Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
Вставка
- Опубліковано 21 гру 2022
- Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
Mashaa Allah Sheikh Othman Michael akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
UA-cam @Darsa tv
TikTok @Darsa tv - Розваги
Salama aleku shekh haya mafuta kwa ngapi mie niko Omani na taka chupa 2 shukran mungu akuzidishie elm zaid Ishaalla Amin.
Barikiwa mtumishi wa MUNGU
Shekh nayaitaji nayapataje
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu cheh wetu
Mungu akujalie shekhe halafu mimi mkrusto lakin napenda sana duwa napenda nijuwe na wengi wanajuwa mimi muislam nashangaa watu tofaut wananiita iaisha halafu wanasema nimekaa kislam
😊😊😊😊😊
MashaAllah Allah akupe umri wenye kheri na wewe tuzidi kupata faida duniani na akhera
Nasumbuliwaa na maguu wallah kutembea balaa
Nami natia Nia ya baraka za MUNGU kwa jina la YESU KRISTO
Tia Nia Kwa Mungu c yesu Kwan nabii Issa (yesu) amezaliwa na kumwamudu Mungu ktk msikiti wa sinagogi
Sifa ya uungu ni kutokuzaa na kuzaliwa
@@NunuKupela kwa Imani yangu YESU KRISTO ndio njia ya mimi kupata majibu yangu Toka kwa MUNGU Baba,,,, huwezi kumtenganisha MUNGU baba na Yesu kristo,,,,,,upo hapo kaka
Dada upo sawa kwasababu umeongelea iman yako
Ndo utulie huko na Yesu wako kwani umeitwa hapa?
Mashallah mashallah mashallah Alhadulilahi Allahu Barik
Nzr sana
Amina kaka mungu akupe mwisho mwema
nafata sana darsa zako nashidwa kukupata ntaipataje niko mbali maalim
nchini malii bamako, ama senegall,
Mashallah ❤
Mashaallah tabarakallah shukran
Shukran jazakallahu kheir sheikh
Jazakallau kheira 🤲
Mashallah nataka ayo mafuta nko malindi
Inshaallah kher
Mashallah
Thanks 4 da teaching bro am watching u from Uganda however am new.
Masha allah,
Samahani shekhe sikumaliziya kukwambiyaninahisi watu wananichezeleya watt wangu kwa uchawi nakila akitaka kupelekwa kwenye duwa hukimbiya naomba watakuja nisaidiye inshaalla
Maashaallah
Shukran
MashAllah
Masha Allah
Amiin
InshaAllah
mashallah nahitaji haya mafuta naomba unitumie hiyo clip nifike huko plz nifanyiwe visimo pia
@shekhe Othoman Micheal dodoma tunayapata je?
Na nilikuwa napenda sana kila ijumaa kusikiliza mawaidha
Kweli walahi nimejipaka Kuna vitu vinakimbia ktk miguu yangu
Mashaallah
MASHALHA,Mungu,akuzidishie,ilimu,
Amiiina
Ata jina lake la zaituni ni nzur
Shukuran
🙏🙏
❤❤❤❤❤
asalaam alleykhum mafuta sh ngapi
Assalamualaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh mvuje naskia simzuri ukipaka malaika hawakusogelei
Nayapataje na yanaitew
Nasikia wengine wanachanganya na mafuta ya mkunazi
Nawapenda mashekhe mnaongeaga ukwel wengne utaskia wanaupako
Nayapataje
Asalaam aleykum Sheikh. Nahitji hiyo. Dawa lakini Niko Mombasa
Mashallah somo zuri shehe mie ninatatzo la mgong kuwaka Moto mikon kufa ganz kuuma kwa ndani ayo mafuta uloyasema marakwanza mm nayahitaji shingap nayahitaji nisaide shehe ntayapatje uu mwaka unafika nimetumia dawa San mpka Sasa sijapona na dalili ya kupon Sina naumia tu na maumivu naomb unisaide shehe ayo mafuta niyapate nipone na mm Mana cn rah ya maisha
Sheghe asalamu alaikum
Nina watoto wangu
Assalam alaykum warahamdullah wabarakatu Sheikh, niko kenya mpeketoni, naweza pata aje?
