MM katika maisha yangu naogopa vitu viwili fee yawanangu na rent huwa nasikia kulia mtoto akiniambia ametumwa fee yani hicho kitu huwa sikipi nafasi kabisaa bora nilale njaa lkn fee nilipe ..pili rent bora nisivae poa lkn nilipe nyumba huwa nachukia sana mwwnyenyumba kujakunibishia halafu bila usitaarabu anafoka hilo pia nazuia sana.sasa huyu dada anepewa laki kulipia nyumba yy ananunua nguo huyo sio wifematerial hafai kabisaa..
Hii text yako imenikumbusha shosti yangu alikuwa anasema hawezi kosa kusuka ili wtt wale au wavae ama hata wapate Ada ya shule ama hata unakuta anadaiwa Kodi ya nyumba hata miezi mitatu mpaka zaidi,na akidaiwa anasema mwanamke nywele nyie kuna wanawake huwa wanabahatisha maisha ya kuitwa mzazi maana so kwa mateso hao wtt walikuwa wakiyapitia 😢
Wao watatu huyo dada ako ndani nasidhani kama watamuua nikama anajiamin fln hivii.halafu T x o ni yule simulizi NIHUKUMIWE TENA KAMA SIJAKOSEA.sasa hawa vijana wanatumwaa kumshika mbona watarudi bila viungo mana huyu mwamba anawanyooshaa gizani
Shukran simulizi mix,ila hamtutendei poa gobole la urithi it's almost a month hata ni km tumesahau ilipo ishia tumalizieni bc utamu wa simulizi ni kumaliza yote 🙏plz
Mmmmmh!! Tunaanz na chuma hik hap simuliz mix mnajua kutunyoosha😅😅 huk mshangao huk watatu wa mwisho jamniii haya mi nipo nyuma yako d'oen🚶♀️🚶♀️hatua kwa hatua ulipo nipo kam hujaniona jua nipo njian nakuja😉😉😉
Uyu jama anapatikana kwenye simlizi ya niukumiwe tena niatari sana TXO😂 naomba liki zenu
Waoo nilikua naitafuta kumbe ipo hewan asate sana mwandish na msimuliaj wetu 🎉🎉
Nihukumiwe tena
𝑷𝒊𝒏 𝒕𝒉𝒆 𝒎𝒂𝒊𝒏 𝑪𝑶𝑫𝑬
🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Kitu kimoto balaa🔥🔥🔥🔥 George hunaga kazi mbaya kabisa ❤❤❤
Nihukumiwe tena❤
Hongera ..acha twende nalo
Wow
George dactany SR
inanikumbusha nihukumiwe tena
Mmmh!!twende nalo nlikuwa nimemiss George dactony❤❤❤❤
Txo Alikuwa katika Simulizi ya nihukumiwe tena
Sawa hatikatai watatu wa mwisho lakini ndio mtuwekee kava la pini kwenye mdomo 😂😂 haya wa kwanza kabisaaa naombeni likes
True hadi nmeshangaa 😮😮😮
𝕙𝕒𝕙𝕒𝕒𝕒𝕒𝕙 𝕚𝕟𝕒𝕥𝕚𝕤𝕙𝕒
Pini hiyo Ndio simulizi yetu Sasa dear..Yan ni kama code kwenye hii simulizi 😅😅 sema huwa nawai kucoment kabla ya kumaliza simulizi Ndio maana.😊😊
😂😂😂
@@AnnaMelikionupo kama mm tu
🎉🎉🎉tupe basi mbirimbiri D'Oen manayake sibitu nitamu🔥🔥🔥🔥🔥🔥
MM katika maisha yangu naogopa vitu viwili fee yawanangu na rent huwa nasikia kulia mtoto akiniambia ametumwa fee yani hicho kitu huwa sikipi nafasi kabisaa bora nilale njaa lkn fee nilipe ..pili rent bora nisivae poa lkn nilipe nyumba huwa nachukia sana mwwnyenyumba kujakunibishia halafu bila usitaarabu anafoka hilo pia nazuia sana.sasa huyu dada anepewa laki kulipia nyumba yy ananunua nguo huyo sio wifematerial hafai kabisaa..
