moco kwa zenji no.moco kama umaarufu wang kinngggggggg king's na wanawe tunatishaaa video kama na saut soul
Bonge la nyimbo,Sijui BASATA watafungia kutokana na hayo mavazi ya beach
khadija rocky 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hili uno la K2ga😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 nachekaa tuuu 🔥🔥🔥 Ntaman niwanunue nyieee ahhhh😜
Cieran Manuel nimecheka hatar eti hilo uno #kingmusic# they are killing
Cieran Manuel umeona eeh
uno la uzazi
Cieran Manuel Mie Hoi Kabsaaa 😂😂😂
Aiaee kaipendezesha anachezaaa
Kamawakubali hawa vijana wakosawa basi gonga LIKE hapo.
Hii wiki ni kama wabongo mmeamua kutunyoosha.. Ben Pol, Vee money, Shetta, King Music🔥🔥
ua-cam.com/channels/Z8nPsT41XHQxRh5CG3MRtw.html
Wale wa 2019 tujuane kwa like
Team Kiba mwanzo mwisho sifa peleka tandale hapa kazi tuu
Acheni uchoyo team kiba naomba like zangu
😂😂😂😂😜
@@salimaamir5561 😸😸😸
😂😂😂
ua-cam.com/channels/Z8nPsT41XHQxRh5CG3MRtw.html
ooyoh ...watch it comment and subcribe .....thanks🤟🏼
Sasa unapitaje bila ku like hapa kwangu👇👇like ili wajanja tuongezeke kwa kumpa sapot mfalme wa muziki Africa mashariki..
Kiba hatariiiiiiiiu
Chema chajiuza kibaya chajitembeza ikiwa unaukubali usemi huu like ngoma hii dah"bonge LA songi kiulweli
mbona kwenye you tube aiyonekani tatizo nini sisi tunataka tuinjoi
@@rayanalhabsi8029 nashangaa tatizo nni
Saf
Hassan Kitenge kweli kabisa bonge la songs
Hawa jamaa wanajua ile mbaya big up sana
Kama Ww Umeikubali KingsMusic Like Apa👑👑
hiyo goma nikali Xana
Nikali sana
Thx
Jomoniiiii jomoniiii alikiba we ni nyokoo sana umenikamata yaan ngoma imenikamata sana fundi was madude na bado yebabaa
Jescka habari 😂😂😂😂😂😂👦😂 Kama mm
alikiba HAWA watoto umewatoa wapi sio kwa kufanya mziki mzur kama huu walifanya mwambiesina nikasema si yupo Kiba director Wa mziki wamebaatisha kumbe eehh na hii dude wamenipa KO mamae eehh king music amna wapinzani jamani abdukiba cheed k2ga killy love u
Ali uko juu
😍😍😍😍mnanipa raha sana