AWESO AMTUMBUA MENEJA WA DAWASA KIBAMBA, AMBANANISHA MBELE YA WANANCHI "WEWE TUNAONDOKA WOTE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 34

  • @SaidCannal
    @SaidCannal Місяць тому

    Mh waziri..Aweso watumishi wa mamlaka ya maji mijini ni mzigo mzito kwa serikali na wananchi...wamegeuza mamlaka ni zao na wanafanya wapendavyo wao.mh waziri pole sana naomba uje manispaa ya morogoro na ufanye mkutano na wananchi ili usikie kero vizuri ukikaa na uongozi wa mamlaka watakudanganya

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 7 місяців тому +1

    Wanyooshe

  • @claverymayango8288
    @claverymayango8288 6 місяців тому

    Leo ni kwahao watumishi wadogo lkn for future is for the whole gvt.

  • @2003hintay
    @2003hintay 6 місяців тому

    Waziri afanya maamuzi ya kuwatumbua, lakini isiwe ni kwenye mtandao tu kinyume chake wanabadilishiwa vituo. Katika Hali ya kulindana

  • @DeborahSichone-b9c
    @DeborahSichone-b9c 7 місяців тому

    Safi waziri

  • @NuruNswebe
    @NuruNswebe 7 місяців тому

    Wazaramo Bana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti hakua ivo

  • @PeterZakaria-c7i
    @PeterZakaria-c7i 6 місяців тому

    Njoo nakahama

  • @africaonechannel1289
    @africaonechannel1289 7 місяців тому +4

    Mhe.WAZIRI WA MAJI!.
    TUNAKUOMBA UTUSAIDIE WANA DSM. Wafanyakazi wa DAWASA wanaohusika ktk MTANDAO WA MAJI NA WASOMA MITA WOTE WABADILISHWE VITUO VYA KAZI.
    Utagundua mengi Mno kwa kufanya hayo MABORESHO,
    Ninawakilisha●

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 7 місяців тому

    watendaji watendaji. TUNAIANGUSHA NCHI SANA

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 6 місяців тому

    Hv wasaf huwa mnarecodia simu ya tecno au 😂😂😂😂

    • @Soudbako
      @Soudbako 6 місяців тому

      😅😅😅😅

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl 7 місяців тому

    Daah kuleni lakini msijisahu jamanii na wananchi tukumbukeni hususan jambo la msingi kama hili la maji

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 7 місяців тому +1

    Yaani huyu Eliza hakuna kitu. Hata hapo ameshindwa kumuomba msamaha hata Waziri, Katibu Mkuu na Wananchi waliopo hapo. Kasimama tu na suruali yake kama Boss.😂😂😂

    • @johannesishengoma1232
      @johannesishengoma1232 7 місяців тому

      Usimuhukumu bila kujua undani wa jambo lenyewe. Wanasiasa wanajua kujiosha mbele ya wananchi. Amesema aliomba bomba muda mrefu kwa nini zimetoka wakati wa ziara ya waziri? Pia si Kibamba tu, ni maeneo mengi hapa nchini kwa upande wa sekta ya maji hawapewi hela za kutosha na kwa wakati. Juzi tu mlisikia bungeni wakandarasi wa miradi ya maji wanadai zaidi ya 400B. Jiulize bajeti ya wizara ya maji iliyopitishwa inatosheleza kwa kiasi gani? Acheni kutoa hukumu kirahisi hivyo.

  • @charles-lc4pp
    @charles-lc4pp 2 місяці тому

    kweliwatu wanafanyakazi kwa mazoea

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 6 місяців тому

    Watendaji hawa hawanaga aibu mmesimama hapo mnazomewa hata hamtishiki

  • @UdakuKingdom
    @UdakuKingdom 7 місяців тому

    😢😢😢😢

  • @RoydaspityKobero-jq9cm
    @RoydaspityKobero-jq9cm 7 місяців тому +2

    Eliza unajisiakiaje wanawake wenzio wanapokukataa na kukuzomea kiasi hiko na maneno machafu wanayokutolea,badilika acha usanii kazini

  • @AllyMtawa-n3h
    @AllyMtawa-n3h 7 місяців тому

    Huyu dada kaja kuharibu hahahaha

  • @mvullamanase
    @mvullamanase 7 місяців тому +4

    Eliza Au alikua anachukua na Mabwana wa wateja wake...!?😅.

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc 7 місяців тому

    Mabomba yameletwa baada kuona mh Waziri amekuja😂

  • @nujakaluhende9428
    @nujakaluhende9428 7 місяців тому +1

    Umepiga kwenye

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 7 місяців тому +1

    kosa sio lake kaonewa

  • @pastorygeorge3062
    @pastorygeorge3062 7 місяців тому +1

    Huyo anaonekana hawezi kazi

  • @germanasondoka9057
    @germanasondoka9057 7 місяців тому +1

    Segerea leo siku ya tatu hatuna maji. Why

  • @careemissa2502
    @careemissa2502 7 місяців тому

    Sisi Maramba Kwa tesha huku tuna mwaka majumbani kwetu maji hayajawahi kutoka tunafta maji kwembe na kwingne

  • @Hussenskinyangaa
    @Hussenskinyangaa 7 місяців тому

    Wanatabia ya kujisahawu hatahapa bbt yupo?

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 7 місяців тому

    Tumbua

  • @aminamwashambwa6846
    @aminamwashambwa6846 7 місяців тому

    Njia panda ya makabe kwa fungo wamefunga bomba usiku yanamwagika barabarani lakini majumbani mabomba hayana maji yameota kutu huku mitaa ya nyota njema

  • @Zaburi-
    @Zaburi- 7 місяців тому +1

    Hivi lakini kwanini hawa watendaji baadhi yao wanakwisha sana maendeleo?! Tatizo ni nini hasa?

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 7 місяців тому

      hii hata mimi ningekuwepo ningeenda kutoa ushahidi ,kwangu pale maji yanamwagika over three months hawafungi.

  • @SamiriHassan-dp9kn
    @SamiriHassan-dp9kn 6 місяців тому

    Huyu anaamishwa tu hii ni kampeni ya uchaguzi