PART1:MWANAUME ALIELELEWA NA KUPEWA MAFUNZO NA MAJINI/MIGUUNI ALIKUWA NA KWATO/YUPO CHINI YA BAHARI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 199

  • @fatmasule1175
    @fatmasule1175 4 роки тому +47

    Waislam wenazangu na wakiristo pia nawatakia iddi njema mungu atupe afya njema na tuzid kumsapot davista

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 роки тому +3

    Mtihani sana haikuwa elimu ya dini hiyo ilikuwa unafundishwa uchawi bila kujua alikuwa mchawi huyo si Sheikh amejificha kwenye kivuli cha dini

  • @audrickmillinga4667
    @audrickmillinga4667 4 роки тому +5

    leo umependeza sana davistar, ila naomba Mungu akulinde kwa kazi unayofanya maana shetani anaona unavyomfichua na siri zake kupitia shuhuda mbalimbali, hivyo ninaomba Mungu aliye juu mbinguni akuzungushie ulinzi wake kila unapokanyaga na unapoenda uwe mikononi mwake Kristo Yesu

  • @mrsochu-hv7bm
    @mrsochu-hv7bm 4 роки тому +17

    Nilikua live...naangalia shuhur ya esma
    Lakin nimeacha kwa ajili yako davistar naomba unijibu...hongera kwa kazi nzur🇴🇲

    • @lissapoul5227
      @lissapoul5227 4 роки тому +2

      Hata mm..yaan nimeacha fastaaaaaa😅😅😅😅

    • @sjfamily8121
      @sjfamily8121 4 роки тому +1

      @Zeinab Farah kwani we uko wapi Zena?

    • @ayushsaeed1051
      @ayushsaeed1051 4 роки тому +1

      Nakutakia eid utuketee tende tu

    • @mrsochu-hv7bm
      @mrsochu-hv7bm 4 роки тому +2

      @@ayushsaeed1051.....mminal-mufaidhina....ucjali tende tyuu na huu ndo msimu wake zipo kama zote

    • @mrsochu-hv7bm
      @mrsochu-hv7bm 4 роки тому +1

      @@lissapoul5227 kumbe tupo wengi

  • @mwesigwaannte1658
    @mwesigwaannte1658 4 роки тому +4

    🤔 Dunia kuna mambo kweli but Thanks Davi for the good work

  • @amaniyakobo8889
    @amaniyakobo8889 4 роки тому +2

    Mungu ni mwema kakutoa

  • @abdulhalimhumud1917
    @abdulhalimhumud1917 4 роки тому +1

    Mr Facts hongera sana Pili macho Yangu Au Naona kama Shavu dodo Ivi Masha Allah 😊😊

  • @mwamurekadenge2161
    @mwamurekadenge2161 4 роки тому +1

    Nice story divester mata nakufatilia sana bro kipindi chako

  • @aprilking8250
    @aprilking8250 3 роки тому +1

    Kuna mambo upande wa pili Tumuombe Mungu mwenye kuokowa

  • @mwashumcubwa1928
    @mwashumcubwa1928 4 роки тому +8

    Muendelezo plzzzzzz🙏wengine usku tunakesha mitandaoni 🤣😂

  • @njengamichael102
    @njengamichael102 4 роки тому +4

    Endelea kutuelimisha Mr Facts pamoja sana

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 роки тому +3

    Ndio maana some time mkienda kwa waganga mnakuta vitabu vya kichawi vimeandikwa maandishi ya kiarabu kama hujui Qur an unaweza sema ni qur an kumbe ni vitabu vya kichawi vinavyotumia lugha ya kiarabu

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 4 роки тому

      Kweli na ndo wanavyovikuta hawajui kitofautisha baina ya sheikh na mshirikina kanzu watajua kutofaitisha baina ya Qur-an na kitabu cha kiarabu?

