Wewe huwa unachambua mpira na team husika kwa wakat husika na sio kama wale mapimbi wanao jitia wachambuzi kumbe ni mashabiki tena maandazi bg up sana kaka hao kenge maji wanao jiita sijui mbuyu sijui frij wakaendelee kugandisha maji hohoho
Ukwel yanga saiv hatupimwi kwa kucheza na Ken gold mwaka huu kuna shida project zimekwama kabisa sisi sio wa usajil kocha wa leseni isiyoweza kucheza kukaa bench muda wa mechi
Upo sahihi broo 🎉🎉🎉
Upo sawa tunapenda kazi yako
Justin kessy mchambuzi Bora kabisa, unachambua kwa vigezo sana hongera
Upo vzr broo sema wachambuzi wa kibongo ushabiki mwingi
Uko vizuri kaka
Brother keep on analysing football matches
Ww ndo mchambuzi wangu bora kessy
Kaka kessy naomba uwe mwalimu wa kisugu usomeshe uchambuzi mimi nitakuwa mzamini wake
😂😂😂kuna wa kufundisha sio kisungu😅😅
Wewe huwa unachambua mpira na team husika kwa wakat husika na sio kama wale mapimbi wanao jitia wachambuzi kumbe ni mashabiki tena maandazi bg up sana kaka hao kenge maji wanao jiita sijui mbuyu sijui frij wakaendelee kugandisha maji hohoho
Kabisaaaa
Huyu ndy mchambuzi Sasa, hachambi Wala kusimanga wtu
SEMA ukweli usifiche
Alikokuwa alikuwa anafundisha Bila kuwa kacheza timu ambayo Mairi🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Yanga wamepiga bomu muchuari😂
Kwa kweli unatufungua vichwa unatuelimisha
Nipo south Africa lakini nakupata Justin kessy ogela sana mpila unaujua
Huu ndio mchambuzi naye mpenda
Mkuu Mimi nakuelewa mno,wewe si mchambuzi maandazi aisee!!
Kaka kessy wewe unajuwa
UKWELI NDIO HUO ILA WASHABIKI WANAIONA YANGA NI MBOVU BASI WASUBIRI MWISHO WA LIGI WATAJUA YANGA HII NI YA AINA GANI.
Huyu ndio mchambuzi wangu wa muda wote ebu mwenye namba yake anipe
Hiyo timu ina umaiti gani, acheni utoto nyie kasongo fc
Unaumwa kila kitu. Hana leseni? Huko alikokuwa alikuwa anafundisha bila kuwa na leseni stahiki? Madaraja ya leseni unayajua wewe?
Hivi hili zee kumbe nalo ni senge mtu kacheza na timu ambayo ni maiti
Ukwel yanga saiv hatupimwi kwa kucheza na Ken gold mwaka huu kuna shida project zimekwama kabisa sisi sio wa usajil kocha wa leseni isiyoweza kucheza kukaa bench muda wa mechi
Tulia wewe hii timu hata wewe ukipewa ufundishe kwani wachezaji wake wote wanafundishika,kwa hiyo tulia acha munkar