UNAPASWA KUJUA ALAMA NA NDOTO HIZI MAALUM KWA FAIDA YAKO. - SH. YUSUPH DIWAN

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025
  • Masjid Mtoro Online Tv

КОМЕНТАРІ • 83

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 5 років тому +7

    Assalamu alaikum yaa sheikh
    Shukran sana kwa elimu hii mashallah na tiba alhamdulillah mungu akubarik amiin

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 5 років тому

    Shukran yaa sheikh kwa msaada wa matibabu ya sihri allah akulipe kher amiin

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 5 років тому +1

    Masha Allah ustadhi kwani mada nzuri sana

  • @nuruali9608
    @nuruali9608 5 років тому +2

    Allah akupe nusra ww na sote..tufaidike na mawaidha na matibabu yako, Allahumma Hfadhnaaa..Amiiin

  • @goodluckkapinga6047
    @goodluckkapinga6047 4 роки тому

    Amin

  • @omanseeb8609
    @omanseeb8609 5 років тому +3

    Shukran shekh wet

  • @barkaabdallah2407
    @barkaabdallah2407 5 років тому

    MashaAllah Allah akupe kila la kheri

  • @marwaibrahim8696
    @marwaibrahim8696 5 років тому +3

    Vipi Kuchukua Tahadhariy Mbona Hujatufahamisha Tufanye Nini Shukran Kwa Maelezo

  • @mzeemwamguno9367
    @mzeemwamguno9367 5 років тому

    Shukrani

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 5 років тому +2

    Mashaalah

  • @samirbazaar2290
    @samirbazaar2290 5 років тому

    Masha Allah shukran akhui na je vipi nikiota mama ananikumbatia na tunalia kwa uchungu Sana Nini maana yake

  • @tatuhusenruheta2690
    @tatuhusenruheta2690 5 років тому

    Assante sheikh wetu

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 3 роки тому

    Duh tupo wengii aiseee

  • @barkaabdallah2407
    @barkaabdallah2407 5 років тому +1

    MashaAllah

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 5 років тому

    Allah akulipe pepo

  • @qatardoha9378
    @qatardoha9378 4 роки тому

    Mimi kuna nyumba nlienda alafu nikaanguka chini bìla sababu nlipo rudi kwa nyumba nikaomba kujua n kwa nn nliangu kwa hiyo nyumb nlijipiwa nafukuswa na nyoka lkini nlipo keuka nyuma nikaikata na jembe na kwa ndoto nikaamka

  • @aliy3303
    @aliy3303 5 років тому +1

    Shukran

  • @aymankhadija619
    @aymankhadija619 4 роки тому

    Assalam aleykum ustadh

  • @mrsramso7019
    @mrsramso7019 5 років тому +1

    Jazaka Allahu khair🙏

  • @uwiragiyemwamini2944
    @uwiragiyemwamini2944 5 років тому

    Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh mala nyingi naota niko choni

  • @yusufally6853
    @yusufally6853 5 років тому

    Mashallah

  • @tatumuhabed9869
    @tatumuhabed9869 5 років тому +1

    Asalam aleykum shukrani jazaka ullah kheir

    • @bradykorbin3868
      @bradykorbin3868 3 роки тому

      I know I am kinda off topic but does anybody know a good website to stream newly released series online ?

    • @imrandarren8691
      @imrandarren8691 3 роки тому

      @Brady Korbin I watch on flixzone. You can find it by googling =)

    • @vivaanboden2490
      @vivaanboden2490 3 роки тому

      @Imran Darren Yup, I've been watching on flixzone for years myself =)

    • @bradykorbin3868
      @bradykorbin3868 3 роки тому

      @Imran Darren Thank you, I went there and it seems to work :D I appreciate it !!

    • @imrandarren8691
      @imrandarren8691 3 роки тому

      @Brady Korbin no problem :D

  • @mohamedabdallah4846
    @mohamedabdallah4846 5 років тому +2

    Asalaam alykm sheikh mmi ns swali mmi ndoto yangu huwa naota naanguka kisimani kabla cjaanguka naamka,ni ishara ya nn.

