KAREN AMKATAA NDUGU YAKE | HATAKI KUSIKIA HABARI ZAKE | ATOFAUTIANA NA BABA YAKE!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 59

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 4 місяці тому +3

    Tena ushukuru mungu Kuna damu yenu ila baba nae alikosea alivyougua muda wote kwanini asiseme hata nikiondoka Kuna mtt wangu sehemu fulani

  • @user-hp2ix5wp6i
    @user-hp2ix5wp6i 4 місяці тому +5

    IPO siku utajua faida ya kuwa na ndugu

  • @AgredaMoyo
    @AgredaMoyo 4 місяці тому +2

    KarenKarenKaren ndo maana Umeenda kupandikiza mbegu nimejua kwanini😂

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 4 місяці тому +6

    Huyo ndugu yako anafanana na baba yake kuliko wewe halafu yupo hamble na ni mrembo zaidi yako.

  • @emmabrownmissana6996
    @emmabrownmissana6996 4 роки тому +5

    Kumbe we ni mjinga hivyo!

  • @michaelpetershoo1885
    @michaelpetershoo1885 4 місяці тому +2

    Wazazi tuwalete na kuwatambulisha watoto nyumbani kwa ndugu zao siyo kupost mtandaoni.Mtoto hana mamlaka ya kumkataa ndugu yake halali kisa tamaa ya mali.

  • @tabuomary1016
    @tabuomary1016 4 роки тому +2

    Hayo Mambo kweli Ni ya kifamilia,Tena wazazi. Caren atahusika baadae. Nilazima akatae.mitandao endeleeni na kazi.

  • @winfridamsumule5084
    @winfridamsumule5084 4 роки тому +2

    Huyu ni mwnmk km wanawake wengine,akizaa na mtu akalea mtoto peke yake zipo nyakat mtoto atataka kumjua baba yake,mtoto atakapokuja kukataliwa na ndugu zake wa kwa baba,atakuja kuelewa maumivu yake

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 4 місяці тому +1

    Dada ni mjinga sana kumbe

  • @user-no3ll8yq4y
    @user-no3ll8yq4y 4 місяці тому +2

    Uyu ni baba angu mimi akiludi amejitisha nitajuta mbna 😂😂😂😂😂

  • @tulanyagawa3271
    @tulanyagawa3271 4 роки тому +2

    Duuuu jmnii Karen mchoyoo weeee khaaa

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 4 роки тому +2

    Mbinafsi sana pumbavuuuuu

  • @albertrwaburur5895
    @albertrwaburur5895 4 роки тому +2

    wew acha ubinafus ujui leo wala kesho itakuw vp uyo ndugu yako

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 4 місяці тому

    Basi inatosha kumtukana,tumwombee Mungu akuli ikitulia atakubali

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o 4 місяці тому +1

    Roooo mbayaaa iyooo

  • @lilianeliakim9287
    @lilianeliakim9287 3 місяці тому

    Dah nimejikuta naumia zaidi ya sana ila muda bado ipo siku utajua umuhimu wa dada au kaka

  • @camillacaroline8996
    @camillacaroline8996 4 роки тому +2

    Selfishness!!!

  • @frankmare1708
    @frankmare1708 4 роки тому +3

    Huna akili

  • @innocentjohn8632
    @innocentjohn8632 4 роки тому +7

    Hyu atakuwa anawasiwas na hela za mzee ndio maana ataki ndgu maana uwez mkana ndugu yako

  • @lovemusicnoreen9185
    @lovemusicnoreen9185 4 місяці тому

    This is sad don't say that ata kama umepitia mapito gani KATUBUUU

  • @user-hn8wo7fw6d
    @user-hn8wo7fw6d 3 місяці тому

    Roho mbaya

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 4 місяці тому +1

    Nimekuja kusikilizia interview baadae ya mirithi kukabidhiwa karen

    • @WahuBoth
      @WahuBoth 4 місяці тому

      Wee usiniambie kwaiyo yule mwingine ayupo 😮

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 4 роки тому +2

    Acha utopolo roho mbaya kusemaje yaan hadi useme hivyo

  • @Mwigaa95
    @Mwigaa95 4 місяці тому

    Usikute hata huyo careni sio mtoto wake gadna ila huyo mwingine ambae ana jifanya hamjui ndio mtoto halali wa damu maana hata kimwonekano una ona kabisaa wana fanana sana na marehemu baba ake

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 4 місяці тому

    ,Mmmh Ndugu yako unamkataa kabisaa kama wewe ndio mtoto pekee unakataa tena bila aibu mwenzio kafanana na Baba yake

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 4 місяці тому

    Zinaa zinaa zinaa ni Hatari wote hao watoto ni haramu napia majina nlazima watumie yaamazao

  • @salummwanjali3207
    @salummwanjali3207 4 роки тому +1

    Mwenye kaur hapo ni Baba mtoto ni mtoto2

  • @ashurashuraym3497
    @ashurashuraym3497 4 роки тому

    Karen inabidi aachwe kwanza kwa kipindi hiki halafu afanyiwe interview maana kwa sasa yuko kwa mshtuko mkubwa kidogo,ila akikaa sawa kila kitu naimani itakaa POA!