    • @neemaabdallah3567
      @neemaabdallah3567 4 роки тому

      Apo sawa umenena Kweli

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 4 роки тому +6

    Eid Mubarak kwetu sote

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 роки тому +1

    Nilidhani niwachingaji wanaficha makucha yao mana wengiwao wanatumia nguvu xagizaa huyo shakhe naye sio kidogo dini kumbe mauza uzaa mybe alitaka kukufubdisha jinsi yawanga🤣🤣😂😂

  • @gmdecoration6044
    @gmdecoration6044 4 роки тому +2

    Nice brother

  • @sulaimanbob4493
    @sulaimanbob4493 4 роки тому

    Nice story binadamu wabaya Sana jamani

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 4 роки тому +3

    Hatupoi Mtu makini🤝

  • @hansiselemani8025
    @hansiselemani8025 4 роки тому +4

    Uyo kweli alifata elimu ila bila kujua kuwa uyo sheikh ni mganga pamoja na hao majin walimtak wamtumie kwenye kazi zao ,,..Au yeye anatficha alifata elim ya uganga ili awe mganga mwidho kayaona makubwa ikawa sabab ya kkimbia

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 4 роки тому +3

    SHEIKH NA MCHAWI NI WATU WAWILI TOFAUTI, UISLAMU HAUFUNDISHI USHIRIKINA WALA UCHAWI, BALI WATU HAO WANATUMIA KIVULI TU CHA DINI, NI WACHAWI NA SIO MASHEIKH..

    • @abn8331
      @abn8331 4 роки тому

      Hii story sijaimaliza lakini naona imekaa kikutengeneza tengeneza fulani hivi.

    • @videozaaj1069
      @videozaaj1069 4 роки тому

      Ukiwaamini sana watu utakuja kufeli,

    • @LOGOSNew
      @LOGOSNew 4 роки тому

      Professa ndugu yangu. Naamini unampenda Mungu na dini yako. Lakini tafadhali fanya uchunguzi. Waislamu wa kawaida wanamfuata Mungu kwa dhati, lakini wasomi wa dini kina Shekhe na Ustadh ndio wanaoelewa undani wa uislamu. Ulijua kwa mfano kuwa Uchawi dhidi ya wanaopinga uislamu kama vile wakristo ni mojawapo ya JIHAD? Tafuta katika UA-cam clip inayoitwa " Aliyekuwa Muislamu ..." Ina picha ya mwanamme aloyevalia nguo ya blue. Anasimulia jinsi alivyofunzwa elimu ya uchawi ambayo iko katika sehemu ya mwisho ya Q'uran. Anaeleza vile wakati mwingine alishirikiana na kikundi cha Mashekhe kuroga Wakristo waliokuwa wamepanga crusade. Lakini wote walishindwa.
      Unajua kuwa waganga na wachawi mashuhuri kabisa ni Mashekhe? Na wao hutumia Q'uran. Ni kweli kuwa waislamu hufunzwa kuwa dini imekataza uganga na uchawi lakini ukweli wa mambo ni tofauti kabisa.
      Unajua vilevile kuwa "Albadr" inayosomewa mtu aliyekukosea ni uchawi na iko katika Q'uran? Wakati wa kuisoma majini huitwa kumwandama mkosaji wamwadhibu? Zaidi ya hayo, sehemu ya mwisho ya Quran ni mafunzo ya uchawi. Tafadhali chungiza kwanza.

    • @susanejd7775
      @susanejd7775 4 роки тому

      @@LOGOSNew ndugu yangu cathrine kwanza nikujuze kuhusu albadri ni nini. Kulikua na vita kati ya waislam na makafiri sehemu ina badri. Ikaitwa vita vya badri. Lkn hakuna kwenye quraan inaeleza kusoma au kufanya badri. Ila waganga wametumia hiyo kwa manufaa yao wakaita albadri ili watu waamini. Na ujue wenye kufanya hiyo albadri ni haramu na ni dhambi. Waganga wanatumia maandishi ya kiarabu kwa asojua quraan ukiona utasema quraan. Sababu waganga wenye kufanya hivyo. Wanafanya africa tu wakienda nchi za arabuni ukikamatwa na hivyo vitabu ni kuchinjwa tu unajulikana ni mchawi. Sijui umenielewa?

  • @kalssambaboo9705
    @kalssambaboo9705 4 роки тому

    Pole sana kaka huyo kajivalisha vazi la uislam nimshirikina tuuh

  • @jonathanntare4787
    @jonathanntare4787 4 роки тому +2

    Huyu jamaaa si ndiyo walimuuwa fred wakiwa na Lameck.

  • @kiyanawilonge1664
    @kiyanawilonge1664 4 роки тому +1

    Asante sana Da vista

  • @gladysngamimakau7099
    @gladysngamimakau7099 4 роки тому +2

    Leo Davistar umependeza😘 tunaeza anza famiia love from kenya

    • @hamadshein498
      @hamadshein498 4 роки тому +1

      Wewe enda ukazae na raila odingi.usiharibu kijana wa tz.

