Alikiba - Chekecha Cheketua (Official Music Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • ‘Chekecha Cheketua’ is Alikiba's 2nd official smash hit release through his worldwide exclusive partnership with his record label and management company 'ROCKSTAR4000' and publishing partnership with 'Rockstar Publishing'.
    The Music Video was released as a Worldwide 1st Exclusive with TRACE TV, TRACE URBAN and TRACE NIGERIA - @TraceNigeria @Trace_Inter #TraceTV #TraceUrban #TraceNigeria
    This ‘Chekecha Cheketua’ music video was Directed by Meji Alabi (@mejialabi) and JM Films (@JM_FilmsTV)
    Stream/Download:linktr.ee/Alikiba
    Listen to Alikiba on Digital Streaming:
    Audiomack: audiomack.com/...
    Apple Music: / alikiba
    Boomplay: www.boomplay.c...
    UA-cam: / alikibaofficial
    Spotify: open.spotify.c...
    Connect with Alikiba on Social Media:
    Instagram: / officialalikiba
    Facebook: / officialalikiba
    Twitter: / officialalikiba
    Snapchat: / officialalikiba
    TikTok: / officialalikiba
    +For More Information Booking Alikiba:
    Contact:emailalikiba@gmail.com
    ©Kings Music Records.All rights reserved.

КОМЕНТАРІ • 3,3 тис.

  • @FranklinMwalungo
    @FranklinMwalungo 6 місяців тому +203

    Kama bado wasikiliza hii ngoma 2024 nipe like

    • @mwajumabinwa604
      @mwajumabinwa604 6 місяців тому +1

      😂😂😂

    • @ethiozena3826
      @ethiozena3826 5 місяців тому

      ​@@mwajumabinwa604ሠሠሠሠሠሠሠሠሠሠሠሠሠሠረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረረሽሾሸሽሽሸሾሾሽሽሾሾሾሾሾሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሸሰሰሰሰሸቀ😅😊😊😅😅ቀቀ😊ቀቀ😊ቀ😊ቀ😊ቀ😊😊😅😊 3:30 😊😅 3:30 😊😅😊😊😊😅😊😅😊😊😅😊😅

    • @safwachick6372
      @safwachick6372 Місяць тому +1

      Nimooo

  • @DanielKunee-cw9gb
    @DanielKunee-cw9gb 5 місяців тому +67

    Kama upo 2024 nipeni likes watu wangu

  • @RahashKamash
    @RahashKamash 6 місяців тому +82

    Aki nimekaa tu nikamiss hii ngoma..nipewe likes 20/3/2024

  • @JIMBO_MEDIA
    @JIMBO_MEDIA 6 років тому +718

    Mwambie *Mwana* *Aje* kuni *seduce me* asiogope *mvumo wa radi* kwani tuta *chekecha* na kila kitu mi *Nagharamia* 😂😂 weka like tusonge mbele

  • @josephmichael5618
    @josephmichael5618 4 роки тому +106

    Kama umenunua smart phone 2020 ukaja moja kwa moja huku gonga like twende sawa woteeeer

  • @wibonelawalid8220
    @wibonelawalid8220 7 років тому +515

    SEDUCE ME IMENIFANYA NIPITIE NYIMBO ZOTE ZA ALIKIBA WHAT I DISCOVERED IS JAMAA ANAHITAJI HESHIMA KUBWA SANAA YAANI NI FUNDIII THUMB UP KAMA UNAKUBALIANA NA MIMI.

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 5 років тому +198

    Kama unaamini kiba ndo rais bongo flave weka like yako 2018

  • @maryamibrahem1623
    @maryamibrahem1623 4 роки тому +195

    2020 kama unacheki weka like

  • @WycliffeEtee-sc6hr
    @WycliffeEtee-sc6hr 6 місяців тому +40

    Wapi likes za 2024❤❤❤

  • @wardamaulid7850
    @wardamaulid7850 7 років тому +120

    Nani yupo hp baada ya kuskiliza seduce me😀😀

  • @officialmluhya6096
    @officialmluhya6096 4 роки тому +80

    2020 ndaniii kabisa gonga like tukisonga

  • @judithnanyingi-fg1db
    @judithnanyingi-fg1db 3 години тому

    My alikiba big up

  • @scorpionchannel1773
    @scorpionchannel1773 8 місяців тому +18

    Loving this in 2024 🎉🎉
    Reminds me of great memories. Like if you love this song

  • @BESMARTTELEVISION
    @BESMARTTELEVISION 4 роки тому +21

    one of the underrated song from king kebab...I think this was supposed to be realised in 2020 to be I a hit song...ebanaa eeeh Leo nimejikaza kuandika kwa kikenya ila sasa natirirka kibongo..gonga like kwa wale waliokielewa kikenya....