  • @greatiq8234
    @greatiq8234 5 років тому +1

    Hapa kwangu miji ndoto hiyo ndo kama "station" yao. Hadi naota nawindwa kwa bunduki! Cha kushangaza kila anaye tka elmu (humu mtandaoni au hata mitaani) miongoni mwenu anaingia mitini akianza tu au kutaka kunifanyia tiba. Iwe za dua au dawa zilizo ruhusiwa Kiislam.

  • @rumaukombo6415
    @rumaukombo6415 5 років тому +2

    Assalam Alaykum
    Hayo M afuta mekundu kwa ajali gani?

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 5 років тому +2

    Mm huota n matukio yatokea n khery hvy ama munatash'wishi khekh tafadhali nijuze mdaa mwingine hata naogopa

  • @munillahkhamis5286
    @munillahkhamis5286 5 років тому +2

    Salamalykum sheh naomba unisaidie kutafsl ndoto hiii nmeiota usiku nmeota nipo na dad yang tumepigwa radi ya mvua dad yang ilimpiga ikamhamisha sehem tuliyopo ila mm iliniparua tuu nikaanza kukimbia nabado ikawa inanifata kunipiga lakn juuu angan nilikuwa naona samak mkubwa angani yupo juuu alikuwa kwama ananilinda ndio hapo nikaanza kuswali kumuomba mung . iyo hali nikaona ikatulia sikuiona rad ten

  • @nzeyimanaanassi3585
    @nzeyimanaanassi3585 4 роки тому

    Asalam aleikum...nimeota imbwa zinakimbiza watu nikafunga mlango zisiingie

  • @rumarajames1349
    @rumarajames1349 5 років тому

    Mm naota Mara kwa Mara natafutwa na nyoka yaan chatu hii ina maana gan

  • @bibimzee7880
    @bibimzee7880 5 років тому +1

    Mimi ni liota nyoka mkubwa sana sasa mimi ni fanya nini na niko na mwenzangu hatuelewani nisaidie

  • @mariamaaa4949
    @mariamaaa4949 5 років тому

    Shukran saaaana tupe naba yako ninamatatizo shesh

  • @fatmamudathir3038
    @fatmamudathir3038 5 років тому +1

    A alkm, Twabaan mm nikawaida yangu kuota majoka tangu zamani, pia kuna wakati huwa sijalala lakini huyàona niwapo tu nutafunga macho, na pia nishaota Niko angani naanguka chini kwa kishindo likaja dege kubwa na kunishika na mdomo wake maungoni mwangu , napia huwa katika kila ndoto zangu za mashaa humuona mmng aidha yuwanisaidia ama yupo tu ndani ya ndoto zangu, lakini hayo majoka ndio ziada hadi naweza kukkueleza VP maumbile ya macho yao yalivo

    • @uwingeneyeshadia7697
      @uwingeneyeshadia7697 5 років тому +1

      Fatma Mudathir unachezewa ndugu yangu nyoka kawaida ni shaitwani kwahio apo umeanguka kwa kushindiliwa wachawi wanakutesa

    • @uwingeneyeshadia7697
      @uwingeneyeshadia7697 5 років тому +1

      Fatma Mudathir mama yako alikuwa karibu yako anakusaidia kwahio mama yako anakuwa karibu na wewe kwa matatizo uliokuwa nao

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 5 років тому +1

    Zaitul Ahmar bei gani? Wapi nanapatikana?

  • @allykilemileallyallykilemi7308
    @allykilemileallyallykilemi7308 5 років тому +2

    Je ukiota unafukuazwa na Simba ila unakimbia Lin Bado inakuwa Kama kuna anakuvuta kwa nyuma saut pia huwa haitoki

