Itumie Ayatul Kursiyu Kama Kinga No3 Na Namna Ya Kuitumia - Sheikh Yusuph Diwan
Вставка
- Опубліковано 26 жов 2024
- Tumekua Na Muendelezo Wa Ayatul Kursiyu Katika Matumizi Mbalimbali Kulingana Na Shida Au Tatizo Ulilonalo. Maajabu Ya Qur'an Yanaendelea. Ni Namna gani waweza Kuitumia Kulingana Na Shida zako. Tuendelee kumfatilia Sheikh Wetu pamoja na Tv yetu Ya Masjid Mtoro Online Tv Kuyapata Mengi Na Mengineyo.
#masjidmtoro #Ayatul_Kursiyu_Katika_kinga
Masheikh kama hawa wenye kutoa elimu kama hizi ni Wachache sana. Allah akufikishe daraja la juu sana duniani na kesho akhera.
maa sha Allah.endeleyeni kutupa siri za Quran.Allah akupeni kheri za dunia na kesho akhera
Mashaallah shukran mungu walipe mema azidi kuwatunza mzidi kutufunza tuondokane na fitina za viumbe wabaya kweli najivunia quran nawapenda mashekh wetu kwaajili ya ALLAH
Subhanalha
Maasha Allah sheikh wangu Allah akubariki Sana jazaka Allahu kher
Allah akuwekeye wepesi apa duniyani na Keshi akhera
JazakaAllah sheikh wetu....Allah(sw) akulinde InshaAllah
Asalamu alaykum mualimu somo adhimu kabisa mungu akubariki nakutakia kheri milele
Utangulizi mrefu sana ndugu yetu
Allah akuhifadhi shekhr yusu akupe we na family yako
Maanshaallah shkh mungu akujalie kheir inshallahu
Jazaqahllahulkheir shehe allah akudumishe katk kutoa daawah kwa ummat muhamadi s.a.w
Jazzaqallah khaira shekhe.
Mansha’Allah.. Mungu akubariki kwa darsaa nzuri sana tumestafid yaa shekh.
Shukrani shekhe allah azidi kukujaalia uzidi kutupa daawa
Waalleykum Salaam Warhamathullah wabarakaatuh,JazakAllah Kheir,
Mashallah jazaka Allah hair Allah akupe pepo shekh wetu
Masha Allah shekh darasa zur Sana Allah akupeni shufaa na daraja la juu Sana insha'Allah 🙏🙏🙏
JazaakazLlahu khayrah
Maallah allah akuepushe na shaari za viumbe na akuingize peponi siku yakiyama. Ila jitahidi kufupisha basi
-Surat Al Anaam aya ya 61
(Maneno 7)
-Surat Huud aya ya 57
(Maneno 6)
-Surat Yusuf aya ya 64
(Maneno 6)
- Surat Al Raad aya ya 11
(Maneno 11)
-Surat al Hijr
5 words
Surat An Anbiyaa aya ya 33
4 words
-Surat Sabaa aya ya 21
-Surat Al Saffaat 7
5 words
Surat Al shuraa aya ya 9
7 words
-Fuswilat aya ya 12
5 words
-Surat Al Buruuj aya
20 21 22
-Al taariq 4
Aslm alykm sheikh, Alhamdhlilah MOLA akuzidishie umri in sha ALLAH na akufanyie wepesi kwa kila jambo LA halal in sha ALLAH. Kuna sehemu ya mwisho naomba niulize, wakati una andika kwa wino wa halal je una andika kwa karatasi ama wapi maana nimenukuu baada ya kuandika utafuta naomba unisaidie hapo tafadhali sheikh. unaandika wapi ndio ufute Tena. Shukran
Mashaallah jazakallah Fikum Amiin
Jazakallahu kheir ndugu yangu
Sheikh Asante kwa mawaidha yako lkn maelezo huwa mengi zaidi kuliko Hilo unalotaka kusema ,kwa hiyo tunakuomba upunguze ili wende moja kwa moja ktk lengo .
Kabisa shekehe intro inachukua hadi dakika 20 bado hatujafika kwenye point
haswaa
Kama ham'wezi kustahamili maneno ya Sheikh yote, basi hii elim sio yenu. Endeni dukani utowe pesa na upewe unachohitaji mnamo dakika 5.
Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakaatuh, Shukran Sheikh wetu kwa mada nzuri tena muhimu sana mana hawa wachawi wamezidi kutuchezea safari hii watakoma B Idni LLAH (SW), SASA NAULIZA HAYA MAJI YA ZAMZAM NA HAYO MENGINE LABDA TUNAEKA KWA MAJI YA KAWAIDA AMA YOTE YAWE YA ZAMZAM YA KUOGA SIKU 7? NAOMBA JIBU TAFADHALI MASHEIKH WETU
asantee kwa mawaidha
Asalam alykum shee Naomba jina jingine la dawa uliyo itaja katika duwa ya bismlahi itwayo mihilam
Nawapenda kwa ajili ya Allah shukurn kwa darasa zenu❤
Jazakallahu kheir
Shukran,jazzakum llahu kheir
Assalamu alaikum ya sheykh
Amani ya allah ikushukie amiin
Mashallah
Mashallaah Allah akupe mwisho mwem kaka in shallaah
Maa sha Allah
mashallah, sadaqa tun'jaria
Shukarn
Maa shaa Allah jazaka Allah kheir sheikh
Shukrani
Jazakatullahu ya shekhuna
shekh diwan maneno meengi, ulifanya, ulifanya, ulifanya nenda moja kwa moja kwa point
Wewe njoo utuonyeshe mfano, yaani ufanye vile unavyo taka wewe.
Na kama huwezi, please tunakuomba kwa ih'saani, ukae kimya.
Lugha zenu sio za adabu wala heshima kwa elimu na wana-elimu ambao wanaitowa bure !
Shukran.
Shukran kwa darsa ya shekhuna mukhtaram
IshaAlhaa😭😭😭😭😭❤❤❤❤❤❤
Swadakalhahulaadhwimm
In'sha'Allah'her
Unazunguka mno
Ni kweli waarabu wengi wanaichkulia Quran kawaida sana sijui ni vile imeshushwa kwa lugha yao ama nn
Mashall allhamdulilah
In shaa Allah
Mashallah mashallah jazaka Allah
Mashaallah tabarakallah
Mashalaah
Sheikh uko vzr Mungu akuhifadhi lkn fupisha kiasi clip zako ili ziwape wafuatiliaji wa darsa zako wepesi.
A'alykm shekh tunaomba darsa ambayo inamafndisho ya kuswali swalatul haja na dua ya kuisoma ili mtu afanikiwe mmbo yke
Shukran
Mashaalah mwenyezi mungu awajalie kila la kher
Jazzakallah
Nenda kwenye point MB zinaisha
Walaikum mslm
Group la dini link iyo hp juuu
yani km kutakua kuna mtu anamsikiliza huyu na akamfuata basi na yeye atakua hana elimu km huyu...
Tufafanulie atakua hana ilimu kivipi funguka utoe dalili kwailimu yako sikukosoa bila ilimu tupeyako ilimu yyeyake nihio yakotupe
Hawa ndio wachawi wenyewe kwa nini tusimfuate na kwanini tuache
As Salaam Aleikum. Hui malengo iko wapi kwa Qur'an na Sunnah? No hadithi gani ulipokelewa kwa hiyo maneno?
Tatizo maji ya zamzsm mengi ya kunywa na familia ma kuogea tutayapata
Shukran sheikh wetu,,,,naulizaje,,,,ya kawaida hayaez saidia??? Au ya mvua je??? Yale yakutoka mbingun moja kw moja??
Yesu ndiye kinga kamili
Hahahhahahahhh kakanyage mafut n wew
Rehema Mohamed
Yesu tu anatosha na si mafuta, wala pete vidoleni, jina lake tu
kama yesu ndio kinga mpeleke ospitalini awaponye wagonjwa na kuwakinga namagonjwa. ?
SHEIKH TV
Aliponya mpaka viziwi, vipofu, viwete sembuse mgonjwa ukiomba kwa imani utapokea uponyaji
@@usajiliusajili6511 kwani nyinyi amna imani . mpona atuoni at a mmoja akiponyesha watu kwa Nina layesu. ila tunaona feki viwete vipofu wagonjwa ndio wanao ponyeswa.kwa kwa jina LA yesu. kama kweli jina layesu linaponya bas atokeze mmoja mwenye imani aende kwa osbitali yoyote awaite wanahabari. Waje waone wawemashahidi .hawezi kupatikana hats mmoja hiyo ndio ukweli. yesu awezi kuponya .lakini mungu Allah anaweza kilakitu
Yesu ndo jibu
Ata Yesu alisema Mungu ndio jibu kama waislamu wanavyo sema ww ushakorogwa na wachungaji ndio maana unaibiwa hela kila jumapili
@@kijanahodari2080 true
Hadi mb zimeisha sikufikia malengo, punguza maneno wengine mb ni chache
Jesus has saved my life and not Pastors and Sheikhs
Astaghfirullah
Pole sana
Shukrani sana
Nae anaongea sana
@@mummysu4772 assalaam alaykum
Jesus power
Who is Jesus?.
Pastors have ruined your lives you so called Christians
Yeremia 50:6
Watu wangu wamekuwa kondoo walio potea , wachungaji wao wamewapoteza silimu kama Yesu na manabii wote umjue Mungu wewe kafiri
astaghfilrllah yesu mnampa cheo si size yake
astaghfilrllah yesu mnampa cheo si size yake
Astaghfirullah
MashaAllah
Mashaallah
Mashallah
Maashaallah