  • @zach4068-c9e
    @zach4068-c9e 4 роки тому +7

    Nani mwingine amekuja kucheki ngoma hii baada ya mediocre???

  • @claudepodo3694
    @claudepodo3694 8 років тому +194

    Wow u can't believe i don't even know the language but when I listen as he sing its like I know what he's going through!! I've loved this song so much💕👌✌

  • @tacktv5328
    @tacktv5328 2 роки тому +8

    2022 twende sawa kwa like

  • @DeoTv255
    @DeoTv255 5 років тому +145

    Kama unacheki ndan ya 2019
    Gonga like tujuane 😎

  • @marwanissackmedia3475
    @marwanissackmedia3475 11 місяців тому +26

    2024 is in 2 months and still got this song in my Head❤Alikiba art is just awesome🔥

    • @happyme627
      @happyme627 10 місяців тому

      As I'm typing this it's 30days to 2024🎉. I concur Alikiba is so good at what he does

    • @Wangaruro
      @Wangaruro 10 місяців тому +1

      Yooh 🔥

    • @tgeofrey
      @tgeofrey 9 місяців тому +2

      2024

  • @bendictorheremani3570
    @bendictorheremani3570 3 роки тому +5

    Ngoma ya mwana imenifanya niangalie Ngoma zake kama nawe unalia mpka 2020 gonga like

  • @katevgates6360
    @katevgates6360 4 роки тому +52

    The way he mixes this swahili, is just fine.
    Twakupenda from Kenya☺️

  • @annlove501
    @annlove501 9 років тому +55

    Going through the comments..why is it Tanzanians have that tendency of putting one artist down inorder to show support of the other artist?? The insults in IG is way too much!! Give this dude a break! What are you doing on his youtube if you think Diamond is better??? This "team" bullshit has gotten into your heads so much and its out of control for heavens sake! Its a shame!Diamond cannot be the only artist in your country..competition has to be there..wether you like it or not!! Kiba was there 1st even before Diamond remember! These artists dont know you...they be making their cash while you be making likes and comments....so y'all take several seats and watch the return of King Kiba because this "team" tactic is working to his advantage!! DEUCES!!

    • @BeingSydney00
      @BeingSydney00 9 років тому +5

      ann love yeah its working on Ali's advantage and they no no shit after all its a good video very suprising its great i love it kiba kapendeza good color composition and its technical , people think a good video is the one with rolls royce , lambo's and shits but this is an ace love it compared to mwana T H U M B S U P!!!!

    • @annlove501
      @annlove501 9 років тому +5

      Sydney Joseph​​ actually it is an old skool video...look at the cars and their dress code! These fools can't even tell the difference!

    • @raphtz5694
      @raphtz5694 9 років тому +2

      ann love Well said. Tell them

    • @Vasper79
      @Vasper79 9 років тому +5

      ann love I like DP and respect him too as an artist but I don't understand these comparison and insults either. It's so juvenile!! We as African's need to support all Artist, whether they're Tanzanian's, Nigerians or whatever! Good music is appreciated regardless of who sings it or where it came from.

    • @neemaopiyo7334
      @neemaopiyo7334 9 років тому +7

      You are right Ann, in fact the song is a perfect match of the video and the environment, the problem is people are watching the video while in mind they have a comparable video

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari7562 5 років тому +13

    Nani bado anaview huu wimbo 2019 tujuane hapa wenye macho ya blue light. ...king4rever

  • @victorokombo64
    @victorokombo64 28 днів тому +3

    Nimekuja ku Chekecha, leo tarehe 3-Septemba-2024.

  • @eleksienoir1576
    @eleksienoir1576 8 років тому +167

    Alikiba is just something else! and do we ignore that he dances so well in a suit? one of my favv artists. Love this guy

  • @arnoldwilliam9578
    @arnoldwilliam9578 9 років тому +13

    Alafu nimegundua wengi wenu mpo kukosoa video na si kumpa support Alli Kiba acheni uswahili kila kitu diamond akifa leo utamsifia nani pumbavu nyinyi.

    • @kairojamhuri4612
      @kairojamhuri4612 9 років тому

      Ww mbona umeanza kwa kulia lia nyau ww.

    • @nassibsanga4398
      @nassibsanga4398 9 років тому +1

      Arnold William support apewe mara ngapi? Na ni maana gani kwenda kufanya shooting South Africa then hakuna kitu kipya hapo?? Kama ni location hata bongo zipo kama hizo. Haoni wenzake wakienda nje? Si bora angeshoot bongo tu mambo yaishe. Nimegundua kitu huyu Alikiba atakuwa mgumu sana kushaurika.