Hii text yako imenikumbusha shosti yangu alikuwa anasema hawezi kosa kusuka ili wtt wale au wavae ama hata wapate Ada ya shule ama hata unakuta anadaiwa Kodi ya nyumba hata miezi mitatu mpaka zaidi,na akidaiwa anasema mwanamke nywele nyie kuna wanawake huwa wanabahatisha maisha ya kuitwa mzazi maana so kwa mateso hao wtt walikuwa wakiyapitia 😢
Hapo kwenye George dactan naelew tuu hanaga show mbove let's do this
Tupo hapa kuburidika na TXO💪💪
❤❤❤
Imeanza moto🔥🔥🔥🔥
THE LAST THREE(WATATU WA MWISHO)Tupunguzieni mashimo atujamaliza Funga
Ss tumefungua🤣🤣🤣
Yaani nilikuwa napenda D'oen akuwe nyuma🎉 ya Mike na imekuwa Simulizi imeanza na utamu ❤❤ Tuko Pamoja Mpaka Mwisho
Yap yap shukuran Sana kwa mtunzi wa simulizi hii
🙏🙏
Nimeisubiri sana
Wao watatu huyo dada ako ndani nasidhani kama watamuua nikama anajiamin fln hivii.halafu T x o ni yule simulizi NIHUKUMIWE TENA KAMA SIJAKOSEA.sasa hawa vijana wanatumwaa kumshika mbona watarudi bila viungo mana huyu mwamba anawanyooshaa gizani
Kwende kazi oen wangu ❤❤😂
Txo yupo kwenye nihukumiwe tena
Shukran simulizi mix,ila hamtutendei poa gobole la urithi it's almost a month hata ni km tumesahau ilipo ishia tumalizieni bc utamu wa simulizi ni kumaliza yote 🙏plz
Wow direct oen❤❤
The last three by director Oen acha tukae mkao wa kula
Kitu kipyaaaa
Good
Mmmmmh!! Tunaanz na chuma hik hap simuliz mix mnajua kutunyoosha😅😅 huk mshangao huk watatu wa mwisho jamniii haya mi nipo nyuma yako d'oen🚶♀️🚶♀️hatua kwa hatua ulipo nipo kam hujaniona jua nipo njian nakuja😉😉😉
Tekx nihukumiwe tena
T XO yuko kwa nihukumiwe tena
Jiji la kamara
Asate sana simlizi mix d oen Mbalikiwe sana kitu kipya
Sr dactony haya tuanze sasa
❤️❤️❤️🙏
Gobole la urithi njomubana awo sierewi nimuandishi Ao Musimuliaji twambie tunaboreka
Mnazinguq me mda wote nasubilia bint Sabrina simuliz yangu pendwa 😢😢😢😢😢
Ishatoka mbona iko
🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌
Leo ndio nimepata hela ya kununua bandles i say,😂😂😂😂maisha yamekua magumu kinoma wacha tu
Tatizo mtunzi Huyu hua anaweka washiliki wengi mpaka simulizi inakua haieleweki nakukukosa Radha yaani nikama simulizi mbili kwa moja
Ndo inakuwa tam sasa
❤❤❤🎉
Nimependa picha ya simulizi yetu ila waswaa wangu ni wa mambo ya kimoja kimoja km kawaida yake dactan
D Angalizo la Nini tena😂😂😂😂 Nipo Mwanasheria wako hapa usijali kaka 😊😊😊
Zimwi lishakutoroka uko malkia Penina
@@swabrarashidi1082 🤣🤣🤣🤣 Dah nmekuwa malkia Penina tena.
@@AnnaMelikion wewe si uliniambia mimi mke wa mzee mchawi na wewe demu wa zimwi ila sasa🤔 una moyo mana apa nawaza tu mashine ya zimwi iko vp😅
Binafsi nimeshangaa sana pini mdomoni!!! Hebu tuone George anamaanisha nini pini na hii simulizi
Naona ushapigwa pini ya mdomo maana Sina uhakika Wa kupata sehemu ya pili
Simulizi ya nihukumiwe tena
Elewa Neno mashimo😂😂😂😂 hii simulizi kweli ni chin ya walio na umri miaka 18 tu😂😂😂😂
Comment moja tu unajaza nafasi
@@swabrarashidi1082 😂😂😂 Niache
@@AnnaMelikion we mtoto una tabia mbaya sana kwani wewe unajua mashimo kamaanisha nini
Kitukipya watatu wamwisho tuone munaniniD'Ôen🎤🤛🤛🤝🤝
Nihukumiwe tena
Nihukumiwe tena❤
Txo Alikuwa katika Simulizi ya nihukumiwe tena
Ewaaa🔥🔥🔥🔥