  • @abdullaydullay7321
    @abdullaydullay7321 5 років тому +1

    Asalam alaikum sheikh,mi naotaga kifo mara kwa mara,

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 5 років тому

      Da pole abdullay hila inategemea umeotaje otaje hiyo ndoto umeota umekufa wew au mtu saa nyingine ni nzur tu mim mwanzo nilikuwaga naogopaga hila za kukimbizwa ndio mbaya kifo wakat mwingine Inakuwa sherehe Zaman ilikuwa nasikia kinyume sherehe ukiota wakawa wanasema msiba na msiba sherehe hila shere mawili wanasema kama umeota sherehe na watu wakawa hawana furaha basi si nzur kama hawajakaa kiuzun nzur kama mie Leo nimeota tunacheza tunafurahi na watu wengine wamekaa wanatuangalia Mara akatokea mkaka mwisho huyo Mkaka msanii akawa ananiambia tuondike nikamwambia mh Sasa hivi akasema ndio nikawa nimeshangaa yani kama alikuwa na tatizo mie Sasa nikawa najiuliza hiyo safar anavyosema twende kwema kweli ikakata

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 5 років тому

      Halafu shehe hayo mambo unayosema ya hiyo ndoto ya Sumu ni kama alivyosema shehe Suleman hivyo hivyo

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 5 років тому

      Ya majoka si Mazur wanasemaga mashetani da Kuna kipindi nilikuwa Nayaotaga tena makali Kuna siku shehe mmoja akawa Anasema redion kuwa si nzur akatowa na namba zake Kuna duwa aliekekeza nikasitika nilichelewa kuziandika

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 5 років тому

      Nge sijawai hila nyoka wakali

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 5 років тому

      Hata simba si nzur wanasema mbwa na simba ndoto si nzur hata paka

  • @buharimwanga284
    @buharimwanga284 5 років тому +1

    Shehe mi nina shida kuna ndoto inajirudia sana

  • @salimdoctor691
    @salimdoctor691 5 років тому

    Ww sindo yule sheikh wa kisa cha albakissi

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 5 років тому

    Asaalam aleykum, mimi nimekuwa nikiota mara mara kua naibiwa gari, lakini huota pia hiyo gari inarudishwa nini maana yake?

  • @applepatricia3056
    @applepatricia3056 5 років тому

    Ayo mafuta yanaitwaje kwa kiswahili

  • @abushawalihamisi1233
    @abushawalihamisi1233 5 років тому

    Alm alaykum naomba jina la kitabu unachokitumia

  • @zafaranikishangu6420
    @zafaranikishangu6420 5 років тому +1

    Nahitaji hayo mafuta shehe

  • @aishaomar4318
    @aishaomar4318 5 років тому +4

    Mimi niliota kunamtu namjua amenichoma shindano ya sumu na mimi apoapo nikajichoma shindano yamaziwa. 😁eti nimejua dawa ya sumu maziwa .

    • @aliy3303
      @aliy3303 5 років тому +1

      Poleee

    • @latifalatifa-tg9rm
      @latifalatifa-tg9rm 5 років тому

      Poleee sanaaa ilaaa umenichekeshaaaa sanaaaaa na iyo ndotoo yakooo waaalah etii umejichoma maziwaaa

    • @aishaomar4318
      @aishaomar4318 5 років тому

      @@latifalatifa-tg9rm 😁si unajua ndoto tena haina fomula.baada yakujua sumu dawa yake maziwa na mimi nimechomwa ya sumu mimi nikajichoma ya maziwa😭😢😢

    • @nurynmuddy5898
      @nurynmuddy5898 5 років тому

      aisha Omar 🤣🤣🤣

  • @mwanaidishibe9275
    @mwanaidishibe9275 5 років тому

    Hayo mafuta wajipaka ama wafanyaje

  • @ummutaswaufi3980
    @ummutaswaufi3980 5 років тому +1

    Mim huwa na pigana na majin au nikawa na mtu tunaongea vizur tu gafla atanibadilikia na kuwa jin au nyoka anakuja

  • @monicajulius905
    @monicajulius905 5 років тому

    kama nipo nje ya nchi ntawezaje kusomewa dua na ikafanya kazi?.

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 5 років тому

    Mashallah

  • @aminalibondo7507
    @aminalibondo7507 5 років тому

    MashaAllah

    • @dennisrodman974
      @dennisrodman974 4 роки тому

      Shee vp ukiota auoni yani ukuwa Kama kipofu nini maana yake

  • @tameemashaa5234
    @tameemashaa5234 5 років тому

    Shukran