Tuna matajiri kibao hii nchi ambao wakihamashishwa na kuwa enabled wanaweza kufanya analolifanya huyo bwana. Akili zetu ndizo zinatufanya tujitengenezee mambo ya kushangaa. Yaani kwa utajiri wa ardhi tulionao, duh, inauma sana - I miss Magufuli RIP. Haya bara tumsubiri Denzel Washington
@@kiatu hanisi kweli kweli ww mtu aekeze pesa yake alafu aje arikodi nani wena sepetu au hebu tuache sie watu apo wanaeka mpunga sio pesa za mawazo mtu ana zichungulia
Zanzibar kitovu cha utalii Tanzania, but maisha ya wanzanzibar wa kawaida ni magumu mno, kila kukicha vijna kutoka kisiwani pemba wanakimbilia Dar es salaam kutafuta goodlife..wakat idad ya wazanzibar haizid hata 4 milions, ivi hayo mapato ya utalii kila mwaka yanatumika wap!!????
Tushauzwa, Daaaahhh😢😢😢 Yaa Rabby, Yani yote yanayofanywa na Hawa Jamaa, But still tunawakumbatia....😢😢😢 Mwisho wataweka Kambi za jeshi, na hamtaongea chochote....😢😢😢
@@BuhetySharia tell me how many countries are in united republic of tanzania or it’s just since 1900s it’s was tanzania remember two countries united to make one nation by law not full fill
@@BuhetySharia ukitaka kujua kama Zanzibar ni nchi katizame umoja wa mataifa herufi gani ina simama ni U jiulize why iwe U na isiwe T, huu ni Muungano wa nchi 2 ambayo ni tanganyika na Zanzibar, nyie ndio hamna nchi maana tanganyika ndio haipo ila zanzibar ndio nchi maana ipo
Hao wazanzibari, hulalamika kua watanganyuka ndio wamebadili maadili yao, wakati huo huo, wanawapa maeneo watu wanasapor ushoga na mambo mengine yalio nnje ya maadili ya kizanzibar.
Mnajiuza na kuuza nchi bila kujua hakika fikra hazitumiki hakika naamini maneno ya triumph wenge akil hawatumii na ambao hawana wanaaminishwa nchi ya ahadi ambayo haiko...hakika so sad😢😢😢😢😢😢😢
@@NasriHamza-y8y inasikitisha sana bruh. Mimi Naomba viongozi wetu wakienda nje wakipata ideas zinazohusu matumizi ya raslimali za taifa walete mapendekezo kwa wananchi kupitia bunge, angalau halafu maoni pia yawe solicited from the public. Tunamiss input ya general public kwenye mambo haya. Hizo international film villages(studios) zilianza very humbly. Tanzanians can do this, come on washauri wa rais 😐
Tatizo labda studio yenyewe inaweza isiwepo lakini kama inawepo, Studio ya Filamu ni TOFAUTI na Studio ya Muziki! Na ukiamua kweli kweli, hata hizo Ekari 80 ni NDOGO SANA !!
@@salumabdallah2990 asili ya mashoga ni watu wa pwani ni ngumu kumkuta shoga muhehe au mkurya msukuma ila wapemba wadigo ndio wamejaa mfano mauzinde ni mpemba kuzaliwa Zanzibar kakulia Zanzibar na anafirwa Zanzibar🤤🤣🤣🤣
Kwann IWE ZOLLWOOD WAKATI STUDIO NI YA TANZANIA NA ALIONGEA NA RAISI WA TANZANIA? AU NI MUENDELEZO WA UBAGUZI WA WAZANZIBAR? 😮😮😮😮😮😮😮😮😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😮😢😮😢😮😢😮😢😮😢😮😢😮😢😮
Je wazee wa huko fumba watakubalii? 😂😂 Maana naijua Zanzibar na vijiji vyake In an Out. Wazee wakijiji wakisema atutaki mambo yenu ya hanasa Iyo imeisha. Mkilazimisha mtajua hamjuii😂😂😂😂
Studio syo jengo moja au mawili, Studio ya movie ni pamoja na ujenz wa mandhari ya kila aina kwa ajili ya kurekodia movie. Haiitajiki waigizaji kwenda location
