UFANYE NINI ILI UITIMIZE HATIMA ALIYOKUPANGIA MUNGU KWENYE MAISHA YAKO? | ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA
Вставка
- Опубліковано 3 чер 2024
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Amen, wewe ni baraka kwangu nikiwa kenya
This one has really taught me.. may God keep you
Penda sana mafundisho Haya God bless you bishop gwajima
Ntatafta no yake nisaidie
From kenya following
Ameeeee
Mimi. Nataka nipate neema nimuone live. Namuona akiwa mkuu mahali pa juu sana
AMEEN AMEEN NAPOKEA KWA JINA LA YESU 🤲🏻🤲🏻🤲🏻🙌🙌
Uzidi kubarikiwa mtumishi wa BWANA
Amen Baba nakuerewa Sana barikiwa
Glory be to GOD of Israel
Ameeen
Mungu akubari imani yangu umeijenga
Amina sana najihiasimshindi
Wewe ni zawadi ya kanisa bishop Gwajima
God bless you much for cute words which edifying soul and heart
Amen
Maono mazuri hatma ya mtu imepangwa na MUNGU.
Amen
Nobody can stop my destiny
Kila mmaleki anayepinga hatima yangu katika njina la yesu avutwe kutoka kwa uso wa Dunia this the prayer of this week
Nawafuta katika uso wa nchi katikaaa njina layesu
Following from kenya..
Kitabu gani mchunganji alisema ?
Real blessed
Sina hata la kusema jamani gwajima amenifungua MUNGU akubaliki
Amen baba yangu
Haleluya 🔥 🔥 ❤
My lovely dady, I love you so much.nimeshinda vita kupitia neno lako.
Powerful
Mungu akutunze mtumishi wake! Tunapona na zaidi ya kupona
Woooow
Amen .
He is my father. Tangu nilipomfahamu Askofu Gwajima, na nilipoanza kuwa mwanae, maisha yangu yamendelea kubadilika na kuwa maisha chanya.
Mapungufu yangu yamekuwa yakipungua siku hadi siku ninapojifunza Neno la Mungu kupitia mtumishi wake, na nitafikia pale Mungu aliponipangia niwe.
Amen
Umebarikiwa kukua na askofi anayeona bali
Pastor, unafundisha vizuri sana. Namtukuza Mungu kwa ajili yako.
Lord Rothschild wa Uingereza wamesema yeye na wenzie waliunda taifa la Israel.
Na ni wazi kuwa Israeli siyo taifa la MUNGU tena baada ya Mafunuo ya Yesu Kristu.
Je huoni kuwa kwa kuwa ona Israel kuwa taifa teule la MUNGU ni kumpinga Kristo ambaye ndiye utimilifu wa election?
Kwa ufahamu wako tu wa kawaida, unahisi taifa la kutengenezwa tu na kikundi cha watu, linaweza kushinda nchi 7 kivita ndani ya siku 7 tu?
TUMIA TU AKILI YA KAWAIDA KAMA YA KIROHO INAGOMA
@@kabigumila,, nahitaji kujifunza toka kwa pastor. Swahili langu nila kisomi. Tunaita supercessionism. Hivyo nilitegemea atakuja kunijibu.
Mungu akutunze Mtumishi! Tunamuona Mungu akisema nasi kupitia wewe. Asante
Amen
Amen