PIKIPIKI YA UMEME, UKICHAJI INAKUTOA DAR HADI BAGAMOYO, INAUZWA MILIONI 6.4, FAIDA ZAIDI YA 40%

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 лис 2021
  • Dunia inabadilika, sio tena pikipiki zinazotumia mafuta bali gumzo la sasa ni pikipiki zinazotumia nishati ya umeme, betri inachajiwa kisha pikipiki inaingia barabarani, haiwashwi kwa kiki wala haina kelele hata tone... Madereva bodaboda wamepewa na wapeleka hesabu ya $40 sawa na elfu 90 Tsh. kwa wiki.

КОМЕНТАРІ • 167

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 роки тому +4

    Millard nakukubali bro na hii channel yako mko very smart aiseee!! Sio kama ile Channel inaitwa Mbengo cjui!!

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 2 роки тому +6

    Hizi piki piki Zanzibar zimeingia mda tu mpaka tushazisahau...Nyie munawaza mahindi tu🙈🙈

    • @michaelsamson9663
      @michaelsamson9663 5 місяців тому

      😂😂😂 beigan kwa Zanzibar Mana mil 6 nipalefu

    • @erickbabu4404
      @erickbabu4404 Місяць тому

      Izo n baiskel za Ku charge Zanzibar

  • @mangoing32montana76
    @mangoing32montana76 2 роки тому +2

    Mueleze huyo musika alete hizo honda kenya 🇰🇪mombasa001

  • @shabanikamsawa181
    @shabanikamsawa181 2 роки тому +10

    Ikopoa kwa shuguli za nyumbani na shuguli ndogo ndogo na cyo rafiki kwa maisha yetu ya Tanzania

  • @yunusrnb5227
    @yunusrnb5227 2 роки тому +4

    Hivi Tanzania tuna Nini? Mbna tuna watu wanauwezo wa kutengeneza magari na vitu aina mbali mbali, sijui wale watu wanawachukuliaje😠😠😠

  • @richardchijana9665
    @richardchijana9665 2 роки тому +28

    Wenzetu Wana mpaka kiwanda cha kutengeneza gari aina ya VW sisi tupotupo tu na ujinga wetu🙌

    • @no-reply31
      @no-reply31 2 роки тому +1

      Sisi tuendelee kumsikiliza harmonize

    • @vincentvin211
      @vincentvin211 2 роки тому +1

      Tunatengeneza Gari za NYUMBU

    • @hisanmwakijungu10
      @hisanmwakijungu10 2 роки тому

      Sema na ujinga wako sio ujinga wetu

    • @hamidaala2832
      @hamidaala2832 2 роки тому +1

      @@hisanmwakijungu10 😃😂kaziKujiua.nakuuana.kilasikuvilio.

    • @hisanmwakijungu10
      @hisanmwakijungu10 2 роки тому

      @@hamidaala2832 😂😂😂😂🤣🤣

  • @mambachagulaga7234
    @mambachagulaga7234 2 роки тому +2

    Ziletwe Arusha, tumechoka na makelele ya toyo, zinapiga baruti.

    • @defxtro
      @defxtro 2 роки тому

      Kabisa asee

  • @stevejeremiah4497
    @stevejeremiah4497 2 роки тому +8

    Sisi tuko busy kupambana na ugaidi na magaidi.
    Yani tuko busy kupambana na Chadema kwanza wanaotaka kutunyanganya tonge mdomoni.
    Haki aliyeturoga Naye alirogwa

    • @isaacvtv547
      @isaacvtv547 2 роки тому +1

      Ungelijuwa rwanda upinzani ukoje ndio ungelisema bro

    • @martinmaryogo3676
      @martinmaryogo3676 2 роки тому

      yan daaaaah had nalia jmn, cc tunafkuzwa na hatujui wap tufanye biashara , na kila ck et kisiwa cha aman, sasa aman cjui inatsaidia kubun nn jmn ila tuwe wakwel nchi yetu cjajua kwann

    • @demycratia2567
      @demycratia2567 2 роки тому

      Umenichejeshaaaa na chadema na ccm

  • @beatricemrisho8431
    @beatricemrisho8431 2 роки тому +2

    Waoooooh safi sana watapiga ela sana bodaboda

  • @fredrickjoseph2907
    @fredrickjoseph2907 2 роки тому +15

    Kwanini wasiwekee mfumo wa kufua umeme wake wakati inatembea,ili kuepuka muda wa lisaa linalopotea wakati wa kuchaji.