    • @arnoldwilliam9578
      @arnoldwilliam9578 9 років тому +7

      nassib sanga we ulitaka ki2 gan kipya maybach au. Mbona wasanii wengi wanenda nje hamuwasemi ali kiba kawa bata kila muharisho apewe yeye, angekua diamond msinge ongea hapo

    • @MastonJunior
      @MastonJunior 9 років тому

      cjaona kibaya katika hio video song. the matter ni kua tusapoti kile tunachoona ni sahihi na kuepuka kukosoa kila kitu, mtu anapofikirisha kichwa mwisho wa siku anahtaj support na si amkemeo kama haya ya sasa hivi. for my opinion video ni nzuri.

  • @amanisangawe1202
    @amanisangawe1202 5 років тому +45

    kama imetoka Leo 2019

    • @kayduah3386
      @kayduah3386 4 роки тому

      ua-cam.com/video/0WZV4oTTxvU/v-deo.html...

  • @zenasambe3626
    @zenasambe3626 2 роки тому +114

    2022,,,and am here again,,one thing is that I'll never get tired to listen to Kibas songs,they are just amazing with so much meaning to learn from them,I love this guy🙌🙌

  • @sandramurekatete5529
    @sandramurekatete5529 3 роки тому +6

    Wenye wanamkubal alikiba mpak sasa gong like hapa👏👏👏

  • @collinsmwabora7628
    @collinsmwabora7628 2 роки тому +4

    2022 still here chekecha chekecha chekectua

  • @rijeakeray2664
    @rijeakeray2664 8 років тому +71

    who is watching this ryt now

  • @kajikaone
    @kajikaone 4 роки тому +11

    Lyrics :
    Jamani ninataka saule
    kama mapenzi gorofa yamejaa Kariakoo
    Nina mapenzi tele kama kwetu kule
    Wanaonitaka ni wengi ila mimi kwako nyang'a nyang'a nyang'a
    Nini unataka mi nina miujiza nini unataka
    Ama ni maji ya bluelight sema nini unataka
    Nikugeuze Princess sema nini unataka
    Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa
    Nini unataka mi nina miujiza nini unataka
    Nikugeuze Princess sema nini unataka
    Siamini yaani siamini yamenipanda kichwani
    mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
    Siamini ooh siamini yamenipanda kichwani
    mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
    Haya chekecha chekecha chekecha chekecha chekecha chekecha
    Chekecha chekecha chekecha chekecha chekecha chekecha
    Chekecha cheketua cheke
    Chekecha cheketua cheke
    Chekecha cheketua cheke
    Chekecha cheketua cheke
    Masia Uluso kitaa Abu Daddy
    Penzi alinipa mama nami leo nakupatia
    tena sitaki lawama penzi kiapo hakuna
    Mi nitakupenda sana mpaka wivu utakimbia
    nami ntalia na wewe mimi kwako nyang'a nyang'a nyang'a
    Nini unataka mi nina miujiza nini unataka
    Ama ni maji ya bluelight sema nini unataka
    Nikugeuze Princess sema nini unataka
    Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa
    Nini unataka mi nina miujiza nini unataka
    Nikugeuze Princess sema nini unataka
    Siamini yaani siamini yamenipanda kichwani
    mahaba ya kuota simitini yamenikoleza mwilini
    Siamini ooh siamini yamenipanda kichwani
    mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
    Haya chekecha chekecha chekecha chekecha chekecha chekecha
    Chekecha chekecha chekecha chekecha chekecha chekecha
    Chekecha cheketua cheke
    Chekecha cheketua cheke
    Chekecha cheketua cheke
    Chekecha cheketua cheke

  • @venancekway681
    @venancekway681 3 роки тому +7

    If your still listening this song can I have your like,,,,chearsss

  • @shiematteo3049
    @shiematteo3049 4 роки тому +7

    😎😎😎nitasema kenye nataka 2020 I won't be silent again
    😎😎 bado wombo inanimaliza

  • @ikaallastica6679
    @ikaallastica6679 9 років тому +54

    cut the long story short, diamond be good, kiba is awesome two.different styles different personality different talents diffent fans same platform, mvuto pia tofauti its called #diversity guys and its what makes us africans. them both cant be doing same thing same style!!!! so instead of y'all getting on eachothers neck just embrace diversity its your choice to love diamonds style and someone elses choice to dig kibas style its no offense so why y'all want to throw about some petty beef over it.and yes critisism is good it helps artists grow if they take it positively but its not good if you will throw a shadyass shade on a musician thats much of hate than correction.mwenyewe hata ukipewa kalamu you cant even finish a line or verse or come up with a simple video concept so haters and all those who taking sides and talking negatively seat your shadyesses down and embrace diversity.kama unapenda Kiba love him and dont throw shade on diamond if you love diamond do so without throwing shade on kiba if you feel any of them needs to correct somewhere do so in a civilized and correct manner.
    I.M.O this music video is great a lil polishing and it would have been dope.but still i love the vid and love kibas style..

