TID NA Q CHIEF WAMCHANA VIBAYA MWIJAKU | WAOMBA MSAMAHA KWA ABIGAIL CHAMS | BILA BUGATI HAKUNA MPIRA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 кві 2024
  • TID NA Q CHIEF WATANGAZA COLLABO NA ABBY CHAMS | WAMTOA NISHAI MWIJAKU MTOTO MDOGO HATUWEZI | SISI NI MASHABIKI WAKUBWA WA HAJI MANARA BILA YEYE WADADA WASINGEPENDA MPIRA.
    #manaratv #hajimanara #tid #abigail #qchief #topbrand
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 73

  • @bigmtoro
    @bigmtoro 4 місяці тому +11

    Hawa watu wana chemistry nzuri sana waeke mziki kando wafungue podcast..inverstors should take note ama Alikiba awape kipindi it will be a hit.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 4 місяці тому +1

      Dah! Nikweli umeona mbali sana.

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 4 місяці тому +1

      Kweli kabisa hata Mimi nimeona hivyo ! Mungu aulinde urafiki wao 🤲

    • @sadamirambo885
      @sadamirambo885 3 місяці тому

      Daah ebhana good idea ndg

  • @DahHodges777
    @DahHodges777 4 місяці тому +5

    Wako vizuri acheni chuki watazamaji..roho mbaya hazijengi na hawa lazima wapige hela nyingi sana kwenye umri huo,kikubwa wasisikilize wanaoongea negative wapige tu kazi...

  • @BlackMirrorTz
    @BlackMirrorTz 4 місяці тому +5

    For now, don't look at who understands you. It's important if you understand yourself. It's enough for the rest. Time will speak. Inshallah
    #Walinazi🙌

  • @eddysaleh4388
    @eddysaleh4388 4 місяці тому +7

    😂😂😂😂 alichosema mwijaku 💯 kweli kabisa

  • @shukrishuu9672
    @shukrishuu9672 4 місяці тому +1

    This two whenever I come through their interview lazima niwaskize legends

  • @athumantuwa4542
    @athumantuwa4542 4 місяці тому +5

    UMEJTAHID SANA KUWAHOJI HAO JAMAA,NI NGUMU SANA SANA SANA

  • @user-ds5tf9xx1d
    @user-ds5tf9xx1d 4 місяці тому +5

    Wamependeza kwa hili vazi

  • @mfalmekima5318
    @mfalmekima5318 4 місяці тому +5

    Kafanana na mzee abdul babaake dimond huyo TID

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 3 місяці тому +1

    Mashavu yashawashuka hamna lolote mnagombana na mtoto mdogo Tena mwanamke wasenge baridi tu

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 3 місяці тому

    Wakali wa muda wote Good music

  • @alimuchiri6151
    @alimuchiri6151 3 місяці тому

    Muziki sasa acheni. Yani inafaa muje na kipindi maalum katika Manara TV

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 3 місяці тому

    HAWA MAREJENDARI WAWILI NAWAPENDA SANA SANA ALIKLI NYINGI WANACHEKESHA MUDA WOTE NACHEKA MPAKA NALIA?????❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂

  • @alliancendabarushimana4570
    @alliancendabarushimana4570 4 місяці тому +3

    Bangi tupi😅😅😅

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 4 місяці тому +1

    Movie inaanza tu stelingi anakufa😂😂😂

  • @jewelmabhenga4742
    @jewelmabhenga4742 4 місяці тому +2

    Kwenye Maisha ni muda tu yaani hawa mwishoni wamekua mataira hivi yaan vichaa

  • @damigitv8023
    @damigitv8023 3 місяці тому

    Wasaanii wangu from Nairobi Kenya

  • @Babygirl758
    @Babygirl758 3 місяці тому

    Sio kwa answari sunnah 😂😂😂😂😂😂 mpaka TID imebidi acheke 🤣🤣

  • @Qqambaa
    @Qqambaa 3 місяці тому +1

    Ni yeye ndani ya mjengo

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton8911 4 місяці тому +1

    Q anaonekana kuna kitu anataka ila tid hajakua serious saaana

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 3 місяці тому

    HAWA JAMAA HAPO KWENYE MPIRA WAMECHEKESHA SANA HAIJAWAHI KUTOKEA❤❤❤😅😅😅😅😅😅

  • @salimsibabu9027
    @salimsibabu9027 3 місяці тому

    Wimbo/ Nyimbo ni haramu then kutoa mwezi wa Ramadhan alafu kukosa kuupatia heshima huo mwezi.