@@حكايةغد Ukishasema mali ya uma manaake ni ya serikali ndio maana madini yakigundulika kwenye ardhi yako serikali itakuondoa tu bila kukulipa chochote zaidi ya kifuta jasho tu
@@حكايةغدhuijui katiba ya Tanzania na katiba ya zanzibar ...ardhi yote ya muunganiko iko chini ya mamlaka Raisi na serikali yake....Uma umepangoshwa tu
@@حكايةغد wazanzibar watapelekwa mwanarumango wakaishi maana tayari znz imeshauzwa kuna wananchi wanalalamikia ardhi yao kujengwa airport ya pili nchi ndogo
Zanzibar oyeeee🔥🔥🔥🔥🇹🇿
Mwinyi sio mzanzibar sema mungu tu hua analipa haphap duniani
Daah Respect Mwinyi🙌🏼🙌🏼🙌🏼 yaani iwe Tanganyika iwe Zenji kote kote wa Zanzibar wametutawala
Ndio eboo mtawale nynyi tu kwani yko pekeyako hii nchi
Ndio eboo mtawale nynyi tu kwani yko pekeyako hii nchi
Zollywood 😅😅
Ekar 80mmmh mungu wangu
🎉🎉🎉🎉huu ndo wkt Znz kusimama🎉🎉🎉
T.zollywood itapendeza
Zanzibar imekwisha
Nani mwengine aliyeona zollywood imekaa poa Sana
Yajayo yanafrahisha sana....
Tuna matajiri kibao hii nchi ambao wakihamashishwa na kuwa enabled wanaweza kufanya analolifanya huyo bwana. Akili zetu ndizo zinatufanya tujitengenezee mambo ya kushangaa. Yaani kwa utajiri wa ardhi tulionao, duh, inauma sana - I miss Magufuli RIP. Haya bara tumsubiri Denzel Washington
@@kiatu hanisi kweli kweli ww mtu aekeze pesa yake alafu aje arikodi nani wena sepetu au hebu tuache sie watu apo wanaeka mpunga sio pesa za mawazo mtu ana zichungulia
@@MohamedAhmada-ie7ke I know your type.
Watalipajina lamukewe SABRINA 😂😂😂AWEEE🤝🤩🤩🤩
Znz ni ndogo watu hata sehemu ya kulima hawana jee apewe mtu mmoja erka 80 ni wendawazimu leo watu wana mashamba yao wananyanganywa ni msiba
@@saidalhinai1131 fumba ni eneo maalumu lililo ekwa kwa ajili ya uwekezaji tangu zaman na tunajua ilo
WAMEUZA NCHI TAYARI. IMEISHA HIYO HAKUNA ZOLLWOOD WALA KULLFOOD. GERESHATU HIYO.😅
Hapo zanziar Inaenda kuharibika sana 😂
Wazanzibar tujiandae kutolewa kwenye nchi yetu
Studio ekari 80 ni studio gan hyo mnagawa ardhi
Zanzibar kitovu cha utalii Tanzania, but maisha ya wanzanzibar wa kawaida ni magumu mno, kila kukicha vijna kutoka kisiwani pemba wanakimbilia Dar es salaam kutafuta goodlife..wakat idad ya wazanzibar haizid hata 4 milions, ivi hayo mapato ya utalii kila mwaka yanatumika wap!!????
Dah! Zollywood siyo Tollywood umeona hapo! Tatanganyika hatuna chetu bado mpaka tuseme 😢😢😢😢 simaanish muumgano usiwepo hpana!!
Munataka kila kitu kiwe chenu?
Wacha kujipaguwa ingeitwaje sasa
Kiufupi utaitwa Tollywood yn ni TANZANIA HOLLYWOOD kama hupendi sumu ya panya ni bei nafuu tu kunwa utupishe usituinginzie giza apa😂😂😂😂😂
Hee kila kitu pamoja 😅😅😅
😂😂😂😂 Tang yenyewe twaongozwa na mzazibar
Yani hiyo zollywoord kwa sababu inafanyika zanzibar ila tanzania si muna bongo movies au
😂😂😂😂Wambie
NCHI YA HOVYO INAUZWA NA WAUNI WA ZANZİBAR 😮😮😮
Mjiandae na ushoga
Tushauzwa, Daaaahhh😢😢😢
Yaa Rabby, Yani yote yanayofanywa na Hawa Jamaa, But still tunawakumbatia....😢😢😢
Mwisho wataweka Kambi za jeshi, na hamtaongea chochote....😢😢😢
Marafiki wangu uniuliza ushinda million ksh300 utaenda wapi. Mimi ujibu Zanzibar lakini wao ushangaa sana.