    • @alihamdan2407
      @alihamdan2407 9 років тому +1

      ikaal la stica so true, wote ni wetu na kila mmoja atastaki sifa kw namna ya alivoiwasilisha kazi hiyo ni idea yake na hicho ndicho kinachotakiwa ktk sanaa upekee (unique). ol in ol huwezi kuibadilisha nyekundu kuwa njano huo ni mfano.

    • @enockdonald7856
      @enockdonald7856 9 років тому +1

      ikaal la stica
      we always need to apriciate both, they are very awesome!

    • @mwaulambo
      @mwaulambo 9 років тому

      Lena Liz true said

    • @rahimawadh605
      @rahimawadh605 9 років тому

      well said girl.they are both good in what they do.just to end this hypocritical and insane beef which actually doesn't exist as they both put in their interviews rather it has been propagated by selfish medias and groups in social media.I would advice them to come together and do an insane collabo .let their geniuse works bring every one together.

    • @lenaliz8037
      @lenaliz8037 9 років тому +1

      They already collaborated, and one of them deleted the vocals of the other, At that point, the trust was lost. They are both doing great, as fans we should respect their individual craft and creativity by supporting.

  • @POGMESSITV
    @POGMESSITV 4 роки тому +2

    Alikiba ft Tiwa Savage 💣🔥🔥🔥 imevuja video mpya
    ua-cam.com/video/Y9KxwpxFnW0/v-deo.html

  • @hadlayemunir7992
    @hadlayemunir7992 2 роки тому +13

    Am Somali I love Ali kibas all songs🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @idrisjafar37
    @idrisjafar37 2 роки тому +5

    Goma lina miaka sjui mingapi ivi lakini bado likipijwa madada wanacheketua🤔😁🐐📣📣📣📣🔥🔥

  • @denicejohn1543
    @denicejohn1543 3 роки тому +7

    Kama bado unaikubali ngoma hii ndani ya 2021 gonga like twende freshiii

  • @gilbertlwanzo285
    @gilbertlwanzo285 8 років тому +35

    Alikiba you are Tanzania's pride, Tanzania's best Bongo Artist. All the those that brag that are now the leading bongo artists are just your products. Long Live Ndugu Alikiba.

  • @justinkazaula147
    @justinkazaula147 9 років тому +17

    this is what we call awesome..amazing..splendid..marvelous...unique...unajua kwann???.....King Kiba unatoa video ambazo tunaziita controversial...yaan zinawaacha watu wanajadili mara hivi mara vile..alafu upande wa ile timu nyingne ndo kabsaaa wanadata...wanajifanya kuifikiria video itakua hv kabla afu video ikitoka tofaut na matarajio yao.....this song is afropop...hata mavazi yanatakiwa ya kiafro pop...saa utavaaje mavazi ya ki brooklyn kwa nymbo ya afro pop km hii....King kiba keep da good music alive

    • @karoljohn3499
      @karoljohn3499 9 років тому

      Mm ni shabiki mkubwa sana Wa mziki Wa Kiba but kusema ukweli kutamfanya asonge mbele...unaweza sema video imechukuliwa Kwa nataka sana...kama ilizidi siku moja siamin...hata editing haikufanywa ipasavyo...lakin polepole tutafika ni changamoto tu hizo.

    • @linaarnold9501
      @linaarnold9501 9 років тому

      Video nzuri sana mazingira mazuri....good quality I salute u!!! Na ukweli nyimbo zako hazichoshi kusikiliza

    • @shadrackalum2696
      @shadrackalum2696 9 років тому

      ahsante sana #justine kajala hiko ndo kitu nimekuja kukigundua baada ya kuicheki video mara kama ya saba hivi maana nimeiangalia mara nyinginyingi kutokana na maneno ya mashabiki pinzani kudai kwamba ni mbovu
      wanaponda sana location na mavazi aliyovaa kiba hivi vitu viwili havijakosewa hata kidogo vimeendana ila kuna tu mambo tudogo sana amabato ni twa kupitiwa (actions tu) ndo sijazifurahia kidogo na video haijachangamka kama nyimbo ilivyochangamka ...ila ni nzuri hayo mambo madogomadogo hata akina jay z wanakoseaga
      video ni tamu sana hongera mkuu @alikiba

