Kuna jambo watu huwa hawaelewi. Iko hivi, Putin hadi leo hii hajatumia jeshi lile la Russia, yaani read army!! Putin anatumia vikundi vikundi tu wa wanajeshi lkn sio jeshi kamili la Russia kwasababu ili maadui zake kama marekani washindwe kujua nguvu ya Urusi kiundani zaidi.
Nanyie mlalege 😂😂bhna yani hizi hbari kama hzi BBC DW hawazitangazi leo nime wachana dw nkawambia nyie nivibaraka wa magharibi, mnatoa habar potofu et Ukraine yazdi kukamata maeneo mengi kumbe wanajeshi wake Wanaitwa mbolea ya ardhi ya kursk huko
Nikama Tanzania Zanzibar ukisikia urusi nimuunganiko wa nchi zaidi ya 21 Ila wao huita majimbo usishangae nchi moja upande moja ucku kwingine mchana urusi nikubwa mno kijiographia
Vita ni washirika,,,marekani hajawahi pigana vita bila washirika ,,wameenda uraq ,Libya NATO wote,,,,,ila Putin akili kubwa ,,,, Hadi Sasa kashinda asilimia 18% ya Ukraine kachukua,,,,we unafukiri vile vitongoji alivyo chukua Kursk,, Ukraine haboi na hawezi kukaa pale mwaka,, niliuulize nikuambie kilichokuwa kimetokea BAHAMUDI,,, Palikuwa machinjoni,,,sawa na ule mji Kursk Ukraine Hadi Sasa wanajeshi 400 wamelamba mchanga,,,
@@Kzm-c9u sisi Tanzania 🇹🇿 tupo Tayari kupigana na mbwa yoyote apa duniani kwanza tubatanguliza wagambo alafu tunapeleka raia kwasababu raia wa Tanzania ni mashushu namba moja duniani wakishakwenda raia sisi ngoma ngumu tunamaliza baba navita na vita vitakuwa tumeshinda
Msaada wa nini? Putin anapambana na mashoga wote marekani, ufaransa, uingereza, ujerumani, uturuki, italy, mholanzi, ubelgiji, na wazungu wengine. Elewa Putin yeye yupo pekee yake ila alisema atahakikisha wale maadui wa marekani atawasaidia silaha, kwahiyo ukimuona Putin anatambelea nchi jua anaenda kuzisaidia, na si kuomba misaada.
@@mustafamasudi8093 ww ndiye unaeteseka mimi wala.Haya kuna ugonjwa wa mpox huko Congo umejitokeza na unaua haya sasa kusanyikeni ukoo wenu wote mgundue dawa sasa kama sio mnawategemea hao wazungu.una akili mgando.
Wa 13 ku comment leo nipeni like zangu ambao tuko pamoja na Putin
Haya enjoy
Haha uko pamoja huku unaogopa kuingia vitani
Huyo ndio Ramadhan kadrove marekan wanaujua ushujaa wake na sasa Ukraine ajiandae sana kukabiliana na huyo jamaa ni hatare
We tulia mashoga matumbo joto
Jipe Imani wanamchoma sindano taratibu then
Putin ananikosha na hizo ziara zake za usiku kwa usiku 😊🙌🙌
MI pia yani mwamba halali kiume kazi kazini 😊😊
Angekuwa mwingin ungesema kuomba msaada 😅😅😅 yan magaidi mna matatizo
Si mwizi huyu na mwizi usiku ndio zake
Nakweli mkikaa kindezindez Dunia yote itatawaliwa na mashoga mashetani wabaya safi Puttin safi Kwa wale wote wanao ends kinyume na mifumo ya magharibi
Kuna jambo watu huwa hawaelewi. Iko hivi, Putin hadi leo hii hajatumia jeshi lile la Russia, yaani read army!! Putin anatumia vikundi vikundi tu wa wanajeshi lkn sio jeshi kamili la Russia kwasababu ili maadui zake kama marekani washindwe kujua nguvu ya Urusi kiundani zaidi.
