Mama yetu aliangalie hili mtu anasota mda wote huo alfu anarud mitaani bila kupata ajira leo na kesho utasikia kawa mwizi asilaumiwe jaman kwani maisha yanasumbua sana tena kwa wanaoanza sijui
Hilo halipingiki kabisa, anaweza akaja mtu na fedha zake za ajabu akawaajiri kwa nia ovu, sijui kama watasita toka hawana salary, umakini usio wa kawaida unahitajika ku address that issue
😍 dang nomasana naomba Kama kuna uwezekani Wa kutupia hata pichaa afande kombaa za combania c coy b co e na a
Utii, Nidhamu, Heshima na Uzalendo kwa Taifa letu pendwa. Hongereni sana wazalendo.
Vijanaaaa Vijanaaa Vijanaaa Tayariiiii, kulitumikia Taifaaaaaaaa Taifaaaaaaaa Tanzaniaaaaaaaaa
Mama yetu aliangalie hili mtu anasota mda wote huo alfu anarud mitaani bila kupata ajira leo na kesho utasikia kawa mwizi asilaumiwe jaman kwani maisha yanasumbua sana tena kwa wanaoanza sijui
Hilo halipingiki kabisa, anaweza akaja mtu na fedha zake za ajabu akawaajiri kwa nia ovu, sijui kama watasita toka hawana salary, umakini usio wa kawaida unahitajika ku address that issue
Stosahau
Op kambarageee tenaa
Wanatisha na wapo vizuri kweli
We did it better💪
For sure, Big up