Hii story imenihuzinisha pole Sana . Mama Fred ni mtu special 🤔na nimemuogopa au Kwa lugha nyepesi mama Fred ni mchawi. Mwenyezi Mungu awarehemu Fred na Lameck.
Shetan anafanya kaz kwa spid kubwa,"japo kuna vitu ving vyakuhoji kwa jicho la nyama havileti majibu.Ila kwajicho la rohon hatakama asinge wafanyia kisasi mama Fred nahakika hyo pesa msingeitumia kwa aman damu ya mtu haipotei bule"
Hapo fredi alikuwa ametunukiwa na jini kule kwa kuchimba madini kwanini fredi alikuwa yy ndio mwenye kufanikiwa kupata hizo mali na mwenzenu hakuwa na roho mboya maana mara yakwanza aliona mulisota nyote kisha akawagaanyia na hizo pia angewagaanyia
Malipo nihapa hapa duniani Akhera hesabu mama amefaidi pesa jasho yamwanae😭😭😭😭😭lameck alirushiwaa rohoo yakuua yani huyo maza alimtoa kafara pamoja na lamek
Mhh kama ni kweli ,yaani mama fredy kumbe yeye ndio chanzo cha yote hayo,hivi hizi pesa zitatupeleka wapi jamani,umuue mwanao ili iweje utakuwa na raha gani na hizo pesa baada ya kutenda hayo.
Kulingana na hio story ilivoisha tunaona kama mamake analipiza kisasi kwa njia ile ile walivommuua mwanae. Yeye kasamehewa kwa ajili hakushirikiana na yule mwingina Bali kaadhibiwa kwakumwangalia mwenzake akiuwawa. Nadhani yule mama alimfanya mwanawe kupata bahati madini yale kiushirikina kwa ajili alikua anamtegemea lakini walipomuua hawakujua taama imewapeleka pabaya.
Inaonekana hawa walitumwa kichawi kutafuta hiyo mali na hao wawili waliokufa ni kama kafara ya hiyo mali...mchawi kumtoa mwanae Kama kafara sio tatizo tunasikia hapa kila siku. Na ndio maana ni Fred pekee aliyekuwa na bahati ya kupata Mali. Haya mambo yapo...Ni vile nawaza tu
Nimeamini ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga. Mama ni mchawi na ndie yy alie muua mwanae lameki kapewa roho ya mauti. Uyo mama amemtoa mwanae kafara iko chumba mlicho ingizwa freddy ndo yupo umo kama msukule. Mama kapata faida kaua lameki na freddy na ela juu
Mimi nilijaribu kutafakari kitu gani kilichomtuma Lameck kutaka kumuua Freddie ilhali aliwagawia Ile hela ya kwanza bila shida. Na akawa ahidi pia hii hela ya pili atawagawia bila shida. Ujasiri wa kumkata shingo hivyo ulitoka wapi?. Hata nayeye aliona malipo. Lakini mamake Freddie pia sio mama mzuri aliyachangia. Sasa ashapata hela na ale. Kaka ingia kanisani kwa maombi utubu dhambi zako..na umrudie Mungu wako..atakuokoa na atakusamehe.