    • @priscalameck8700
      @priscalameck8700 4 роки тому +1

      @@hamadshein498 😀😀😀😀😀

    • @khadijaomari9344
      @khadijaomari9344 4 роки тому +1

      @@hamadshein498 😃😃😃

    • @damg4332
      @damg4332 4 роки тому +1

      @@hamadshein498 Mimi ni +254 but umenichekesha but wacha chuki 🙆😂😂😂😂

    • @gladysngamimakau7099
      @gladysngamimakau7099 4 роки тому +1

      @@hamadshein498 Raila is too old to be my grand father,am just showing some love , showing support ,stop hateing nothing serious lo!

  • @graciousjoseph6060
    @graciousjoseph6060 4 роки тому +2

    Naomba muendelezo davistar

  • @annastivin5606
    @annastivin5606 4 роки тому

    Honger davist mata

  • @swaumujuma6333
    @swaumujuma6333 4 роки тому +1

    Daa pole na mitihani sana kaka mungu yupamoja nawe Inshallah

  • @happybryce9715
    @happybryce9715 4 роки тому +1

    Mungu tunusu na walimwengu

  • @degaragewadoriojapan8968
    @degaragewadoriojapan8968 4 роки тому +2

    Pole sana

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 4 роки тому +1

    Hao watu ulikuwa unawaona ndio waliokuwa wamemtokea Muhammad kwenye lile pango la Jabari hiraaaaaaaaaaa...........akawa anaminywa mbavu ...mara tatu ......🤠..wakampa na utume ...........huwezi ukafikia elimu ya kuitwa sheikh bila kuifikia elimu ya majini na kuwa na majini yako ...huwezi ukaitwa sheikh . Hayo ndio mnasema majini wema 🤠🤠..hakuanaga majini wema ....mashetani ni mashetani tu........think twice ma friend

  • @khadijaomari9344
    @khadijaomari9344 4 роки тому +3

    jaman kesho nita tazama leo ucku no by wapendwa 😀😀😀

  • @salisali3738
    @salisali3738 4 роки тому

    Subuhanallah Rajabu

  • @norbertmafioso3213
    @norbertmafioso3213 4 роки тому +4

    wa pili leo🙌🙌 ...naombeni likes plz🙏🏿✍🏿

    • @norbertmafioso3213
      @norbertmafioso3213 4 роки тому

      Aysha Mahariq upo..?🤣

    • @norbertmafioso3213
      @norbertmafioso3213 4 роки тому

      Aysha Mahariq nashukuru kama upo na naomba uendelee kuwepo🤣🙌

    • @norbertmafioso3213
      @norbertmafioso3213 4 роки тому

      Aysha Mahariq facebook unatumia jina gan🤣🤣🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

    • @norbertmafioso3213
      @norbertmafioso3213 4 роки тому

      Aysha Mahariq oh sawa naiomba bhc

    • @norbertmafioso3213
      @norbertmafioso3213 4 роки тому

      Aysha Mahariq ok waiting.!

  • @violinenyakara5028
    @violinenyakara5028 4 роки тому +2

    Daaaah hamlali

  • @Soccer_Life2
    @Soccer_Life2 4 роки тому +3

    tazam Jinsi zuchu Alivyochenza na diamond platnumz ua-cam.com/video/fAUuWjgr3ac/v-deo.html

  • @shanyabdul2386
    @shanyabdul2386 4 роки тому +4

    Mekuja kuwah no tu stor kesho 🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

    • @teddysisty320
      @teddysisty320 4 роки тому

      Duuh shehe huyo

    • @shanyabdul2386
      @shanyabdul2386 4 роки тому

      Humu dunian cjui hata umuamin nani maana hata mwenyewe tu unajiogopa 🤣🤣

  • @18k.64
    @18k.64 4 роки тому +3

    Story nzito san hii 🙏🏿🙏🏿

  • @rukiammangammanga1166
    @rukiammangammanga1166 4 роки тому

    🤣 🤣 Aaaa ii izi str nikisikilizaa usk naogopaga nalala pekeangu jmn😆😆

  • @neemaabdallah3567
    @neemaabdallah3567 4 роки тому +1

    Jamani Davista nampenda Kwa kweli yupo
    Kikazi zaidi hapendi mteremko Kama wanaume we ngine

  • @thegreat.9869
    @thegreat.9869 3 роки тому

    Huyu ajui kuflow... ila ngoja niendelee kuichek

  • @mercikatate9033
    @mercikatate9033 4 роки тому +1

    Very good brother

  • @kamilyaibrahim9784
    @kamilyaibrahim9784 4 роки тому

    Leo hulali davistar huyu mtu anaonekana so innocent

  • @marthamshana9050
    @marthamshana9050 4 роки тому +2

    Umependeza mtu makini 🥰🥰

    • @damg4332
      @damg4332 4 роки тому

      👏😋😅😅

  • @mwatimeabdallah7945
    @mwatimeabdallah7945 4 роки тому +2

    Jamani huyu si ndio waliemchinja mwenzao?