Jidanganye kazidiwa
@@sadammkinga2946 siwezi kujidanganya. Mimi naelewa vizuri.
Leo Mke Wng Atafurahi Sana🎉🎉🎉
Much love. SNS kwa habari. Nzur
🇷🇺🫡🇹🇿💯
Tunahitaji Vikosi kutoka Chechnia kuongeza moto huko Kursk ili Zelensky aisome namba.
Nadhan vikeshafika kwenye mapambano maana siku kadhaa walidai wapo njiani wanaelekea kwenye tukio
Sns mko vixuri sana .
Ruko pamoja
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉Safi sanaaaa,RUSSIA/PUTIN
Asante mzee sky hii ni safi sana ya kulalia uuuuurrrrrraaaaaa
😂😂😂😂😂😂
Mbona huonyeshi vidio zionists wanavyowatesa wakiristo Jerusalem SNS
Alaa kumbe
Wanaumeeeee kazikazi Putin oyeeee Mh. PUTIN mzidishe mawazo Shoga BIDEN hadiazime kabisa anaanguka anguka hoyvo
Mwamba huyo hapo🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Kuiongoza Russia pekeake na ukubwa wake!! Aiseee huyu jamaa anafaa kuheshimiwa
Oya sio mchezo medvedev kashindwa
Pole sana bro sky, naona mafua yamekubana....❤
Huyo mwamba tunaomba historia yke tunahitaji kumjuwa zaidi
Mashoga na wanaopenda USHOGA huwezi elewa hiii😊😊
Nanyie mlalege 😂😂bhna yani hizi hbari kama hzi BBC DW hawazitangazi leo nime wachana dw nkawambia nyie nivibaraka wa magharibi, mnatoa habar potofu et Ukraine yazdi kukamata maeneo mengi kumbe wanajeshi wake Wanaitwa mbolea ya ardhi ya kursk huko
Unaumwa ww.umgonjwa wa akili.umewachana kwa njia ipi.
@@anny19988 ww ni maiti inayotembea.
UASI WA KIISLAMU TENA KUMBE HAWA JAMAA n hatari kila mahari 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wakubwa wa kazi wana uchebe wameloa vyeo kawaida tu njoo Afrika sasa
Putin mzee mwenye hekima, one love baba putin
Hahahahahah mbona fubi 😢😢😢😢I love Putin
wako kazin mbona tangu na wangen lakin kwasirisana
Vita ni kama mpira , haya kocha mpya anakuja 😂😂
Umakini katika kuteua viongozi ni wa muhimu mno kwa maendeleo na usalama wa nchi.
Daaah nimetoa Machizi, nilipoona akipiga magoti😢😢
Sma alihendaga wapi
Sima anaumwa, tumuombee,😢
Huyu puti ana heshima sana namuelewa sana sana
Chechnya na russia wana ongea luha moja
Kadrove ❤❤❤❤❤❤ ni Mwamba mwengine
Hiyo nchi ndo naisikia leo
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Wachechnia wazee wa nyundo
AWEEEEEE
Hii chechnyia ni nchi au mkowa
Mkoa au jimbo ndani ya urusi
Kama zanzibar kwa tanganyika@@amirinestory
Viva Putin ❤❤❤
Chechinia ni taifa au Jimbo la urusi
Nikama Tanzania Zanzibar ukisikia urusi nimuunganiko wa nchi zaidi ya 21 Ila wao huita majimbo usishangae nchi moja upande moja ucku kwingine mchana urusi nikubwa mno kijiographia
Putin anahangaika saana, atakuja kuomba msaada mpaka TZ
Tupo tayari
😂😂😂😂
Ukimsahau na Netanyahu katika hilo basi utakuwa unamchukia putin kwa mihemko tu
Vita ni washirika,,,marekani hajawahi pigana vita bila washirika ,,wameenda uraq ,Libya NATO wote,,,,,ila Putin akili kubwa ,,,, Hadi Sasa kashinda asilimia 18% ya Ukraine kachukua,,,,we unafukiri vile vitongoji alivyo chukua Kursk,, Ukraine haboi na hawezi kukaa pale mwaka,, niliuulize nikuambie kilichokuwa kimetokea BAHAMUDI,,, Palikuwa machinjoni,,,sawa na ule mji Kursk Ukraine Hadi Sasa wanajeshi 400 wamelamba mchanga,,,
@@Kzm-c9u sisi Tanzania 🇹🇿 tupo Tayari kupigana na mbwa yoyote apa duniani kwanza tubatanguliza wagambo alafu tunapeleka raia kwasababu raia wa Tanzania ni mashushu namba moja duniani wakishakwenda raia sisi ngoma ngumu tunamaliza baba navita na vita vitakuwa tumeshinda
Hii nchi binafsi ndio kwanza naisikia Leo hivi ni nchi au ni mji maana ndio mara ya kwanza kuisikia😂😂
Dunia ina nchi ngapi, tuanzie kwanza hapo?