    • @howardbillionaire
      @howardbillionaire 9 років тому

      Justin Kazaula ww ndo unajuwa

    • @abigailkighombe1960
      @abigailkighombe1960 9 років тому

      exactly
      na ndio kavaa ki Afro

  • @mukizaisaya6659
    @mukizaisaya6659 4 роки тому +19

    Kama bado unaangalia hili goma 2020 tunapoelekea kumrudisha jemedari wetu raisi magufuri madarakani tujuane

  • @hananjm5023
    @hananjm5023 8 років тому +297

    Love alikiba one love africa from Ethiopia ❤️

  • @vickycyrille559
    @vickycyrille559 9 років тому +4

    Huy msanii mkubwa wa bongo mbn nyimbo na video zake zinahit ndan ya week tu zinapotea na kusahaulika kbs lkn ali kiba zinaendelea kutikisa miaka yote tupunguze kurudishan nyuma na mung hamnyimi anae tafut na dai ana video nzuri kumzid eddy kenzo lkn hajawah pat tunzo za BET mbn eddy kapat jamn tumpongez anapofany vzr me cna team ni mtazamo wang mbay ucangalie wal kumalza mb zak

  • @salimhashim558
    @salimhashim558 5 років тому +38

    2019 na bado Alikiba ndiye mkali wao onelove from Mombasa gonga like 👍

    • @kayduah3386
      @kayduah3386 4 роки тому

      ua-cam.com/video/0WZV4oTTxvU/v-deo.html. ..

  • @michaeln7255
    @michaeln7255 9 років тому +29

    I've NEVER tried comment on social media but I couldn't hold myself back from saying this is the MOST amazing piece of work I've seen...I love everything in it!!! EXCELENTE AMIGO

  • @khadijaally1443
    @khadijaally1443 9 років тому +60

    jamani jamani jamani hebu check his vedio from the start has anyone ever made a vedio like this hapo mwanzo ni kama watu wame stuck hawa move wala nini this is very creative ambaye anasema vedio ni mbaya atoe yake then tutoe marks bt all in all this was very creative kiba big up keep on moving haters will always hate
    TEAM KIBA FOR LIFE ur the best bro

    • @mauraayoub5348
      @mauraayoub5348 9 років тому +3

      Safi😘

    • @zaneshkhan8233
      @zaneshkhan8233 9 років тому +2

      Yah his the best😘😘😘😘😘😘😘😘😍

    • @prossephinajohn3531
      @prossephinajohn3531 9 років тому +2

      Ni Kwel Kbsa Video Imetulia San Hii....✌✌✌✌✌✌

    • @khadijaally1443
      @khadijaally1443 9 років тому +3

      Ben Mtweve aangalia vedio the guy anaongea na watu but the peopple are stuck anawaambia jamaani mi nataka saule bt anashaangaa peolpple wako quite then anampata huyo dem hapo hebu jaribu ku relate hyo stry hapo mwanzo

    • @alicemuturi5449
      @alicemuturi5449 9 років тому +4

      Ben Mtweve usidhani yenye unadhani itakuwa.. kama ikiwepo. hakuna ubunifu. This video iko ha hidden theme, you have to dig deeper to understand , saying concept. ikakuwa wewe huelewi, he did what all of you never expected. hii ndio tunaita creativity.. big up.. and the dressing code, OMG i love all the African them, everything iko juu sana. its brings joy to see how he appreciate the real Africans, the dressing code. the life style. have no words to express my love for this video, kama hujaielewa vizuli.. wacha nitakuchambulia toka mwanzo hadi mwisho. i love everything.. we have to appreciate our self. big up man.

  • @chrissenga8735
    @chrissenga8735 4 роки тому +13

    Alikiba merci beaucoup pour cette merveilleuse chanson!! Your biggest fan from Congo DRC

  • @jacquelinemakomere2316
    @jacquelinemakomere2316 8 років тому +19

    nikugeuze princess sema nini unataka. I luv nomaa

  • @abdulyahya9614
    @abdulyahya9614 4 роки тому +23

    5 years old song but comments had written 1 day ago. This is what every singer and artist wants to reach I think.

  • @firstyearstes5833
    @firstyearstes5833 4 роки тому +28

    I adore alikiba so much. I remember that he is the only artist that i knew from TZD a decade ago. unfortunately i don't know any swahili but i still rock his music

  • @bidaarle
    @bidaarle 8 років тому +350

    Tanzanian artistry in swahili literature never ceases to amaze. This is just pure poetry in its true form. 👍

    • @Walter-ys8mi
      @Walter-ys8mi 4 роки тому +6

      🥰

    • @alyshachannel579
      @alyshachannel579 4 роки тому +7

      Oh my God you just made me love this song more, I understand a little swahili 🥰

    • @bidaarle
      @bidaarle 4 роки тому +5

      @@alyshachannel579 you should learn more. It's a beautiful language.