  • @Babygirl758
    @Babygirl758 3 місяці тому

    Kwasababu hajui kupika ugali tunamuomba atusamehe 😂😂😂😂 nakojoa

  • @mouzahal-alawi6474
    @mouzahal-alawi6474 4 місяці тому +1

    Nawapenda mimi hawaa??😂😂😂😂

  • @davidndaha9607
    @davidndaha9607 4 місяці тому

    Ndugu zangu jikiteni kwenye mziki na kuacha vigingi wakati ni mda wa kusaka Pesa!. Unajua watu wana hope na kuongeza mashabiki

  • @DaudNgodilo
    @DaudNgodilo 3 місяці тому

    Hahaaaaaa wana waninikumbusha mbali mno kipindi nikiishi na kaka zangu wavuta bangi yaan wao kila wanacho kifanya wanahisi wako sahihi na wanajionaga wanaakili kuliko mtu yeyote et

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 4 місяці тому

    Acha kwanza nisome comment wadau

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 4 місяці тому

    Mnamtafura kaka yangu msechu sasa hapa kaka yangu amekujaje jamn kisha anapiga sana za mafanikio toa nyimbo zako kaka msechu kiongoz yeyote akifa wewe achia muda uwo uwo coz usanii ni ubunifu KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 4 місяці тому +1

    Nasoma qomenti 😂😂😂😂😂

  • @Babygirl758
    @Babygirl758 3 місяці тому

    Sio kwa kumnyonya ghalib vidole 😂😂😂😂 was he low key dissing jux na ommy 🤣

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 3 місяці тому

    Duh.bangi mbaya

  • @user-cr7vi4qp9c
    @user-cr7vi4qp9c 4 місяці тому +3

    Babu T I D

  • @user-xu6fg7sg6s
    @user-xu6fg7sg6s 4 місяці тому +1

    Hao hawana lolote bange nyingi sana halafu sifa kibao kama TID KASHAKUWA MWEHU

    • @user-eb3hf1lm9e
      @user-eb3hf1lm9e 3 місяці тому

      Waliyoyafanya kwenye tasinia ya music 🎶 ww na ukoo wako wote hata tuwape miaka 3000 hamuwezi kuyafanya so tuliza makalio yako chini na roho yko mbaya

  • @jade75798
    @jade75798 3 місяці тому +1

    Hebu wacheni kuwasema hawa watu .as long as bado wako hai maisha yao yataendelea tu.wengine nyie mnaocoment vibaya kuwahusu ma roho zenu zinawauma tu kwasababu hajui English kama TID na Q chief .mawivu tu mko mfyuuu

  • @user-ur8nm1wi6c
    @user-ur8nm1wi6c 4 місяці тому +1

    KAVA LA CM LA MSANII MMELIONA KWELI
    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Nayla-pd5zn
    @Nayla-pd5zn 4 місяці тому

    😂😂😂😂hatariii

  • @elizabethchabluma-zw5qz
    @elizabethchabluma-zw5qz 3 місяці тому

    Tatizo la Hawa watu wanatafuta kick kwa kuwasema watu vibaya na ndio maana hawasapotiwi