Kweli kitunguu maji kikal sana
Asalaam aleykum, samaan hii dawa ipo dukan kwako, marashi rose na bahatinukus
Mimi nipo Tanga nayapataje
Tulipo Oman tunapataje
HAYO MAFUTA YANA JINA GANI IKIWA NUT AKIAGIZIA
Sheikh, Asalam aleiykum? Sheikh kuna dawa huwa mara unaitangaza inayohusu upungufu wa nguvu za kiume. Mm nina changamoto hiyo na maumivu ya mgongo na kiuno na nuru ya macho kuona, nitazipata wapi na zinauzwa kiasi gani?
Tanga yanapatikana wapi
Nimerudi tena sheh nimechanganyikiwa mafuta ya ndimu kitungu swaumu kitungu maji apo sasa ndio sielewi
manake ndimu na limao sio kitu kimoja
Asalam aleikum Niko malindi nitapaje hayo mafuta
Unayauza bei gani
Hiyo dawa naitaka Mimi Niko kenya kwale nipe bei
Nataka mafuta Niko Nairobi
Sasa niayo yalosomewa lkn ya dukani hayana nguvu au apa nilipo yapo
ASALAM SHEKHE NJOO TANGA. AU DAWA ZAKO HAPA TANGA ZAPATIKANA WAPI?
Asalam.alaykum.nikoburundi.shehe.yatanifikiyaje
Wa aalaykumu salaam warahmatullah nipo burundi, naweza kukusaidiy
Nayapataje
Yanaitwaje
Mafuta yanaitwaje na yanapatikana wapi
Niko arusha bei gani hiyo sheh Mimi nahitaji
Ndio kibilit upele
Cheih mtu akiwa Burundi haya mafuta anaweza kuyapata wapi?
Sheikh tunauliziiya kwasisi tuishi inji jirani Rwanda
Tutayapa vipi ayp mavuta
NAMBA ZIPO PIGA
Ndio warabu wanapenda kupikia oman tulikuwa tunapikia kuna alishangaa kuna ya kula nilimwambia ndio
Kwel hizo dawa nazijuwa karafuu maiti na almiti
Kuna sehemu duka mueka hapa mombasa au mtu hapa mombasa Kwa kuuz hizo dawa?
Sheikh mafuta yote hayo chupa 8 ni kiasi gani
Asalaam aleykum Sheikh othuman. Mombasa inapatikana?
mafuta n sh ngp maaalim
Yanapatikana wapi kwa dar
namba iko kwenye screen piga
Kariakoo yapo
Tukija twayatafuta kwa jina gani ?
Mafunzo mataam sana nipo mtwapa naeza yapata vipi then bei pia ni shilling ngapi???
Naitaji ayo mafu rakinibniko bukoba napataje ayo mafuta?
Na mvuje ni dawa kubwa nakumbuka walikuwa wanafungiwa dawa watoto ndio altiti
Bei gani hiyo sheikh hayo mafuta na unapatikana wapi?
Nayataka mafuta niko nairobi ni bei gani
Beigani hy dw?
Assalamaleykum nitayapata wapi? Niko Msa
Mm naitaji Sana mafuta maguu yanasumbuwa Sana kisingino nimaliza tibaa sipitali
Ama madukani tutasema inaitwaje
Sheh napata wapi? Kwa huku Mombasa
piga namba iyo kwenye screen yk
Mafuta yaliyochangajywa na vitu vyote hivyo unauza bei gani
naomba namba yako tafazar shehe
namba ziko juu
Sheikh naomba ujibu hio mafuta nitayapata vp
namba ziko piga
Unapatkana was shehe nije ninunue ayo mafuta
Mafuta ya mzaituni naburundi yapo
Amiin
Ubarikiwe sana maisha marefu kwako shehee
Sasa niayo yalosomewa lkn ya dukani hayana nguvu au apa nilipo yapo
Asalam aleikum ni sh ngapi