Iyo si serus ya znz jamani
HUYU MWAMBA NI KIPENZI CHA DUNIA
Congratulations my country ZANZIBAR
Zanzibar is country??
@BuhetySharia as your butok
@@BuhetySharia tell me how many countries are in united republic of tanzania or it’s just since 1900s it’s was tanzania remember two countries united to make one nation by law not full fill
@@BuhetySharia ukitaka kujua kama Zanzibar ni nchi katizame umoja wa mataifa herufi gani ina simama ni U jiulize why iwe U na isiwe T, huu ni Muungano wa nchi 2 ambayo ni tanganyika na Zanzibar, nyie ndio hamna nchi maana tanganyika ndio haipo ila zanzibar ndio nchi maana ipo
@@BuhetySharia kwani muungano ulikua wa mkoa wa Tanganyika na Zanzibar au nchi ya Tanganyika na Zanzibar? Chuki zitakuuuaaa
Ngojeni yanayokuja msipoyashuhudia duniani mtayasikia kabulin
Kabisa
Acha tuone uwezo wa kisanaa wa Zanzibar maana so far hawa watu hawatugusi bara kwa ubunifu wala ushindani hata chembe.....time will tell.
Itaitwa zaw hood
Hao wazanzibari, hulalamika kua watanganyuka ndio wamebadili maadili yao, wakati huo huo, wanawapa maeneo watu wanasapor ushoga na mambo mengine yalio nnje ya maadili ya kizanzibar.
Very nice
Naona watanganyika wanavo lalamika wakiti wao bandari t ilikua nishida
Majasusi Tu hayo
😃😃👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
Mnajiuza na kuuza nchi bila kujua hakika fikra hazitumiki hakika naamini maneno ya triumph wenge akil hawatumii na ambao hawana wanaaminishwa nchi ya ahadi ambayo haiko...hakika so sad😢😢😢😢😢😢😢
@@NasriHamza-y8y inasikitisha sana bruh. Mimi Naomba viongozi wetu wakienda nje wakipata ideas zinazohusu matumizi ya raslimali za taifa walete mapendekezo kwa wananchi kupitia bunge, angalau halafu maoni pia yawe solicited from the public. Tunamiss input ya general public kwenye mambo haya. Hizo international film villages(studios) zilianza very humbly. Tanzanians can do this, come on washauri wa rais 😐
NA mimi niwe msanii
80 za nn watu wanektie kwenye chumba tu skuiz aloo Daah balala ya kujengwa kiwanda kikubwa cha samaki😢
Tatizo labda studio yenyewe inaweza isiwepo lakini kama inawepo, Studio ya Filamu ni TOFAUTI na Studio ya Muziki! Na ukiamua kweli kweli, hata hizo Ekari 80 ni NDOGO SANA !!
@@MyplusbeeHuyo jamaa haelewi cku hizi watu wana act katika studio
Kwani izo avengers zina actiwa mtaani au
Wajiandae na ushoga kuenea zaidi😀🤣🌈🤤🌈
Wazanzibar sio mashoga ila hao mashoga unao wakuta asili yao ni kutoka bara huo ndio ukweli
Wanajuwa kuwa hayomambo hayapo kwetu
Wewe bwege Nini uko bongo Kuna mashoga kibao
@@salumabdallah2990 asili ya mashoga ni watu wa pwani ni ngumu kumkuta shoga muhehe au mkurya msukuma ila wapemba wadigo ndio wamejaa mfano mauzinde ni mpemba kuzaliwa Zanzibar kakulia Zanzibar na anafirwa Zanzibar🤤🤣🤣🤣
@@salumabdallah2990 hakuna mbara shoga
80 yote atafugq namifugo au
Mwanasheria wangu haba cheti😅😅😅
Zanzibar inaenda kuwa mlango wa mafanikio kwa Tanzania 🙏🙏🇹🇿
Ni kweli maneno yako , sisi Wazanzibar hua hatunufaiki , mapato huletwa Tanzania.