  • @wantangosaimon5295
    @wantangosaimon5295 4 роки тому

    Davis naona kama unaogopa vile ndo mambo ya kidunia mkuu au ww nae wakupeleke kwa xhehe ukimbizwe yaani kama nakuona vile xuti itakavyopepea huku maiki mkononi hahahaaaaaaa

  • @marysellawanza2315
    @marysellawanza2315 4 роки тому

    Davistar Bona umejiangalia apo ivo Mara mbili

  • @halimamangala6731
    @halimamangala6731 4 роки тому

    Nakuona DM upo kwenye jacket😊😊😊

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 4 роки тому +1

    Tuned 🇰🇪

    • @ramadhangona9085
      @ramadhangona9085 4 роки тому +1

      Big up.... thought I was the only Kenyan listening to this channel hahahaha

    • @carolinetalam5832
      @carolinetalam5832 4 роки тому

      @@ramadhangona9085 No we're many infact i like this channel and many other Tz channels.

    • @ramadhangona9085
      @ramadhangona9085 4 роки тому

      Yes Tz have so many online channels and interesting stories.... really stories.... let's keep enjoying

    • @carolinetalam5832
      @carolinetalam5832 4 роки тому

      @@ramadhangona9085 Sure

  • @mosesdalali7671
    @mosesdalali7671 4 роки тому

    Ipo gud xana Davistar

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 4 роки тому +5

    Sio shekh huyo jamaa mwanga to anajificha katika dini

    • @fadhiliswalehe9286
      @fadhiliswalehe9286 4 роки тому

      Kweli

    • @aishasaid5702
      @aishasaid5702 4 роки тому +1

      Naam huyu walimficha hakumwambia walimfundisha elimu ya kichawi mshenzi alikuwa mchawi huyo

  • @faithmakena7720
    @faithmakena7720 4 роки тому

    part 2

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 4 роки тому

    Uyosheehe alikua na majini😔😔😔

  • @mwashumcubwa1928
    @mwashumcubwa1928 4 роки тому +3

    Wakwanza

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 4 роки тому

    Davistar tafta mic zile za kuvaa hapo kati

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 4 роки тому

    Sauti Leo hamna

  • @bundukitv1322
    @bundukitv1322 4 роки тому +2

    Tunaendelea na simulizi yetu ya bwana aliyepitia mazingira ya kuwa TEJA (Mla unga)👇👇
    ua-cam.com/video/B9q1Kx1f7SA/v-deo.html

  • @manenojames2011
    @manenojames2011 4 роки тому +1

    Wao leo wa 13 hahhahahahaahaahah

  • @jumakoga2179
    @jumakoga2179 4 роки тому +1

    Anatia shombo uwislaamu tu, hana lolote huyo ni mchawi na kaka kama umeamua kuacha basi tubia kwa Allah usiiyaanike mabaya yako mbele. ya viumbe wenzako

  • @dullermzungu3060
    @dullermzungu3060 4 роки тому

    Duller Mzungu hapa

  • @eshalibaba1195
    @eshalibaba1195 4 роки тому +1

    Team kuchelewa leo nimejitaidii nimekua wa 20 wadau wenzangu

  • @hamadshein498
    @hamadshein498 4 роки тому +2

    Huyu wacha tuangaalie.akiwa kama domo zege.tuna mlefti.

  • @witneyjerry1293
    @witneyjerry1293 4 роки тому +1

    Huyu ni yule walimchinja mwenzao au wamefanana?

  • @beatricekweka6683
    @beatricekweka6683 4 роки тому +1

    Eid Mubarak ndugu zangu...wapi mialiko jamaniiii...😜...karibu Tena Rajabu.👩‍💻👩‍💻

  • @mercikatate9033
    @mercikatate9033 4 роки тому +1

    Lakini tunasubiriya part zinazo fata
    DRC
    --------

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 4 роки тому

    Doh watoto wawenyewe kile hua mnakutana nacho wacha tu

  • @starluzenja9861
    @starluzenja9861 4 роки тому

    Davi umzima?mbona kama umebadilika ...😥

  • @nancychissamo379
    @nancychissamo379 4 роки тому

    Ehh kumbe ni yule wa madin,,kofia iliziba sura asee🙁😁. Mhhh story hz aseew jmn.

