AWESO AMTUMBUA MENEJA WA DAWASA KIBAMBA, AMBANANISHA MBELE YA WANANCHI "WEWE TUNAONDOKA WOTE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 32

  • @africaonechannel1289
    @africaonechannel1289 3 місяці тому +4

    Mhe.WAZIRI WA MAJI!.
    TUNAKUOMBA UTUSAIDIE WANA DSM. Wafanyakazi wa DAWASA wanaohusika ktk MTANDAO WA MAJI NA WASOMA MITA WOTE WABADILISHWE VITUO VYA KAZI.
    Utagundua mengi Mno kwa kufanya hayo MABORESHO,
    Ninawakilisha●

  • @mvullamanase
    @mvullamanase 3 місяці тому +4

    Eliza Au alikua anachukua na Mabwana wa wateja wake...!?😅.

  • @RoydaspityKobero-jq9cm
    @RoydaspityKobero-jq9cm 3 місяці тому +2

    Eliza unajisiakiaje wanawake wenzio wanapokukataa na kukuzomea kiasi hiko na maneno machafu wanayokutolea,badilika acha usanii kazini

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 2 місяці тому

    Watendaji hawa hawanaga aibu mmesimama hapo mnazomewa hata hamtishiki

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 3 місяці тому +1

    Yaani huyu Eliza hakuna kitu. Hata hapo ameshindwa kumuomba msamaha hata Waziri, Katibu Mkuu na Wananchi waliopo hapo. Kasimama tu na suruali yake kama Boss.😂😂😂

    • @johannesishengoma1232
      @johannesishengoma1232 3 місяці тому

      Usimuhukumu bila kujua undani wa jambo lenyewe. Wanasiasa wanajua kujiosha mbele ya wananchi. Amesema aliomba bomba muda mrefu kwa nini zimetoka wakati wa ziara ya waziri? Pia si Kibamba tu, ni maeneo mengi hapa nchini kwa upande wa sekta ya maji hawapewi hela za kutosha na kwa wakati. Juzi tu mlisikia bungeni wakandarasi wa miradi ya maji wanadai zaidi ya 400B. Jiulize bajeti ya wizara ya maji iliyopitishwa inatosheleza kwa kiasi gani? Acheni kutoa hukumu kirahisi hivyo.

  • @2003hintay
    @2003hintay 2 місяці тому

    Waziri afanya maamuzi ya kuwatumbua, lakini isiwe ni kwenye mtandao tu kinyume chake wanabadilishiwa vituo. Katika Hali ya kulindana

  • @germanasondoka9057
    @germanasondoka9057 3 місяці тому +1

    Segerea leo siku ya tatu hatuna maji. Why

  • @claverymayango8288
    @claverymayango8288 2 місяці тому

    Leo ni kwahao watumishi wadogo lkn for future is for the whole gvt.

  • @Zaburi-
    @Zaburi- 3 місяці тому +1

    Hivi lakini kwanini hawa watendaji baadhi yao wanakwisha sana maendeleo?! Tatizo ni nini hasa?

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 3 місяці тому

      hii hata mimi ningekuwepo ningeenda kutoa ushahidi ,kwangu pale maji yanamwagika over three months hawafungi.

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 2 місяці тому

    Hv wasaf huwa mnarecodia simu ya tecno au 😂😂😂😂

    • @Soudbako
      @Soudbako 2 місяці тому

      😅😅😅😅

  • @careemissa2502
    @careemissa2502 3 місяці тому

    Sisi Maramba Kwa tesha huku tuna mwaka majumbani kwetu maji hayajawahi kutoka tunafta maji kwembe na kwingne

  • @aminamwashambwa6846
    @aminamwashambwa6846 3 місяці тому

    Njia panda ya makabe kwa fungo wamefunga bomba usiku yanamwagika barabarani lakini majumbani mabomba hayana maji yameota kutu huku mitaa ya nyota njema

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl 3 місяці тому

    Daah kuleni lakini msijisahu jamanii na wananchi tukumbukeni hususan jambo la msingi kama hili la maji

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 2 місяці тому +1

    Wanyooshe

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 3 місяці тому

    watendaji watendaji. TUNAIANGUSHA NCHI SANA

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc 3 місяці тому

    Mabomba yameletwa baada kuona mh Waziri amekuja😂

  • @nujakaluhende9428
    @nujakaluhende9428 3 місяці тому +1

    Umepiga kwenye

  • @Hussenskinyangaa
    @Hussenskinyangaa 3 місяці тому

    Wanatabia ya kujisahawu hatahapa bbt yupo?

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 3 місяці тому +1

    kosa sio lake kaonewa

  • @NuruNswebe
    @NuruNswebe 3 місяці тому

    Wazaramo Bana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti hakua ivo

  • @PeterZakaria-c7i
    @PeterZakaria-c7i 2 місяці тому

    Njoo nakahama

  • @AllyMtawa-n3h
    @AllyMtawa-n3h 3 місяці тому

    Huyu dada kaja kuharibu hahahaha

  • @DeborahSichone-b9c
    @DeborahSichone-b9c 2 місяці тому

    Safi waziri

  • @UdakuKingdom
    @UdakuKingdom 3 місяці тому

    😢😢😢😢

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 3 місяці тому

    Tumbua

  • @pastorygeorge3062
    @pastorygeorge3062 3 місяці тому +1

    Huyo anaonekana hawezi kazi

  • @SamiriHassan-dp9kn
    @SamiriHassan-dp9kn 2 місяці тому

    Huyu anaamishwa tu hii ni kampeni ya uchaguzi