    • @DielaAlbert
      @DielaAlbert 4 роки тому +3

      Ceases*

    • @theeconomist2962
      @theeconomist2962 4 роки тому +5

      This guy is real👌

  • @dennisndire7048
    @dennisndire7048 8 років тому +63

    I love alikiba songs

  • @jovianlimestone7220
    @jovianlimestone7220 Рік тому +2

    Kingkiba 2023

  • @ahmedbarwani8521
    @ahmedbarwani8521 7 років тому +27

    Man doesnt even speak swahili and i memorized the song

  • @salesclavery1644
    @salesclavery1644 9 років тому +6

    Ukimfananisha Diamond na Alikiba unakosea maana Diamond yeye anaiga mziki wa Nigeria halafu Alikiba yeye anafanya real Bongo fleva that's why mnakuwa mnaona utofauti ila ukiacha mambo ya kumfananisha Alikiba na Diamond, kiukweli video ya Alikiba ni nzuri mno na imezingatia utamaduni wa Bongo fleva na wa kiafrika

  • @warrensantana1570
    @warrensantana1570 3 роки тому +2

    Wimbo wa kwamza Mimi kuutazama kwenye You tube ulikuwa huu wakati nilikuwa shabiki mkubwa wa Ali Kiba,,nilitoka mbio hadi Cyber nikalipa kuutazama huu wimbio ulipotoka,,niliipenda Sana hi ngoma kutoka kwa Ali Kiba

  • @josephkahinga8426
    @josephkahinga8426 2 роки тому +6

    2022 bado kana unaskiza...sema unaskiza ukiwa wapi ..Nairobi kenyaaaa

  • @SerenakaremboDzombo
    @SerenakaremboDzombo Рік тому +5

    Wale wa king 2023 likes apa❤❤❤

  • @marinambila7619
    @marinambila7619 4 роки тому +2

    Uko na yimba bien kabisa

  • @cleodontina1
    @cleodontina1 8 років тому +112

    Can't understand a single word but totally love this song! Other than Little girl's a princess and blue lights ;0)

    • @elshushu389
      @elshushu389 8 років тому +2

      He is complementing abt his love

    • @elshushu389
      @elshushu389 8 років тому +3

      his crazy in love

    • @ARi-gp3cm
      @ARi-gp3cm 8 років тому +12

      In other words..."tell me what you want" and I give it to you as am so in love with you....

    • @shock-l8652
      @shock-l8652 8 років тому +10

      XD you need to learn kiswahili more

    • @fazmohamed5096
      @fazmohamed5096 7 років тому +2

      cleodontina1 bjjkkk🌻☀🔌🔋🔋🔋🔌🔋

  • @jacksonshiling8956
    @jacksonshiling8956 3 роки тому +6

    Sina maneno mengi 2021 bado inanoga

  • @WiillkaSiinka
    @WiillkaSiinka 4 роки тому +17

    The greatest Tanzanian Singer
    ali Kiba 🇹🇿 old is gold but i am from Somalia 🇸🇴🇸🇴 i support him Ali Kiba 👏

    • @NimoHelsi
      @NimoHelsi 9 місяців тому

      Me too Somalia loves you

  • @saidomar1060
    @saidomar1060 3 роки тому +7

    Nimerudi km ww umeangalia hii hadi leo 2021 basi nipe like yako

  • @veronm6
    @veronm6 8 років тому +205

    "Nita kupeda sana paka wivu utakimbia" Alikiba mob love from 254

  • @momosy9413
    @momosy9413 5 років тому +23

    2019! This song can make u spend all your 💰.. I will Mary a gal from this country. I promise.. Ivory Coast💪💪💪

  • @kabebe111dilowati3
    @kabebe111dilowati3 3 роки тому +9

    Happy birthday alikiba 🥳

  • @jayvannyke9173
    @jayvannyke9173 3 роки тому +6

    baba wewe ni mukali wao

  • @MintedSafari
    @MintedSafari 19 днів тому +2

    254 Tupo ndaaani kabisa
    Tupitiane tu-grow pamoja 🙏

  • @DAVVOful
    @DAVVOful 8 років тому +108

    this man his music will never die

  • @Stephenjimase
    @Stephenjimase 7 місяців тому +3

    The vocals jamani!