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 4 місяці тому

    Hata akimkataa haitaji msaada wala urithi ujinga tu

  • @innocentchristopher7571
    @innocentchristopher7571 4 місяці тому

    Mna mlazimish vp bint kawa mkubw hvy nd uletew ndg yko huyu hapa sku zote alikuw wap nd maan hata msiban akutajwa

  • @michaelpetershoo1885
    @michaelpetershoo1885 4 місяці тому

    Mzazi akishasema huyu ni ndugu yako wewe huwezi kupinga kisa kinachoaminika kikiwa mali.Binadamu tumekuwa wa ovyo kuweka mali mbele.

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 4 місяці тому

    Sasa mlitaka asemaje amtamnui ndio

  • @SalimMndeme
    @SalimMndeme 3 місяці тому

    Emb gunduwa faida yandugu yako kabla ujachelewa

  • @AMINASAIDI-mx7rs
    @AMINASAIDI-mx7rs 4 місяці тому

    Roho mbaya tu .

  • @faridariziki8766
    @faridariziki8766 4 роки тому +2

    Acha kumkataa ndug yako

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q 4 місяці тому +1

    Anafanana na baba yako sana kuriko weww

  • @RazaqWatuta
    @RazaqWatuta 4 місяці тому

    Wewe mbona umebeba mimba alafu umempelekea nayeye kakusikiliza kwanini wewe ukatae kumbe wewe sio mzima mjinga kabisa

  • @minjaminjaukovizurdogo5187
    @minjaminjaukovizurdogo5187 4 роки тому

    Yan wwe mtto unalaana , hiv kama ni wwe unakanwa hivyo utajiskiaje. Roho mbaya umedekezwa sana ndiyo maana huna adabu, yan bila aibu unaongea eti unaikataa damu hadharani duu we kwel kiboko

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 4 місяці тому

    Tena yule ndio copy na g sura Pana nk

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 4 роки тому +6

    Sasa ni Tabia gani hiyo,inaonesha amedekezwa mno..ndo maana majibu haya..mbona mwenzie alielezea vizur bila kuonesha kumdis🤣

    • @asiahmhina9850
      @asiahmhina9850 4 роки тому +1

      Ni wivu, maana mwenzake Ni mrembo kuliko yeye.

    • @user-ib2uf3uk2d
      @user-ib2uf3uk2d 4 місяці тому +1

      😂😂😂nimerudi

    • @WahuBoth
      @WahuBoth 4 місяці тому

      ​@@user-ib2uf3uk2d😆😆 tupo wengi

    • @marymanoni5536
      @marymanoni5536 4 місяці тому +2

      Mchukueni nyie

  • @giftikaini9737
    @giftikaini9737 4 роки тому

    mpuuzi shenzi wewe awakataagi ndugu na ulivo mpuuz ungeuliza kwa Mzee wako akwambie ukweli unaonekana tamaa za mali zmektawala sana!!!!

  • @HusnaMuhammed-yx8nl
    @HusnaMuhammed-yx8nl 4 місяці тому

    Acha roho mbaya wewe hujui kesho yako

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 4 місяці тому

    Hamnaga mtu hapo. Inamaana matanga yameisha

    • @Chakol123-k7s
      @Chakol123-k7s 4 місяці тому

      Angalia post ya mwaka gani ni miaka 3 iliyopta

  • @leonidamatungwa5328
    @leonidamatungwa5328 4 роки тому

    Acha ujinga

  • @sareheabedi5464
    @sareheabedi5464 4 роки тому +2

    Wew yule ni ngugu yako tu hata ukatae baba ndio kaisha sema

  • @masudinangololo3672
    @masudinangololo3672 4 роки тому

    😁

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 4 місяці тому

    Na watoto wa mamako mwanza vipi

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 4 роки тому

    Mpuuzi tuu, unakataa damu yako Kwasababu ya vimali tuu, ikitokea umekufa weye kwanza itakuwaje

  • @asiahmhina9850
    @asiahmhina9850 4 роки тому

    Una umimi wewe, khaaa