PIKIPIKI YA UMEME, UKICHAJI INAKUTOA DAR HADI BAGAMOYO, INAUZWA MILIONI 6.4, FAIDA ZAIDI YA 40%
Вставка
- Опубліковано 21 лис 2021
- Dunia inabadilika, sio tena pikipiki zinazotumia mafuta bali gumzo la sasa ni pikipiki zinazotumia nishati ya umeme, betri inachajiwa kisha pikipiki inaingia barabarani, haiwashwi kwa kiki wala haina kelele hata tone... Madereva bodaboda wamepewa na wapeleka hesabu ya $40 sawa na elfu 90 Tsh. kwa wiki.
Millard nakukubali bro na hii channel yako mko very smart aiseee!! Sio kama ile Channel inaitwa Mbengo cjui!!
Hizi piki piki Zanzibar zimeingia mda tu mpaka tushazisahau...Nyie munawaza mahindi tu🙈🙈
😂😂😂 beigan kwa Zanzibar Mana mil 6 nipalefu
Izo n baiskel za Ku charge Zanzibar
Mueleze huyo musika alete hizo honda kenya 🇰🇪mombasa001
Ikopoa kwa shuguli za nyumbani na shuguli ndogo ndogo na cyo rafiki kwa maisha yetu ya Tanzania
Kwanini?
Point
Wanazijua kilo 3000 za Michele au wanazisikia 🤣🤣
Hivi Tanzania tuna Nini? Mbna tuna watu wanauwezo wa kutengeneza magari na vitu aina mbali mbali, sijui wale watu wanawachukuliaje😠😠😠
Wenzetu Wana mpaka kiwanda cha kutengeneza gari aina ya VW sisi tupotupo tu na ujinga wetu🙌
Sisi tuendelee kumsikiliza harmonize
Tunatengeneza Gari za NYUMBU
Sema na ujinga wako sio ujinga wetu
@@hisanmwakijungu10 😃😂kaziKujiua.nakuuana.kilasikuvilio.
@@hamidaala2832 😂😂😂😂🤣🤣
Ziletwe Arusha, tumechoka na makelele ya toyo, zinapiga baruti.
Kabisa asee
Sisi tuko busy kupambana na ugaidi na magaidi.
Yani tuko busy kupambana na Chadema kwanza wanaotaka kutunyanganya tonge mdomoni.
Haki aliyeturoga Naye alirogwa
Ungelijuwa rwanda upinzani ukoje ndio ungelisema bro
yan daaaaah had nalia jmn, cc tunafkuzwa na hatujui wap tufanye biashara , na kila ck et kisiwa cha aman, sasa aman cjui inatsaidia kubun nn jmn ila tuwe wakwel nchi yetu cjajua kwann
Umenichejeshaaaa na chadema na ccm
Waoooooh safi sana watapiga ela sana bodaboda
Kwanini wasiwekee mfumo wa kufua umeme wake wakati inatembea,ili kuepuka muda wa lisaa linalopotea wakati wa kuchaji.
We mtu unaakili Sana ur genius,,
Ata mimi nilitaka kuuliza ivyo ivyo
Kweli
Kweli kabisa na inawezekana kabisa,
Itafuaje umeme wake na haitumii mafuta au unataka atumie dainamo
Tengeneza yako
Nakukubali sana Ayo
Vip kuhusu ajari maana hizo mnaeza kutana bila kujua coz tushazoea miungurumo ya pikipiki
Mbona ata boksa hazinaga sauti?
Pkpki Kali Ila kwa umeme wa bongo utalla njaa utasubiri umeme urudi kwa siku tatu dadeck watu tumechanganywa na chadema yetu na ugaidi
kilometers ni chache sana
Milard tuache kidogo tuna mgao sisi 😂😂
Mostly wlcm again kaka yeti!! Ayo
Ufike Baga, ukutane na umeme mgao ndio ushakolea, manake ushakwama.