Astghafiruwallah subhanallah labda watuletee uhuni na ushoga
@@RitbayRitbay acha kuwa na negative patheption
Kama ushoga Zanziba upo mwingi
@@Fatma-wi2coujiulzi hako ka kisiwa ukitoa hekali 80 mnabakiwa na mimi kwa ajili ya watoto wenu
@@JKQGAMEkwani ukiwa mzazibar lazima ukaishi Zanzibar?
Hapo wamenyang'anyw masikini kapewa mgeni😢dooo Africa aloturoga nani?
Ushoga, pombe na ufuska utaongezeka maradufu...ndugu zangu washirazi wajiandae
Sanaa
🇹🇿🎉
Namimi nipewe eneo nilime karafuu
Jina Iiitwe zanzi hood ilo jina ndo nimelitunga mim apo
Mimi Mzanzibari naomba munipe ekari mbili tu nifuge kuku wa mayai 😅😅 yaani nchi yetu inagaiwa kwa wageni na sisi tunakufa njaa
Umeongea ukwel
Elba nae Hollywood? not sure!!!!
Uyu mama anauza kote kote 🤣🤣🤣🤣
Mara hii si ameuza kwao, wee unaumia nini 😂😂
Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar, lkn wageni wengine ruksa🤔🔨
Ukikua utajua sie tuna jielewa zamani sana mgeni sisi tunampa lease
Sio kweli mbona wanajenga hadi ba mdogo wangu kajenga zenji maeneo tofauti tofauti.
Mmempa ama mmemkodisha yan nyie haaa aya na mm nipeni
Ila Mie Mzalwndo hata Kiwanja Sina 😂 nitaoza Hapa Zenji 😂
Kwann IWE ZOLLWOOD WAKATI STUDIO NI YA TANZANIA NA ALIONGEA NA RAISI WA TANZANIA? AU NI MUENDELEZO WA UBAGUZI WA WAZANZIBAR? 😮😮😮😮😮😮😮😮😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😮😢😮😢😮😢😮😢😮😢😮😢😮😢😮
Sioni kama kakusudia Ubaguzi hapa Ndugu katoa Maoni yake tu
Wizara ya Sanaa zanzibar na tanganyika kila mtu na yake
Mlianza nyinyi kwa kuita bongo muvi.
Kwakua studio ipo Zanzibar itakua chini ya Baraza la Sanaa la Zanzibar, Zollywood Habari ya mjini
Watu bwana ,sasamwekezaji anakuja unaongea wajitayarishe na ushoga ? Wht does it mean? Signing logic hapo? Watanzania duuh
Wivu huoo😂
Je wazee wa huko fumba watakubalii? 😂😂
Maana naijua Zanzibar na vijiji vyake In an Out.
Wazee wakijiji wakisema atutaki mambo yenu ya hanasa Iyo imeisha.
Mkilazimisha mtajua hamjuii😂😂😂😂
Kujenga studio tuu ndo ekari zote hizo? Wakat hata ekari moja na nusu ingetosha kabisa pamoja na eneo la car parking
Studio syo jengo moja au mawili,
Studio ya movie ni pamoja na ujenz wa mandhari ya kila aina kwa ajili ya kurekodia movie. Haiitajiki waigizaji kwenda location
Kwanini zollwood na sio tanzwood 😏😏😏 nonsense
Sisi tunanchi yetu ZANZIBAR na nyinyi taftenii nchii yenuu
😅
😂😂😂
@@SilimaUssi better to be separate
HHHH 🏃🤦🏿🏃HHHHH
Tanganyika Tanganyika Tanganyika Tanganyika Tanganyika Tanganyika Tanganyika Tanganyika Tanganyika
Msilale
Tujiulize serikali imetoa wapi hiyo ardhi
Kwn ardhi huwa ni ya mwananchi au ya serikali?
@@rumdeesonsoa1811Ardhi ni mali ya umma sio ya serekali
@@حكايةغد Ukishasema mali ya uma manaake ni ya serikali ndio maana madini yakigundulika kwenye ardhi yako serikali itakuondoa tu bila kukulipa chochote zaidi ya kifuta jasho tu
@@حكايةغدhuijui katiba ya Tanzania na katiba ya zanzibar ...ardhi yote ya muunganiko iko chini ya mamlaka Raisi na serikali yake....Uma umepangoshwa tu
@@حكايةغد wazanzibar watapelekwa mwanarumango wakaishi maana tayari znz imeshauzwa kuna wananchi wanalalamikia ardhi yao kujengwa airport ya pili nchi ndogo