Lakini wachambuzi mnasahu yanga hii hii ndio iliyokaribia kiitoa mamelodi. Na pia kufungwa 2/1na wajerumani. Sasa msiseme kaizer vibonde. Ikaonekana yanga haijafanya kitu lazima tujikubali. Wangefungwa mngeliwasifu kaizer na kuiponda yanga
Aiseeeee YANGA tumefika mbali sana jamani 😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪. Kma kuna kitu nimefanikiwa kwa mpira wa 🇹🇿 ni kuishabikia YANGA 😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚. Ni machozi ya furaha haya 😪😪😪😪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hivi Yanga ingefungwa na K/Chiefs mngesema Yanga kafungwa na timu dhaifu? Au ndo ile kauli ya nabii hana sifa kwao? Mashabiki wa nje wanaielewa yanga kuliko wenyeji.
Hamjasema jinsi ambavyo baadhi ya key players kama akina Pacome Chama etc walikuwa nje!
Lakini wachambuzi mnasahu yanga hii hii ndio iliyokaribia kiitoa mamelodi. Na pia kufungwa 2/1na wajerumani. Sasa msiseme kaizer vibonde. Ikaonekana yanga haijafanya kitu lazima tujikubali. Wangefungwa mngeliwasifu kaizer na kuiponda yanga
Aiseeeee YANGA tumefika mbali sana jamani 😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪. Kma kuna kitu nimefanikiwa kwa mpira wa 🇹🇿 ni kuishabikia YANGA 😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚. Ni machozi ya furaha haya 😪😪😪😪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
WACHAMBUZI WA MCHONGO KWAHIYO KAIZER CHIEFS ILIVYOMPIGA SIMBA 4-0 ILIKUWA MBOVU??AU IMEONEKANA MBOVU BAADA YA KUCHEZA NA YANGA ??
What are you talking about? How long between those two matches
Simba ilifungwa tano nayo ilikuwa ni timu dhaifu?kwanini hamtaki kuwapa credit zao yanga Africa
Ni ubora wa kikosi cha klabu ya yanga.
Hivi Yanga ingefungwa na K/Chiefs mngesema Yanga kafungwa na timu dhaifu? Au ndo ile kauli ya nabii hana sifa kwao? Mashabiki wa nje wanaielewa yanga kuliko wenyeji.
Wewe mchambuzi ni wa hovyo sana umetumia kipimo gani kusema kaiza ni zaifu,ulitaka matokeo yapi ili uappriciate ubora wa yanga
Kaizar chief, wenyewe wanasema timu Yao ni dhaifu
Hamuwezi kulaa mb za ngu KWA kuto uheshimu MPIRA na timu yangu ya Yanga
Tarehe 8 ndio mtajua km keizer wa miaka 4 nyuma ndio wale
Huyo mtangazaji ni fala sana eti Nabi ana siku 6 tu! Halijui kama Nabi ana wiki ya tatu sasa!
YAANI WAANDISHI BWANA ETI?KAIZER CHIEF INAJITAFUTA,UKIISEMA SIMBA HAWASEMI INAJITAFUTA?
Tutawafunga Simba ili wayaone madhaifu yao mapema,watasema Simba dhaifu au wameuza mechi
YANGA NI TIMU BORA SANA. NINGUMU KUKUBALI HILI LAKINI NDIO UKWELI
Mimi nilikuwa naomba iyotimu iliocheza na yanga wanasema zaifu naomba Simba wawalike Simba day nasimba siinatengeza timu hapa hakunakisingizio chatimu zaifu kwasababu kilamtu kasajili nakilamtu yukoligi kuu Sasa mtasemaje zaifu kilatimu ikicheza na yanga nizaifu Sasa wamefata Nini ligikuu unajuwa nashindwa kushaa ukifungwa umefungwa tu usijitetee kwa uzaifu usingecheza ligikuu zaifu wote wameshuka daraja
WACHAMBUZI WA SIMBA BWANA, MMESAHAU KWAMBA HATA SIMBA ILIPIGWA TANO? NYIE JIPENI MOYO TU.
Nyie jizimeni data tu, wote mtakuwa wadhaifu kwa Yangu hii! Mtapigwa kama ngoma kuldadedikooo
Hyu oruma ni mchambuzi ramli tu 😅😅😅😅
MBONA MNAISIFIA SIMBA WAKATI INAJITAFUTA???