  • @Chalesodhiambo
    @Chalesodhiambo 10 місяців тому +5

    from kenya bado nampenda Alikiba coz his songs never get old

  • @dohaqatar7595
    @dohaqatar7595 4 роки тому +6

    Atabaki kuwa king cku zote

  • @lutusammid571
    @lutusammid571 6 років тому +31

    Who is here again 2018?

  • @jellyfish2568
    @jellyfish2568 8 років тому +27

    my family is jamming to this song so hard right now!!! 😂😂😂😃 thank you Ali Kiba. 👌

  • @suroorAlafifi-ve8pk
    @suroorAlafifi-ve8pk Рік тому +8

    Tanzania is pretty me hraet love u

  • @richardokech7520
    @richardokech7520 9 років тому +6

    Daaah 4 real dis video iko chini Sana na c kwa ubaya man....we lve de truth behind every Cni so my honmie kiba you have along way to go to reach where Diamond is.....huo ndo ukweli na views ndo zitasema ukweli endapo hii video itapata 1M views plus.....

    • @douglasshio4710
      @douglasshio4710 9 років тому +2

      Richard Otieno kweli kaka mi enyewe napenda sana ngoma zake ila hii video ally amenidisapont sana.

    • @mfasa5400
      @mfasa5400 9 років тому +5

      No one is in competition wt diamond...Kiba just got back to music and many are shaking already. U just sit and relax , just watch how kiba will be one of d best in Africa...He is naturally blessed wt good voice,and dis video is not like many videos we see,only d lame will dislike such a creative video

    • @spiderggurl1420
      @spiderggurl1420 9 років тому +1

      Richard Rayland sasa unaingalaizia kwenye techno ya elfu 70 unategemea iwe juu?? au kama unaingalizia kwenye hitachi ya tumbo unategemeaje??

    • @iddymachela4337
      @iddymachela4337 9 років тому

      ha ha ha ha haaaa

    • @dorothyanyango3325
      @dorothyanyango3325 9 років тому

      spiderg gurl Hahahaha

  • @FawazFarid
    @FawazFarid 7 років тому +19

    0:15 Mannequin Challenge before it was cool

  • @barikimkongwa370
    @barikimkongwa370 3 роки тому +3

    Wanaoangalia trh 30 mwez wa 12 ,2020 gonga like

  • @flyhigh9322
    @flyhigh9322 9 років тому +26

    Am just so proud to be African 😭😍

  • @straqsss
    @straqsss 4 роки тому +5

    Sema nini unataka💪

  • @iamamy802
    @iamamy802 5 років тому +16

    Anybody watching with me in 2019 l love his songs

  • @Rayan-em8zg
    @Rayan-em8zg 9 років тому +121

    beautiful words (mapenzi alinipa mama nami leo nakupatia)
    translation ( I'll give you the love my mother gave me)

  • @violetkhakasa8096
    @violetkhakasa8096 8 років тому +43

    nitakupenda sana mpaka wivu utakimbia wow lov it

  • @yussufmohd9881
    @yussufmohd9881 4 роки тому +6

    2020 like here

  • @miss_undercover21
    @miss_undercover21 4 роки тому +14

    I was just 11 when I useto listen to this song and now I'm 16 and still listening to it in 2020

  • @honestgroup2116
    @honestgroup2116 4 роки тому +5

    Bado inaishiiii

  • @lispamulenga817
    @lispamulenga817 2 роки тому +1

    Wonder, nakupenda king kiba. Nice song

  • @devidsumaye5353
    @devidsumaye5353 3 роки тому +3

    2021 tucheketue huu wimbo unaniumiza Sana wakati ulitoka nilimtembelea mpenz wangu mahali nilikuwa nauweka kila saa

  • @jizomontana1899
    @jizomontana1899 3 роки тому +5

    Nyimbo inaishi hiii

  • @_habibi
    @_habibi 2 роки тому +5

    Tena hatutaki lawama.....👑👑king kiba

  • @aishabigset
    @aishabigset 8 років тому +27

    KING KIBA 😘😘

  • @cassianandrewnyonyo2894
    @cassianandrewnyonyo2894 3 роки тому +5

    Salute nyingi kwa king kiba in 2021

  • @semuganzabicusulaiman2353
    @semuganzabicusulaiman2353 4 роки тому +4

    Love from Burundi

  • @mytelecom2019
    @mytelecom2019 9 років тому +5

    Video and audio vipo vizuri sana, watanzania mna matatizo ya akili sana star anapo toa audio tu mshaanza kupangia adi video itakavyo kuwa, u star auwendi kiivyo. Unataka wewe afanye video uuitakayo roho yako kweli kitu icho akiwezekani . video ichunguze ao iangaliye mara inne utaona maujanja ya ukweli yamo umo kwenye iyo video. Starb kama kenda ku shot inje siotu mpaka aoneshe magari mazuri, nyumba nzuri noo, vile vile kunatakiwa na ubunifu kama ulivyo kuwa katika iyo video ina mazingira ya ki africa. U team unawaaribu wa bongo pendeni vya kwenu.

