Mhe.WAZIRI WA MAJI!. TUNAKUOMBA UTUSAIDIE WANA DSM. Wafanyakazi wa DAWASA wanaohusika ktk MTANDAO WA MAJI NA WASOMA MITA WOTE WABADILISHWE VITUO VYA KAZI. Utagundua mengi Mno kwa kufanya hayo MABORESHO, Ninawakilisha●
Yaani huyu Eliza hakuna kitu. Hata hapo ameshindwa kumuomba msamaha hata Waziri, Katibu Mkuu na Wananchi waliopo hapo. Kasimama tu na suruali yake kama Boss.😂😂😂
Usimuhukumu bila kujua undani wa jambo lenyewe. Wanasiasa wanajua kujiosha mbele ya wananchi. Amesema aliomba bomba muda mrefu kwa nini zimetoka wakati wa ziara ya waziri? Pia si Kibamba tu, ni maeneo mengi hapa nchini kwa upande wa sekta ya maji hawapewi hela za kutosha na kwa wakati. Juzi tu mlisikia bungeni wakandarasi wa miradi ya maji wanadai zaidi ya 400B. Jiulize bajeti ya wizara ya maji iliyopitishwa inatosheleza kwa kiasi gani? Acheni kutoa hukumu kirahisi hivyo.
Njia panda ya makabe kwa fungo wamefunga bomba usiku yanamwagika barabarani lakini majumbani mabomba hayana maji yameota kutu huku mitaa ya nyota njema
Mhe.WAZIRI WA MAJI!.
TUNAKUOMBA UTUSAIDIE WANA DSM. Wafanyakazi wa DAWASA wanaohusika ktk MTANDAO WA MAJI NA WASOMA MITA WOTE WABADILISHWE VITUO VYA KAZI.
Utagundua mengi Mno kwa kufanya hayo MABORESHO,
Ninawakilisha●
Eliza Au alikua anachukua na Mabwana wa wateja wake...!?😅.
😂😂
Eliza unajisiakiaje wanawake wenzio wanapokukataa na kukuzomea kiasi hiko na maneno machafu wanayokutolea,badilika acha usanii kazini
Duuh yaani ni aibu mno
Watendaji hawa hawanaga aibu mmesimama hapo mnazomewa hata hamtishiki
Yaani huyu Eliza hakuna kitu. Hata hapo ameshindwa kumuomba msamaha hata Waziri, Katibu Mkuu na Wananchi waliopo hapo. Kasimama tu na suruali yake kama Boss.😂😂😂
Usimuhukumu bila kujua undani wa jambo lenyewe. Wanasiasa wanajua kujiosha mbele ya wananchi. Amesema aliomba bomba muda mrefu kwa nini zimetoka wakati wa ziara ya waziri? Pia si Kibamba tu, ni maeneo mengi hapa nchini kwa upande wa sekta ya maji hawapewi hela za kutosha na kwa wakati. Juzi tu mlisikia bungeni wakandarasi wa miradi ya maji wanadai zaidi ya 400B. Jiulize bajeti ya wizara ya maji iliyopitishwa inatosheleza kwa kiasi gani? Acheni kutoa hukumu kirahisi hivyo.
Waziri afanya maamuzi ya kuwatumbua, lakini isiwe ni kwenye mtandao tu kinyume chake wanabadilishiwa vituo. Katika Hali ya kulindana
Segerea leo siku ya tatu hatuna maji. Why
Leo ni kwahao watumishi wadogo lkn for future is for the whole gvt.
Hivi lakini kwanini hawa watendaji baadhi yao wanakwisha sana maendeleo?! Tatizo ni nini hasa?
hii hata mimi ningekuwepo ningeenda kutoa ushahidi ,kwangu pale maji yanamwagika over three months hawafungi.
Hv wasaf huwa mnarecodia simu ya tecno au 😂😂😂😂
😅😅😅😅
Sisi Maramba Kwa tesha huku tuna mwaka majumbani kwetu maji hayajawahi kutoka tunafta maji kwembe na kwingne
Njia panda ya makabe kwa fungo wamefunga bomba usiku yanamwagika barabarani lakini majumbani mabomba hayana maji yameota kutu huku mitaa ya nyota njema
Daah kuleni lakini msijisahu jamanii na wananchi tukumbukeni hususan jambo la msingi kama hili la maji
Wanyooshe
watendaji watendaji. TUNAIANGUSHA NCHI SANA
Mabomba yameletwa baada kuona mh Waziri amekuja😂
Umepiga kwenye
Wanatabia ya kujisahawu hatahapa bbt yupo?
kosa sio lake kaonewa
Wazaramo Bana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti hakua ivo
Njoo nakahama
Huyu dada kaja kuharibu hahahaha
Safi waziri
😢😢😢😢
Tumbua
Huyo anaonekana hawezi kazi
Huyu anaamishwa tu hii ni kampeni ya uchaguzi