BIASHARA YA MANUKATO YALIMFANYA MATIES AACHE KAZI YA KENYE NDEGE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 вер 2021

КОМЕНТАРІ • 65

  • @samiramahmud406
    @samiramahmud406 2 роки тому +7

    MashaAllah
    Dada Anazungumzia
    Vizuri sana
    Asante kwa muongozo
    Mungu Aijaze Baraka Biashara yako zaidi na zaidi, Amiin

  • @ajuayekihwelo1355
    @ajuayekihwelo1355 2 роки тому

    Hongera sana dada yangu na bosi wangu mwenyezi Mungu akuimarishe zaidi na zaidi katika kazi zako

  • @nigananurunjema
    @nigananurunjema 3 місяці тому +1

    Nimependa jinsi unavyojieleza. Unaelimisha vizuri sana. Una tawi Mwanza au Dar?

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 2 роки тому +8

    Ni raha kumuona mwanamke anamaendeleo

  • @suzanjonathan1672
    @suzanjonathan1672 Рік тому

    Uko vizuri dada sna je mtaji unaohitajika ni kiasi gani

  • @ramadhannjaite8326
    @ramadhannjaite8326 2 роки тому +3

    Sawa dada upendo nakukubali tangu upo qatar air ways

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 2 роки тому +3

    MashaAllah 😍

  • @dorismichael3392
    @dorismichael3392 Рік тому

    Kazi zuri sana umeniamasisha kwakeli

  • @salmakiyabosiriyamachoziha8756
    @salmakiyabosiriyamachoziha8756 2 роки тому +3

    Hongra kwa juhud hizo Mam

  • @muhammehusna3384
    @muhammehusna3384 2 роки тому

    Mashallah ,,,

  • @user-zj9pr2kh3j
    @user-zj9pr2kh3j 4 місяці тому

    Nimeipenda niunge basi nami nifanye dear

  • @JacklinaMtei
    @JacklinaMtei 15 днів тому

    Arusha sehemu gani jmn nije dada angu

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 2 роки тому

    asante sana dada mungu akubariki kunifungua akili

  • @lissamsalu12345
    @lissamsalu12345 2 роки тому +5

    Napenda Sana business ya pafm

    • @iboibo2989
      @iboibo2989 2 роки тому

      Kama upo.sirias tufanye

    • @halimaabdulaza2345
      @halimaabdulaza2345 2 роки тому

      Nimependa sana iyo biashara

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 2 роки тому

      twende kazi mpenzi nasi tujumuike tujuwe tu mtaji tunaanza na ngapi

  • @rosembuya8761
    @rosembuya8761 2 роки тому

    Dada nimekupenda uko vizuri sana naomba no yako my dear

  • @zaytonuiibrahim791
    @zaytonuiibrahim791 2 роки тому

    Mashallh

  • @hegiselkok9888
    @hegiselkok9888 Рік тому

    Huyu dada n dada kweli, hana wivu na mfanikio ya mwanamke mwingnie, anakupa njia

  • @happykundael7706
    @happykundael7706 Рік тому

    Arusha upo sehem gan tafadhali

  • @bikilamngashabani3263
    @bikilamngashabani3263 2 роки тому +1

    Ndo mtihani nilionao Mungu nisaidie

  • @ajuayekihwelo1355
    @ajuayekihwelo1355 2 роки тому +1

    Msalimu na huyo Matha

  • @denicefelix1763
    @denicefelix1763 2 роки тому

    👍👍👌👌💪💪

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 4 місяці тому

    Dada hutoi mafunzo huna groups za watsup???

  • @humudseif7462
    @humudseif7462 Місяць тому

    Inawezekana kupata number za uyu mama mimi sipo tzd

  • @happymarksimwita5244
    @happymarksimwita5244 6 місяців тому

    Vip mnajumulisha

  • @user-ie5xs4nm4m
    @user-ie5xs4nm4m 7 місяців тому

    Namba ya simu tafathali

  • @fatmadevd8072
    @fatmadevd8072 Рік тому

    Nahitaji number ya huyu Dada jmn naipataje.. Nataka kuwa mteja wake please kwa alie na number yk😢😢😢

  • @evodiusrugakingira88
    @evodiusrugakingira88 2 роки тому +3

    Absolutely🤣🤣🤣

    • @rosemarymare8435
      @rosemarymare8435 Рік тому

      Mungu hakubariki tena nate naomba dada yangu ata mimi nataka kujifuza naomba utufuze online thafadali mm ni mukenya nakugoja mafuzo yoko sister