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 4 місяці тому +1

    Hili kundi likila mwaka mpya pamoja niko pale

  • @shafiiwajad457
    @shafiiwajad457 4 місяці тому +1

    Comedians😂😂😂

  • @obijoha2877
    @obijoha2877 4 місяці тому +1

    Qc napenda yuko calm, na waungwe mnoo

    • @Qqambaa
      @Qqambaa 3 місяці тому

      Ukiwa mpole mjini utakufa maskini big up tid

  • @Dysmedia254
    @Dysmedia254 3 місяці тому

    Mateja wawili 😂

  • @user-xu6fg7sg6s
    @user-xu6fg7sg6s 4 місяці тому

    Mwijaku amesema kweli bwana

  • @flinchclassic1531
    @flinchclassic1531 3 місяці тому

    Usimpige makonzi muache hii pia ni challenge

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 4 місяці тому

    Hama nyumbani umeshazeeka hiv mama ake huyu mla unga bado yupo

    • @Qqambaa
      @Qqambaa 3 місяці тому +1

      Nampenda bure imagine ni mcheshi sn uyu kaka basi aje ajenge kenya

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 3 місяці тому

    Munaongelea vibaya madalali wakati madalali wanaishi vzr zaidi yenu nyie mbwa takataka.kama we tld hama utoke kwenu ukapange

  • @SalmaNinga
    @SalmaNinga 4 місяці тому

    😂😂😂😂😂

  • @davidkamau7592
    @davidkamau7592 2 місяці тому

    Wame vuta unga

  • @svt3
    @svt3 4 місяці тому +1

    Yaani ma babu ambao hawakuwekeza ujanani uzeeni wao wasumbufu, kulaumiana, vichaa, ....hawa saa hizi walipaswa kuwa ma producer's ma directors walipaswa kuwa na ma lebel makubwa kusimamia wasanii na ku fundisha music ila ona bangi ilivyo wafanya wehu 😢😢😢

    • @asiamerey9081
      @asiamerey9081 4 місяці тому +1

      Yana Mungu usinene ukamara

    • @raimajimoto1122
      @raimajimoto1122 4 місяці тому

      Ustukne mamba kbl ujavuka mto

    • @svt3
      @svt3 4 місяці тому

      @@raimajimoto1122 hawa kwa ulegenda wao wangepaswa kusimamia wasanii wa siku hizi na kuwafundisha mziki, kuimba wangeimba tu kwa haba sababu mziki uko ndani yao ila kuchezea ujanani kuwekeza madawa mbele uzeeeni wamekuwa wazee ovyo lawama, na kulalamika bure vijana wekezeni ujanani msiwe watu ovyo uzeeni

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 4 місяці тому

      Kwahiyo unatakake wakae tu kimya waombe ombe au waendelee kujitafuta mpaka wajipate.

    • @svt3
      @svt3 4 місяці тому

      @@nassercurtis9579 haya aca wajitafute tuone sasabu kama kujipata hawa walijipa miaaka ya 2002

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 4 місяці тому

    😂😂😂😂😂 Magdalenaaaa

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 4 місяці тому +1

    Watu wazima hovyo!!! Hawana lolote!! Mbwembwe tuu za bure!

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 4 місяці тому +4

    Yaani hawa watu wa wili wako na maringo na hata nyimbo sio ety NI kitu ya maana!!!!! Maringo madharau hawatafika popote kabisa!!!!!

    • @BakariKibauri-qh7gf
      @BakariKibauri-qh7gf 4 місяці тому +1

      Unataka wafike wap ambapo hawajafika hao ni ma legends wa Bongo flavour hao wamefanaya ambavyo bado havijafanywa ata na kizazi kipya

    • @sadamirambo885
      @sadamirambo885 3 місяці тому

      Mshamba hawezi kuelewa bab

  • @EdnahKebson
    @EdnahKebson 4 місяці тому

    Umehoji bangi tu hapo😂😂😂😂

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 4 місяці тому

    Their body language speaks alot this guys have health mental issues hawako sawa 😂

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 3 місяці тому

    Kimziki walishakufa hao takataka hata selikari haitakiwa kuapa issue yoyote acha waendelee kuvuta bangi

    • @jade75798
      @jade75798 3 місяці тому

      Huoni aibu eti waita wenzio takataka .there better than you mavi wewe .kwani walikuambia wanataka issue from the serikali .wee mshamba tu the way nakuona

  • @semkiwamganga4405
    @semkiwamganga4405 4 місяці тому

    Choka mbaya...😂