  • @pericykiko6198
    @pericykiko6198 4 роки тому

    Davistar kwani ni vibaya kua na Mike mbili?

  • @zenagunda1867
    @zenagunda1867 3 роки тому

    Sauti haiskiki vizury

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 4 роки тому

    Maluelue yote hayo ilikuwa ni kumpima Rajabu kama hana nguvu za kumpima Shekhe

  • @aminahassan4642
    @aminahassan4642 4 роки тому

    Huyo sio shekhe ni mshirikina anataka kuchufua dini .

  • @umpump8472
    @umpump8472 4 роки тому

    Mziki ya nini hatusiki vizuri ondowa mziki

  • @Teacher_01
    @Teacher_01 4 роки тому +6

    Why dont you create paid app for ur story

    • @mathiasgau9493
      @mathiasgau9493 4 роки тому +1

      UA-cam wanamlipa so haina haja 😅

    • @williammweta5539
      @williammweta5539 4 роки тому

      Utalipa muache afanye free

    • @sjfamily8121
      @sjfamily8121 4 роки тому +3

      Yani wewe kidume kizima wajiita zuchu? Yani kweli wewe umeamua ujiite Jina la kike eti ndio UA-cam yako ikue kwa haraka 😆😆😆 wanaume wengine bana

    • @williammweta5539
      @williammweta5539 4 роки тому

      @mathias gau kweli chief

    • @khadijaomari9344
      @khadijaomari9344 4 роки тому +1

      @@sjfamily8121 😃😃😃😃

  • @aminabhitalio8143
    @aminabhitalio8143 4 роки тому

    Aisee dunia hii

  • @goodgood9370
    @goodgood9370 4 роки тому

    Uko arusha davi pongezi

  • @jumakoga2179
    @jumakoga2179 4 роки тому

    Hiyo uliokwenda kusoma sio elimu ya dini na huyo wala sio shekhe Bali ni mchawi tena ni mshirikina hafai kuitwa shekhe na wala asinasibishwe na uwislaamu na we kaka unaekea hujuwi chochote kuhusu dini yako Mimi ninakuomba kasome nidi ya Allah na utubie saana ndugu yangu ktk imaani

  • @princesssway1396
    @princesssway1396 4 роки тому +2

    9 minits Niko hapa Davista love u

  • @kijangwazay7711
    @kijangwazay7711 4 роки тому

    Huyu wa juzi pole kwa majanga

  • @lukmanalbimani3030
    @lukmanalbimani3030 4 роки тому

    Mujuwe kutofautisha elimu ya dini na uchawi huo ni uchawi na sio dini.

  • @mariamukingazi3668
    @mariamukingazi3668 4 роки тому

    Utuletee tena domo nimemis

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed1051 4 роки тому +1

    Davistar Mata Mr ffffff

  • @mpigadili
    @mpigadili 4 роки тому +1

    Hii si ya kuitazama usiku kabisa, najutaaaa najutaaaaa... leo Taa itapiga kazi usiku kucha

    • @consolathacharles1475
      @consolathacharles1475 4 роки тому +1

      😂😂😂😂

    • @asfarsham9037
      @asfarsham9037 4 роки тому +1

      Ukiwacha taa wazi ndo majini wanapata kukuona uzuri 🤣🤣

    • @damg4332
      @damg4332 4 роки тому +2

      Comments section never disappoint 🙆😅😅😅😅😅much love 🇰🇪

    • @mpigadili
      @mpigadili 4 роки тому

      @@asfarsham9037 kuna unafuu bhana weee... ukizima yeye anakuona wewe humuoni bora iwake muonane😂😂😂

    • @ramadhangona9085
      @ramadhangona9085 4 роки тому

      @@damg4332 Hapa pia wakenya Tupo Tupo pia.... nilidhani Niko solo ...wakenya hoyeeeh!