Chenchen fighters mwanzo wa vita ya Russia na ukraina walioeleka Askari wao, hii ni mara ya pili wanapeleka tena
Chechnya ni Russia.
Wa pili😂😂😂
Wa kwanzaaaa
Kwani hawa jamaa wa checnya ni waarabu au?? Maan wanavyo onekana tu ni moto
Chechniya iliwahi kuwa sehemu ya Urusi
Sawa😂😂😂
Achukue makomando wa Jwtz wakamalize kazi.
😂😂😂
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
❤
Hy sara ya putin umeiona au n mm pekee yngu
😂😂😂
Putin ni mkristo ambae Imani yake Orthodox church,,,Wana papa wao achana na yule was Italy anapenda kufilana@@YamunguMatamya
😂😂😂😂😂 ameishiwa ameanza kuomba msaada mwaka huu lazima tumfire
Kila siku nakuambia ww ni Kama mbwa mwenye fangasi, akili zako ziliungana na mshipa wa mavi.
PUTIN AJAISHIWA ANAPIGANA NA MATAIFA 50 YEYE PEKEE YAKE
@@GeorgeAkasha-zx2rj Awamuezi putin taifa kubwa Russian wamoto wazoefu wanasiraa kama mchanga
@@raydanfrenk chamoto anakipata sasa anajuta kwa nini kavamia urusi
Kaanza kuomba msaada
Msaada wa nini?
Putin anapambana na mashoga wote marekani, ufaransa, uingereza, ujerumani, uturuki, italy, mholanzi, ubelgiji, na wazungu wengine.
Elewa Putin yeye yupo pekee yake ila alisema atahakikisha wale maadui wa marekani atawasaidia silaha, kwahiyo ukimuona Putin anatambelea nchi jua anaenda kuzisaidia, na si kuomba misaada.
@@mohdkhatib223 bado haujui kitu
Ni lazima aende si anapigika now
Pole sana kwa maumivu unayoyapata Putin anakukosesha sana usingizi😊😊
@@mustafamasudi8093 ww ndiye unaeteseka mimi wala.Haya kuna ugonjwa wa mpox huko Congo umejitokeza na unaua haya sasa kusanyikeni ukoo wenu wote mgundue dawa sasa kama sio mnawategemea hao wazungu.una akili mgando.
ndiyo akili yako ilipoishia maku pole saaaaana.RUSSIA BABA LAO
@@PAULNYANDILE Marekani baba lao si unaona juzi tu tumetoka kununua ndege mpya Marekani.
Jamaa anahangaika saaana
Utaangaika saana
Putin nichuma
@@kafwimbimilambo8556 hahahahahaha leo nimemuona akiwa Chechnya dah amechoka saaana. Vita ya Ukraine inamtesa saaana. Atakuja kuomba majeshi mpaka TZ
😂😂😂😂
Yah anataka kila nchi ktk hii dunia iwe huru na kuheshimika.
Utahangaika wewe na mashoga wenzako