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe 2 роки тому +1

    Nakukubali sana Ayo

  • @kadala06
    @kadala06 2 роки тому +2

    Vip kuhusu ajari maana hizo mnaeza kutana bila kujua coz tushazoea miungurumo ya pikipiki

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 2 роки тому +1

    Pkpki Kali Ila kwa umeme wa bongo utalla njaa utasubiri umeme urudi kwa siku tatu dadeck watu tumechanganywa na chadema yetu na ugaidi

  • @frankkimaro1354
    @frankkimaro1354 2 роки тому +3

    kilometers ni chache sana

  • @drlembele2552
    @drlembele2552 2 роки тому +2

    Milard tuache kidogo tuna mgao sisi 😂😂

  • @appolonation
    @appolonation 2 роки тому

    Mostly wlcm again kaka yeti!! Ayo

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 2 роки тому +2

    Ufike Baga, ukutane na umeme mgao ndio ushakolea, manake ushakwama.

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 2 роки тому +1

    Kagame huyo ..MUNGU.IBALIKI AFRICA

  • @zawadjose5440
    @zawadjose5440 2 роки тому

    Hizi sawa kabisa

  • @mohdazad1696
    @mohdazad1696 2 роки тому +1

    Milioni 6 mzee huku Zanzibar napata TOYOTA IST kali mze

  • @gerrymimi9387
    @gerrymimi9387 2 роки тому +1

    Nyingi sana India na Vietnam hizi

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 2 роки тому +3

    Sisi tunafukuzana na machinga n.a. kuvunja nyumba za watu.

  • @johnmushi8739
    @johnmushi8739 2 роки тому +1

    Wana kiwanda cha simu, gari pikipik, kwetu hata cha kuassemble baiskel cjui kama kipo

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 2 роки тому +2

    Tanzania ni Nchi ambayo haivutii Wawekezaji kwa Sera zetu mbovu yaani Rwanda tumewazidi kila kitu sisi tuna madini mbalimbali,Bandari na vingine vingi.Lakini kwa Uwekezaji Rwanda wako juu mno na wanafanya maajabu.Hongereni Rwanda

  • @mussahancy6591
    @mussahancy6591 2 роки тому +1

    Hiyo bei ni kwere

  • @itwaaky75
    @itwaaky75 2 роки тому

    Sawa 👏

  • @jitukorofi9517
    @jitukorofi9517 4 місяці тому

    Yaani kila kilometers 75 uchaji betri lisaa limoja na nusu ndo uendelee na safari hii haiwezi kuwa piki piki za biashara

  • @hassanamran3637
    @hassanamran3637 2 роки тому

    Nyiee mtagombana na mabossi wanao miliki Sheri zaoo shaulieni

  • @lodrickemanuel2076
    @lodrickemanuel2076 2 роки тому +1

    Hili waweze kufanya biashata vzr watengeneze pkpk yenye uwezo wa kukaa na chaji24hours hapo watanzania tutanunua sn

    • @Avith-lj2sp
      @Avith-lj2sp Місяць тому

      Kwan mafuta yanakaa 24hours

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Рік тому

    Safi sana wizi wapikipiki utapungua hapo ziletwe nahuku tanzania nwanza

  • @jofreysinchenje1995
    @jofreysinchenje1995 2 роки тому

    Great

  • @danieltungira3837
    @danieltungira3837 2 роки тому +3

    Wakina nape ndo wanapinga vitu kama hydro solution power of energy ili tuwe na industry kama hiz Tz hasira sana