Kagame huyo ..MUNGU.IBALIKI AFRICA
Hizi sawa kabisa
Milioni 6 mzee huku Zanzibar napata TOYOTA IST kali mze
Nyingi sana India na Vietnam hizi
Sisi tunafukuzana na machinga n.a. kuvunja nyumba za watu.
Wana kiwanda cha simu, gari pikipik, kwetu hata cha kuassemble baiskel cjui kama kipo
Tanzania ni Nchi ambayo haivutii Wawekezaji kwa Sera zetu mbovu yaani Rwanda tumewazidi kila kitu sisi tuna madini mbalimbali,Bandari na vingine vingi.Lakini kwa Uwekezaji Rwanda wako juu mno na wanafanya maajabu.Hongereni Rwanda
Hiyo bei ni kwere
Sawa 👏
Yaani kila kilometers 75 uchaji betri lisaa limoja na nusu ndo uendelee na safari hii haiwezi kuwa piki piki za biashara
Nyiee mtagombana na mabossi wanao miliki Sheri zaoo shaulieni
Hili waweze kufanya biashata vzr watengeneze pkpk yenye uwezo wa kukaa na chaji24hours hapo watanzania tutanunua sn
Kwan mafuta yanakaa 24hours
Safi sana wizi wapikipiki utapungua hapo ziletwe nahuku tanzania nwanza
Great
Wakina nape ndo wanapinga vitu kama hydro solution power of energy ili tuwe na industry kama hiz Tz hasira sana
Hongera ruwanda siai Tanzania hats baskel hatutengezi
Una uhakika? Unazijua Linkall pikipiki? Wanaassemble dsm mzee
Sija kuelewa bad
75km ikiwa na abiria au ikiwa na dereva? Charging hours ni nyingi sana kwa biashara ya bodaboda... Nataman kujua heat management/discharging rate ya hizi battery ipoje kwakua technology ya betri hapa ni ya muhimu.. pia mota inayotumika ku power matairi na ipoje? Power rating ya betri na mota ni kitu cha muhimu kuweza kujua ili kuweza kuoanisha muda betri itadumu na charge.
Mawazo mazuri
Jee? Itahitaji uwe na driving license kwa mtu atakae drive?
Akina nape wanapinga umeme wa rufiji sasa hz pkpk na mgao huu unaokuja si itakuwa shida!!
Naipataje
Nchi sawa na mkoa wa dodoma ila tz akina nape wanataka umeme usiendelee, u jinga wa tz ni hatari sana
Sasa pikipiki haipigi kelele si ndio chanzo cha kugonga watu wengi barabarani, maana mlio wa chombo cha moto humsaidia mpita njia kuongeza umakini.
Honi ipo
@@yahyamajidyahyahilalal-har8762 kwa hiyo pikipiki muda wote inatakiwa kupiga honi?
Pikipiki za umeme hazina nguvu kwenye maji ndio haziwe zi kabsa
Technology ni njema sana ila ufahamu wa wanaotuongoza sasa
Wajanja nao ili ulete rejesho la mkopo lazma ukachaj kone vituo vyao iko pw sana
Sio kwa umeme wa bongo
Oyooo
Mi naona wange weka na mota ikiwa inatembea iwe inaichaji hio betri Kama pik pik za mafuta Ina chaji betri wafanye Ivo ndo itkuwa poa San
Kwa nn wasitengeneze pikipiki inayojichaji yenyewe najua inawezekana
Kwa technologia ya sasa bado
Mm Niko zanzibar nahitaji hiyo pikipiki naweza kupata
Chaji yake ikoje wakati wa kuchaji au unatumia USB?
Walete Bongo Huku itawasaidia wengi sanaaaaa
Kampuni ya Tesla imeingia rwanda
Rwanda apana chezea kabisa, sisi Tz tumebaki na siasa na porojo tu, mmmmhh haya bhana
Yes
Wabongo wavuja jasho hazitufai
Pikipiki nzur lkn kukulaza polini dakika sifuri maaana usafr wak hauna uhakika
Hawa majirani zetu wa Rwanda hadi magari wanatengeneza c tumebaki tunawasikiliza kina Mwijaku, Juma Lokole na kina Manalla kila siku wanaongea upumbavu tu!!
