Wazazi tuwalete na kuwatambulisha watoto nyumbani kwa ndugu zao siyo kupost mtandaoni.Mtoto hana mamlaka ya kumkataa ndugu yake halali kisa tamaa ya mali.
Huyu ni mwnmk km wanawake wengine,akizaa na mtu akalea mtoto peke yake zipo nyakat mtoto atataka kumjua baba yake,mtoto atakapokuja kukataliwa na ndugu zake wa kwa baba,atakuja kuelewa maumivu yake
Usikute hata huyo careni sio mtoto wake gadna ila huyo mwingine ambae ana jifanya hamjui ndio mtoto halali wa damu maana hata kimwonekano una ona kabisaa wana fanana sana na marehemu baba ake
Karen inabidi aachwe kwanza kwa kipindi hiki halafu afanyiwe interview maana kwa sasa yuko kwa mshtuko mkubwa kidogo,ila akikaa sawa kila kitu naimani itakaa POA!
Yan wwe mtto unalaana , hiv kama ni wwe unakanwa hivyo utajiskiaje. Roho mbaya umedekezwa sana ndiyo maana huna adabu, yan bila aibu unaongea eti unaikataa damu hadharani duu we kwel kiboko
Tena ushukuru mungu Kuna damu yenu ila baba nae alikosea alivyougua muda wote kwanini asiseme hata nikiondoka Kuna mtt wangu sehemu fulani
IPO siku utajua faida ya kuwa na ndugu
KarenKarenKaren ndo maana Umeenda kupandikiza mbegu nimejua kwanini😂
Huyo ndugu yako anafanana na baba yake kuliko wewe halafu yupo hamble na ni mrembo zaidi yako.
Kumbe we ni mjinga hivyo!
Wazazi tuwalete na kuwatambulisha watoto nyumbani kwa ndugu zao siyo kupost mtandaoni.Mtoto hana mamlaka ya kumkataa ndugu yake halali kisa tamaa ya mali.
😂😂😂
Hayo Mambo kweli Ni ya kifamilia,Tena wazazi. Caren atahusika baadae. Nilazima akatae.mitandao endeleeni na kazi.
Huyu ni mwnmk km wanawake wengine,akizaa na mtu akalea mtoto peke yake zipo nyakat mtoto atataka kumjua baba yake,mtoto atakapokuja kukataliwa na ndugu zake wa kwa baba,atakuja kuelewa maumivu yake
Dada ni mjinga sana kumbe
Uyu ni baba angu mimi akiludi amejitisha nitajuta mbna 😂😂😂😂😂
Duuuu jmnii Karen mchoyoo weeee khaaa
Mbinafsi sana pumbavuuuuu
wew acha ubinafus ujui leo wala kesho itakuw vp uyo ndugu yako
Basi inatosha kumtukana,tumwombee Mungu akuli ikitulia atakubali
Roooo mbayaaa iyooo
Dah nimejikuta naumia zaidi ya sana ila muda bado ipo siku utajua umuhimu wa dada au kaka
Selfishness!!!
Huna akili
Hyu atakuwa anawasiwas na hela za mzee ndio maana ataki ndgu maana uwez mkana ndugu yako
This is sad don't say that ata kama umepitia mapito gani KATUBUUU
Roho mbaya
Nimekuja kusikilizia interview baadae ya mirithi kukabidhiwa karen
Wee usiniambie kwaiyo yule mwingine ayupo 😮
Acha utopolo roho mbaya kusemaje yaan hadi useme hivyo
Usikute hata huyo careni sio mtoto wake gadna ila huyo mwingine ambae ana jifanya hamjui ndio mtoto halali wa damu maana hata kimwonekano una ona kabisaa wana fanana sana na marehemu baba ake
,Mmmh Ndugu yako unamkataa kabisaa kama wewe ndio mtoto pekee unakataa tena bila aibu mwenzio kafanana na Baba yake
Zinaa zinaa zinaa ni Hatari wote hao watoto ni haramu napia majina nlazima watumie yaamazao
Mwenye kaur hapo ni Baba mtoto ni mtoto2
Karen inabidi aachwe kwanza kwa kipindi hiki halafu afanyiwe interview maana kwa sasa yuko kwa mshtuko mkubwa kidogo,ila akikaa sawa kila kitu naimani itakaa POA!
Hata akimkataa haitaji msaada wala urithi ujinga tu
Mna mlazimish vp bint kawa mkubw hvy nd uletew ndg yko huyu hapa sku zote alikuw wap nd maan hata msiban akutajwa
Mzazi akishasema huyu ni ndugu yako wewe huwezi kupinga kisa kinachoaminika kikiwa mali.Binadamu tumekuwa wa ovyo kuweka mali mbele.
Sasa mlitaka asemaje amtamnui ndio
Emb gunduwa faida yandugu yako kabla ujachelewa
Roho mbaya tu .
Acha kumkataa ndug yako
Anafanana na baba yako sana kuriko weww
Wewe mbona umebeba mimba alafu umempelekea nayeye kakusikiliza kwanini wewe ukatae kumbe wewe sio mzima mjinga kabisa
Yan wwe mtto unalaana , hiv kama ni wwe unakanwa hivyo utajiskiaje. Roho mbaya umedekezwa sana ndiyo maana huna adabu, yan bila aibu unaongea eti unaikataa damu hadharani duu we kwel kiboko
Tena yule ndio copy na g sura Pana nk
Sasa ni Tabia gani hiyo,inaonesha amedekezwa mno..ndo maana majibu haya..mbona mwenzie alielezea vizur bila kuonesha kumdis🤣
Ni wivu, maana mwenzake Ni mrembo kuliko yeye.
😂😂😂nimerudi
@@user-ib2uf3uk2d😆😆 tupo wengi
Mchukueni nyie
mpuuzi shenzi wewe awakataagi ndugu na ulivo mpuuz ungeuliza kwa Mzee wako akwambie ukweli unaonekana tamaa za mali zmektawala sana!!!!
Acha roho mbaya wewe hujui kesho yako
Hamnaga mtu hapo. Inamaana matanga yameisha
Angalia post ya mwaka gani ni miaka 3 iliyopta
Acha ujinga
Wew yule ni ngugu yako tu hata ukatae baba ndio kaisha sema
😁
Na watoto wa mamako mwanza vipi
Mpuuzi tuu, unakataa damu yako Kwasababu ya vimali tuu, ikitokea umekufa weye kwanza itakuwaje
Ndo hapo ssa, yan kanikera kweli
Una umimi wewe, khaaa
Uhaya upo ndani