  • @alimakame9215
    @alimakame9215 2 роки тому +1

    Hongera ruwanda siai Tanzania hats baskel hatutengezi

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 2 роки тому +1

    75km ikiwa na abiria au ikiwa na dereva? Charging hours ni nyingi sana kwa biashara ya bodaboda... Nataman kujua heat management/discharging rate ya hizi battery ipoje kwakua technology ya betri hapa ni ya muhimu.. pia mota inayotumika ku power matairi na ipoje? Power rating ya betri na mota ni kitu cha muhimu kuweza kujua ili kuweza kuoanisha muda betri itadumu na charge.

  • @ayoubpapiy4712
    @ayoubpapiy4712 2 роки тому +1

    Jee? Itahitaji uwe na driving license kwa mtu atakae drive?

  • @martinabel3896
    @martinabel3896 2 роки тому +1

    Akina nape wanapinga umeme wa rufiji sasa hz pkpk na mgao huu unaokuja si itakuwa shida!!

  • @williamemily9412
    @williamemily9412 5 місяців тому

    Naipataje

  • @babaluxe8626
    @babaluxe8626 2 роки тому

    Nchi sawa na mkoa wa dodoma ila tz akina nape wanataka umeme usiendelee, u jinga wa tz ni hatari sana

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 2 роки тому +2

    Sasa pikipiki haipigi kelele si ndio chanzo cha kugonga watu wengi barabarani, maana mlio wa chombo cha moto humsaidia mpita njia kuongeza umakini.

  • @fatimajuma3330
    @fatimajuma3330 25 днів тому

    Pikipiki za umeme hazina nguvu kwenye maji ndio haziwe zi kabsa

  • @isacktemba289
    @isacktemba289 2 роки тому

    Technology ni njema sana ila ufahamu wa wanaotuongoza sasa

  • @josephatchande2471
    @josephatchande2471 2 роки тому

    Wajanja nao ili ulete rejesho la mkopo lazma ukachaj kone vituo vyao iko pw sana

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP 2 роки тому +1

    Sio kwa umeme wa bongo

  • @mustaphareua2370
    @mustaphareua2370 2 роки тому +1

    Oyooo

  • @djdbway604
    @djdbway604 2 роки тому

    Mi naona wange weka na mota ikiwa inatembea iwe inaichaji hio betri Kama pik pik za mafuta Ina chaji betri wafanye Ivo ndo itkuwa poa San

  • @tonnymichael9494
    @tonnymichael9494 2 роки тому +2

    Kwa nn wasitengeneze pikipiki inayojichaji yenyewe najua inawezekana

  • @saifabdullah3578
    @saifabdullah3578 2 роки тому

    Mm Niko zanzibar nahitaji hiyo pikipiki naweza kupata

  • @kasukukasuku3896
    @kasukukasuku3896 2 роки тому

    Chaji yake ikoje wakati wa kuchaji au unatumia USB?

  • @amrimwingwa994
    @amrimwingwa994 2 роки тому

    Walete Bongo Huku itawasaidia wengi sanaaaaa

  • @selemanihussein7873
    @selemanihussein7873 2 роки тому +1

    Kampuni ya Tesla imeingia rwanda

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 2 роки тому

    Rwanda apana chezea kabisa, sisi Tz tumebaki na siasa na porojo tu, mmmmhh haya bhana

  • @renatustinsimile5410
    @renatustinsimile5410 2 роки тому

    Yes

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy9812 2 роки тому

    Wabongo wavuja jasho hazitufai

  • @chalesichisanza1891
    @chalesichisanza1891 2 роки тому

    Pikipiki nzur lkn kukulaza polini dakika sifuri maaana usafr wak hauna uhakika

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 роки тому +2

    Hawa majirani zetu wa Rwanda hadi magari wanatengeneza c tumebaki tunawasikiliza kina Mwijaku, Juma Lokole na kina Manalla kila siku wanaongea upumbavu tu!!

