Chanzo Cha Imani yangu,uishi milele Jasusi la Mbinguni,Dude la Mbinguni Bwana akutende mema wakati wote pamoja na uzao wako,unamuwakilisha christo vyema,no one like u Jasusi la Mbinguni,najiona mwenye Neeema isiyo yakawaida kupata mafundisho yako, asante Yesu kwakutupatia zawadi hii🙏🙏🙏
Kwa kweli baba yangu. MUNGU Akubariki, unajua mahubiri yako inanisaidiaka Sana, wakati naitia ki matendo hakika napata majibu. Karibu kwetu BUKAVU Drc. Amena.
Hayo mafundisho nayakubali, ni mazuri sana ubarikiwe sana
Chanzo Cha Imani yangu,uishi milele Jasusi la Mbinguni,Dude la Mbinguni Bwana akutende mema wakati wote pamoja na uzao wako,unamuwakilisha christo vyema,no one like u Jasusi la Mbinguni,najiona mwenye Neeema isiyo yakawaida kupata mafundisho yako, asante Yesu kwakutupatia zawadi hii🙏🙏🙏
Namkubali sana huyu Askofu anamaono makubwa
Ameen Mungu azidi kukutunza mtumishi wa Bwana.
thank you pastor gwajima for heaven education
Kwa kweli baba yangu. MUNGU Akubariki, unajua mahubiri yako inanisaidiaka Sana, wakati naitia ki matendo hakika napata majibu. Karibu kwetu BUKAVU Drc. Amena.
Wewe ni zaidi ya ufunuo wamaisha yangu,🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nashukuru sana umenipigisha hatu kubwa sana baba yangu
Umefunua siri nzito sana, uko deep sana Bishop
The best Bishop in the world. kweli kuna nguvu ya rohoni inay
ofanya kazi mwilini nabarikiwa na some hili.
Ameeen..Injili hii is very strong. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu .
Baba maneno yako ni dhahabu kwa atakaye yaelewa na kuyatenda nafurahi uwepo wako kwangu.
Strong very strong subject 💪..GOD should keep using you as his vessel.
Baba , naomba uchemke Kama mwanzo , warudi misukule,majeneza yafumuke, , dunia itikisike
Amen amen 🙏 baba
Be blessed
mim ni mtoto wako sana.
ni mwanao mno.
umenilea sana Ht km hujui.
nakupenda baba sana
you are to strong man of God
Amina kubwa Baba
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Ameeeeeeeeeeen nimekuelewa baba
BABA unibariki
Amen baba
Umeongea kwa hekima tumekuelewa sana ni saa ya ufunuo na uzima
Hii ni saa ya ufufuo na uzima Duniani
He he he nimeelewa Sasa mtumishi wa MUUMBA aliye ndani yako pia Yuko ndani yangu
Amen Amen Amen
EMEN EMEN DADY
Naona sasa umehamua kutumwagia siri zote
Somo hili limenivusha mahari pakubwa mno
Amen 🙏
Ameeen
True
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🦶🏼
Jasusi la mbinguni
Somo zur sana
Tuombe Mungu wetu false amani
Amen🇰🇪
Nakukubar nabii
Karbunjombee
Hellow people of God...