Kibali million 2 kwa miaka mingapi wacheni kunyanyasa wanyonge wanaitowa wapi pesa hiyo munataka kutajirika kwa migongo ya wenzenu munawatia watu hasira m/mungu hatowaacha salama
Hivi vitu vinavyofanywa ndio munapelekea wananchi kukichukia chama na viongozi wake kuweni makini na munachokifanya si mungewadai tu hizo garama za kibali kuliko kuwatia umasikini hali ngumu hii wanakwenda wapi na watt wao ,halmashauri ni serikali pia mama awatumbue wahusika wote
Daaa poleni saaana
Viwanja vilivyopimwa , vina HATI , vipo Mlandizi , karibuni mpate makazi ya kudumu .
Kibali million 2 kwa miaka mingapi wacheni kunyanyasa wanyonge wanaitowa wapi pesa hiyo munataka kutajirika kwa migongo ya wenzenu munawatia watu hasira m/mungu hatowaacha salama
Hivi vitu vinavyofanywa ndio munapelekea wananchi kukichukia chama na viongozi wake kuweni makini na munachokifanya si mungewadai tu hizo garama za kibali kuliko kuwatia umasikini hali ngumu hii wanakwenda wapi na watt wao ,halmashauri ni serikali pia mama awatumbue wahusika wote
Tunaomba uje na kwetu Kaka sisi tumevunjiwa na almashauri alafu viwanja sasahivi wanauzia watu wengine
Piga 0623646958