Mafanikio yanakuja pale unapotia nia nakujituma kihalali yani nyinyi mlikuwa hamjui hayo kumbe mama fred sio kidogo alikuwa akiona mbali onasasa mnaenda mjini kutesa kwazamu mkajikuta mko kwamama fred chezea sima lkn sio damu yamtu mana hailali
Nikweli kabisa huyu kaka anasema kitu kilimvaa lameki,nakubaliana nae,sikuizi dunia nihatari sana,ata mm yame wai nikuta,yani roho fulani inakuingia tu,ilikukamilisha malengo ya mtu,lakini kaka mungu yupo,angalia hii video itakusaidia sana,part 1to11,z👉MIAKA 990,KATIKA UFALME WA GIZA,,ANGALIA UTABARIKIWA SANA,NA PIA UPEANE MAISHA YAKO KWA YESU WAISRAEL,MWANA WA MUNGU KWA DAMU YAKE ITAKUWEKA HURU,TAFUTA KANISA LAKWELI MAANA MAKANISA MENGI NI MATAPELI TU,USIFE MOYO KAKA BE BLESSED
Duh dunia Ina maajabu Sana Asante DM kwa kutuletea matukio yanayohusu maisha tunapata mafundisho ya kuridhika na tulivyo navyo tuache tamaa
Finally hakuna aliyenufaika na ile pesa, aiseeee kuna cha kujifunza hapa vijana wenzangu
Exactly
Kabisa
Kashura diocles kwa
Jmn imeishia patamu
Mr Facts unatufanya tusubiri sana Mpka najiuliza Vipi tena kaka Yupo bize Au Asante pamoja 💯❤️❤️
Mamaake Fred hakuwa mtu wa mchezo mchezo na hamkujua mwenzenu kaaga vp kwao.. all in all mshahara wa dhambi ni mauti
,,hadithi nzuri Sana, ngoja niwalike wote ambao mmetangulia
Hii story imenihuzinisha pole Sana . Mama Fred ni mtu special 🤔na nimemuogopa au Kwa lugha nyepesi mama Fred ni mchawi. Mwenyezi Mungu awarehemu Fred na Lameck.
Yani shetani yuko kazini kuwinda uhai wetu tuombe sana tusije ingia majaribuni pole sana kaka kwa uliyo yaona kumbuka Mungu bado anakuhitaji
Kila kitu kinabaki hapa duniani, pesa , gari, manyumba...yani mapendo njoo kitu muhimu.
Tupendane jameni..love, love ,love it's the answer
Ndiyo umeongea vizuri sana ni kweli.
Huu mkasa umenifunza mengii..Watu tunatoka makwetu tumeaga..Tamaaa sio nzuri.
Shetan anafanya kaz kwa spid kubwa,"japo kuna vitu ving vyakuhoji kwa jicho la nyama havileti majibu.Ila kwajicho la rohon hatakama asinge wafanyia kisasi mama Fred nahakika hyo pesa msingeitumia kwa aman damu ya mtu haipotei bule"
Kabisa Kabisa ndugu
Mtihan.....unasimulia Kwa hisia Kaka maan umeshawishiwa tu kule Kwa Fred mrudie mung wako tu utakaa vzr in sha Allah
Hapo fredi alikuwa ametunukiwa na jini kule kwa kuchimba madini kwanini fredi alikuwa yy ndio mwenye kufanikiwa kupata hizo mali na mwenzenu hakuwa na roho mboya maana mara yakwanza aliona mulisota nyote kisha akawagaanyia na hizo pia angewagaanyia
WwweUmeponea kwakuwa Ukumuua iyoNdio ponayakoooo. SHikamoooo Mamaaa Fred.. Heshima Kwakooo Saluteee mama Shikamoo
Duuh kweli mtu makini umetuweza...🙋🙋 Sikutegemea itaishia hivyo...
Pole sana zidi kumuomba Mungu akurehemu
Malipo nihapa hapa duniani Akhera hesabu mama amefaidi pesa jasho yamwanae😭😭😭😭😭lameck alirushiwaa rohoo yakuua yani huyo maza alimtoa kafara pamoja na lamek
Kumbe izi movie tunaangaliaga zinakuaga true story 🇰🇪
Tamaa mbaya
Daaah, salaleee nmepigia kambi mchana kutwa ila tu wakati nimejipa shughuli davistar anafanya mambo
Kweli hii nayo inatisha
Nimtihan sana pole sana hasa kama alikua anamtoa mwanae kwann kamuuwa huyo mungine nayy ndio alopanga mipango
Tamaa mbaya jameni..
Mama alifred ni mtu mshirikina akujali ata mwanawe alijali pesa na kisasi
Mhh kama ni kweli ,yaani mama fredy kumbe yeye ndio chanzo cha yote hayo,hivi hizi pesa zitatupeleka wapi jamani,umuue mwanao ili iweje utakuwa na raha gani na hizo pesa baada ya kutenda hayo.