    • @eliaslazaro2809
      @eliaslazaro2809 2 роки тому

      Pamoja naakina nape wakpnga mirad ya Jpm

    • @alexkalonga5323
      @alexkalonga5323 2 роки тому

      @@eliaslazaro2809 hii nchi nzito sana

    • @tumaaclassic9035
      @tumaaclassic9035 2 роки тому

      Sio Rwanda ni mwekezaji tuu

    • @mbogofrank1154
      @mbogofrank1154 2 роки тому

      @@tumaaclassic9035 kwahiyo as tunafer wap kupata wawekezwj Kama hao??? Wawekezaj wqnaangalia siasa zilizo Bora sio watu kupewna makesi ya ugaid utafikir tupo jehanam mambo gan hayo

  • @khalidsoso898
    @khalidsoso898 2 роки тому

    Sasa mzee mm mruguru wa matombo naipatajee

  • @ndilanajunior
    @ndilanajunior 2 роки тому +1

    I iko poa sana

  • @hashimmawazo5503
    @hashimmawazo5503 2 роки тому

    Duuh, mzigo mkubwa dolla 40 kwa week

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 5 місяців тому

    Iyo pesa inatosha kununua gar

  • @Morowood
    @Morowood 2 роки тому

    Kuna tusi linasikika kwenye tangazo ,"Acha usenge " edit plz

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 роки тому

    Watu wana tengeneza magari VW pikipiki lakini sisi tuna komaa na ujinga wa machinga, ugaidi 😂😂 na huku tuna shida ya maji/umeme

  • @suzystive4288
    @suzystive4288 2 роки тому

    sisi tutabaki kushuhudia kila siku kwa wenzetu na kuangalia nani kafanya nini na yupo wapi ni huzuni kwa kweli

  • @officialvoicediamoAlikibajoent
    @officialvoicediamoAlikibajoent 2 роки тому

    Kwaiyo ikiishachaji inakuweje sasa

  • @hamadirashidi4969
    @hamadirashidi4969 Місяць тому

    Bei gan

  • @jonaselisha1100
    @jonaselisha1100 2 роки тому

    Mbona Arusha zipo nyingi sana

  • @getaride-tanzaniacarpoolin7508
    @getaride-tanzaniacarpoolin7508 2 роки тому +1

    Tanzania hazipo kweli hizi? Hebu fanyeni utafiti hapo Dar au BBC Swahili

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 2 роки тому +1

    Duh rwanda wametuacha mbali sie uku tz kazi tuna viwanda vya fitina na kulumbana na wanasiasa tu

  • @mudymudy3132
    @mudymudy3132 2 роки тому +1

    Iyo tank ni ya nini?

  • @donaldmwenera4852
    @donaldmwenera4852 2 роки тому

    Tumevamiwa na kupigwa hela ya hatari kwa pikipiki moja m 6 tusubiri wachina kutakuwa na uafadhali wa bei mimi mpaka saa hii najiuliza sipati jibu bidhaa nyingi zikitengenezwa Africa bei mara mbili ya yule anae agiza nje

  • @chibunews5642
    @chibunews5642 2 роки тому

    Kwa wapora mikoba na cm fulsa hiyoo

  • @amrimwingwa994
    @amrimwingwa994 2 роки тому

    Ayo to the World

  • @djmeza411a58
    @djmeza411a58 2 роки тому

    Sasa uku usa ata baskeri inatumia charger pikipiki ndio usiseme

  • @wemaselemani9140
    @wemaselemani9140 2 роки тому

    Unachokiona MA kujifunza ndicho utacho kifafanya mauwaji ya kikatili ubakakaji na mengi mabaya