Pamoja naakina nape wakpnga mirad ya Jpm
@@eliaslazaro2809 hii nchi nzito sana
Sio Rwanda ni mwekezaji tuu
@@tumaaclassic9035 kwahiyo as tunafer wap kupata wawekezwj Kama hao??? Wawekezaj wqnaangalia siasa zilizo Bora sio watu kupewna makesi ya ugaid utafikir tupo jehanam mambo gan hayo
Sasa mzee mm mruguru wa matombo naipatajee
I iko poa sana
Duuh, mzigo mkubwa dolla 40 kwa week
Iyo pesa inatosha kununua gar
Kuna tusi linasikika kwenye tangazo ,"Acha usenge " edit plz
Watu wana tengeneza magari VW pikipiki lakini sisi tuna komaa na ujinga wa machinga, ugaidi 😂😂 na huku tuna shida ya maji/umeme
sisi tutabaki kushuhudia kila siku kwa wenzetu na kuangalia nani kafanya nini na yupo wapi ni huzuni kwa kweli
Kwaiyo ikiishachaji inakuweje sasa
Bei gan
Mbona Arusha zipo nyingi sana
Tanzania hazipo kweli hizi? Hebu fanyeni utafiti hapo Dar au BBC Swahili
Duh rwanda wametuacha mbali sie uku tz kazi tuna viwanda vya fitina na kulumbana na wanasiasa tu
Iyo tank ni ya nini?
Tumevamiwa na kupigwa hela ya hatari kwa pikipiki moja m 6 tusubiri wachina kutakuwa na uafadhali wa bei mimi mpaka saa hii najiuliza sipati jibu bidhaa nyingi zikitengenezwa Africa bei mara mbili ya yule anae agiza nje
Kwa wapora mikoba na cm fulsa hiyoo
Ayo to the World
Sasa uku usa ata baskeri inatumia charger pikipiki ndio usiseme
Unachokiona MA kujifunza ndicho utacho kifafanya mauwaji ya kikatili ubakakaji na mengi mabaya
Najiuliza Hizo bet iri ,na mwendo wanaotembea wa netu wa kifo chair ikiisha gafra sipati picha
Richard de unafikiri kujenga nchi unaijenga kwa kupiga vidole? Hao wanaojenga magari walichukua miaka ngapi kabla ? mjinga wewe kawambie wafuasi wa chadema
Nilitaka kushangaa sana kwamba ni Tanzania 😃😃😃
Waje huku bongo
Tanzania tunakwama wapi
M 6 mbona nyingi xn
Duh!
Naichukua hii
Gharama nikubwa sana
Siku nyingine ukirudi Kigali nisalimie basi Ayo
Nahitaji namba za mawasiliano niwatafute
Je tutaipataje kwa bongo huku
Inapatikana Bongo kwa sasa je na ni bei gan?
Bei shs ngapi?
🤔 Nunuwa basi UJe kutupa ajira
Tanzania lini zinakuja jmn???
Zinauzwa sh.ngapi?
Bongo mbona hazipo?
DAR HADI BAGAMOYO maana yake nini maana BUNJU ni Dar . ( BUNJU B 🙄🙄)
Shi ngap bei yake
iko poa
Mbona naona kama kuna tank la mafuta hapo,inatumia pia petrol au?
Sio tank la mafuta hilo, unalo liona hapo ndio betri yenyewe hio.
Tatzo Betri inachukua kilomita chache inakata chaji sasa mwendo wakutoka Dar mpaka Bagamoyo imeisha chaji alafu ukifka uichaji tena na inachukua muda kuchaji
Wangetengeneza namna ya kuchaji apo apo kwa mfumo wa hyo hyo piki pik
Kaka ayo nunua nipe mkataba
Eeh huyu kajulia wapi kiswahili na yuko Rwanda
Nikiitaji naipataje
Sisi niwatali ndotunajua hiko kuliko kukaa tukajenga inchi
Milion 6 mhhhhm