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 2 роки тому +1

    Nimejifunza kitu

  • @rosembuya8761
    @rosembuya8761 2 роки тому

    Naomba no yako my na mm nijikwamue kiuchumi

  • @zakhiamsuya4922
    @zakhiamsuya4922 Рік тому

    Dada anajielezea vzur mpka raha

  • @fatumamashombo7152
    @fatumamashombo7152 4 місяці тому

    Hapa Arusha unapatikana eneo gani tuje kukungisha

  • @timahproducts001
    @timahproducts001 2 роки тому

    Nilichojifunza mafanikio yanaitaji uvumilivu najuhud cjackia mtu kafanikiwa na kusimama kwa wakat mfupi tu

  • @timehassan5678
    @timehassan5678 2 роки тому

    lakini hakuweka namba ya bishara kama mtu anahitaji atapataje

  • @happykundael7706
    @happykundael7706 Рік тому

    Au kwa anaejua anawez akanijib

  • @halimaabdulaza2345
    @halimaabdulaza2345 2 роки тому

    Samahani dada angu napenda nifanye biashara kama yako so naomba contact yako ili tufanye mawasiliano piya nishauri katk iyo biashara

  • @maryam-lt2lo
    @maryam-lt2lo Рік тому +1

    Mamb dada

  • @salmauae2261
    @salmauae2261 2 роки тому

    Vizuli

  • @lissamsalu12345
    @lissamsalu12345 2 роки тому +3

    Lakini sijui mtaji shingapi

    • @virendavictoria5174
      @virendavictoria5174 2 роки тому

      Mojawapo ya sababu watu wanashindwa kuanzisha biashara au wanafeli hata wakianza ni hili swali lako...

  • @zamdakimaro2973
    @zamdakimaro2973 2 роки тому

    JAMANI NATAMANI SANA UJASIRIAMALI ILA KILA NIKIJARIBU NAFELI

    • @maguga
      @maguga 2 роки тому

      Sio wewe tuu Mie nipo Dubai lakin nimejalibu zinafell kwakwel

    • @rachelfrancis9440
      @rachelfrancis9440 2 роки тому

      Mungu kwanza jamon.. Kila jambo mshirikish mungu

    • @Sharifarajabudebe
      @Sharifarajabudebe Рік тому

      anza kupitia uwezo wako

  • @emmychitunga8304
    @emmychitunga8304 2 роки тому +1

    Dada misijuagi kabisaa kuchagua pafyumu inayoweza kunifanya kuwa na harufu nzuri je waweza kunisaidia kupata pafyumu nzuri nipo mlandizi na je ntaipataje

    • @samiramahmud406
      @samiramahmud406 2 роки тому +2

      Kuchagua perfume
      Inakuwa inategemea
      Unapenda harufu za
      Maua mfano Yasmin,Rose,
      Ylanglang,Patchouli etc
      Sana haya mauwa yanatumika kwenye Perfume,
      Au kuna perfume Harufu
      Ya Fruits kama Peach fruits,Rasbery etc
      Sana zinatumiaka kwenye Perfume Harufu hizo
      Na Pia kuna Harufu Ya
      Sweets
      Na Harufu ya Oud
      Inakuwa na Harufu ya udi
      Imechanganywa
      Kwa hiyo una Ponunua
      Perfume Unaweza kuulizwa unapenda Harufu
      Za Aina Gani
      Mauwa?
      Matunda?
      Sweet?
      Or Udi ?
      Na kadhalika

    • @emmychitunga8304
      @emmychitunga8304 2 роки тому +1

      @@samiramahmud406 napenda yasmin ila sasa nikiingia dukani pafyumu zote huwa naona zina harufu moja ndomaana nikaomba msaada napenda sana manukato ila ndohivyo dd

  • @iboibo2989
    @iboibo2989 2 роки тому +3

    Da dina nipefursa nionganishe na huyo dada wa pafyum,niwe nafanya nae buashara,nimletee pafyumu,mimi pia mwanamke wa shoka nipo dubai please nionganishie tufanyenae biashara

    • @josephineittika7738
      @josephineittika7738 2 роки тому

      Unaweza toa contacts zako kuwa faida ya wengi

    • @iboibo2989
      @iboibo2989 2 роки тому

      @@josephineittika7738 kama upo siriasi weka no tuchat wtsap

    • @maishayetukilasiku7365
      @maishayetukilasiku7365 2 роки тому

      Helow naweza kukupataje ndugu

    • @husnaabdarasuly4370
      @husnaabdarasuly4370 2 роки тому

      Mashaa Allah Tabaraka Rah'man dada nakupataje namba zako unisaidie nimependa sana maongozi yako nisaidie dada na una ushaur mzr sanaaa

    • @floramusira4612
      @floramusira4612 2 роки тому +1

      @@josephineittika7738 nakuona