    • @wemaselemani9140
      @wemaselemani9140 2 роки тому

      Najiuliza Hizo bet iri ,na mwendo wanaotembea wa netu wa kifo chair ikiisha gafra sipati picha

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 2 роки тому +1

    Richard de unafikiri kujenga nchi unaijenga kwa kupiga vidole? Hao wanaojenga magari walichukua miaka ngapi kabla ? mjinga wewe kawambie wafuasi wa chadema

  • @noelchiwangadirectormac6597
    @noelchiwangadirectormac6597 2 роки тому

    Nilitaka kushangaa sana kwamba ni Tanzania 😃😃😃

  • @imanimfugale5270
    @imanimfugale5270 2 роки тому +1

    Waje huku bongo

  • @DM_15
    @DM_15 2 роки тому

    Tanzania tunakwama wapi

  • @aishaomari944
    @aishaomari944 2 роки тому

    M 6 mbona nyingi xn

  • @abuumaisarah6595
    @abuumaisarah6595 2 роки тому

    Duh!

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 2 роки тому

    Naichukua hii

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 2 роки тому

    Gharama nikubwa sana

  • @omolomaxfitnessbodylifetim8252
    @omolomaxfitnessbodylifetim8252 2 роки тому

    Siku nyingine ukirudi Kigali nisalimie basi Ayo

  • @khamiskhatib6113
    @khamiskhatib6113 2 роки тому

    Nahitaji namba za mawasiliano niwatafute

  • @gimarigijoshua7417
    @gimarigijoshua7417 2 роки тому

    Je tutaipataje kwa bongo huku

  • @emmanuelshilinde5869
    @emmanuelshilinde5869 2 роки тому

    Inapatikana Bongo kwa sasa je na ni bei gan?

  • @kasukukasuku3896
    @kasukukasuku3896 2 роки тому

    Bei shs ngapi?

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 роки тому

    🤔 Nunuwa basi UJe kutupa ajira

  • @bekajah6082
    @bekajah6082 2 роки тому

    Tanzania lini zinakuja jmn???

  • @alisaidi9734
    @alisaidi9734 2 роки тому

    Zinauzwa sh.ngapi?

  • @Pihansmo1129
    @Pihansmo1129 2 роки тому

    Bongo mbona hazipo?

  • @SHommymusic1
    @SHommymusic1 2 роки тому

    DAR HADI BAGAMOYO maana yake nini maana BUNJU ni Dar . ( BUNJU B 🙄🙄)

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 2 роки тому

    Shi ngap bei yake

  • @lukaskanawematz6650
    @lukaskanawematz6650 2 роки тому

    iko poa

  • @jobmusic4027
    @jobmusic4027 2 роки тому

    Mbona naona kama kuna tank la mafuta hapo,inatumia pia petrol au?

    • @alawiali3475
      @alawiali3475 2 роки тому

      Sio tank la mafuta hilo, unalo liona hapo ndio betri yenyewe hio.

  • @hassanmohamedi7585
    @hassanmohamedi7585 2 роки тому

    Tatzo Betri inachukua kilomita chache inakata chaji sasa mwendo wakutoka Dar mpaka Bagamoyo imeisha chaji alafu ukifka uichaji tena na inachukua muda kuchaji

    • @nellywizz9631
      @nellywizz9631 2 роки тому

      Wangetengeneza namna ya kuchaji apo apo kwa mfumo wa hyo hyo piki pik

  • @thidekimkimaro1959
    @thidekimkimaro1959 2 роки тому

    Kaka ayo nunua nipe mkataba

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 роки тому

    Eeh huyu kajulia wapi kiswahili na yuko Rwanda

  • @silajimtema9891
    @silajimtema9891 2 роки тому

    Nikiitaji naipataje

  • @amosdamian7308
    @amosdamian7308 2 роки тому

    Sisi niwatali ndotunajua hiko kuliko kukaa tukajenga inchi

  • @hamisiismail2577
    @hamisiismail2577 2 роки тому

    Milion 6 mhhhhm