    • @bongostream7477
      @bongostream7477 9 років тому +1

      maya amissi AN AMAZING VIDEO FROM AMAZING MUSICIAN DONE BY AMAZING DIRECTOR TO THE AMAZING WORLD WIDE FANS WHO LOVE GOOD STUFF
      -Concept
      -Idea
      -Clothes
      -Effects/Color
      -Location
      -Timing shot
      THIS VIDEO IS GOING TO BE SOMETHING FOR THE ENTIRE TIME "REALLY"
      -Local and inter AWARDS
      -Local and inter COLLABORATIONS
      -Local and inter DOWNLOADS & VIEWS
      -Local and Inter INTERVIEWS
      -Local and inter SHOWS
      -Local and inter RESPECT, STATUS & RECOGNITION
      NB:Take my words u will use as reference when times come...
      VIDEO NZURI KUTOKA KWA MWANAMZIKI MZURI ILIYOFANYWA NA DIRECTOR MZURI KWA WATU WAZURI/MASHABIKI ULIMWENGUNI WAPENDAO VITU VIZURI
      -Maudhui
      -Wazo
      -Mavazi
      -Michanganyo/Rangi
      -Eneo
      -Uchezaji na muda picha
      HII VIDEO ITAKUJAKUA KITU FULANI KWA MUDA MREFU "UKWELI"
      -Nyumbani na nje itapata TUZO
      -Nyumbani na nje itapata KUSHIRIKIANA
      -Nyumbani na nje ita PAKULIWA & KUANGALIWA
      -Nyumbani na nje itapata MAHOJIANO
      -Nyumbani na nje itapata MATAMASHA
      -Nyumbani na nje itapata/atapata HESHIMA,WAJIHI & UTAMBUZI
      MHM:Amini maneno yangu utanilinganisha muda utakapo fika ...

    • @salumushimbi4369
      @salumushimbi4369 9 років тому +1

      Kiukweli video n nzuri,sema wabongo mnakalili,Anglia video ya psquare(shekinin) hadi ndoo imegeuzwa ngoma,

    • @mytelecom2019
      @mytelecom2019 9 років тому +1

      Salumu Shimbi kweli kabisa unalo sema, wabongo mda mungine uwa wanashusha vipaji vya ma star wao bila kujuwa.

    • @hindumussa9057
      @hindumussa9057 9 років тому +1

      Kibaaaaaaaaaaa😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍

    • @mytelecom2019
      @mytelecom2019 9 років тому +1

      Bongo Stream Umeongea ukweli mkuu video ipo tayari saaaaaaaaaaaana

  • @oswardnelson4205
    @oswardnelson4205 3 роки тому +3

    2021 tunaingia nayo hii

  • @dafleofficial9155
    @dafleofficial9155 Рік тому +4

    Takataka sanana🦅🦅🦅🔫🔫🔫🏁

  • @fullangenge
    @fullangenge 8 років тому +128

    Why the fuck are this Tanzanian guyz shooting this beautiful songs in South Africa, this video would be better if it would have been shot somewhere in Dar or Zanzibar with beautiful Tanzanian women in lesos dancing chakacha. Song 10/10 video 0/10 just for being shot in SA

    • @NalediOdhiambo
      @NalediOdhiambo 8 років тому

      I totally agree...

    • @sylviakanguhi2439
      @sylviakanguhi2439 8 років тому

      Yeah always. ...South Africa i don't understand. ...y not thiz other countries. . agree with u.....

    • @hubertcheyo6802
      @hubertcheyo6802 8 років тому +3

      wanawake hawawezi hata kuchekechua si angewachukua ata wakina asha ngedare wa dar

    • @ibrahimamoha5826
      @ibrahimamoha5826 8 років тому +4

      +Fidel Juma hapo umedinya point

    • @pollylazmartins9690
      @pollylazmartins9690 8 років тому +1

      y always pia s.a tz kuzuri pia

  • @shock-l8652
    @shock-l8652 8 років тому +13

    3m viewers na 60k subs lol

  • @ruthwanjohi6926
    @ruthwanjohi6926 3 роки тому +4

    Wewe ni fundi🥺🥺❤️❤️❤️❤️🙌🙌🙌