  • @mimaswit2353
    @mimaswit2353 4 роки тому

    Nakufatilia kutoka Brazil uko sawa mtu makini

  • @hawasaid8262
    @hawasaid8262 4 роки тому

    Muenderezo

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 4 роки тому

    Pole kwayote

  • @ibrahimrukundo3064
    @ibrahimrukundo3064 4 роки тому +2

    😂😂🏃

  • @hawasaid8262
    @hawasaid8262 4 роки тому

    Uyo siyo shehe nimwanga uyo nauyo baba yako atakuwa mwanga vp akupereke apo

  • @salmamohammed5623
    @salmamohammed5623 4 роки тому +1

    Hukuenda kusoma dini ulienda kusomea uchawi huo.

    • @susanejd7775
      @susanejd7775 4 роки тому

      Huyu inaonyesha alikwenda kufanya uchawi asitudanganye kua dini. Na huyo sio shekhe ni mchawi tu na yy anajua. Ni vizuri devi anavyotuletea hivi visa tunajifunza

  • @princesssway1396
    @princesssway1396 4 роки тому +2

    Davista ulali kkkk

  • @idrisanaumanga6410
    @idrisanaumanga6410 4 роки тому

    Wa 30!

  • @marthamshana9050
    @marthamshana9050 4 роки тому

    Mtu makini

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 4 роки тому

    Usingemmwelezea nisinge mkumbka

  • @LOGOSNew
    @LOGOSNew 4 роки тому

    Jamani ndugu zetu waislamu, si anayezungumziwa hapa ni Shekhe, mwalimu wa dini yenu? Si anamfundisha huyu kijana dini yenu? Kwa nini basi huyu Shekhe amejaa majini na nguvu za kichawi? Kwa nini mafunzo anayotoa ni ya kichawi? Inamaanisha uislamu ni dini ya aina gani? Mungu asaidie watu wake wafunguke macho ya kiroho-katika jina la Yesu.

    • @susanejd7775
      @susanejd7775 4 роки тому +1

      Cathrine wacha kudhalilisha dini za watu. Kama shekhe ni mchawi ndo uislam wachawi? Hujui kua yyni binadamu kama mapadri wengi tu ni wanga na wachawi sasa tuseme ndio ukristo uko hivyo? Nadhani hiini mara ya 2 nakufahamisha au akili zako zimefungika? Na tunajuaje ksma huyu mtu katumwa wacha uzembe

    • @LOGOSNew
      @LOGOSNew 4 роки тому

      Ni kweli hata mapadre wengine ni waovu na kuna uwezekano mtu ajiiye shekhe akiwa anajifanya. Lakini chunguza utaona kuna aina mbili za elimu ya kiislamu: elimu ya kidini na "elimu dunia", ambayo waumini wa kawaida hawadiriki kuifikia.

    • @LOGOSNew
      @LOGOSNew 4 роки тому

      @@susanejd7775 Aina mbili za Elimu ya Kiislamu:
      (1) Elimu Akhera - mafundisho juu ya kuabudu Mungu. Kila mwislamu anayo hii elimu.
      (2) Elimu Dunia - Juu ya majini, uchawi na siri za ndani za uislamu. Hii ni ya waislamu wa viwango vya juu kama vile Mashekhe na Ustadhi. Ni mafunzo yenye siri nyingi ambayo mwislamu wa kawaida hatakiwi kujua. Ni ya koo za viongozi wa dini n a watu ambao wanaweza kuaminika kuhifadhi siri bila kuropokwaropokwa. Ukichunguza kwa bidii utajua ukweli lakini haitakuwa rahisi. Huo ndio ukweli dada yangu.

    • @susanejd7775
      @susanejd7775 4 роки тому

      @@LOGOSNew hakuna kitu kama hicho ati aina mbili za elimu. Dini ni dini hata awe baniani hakuna dini inayofundisha uchawi. Kama hao wachawi wanaojiita mashekhe mbona wakienda kuhij saudi arabia hawendi na hivyo vitabu vyao vya kichawi. Maana wanatumia alphabet za kiarabu lkn lugha sio kiarabu wala quraan. Wewe unajua ksma kuna watu wakikamatwa uarabuni na hivyo vitabu hukumu yao ni kuchinjwa unajua hiyo? Sssa kama ni moja ya dini ya kiislam kwa nn iwe haramu na wakanatwe? Usiwe mjinga hao wstu wanawadanganya sababu hamjui quraan.

    • @mimaswit2353
      @mimaswit2353 4 роки тому

      Wee wacha dharau kila dini huwa yapewa ujaribio soo wacha dharau kwa dini za watu

  • @amaniyakobo8889
    @amaniyakobo8889 4 роки тому +1

    Mungu ni mwema kakutoa