Huyo jirani yako wa kwanza alikupigia tu from no were amakuambia kuwa kwako hapaelewielewi yani inamaana yeye huwa anakazi za kuchunguza kwako bila ya sababu wala kuagizwa😮
Sasa mtu asitoe taarifa mnatak mpka wanze kunuka ndo mjue kuna tatizo... Kama unauwezo wakuona watt wajiran wakicheza kila siku nje usipowaona lazm huojiiii
Hii nchi aliiweza magufuli tu na usalama ulipatikana Kwa asilimia 98 lakini Hawa wengine hamna kabisa mauaji ndiyo yanazidi kutokea kila siku hivi tunaelekea wapi
Eee Mungu turehemu, tusamehe tulipokukosea amen
Poleni sana ndugu zetu mungu awatie nguvu ktk kipindi hichi kigum
Pole Sana Kaka mwenyezi mungu akutie nguvu katika kipindi hiking kigumu aamin.
polen sana mungu yupo pamoja nasi
Pole sana ndugu mungu akutie nguvu
Pole sana mwanaume mwenzetu
Eeeh Mungu 😢😢😢 kwa kweli hakuna maneno yatakayotosha kumfariji huyu baba. Ni Mungu tuu
Pole sana bro mungu akufunge mkanda
Polesana brother.Mungu awe faraja kwako.Wapumzike kwa amani marehemu wote
Inna Lillah wainna ilayhi rajioun Allah awape subra wafiwa poleni sn
Pole sna..Mungu akutie nguvu🙏😭
Aya mauwaji sijui yatazuiliwa na nini!! İli yasiemdelee nchini kwetu!
Mungu tusamee tulipo kosea 🙏 matukio y kutisha kila kukicha
Mungu akawe faraja kwenu
Allah akupe subrah sana
mke na watoto kuvamiwa poleni sana
Pole sana baba😭😭😭😭😭😭🙌🇹🇿🤲🙏
Huyo jirani yako wa kwanza alikupigia tu from no were amakuambia kuwa kwako hapaelewielewi yani inamaana yeye huwa anakazi za kuchunguza kwako bila ya sababu wala kuagizwa😮
Umeona huyo ndo mtuhumiwa no,,1 wew umeamka tu unawaza jirani awajatoka ndani kweli
Huenda ikawa, alisikia watu walikuwa wanaomba msaada lakini akanyamaza asubuhi ilipofika ndio anajifanya kusema
Sasa mtu asitoe taarifa mnatak mpka wanze kunuka ndo mjue kuna tatizo...
Kama unauwezo wakuona watt wajiran wakicheza kila siku nje usipowaona lazm huojiiii
Nyie ndiyo mnafanya watu wasitoe ushirikiano kama majirani maana ulivyoandika kama vile anahusika
Daaa mungu akutie wepes katka hiilii
Pole dada lusajo na familia nzima
Chanzo ni huyu mama yenu msipomtoa mtakufa Sanaa watu saiv wanakufa Kam kuku wa broiler
Pole sana kaka kwa yaliyotokea
Inaumaa sana, pole sana baba
Nchi ipo salama 🤐.!? Pole sana kaka Mungu akupe faraja wakat huu mgumu
😢😢pole sana Mungu akutie nguvu
Mi kwa roho yangu n̈singeweza kuonge au ungekuta nshakufa kwa presha😢😢😢
Amelia sana lkn
Jamani poleni sana na msiba mkubwa mungu awatie nguvu
Dakhaaa polen sana
Omba yasikukute mtihani sana
Kwan huyu aliomba yamkute? Sijui unaongea nini ww
@@esterpaul5856 ndo maana kasema omba yasikukute yaani ni mazito kamuonea huruma anafilikia yakimkuta yy
Mungu awatie nguvu wafiwa wote
Pole sana bro more than pain
Sikutegemea kama Tanzania itafikia hii steji dah,,,R I,P magufuri.
Pole sana ndg yangu ila binadamu
Pole sana
Pole sana baba
Unyama huu jaman tunaenda wap hii nchi? Da inaniuma
Siwafahamu, ila machozi yamenitoka. Sipati picha maumivu kias gani anapitia huyu ndugu.😢
ata mimi 😢
Mungu awarehem.R.l.P
Ee Mungu usiyelala mfariji wetu mtie nguvu baba huyu hiki ni kipindi kigumu sana kwake.
Du inaumiza tumekuwa na Roho ya kishetani kiasi hiki inaumiza sanaaa Mungu atusaidie hii ni hatari
ukisikia mambo kama hayo daah sana sana ni masuala yanayohusiana na ushirikina .watanzania huamini ushirikina mno
Pole xana
Pole sana kaka 😢😢 insuma kwakweli why lakini
😢
Dah 😢😢
Halafu Mama Samia anasimama hadharani anasema kufa ni kawaida Tu Aiseee ,,
Dah!😢😢😢😢
Asee yaani dah
Innan lillahi waina illayhi rajiunu 😪😪
Poleeee kaka anguuu😢😢😢😢
Sijui niseme Nini Mungu unisamehe Baba uliweza kuendesha Gari police aze na familia husika maana Binadamu sisi sijui tumekua je
Daah😭😭😭😭🙌🇹🇿🙌🤲🙏
Jamani msitaje hospitali wasije mludia huyo mama ili asitoe ushahidi
Tanzania 😭😭😭😭😭😭
Mauaji yataendelea maana hatua kali hazichukuliwi mtu yeyote anaweza fanya imekuwa kawaida kwanini miaka ya nyuma Tanzaniia haikuwa hivi
😢🙏
Hasbina Allah wanema wakili 😪😪
allah akupe subrah sana mwwname mwenzangu
Jamani😭😭
Na was was na huyu mzazi
Kwnn
Hii nchi imekua ya kifala sana
😢mungu awatie nguvu
😢😢😢😢😢poleni da
Hii nchi aliiweza magufuli tu na usalama ulipatikana Kwa asilimia 98 lakini Hawa wengine hamna kabisa mauaji ndiyo yanazidi kutokea kila siku hivi tunaelekea wapi
Uyo jilani ndomtumiwa ndomfanya mchongo wote make alijua ww aupo nailo angalia
umeona ee
Poleni xaana Kwa msiba mzito huu pia SS Busanda tumepokea Taarifa Kwa masikitiko makubwa
Inahuzunisha sanaaaaa
😭😭😭