Kulingana na hio story ilivoisha tunaona kama mamake analipiza kisasi kwa njia ile ile walivommuua mwanae. Yeye kasamehewa kwa ajili hakushirikiana na yule mwingina Bali kaadhibiwa kwakumwangalia mwenzake akiuwawa. Nadhani yule mama alimfanya mwanawe kupata bahati madini yale kiushirikina kwa ajili alikua anamtegemea lakini walipomuua hawakujua taama imewapeleka pabaya.
Mm napata wsws huenda ata Fred alkwa jini
Inaonekana hawa walitumwa kichawi kutafuta hiyo mali na hao wawili waliokufa ni kama kafara ya hiyo mali...mchawi kumtoa mwanae Kama kafara sio tatizo tunasikia hapa kila siku. Na ndio maana ni Fred pekee aliyekuwa na bahati ya kupata Mali. Haya mambo yapo...Ni vile nawaza tu
Daaa stori inasikitisha sana na inaogopesha mno, kiukweli nimejifunza kitu, hongera sana kaka Davista
Daa hatari sana,,,pamoja #MTU MAKINI#
Story imalizie vizur mwamba hyu anastory nzito tupe part 4
Kwaiyo hata police hawakuenda kweli nikishirikina
Mungu anakupenda sana mrudie yy
Khaaaaa😳😳😳mama kajilipiza kisasi 🙆♀️
Yule mama fred aliwatumia kweli kishirikina ila pole sana kakaangu ulipitia mambo mazito sana mrudie mola wako inshaalah utakuwa sawa.
Mama Freddy hatari kweli
Jamani tamaa mbaya.mungu tupe roho ya kinaya na tule jasho letu.pole kaka Sasa rudi kwamola wako atakusamehe
Safi sana aliwanyoosha mbuz nyie
Kwa kweli damu ya mtu ni kitu kengine kibaya, ila mtu kufikia kuuwa binadamu mwenzako bac ww lazima uwe unapata mauzauza flani tu
Hii story nyoko sana mamae
Jonas Silvester 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣si mchezo hata kama imetungwa bas kajitahid
Wapi kabisa mim nakosa neno
Ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga....
Million 50 zenyewe za tanzania heri zingekua za kenya na bado sio kwa kumtoa roho mwenzenu
Hahaha kwakweli Bora yakenya
RIP Freddy😔🌹
Yani kila siku naweka vocha kwa ajili yako davistar,naikubali k weli channel yako.
Saf
duh jaman tujifunzen .dhulma mbaya sana tujitahid kuridhika na cha halal anachotupa mungu
Hii sitor naipenda sana mwendelezo jamani nairundia kuisikiliza
Nimeamini ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga. Mama ni mchawi na ndie yy alie muua mwanae lameki kapewa roho ya mauti. Uyo mama amemtoa mwanae kafara iko chumba mlicho ingizwa freddy ndo yupo umo kama msukule. Mama kapata faida kaua lameki na freddy na ela juu
Vijana wenzangu Okokeni, YESU anamsaada mkubwa sana katika Maisha. Wachawi hawaangalii Sura ya mtu; anaua hata mtoto aliyemzaa!!
Mm Fred ni noma mwendelezo jamani
Mimi nilijaribu kutafakari kitu gani kilichomtuma Lameck kutaka kumuua Freddie ilhali aliwagawia Ile hela ya kwanza bila shida. Na akawa ahidi pia hii hela ya pili atawagawia bila shida. Ujasiri wa kumkata shingo hivyo ulitoka wapi?. Hata nayeye aliona malipo. Lakini mamake Freddie pia sio mama mzuri aliyachangia. Sasa ashapata hela na ale. Kaka ingia kanisani kwa maombi utubu dhambi zako..na umrudie Mungu wako..atakuokoa na atakusamehe.
ukisoma comment jau😅😅😅 comment zinamaliza utamu wa mbeleee
Money!money!Money!source of evil.....😢😢😢😢😢😢
Sio mchezo ,balaa tupu,mashetani na kazi zao,tujikinge kwa jina la mungu ktk kila kitu tunachoanza kukifanya.
😢😢😢😢 so sad in deed it's so painful
Nakosa words yani, mamake mtu mzazi?😲😲
Mafanikio yanakuja pale unapotia nia nakujituma kihalali yani nyinyi mlikuwa hamjui hayo kumbe mama fred sio kidogo alikuwa akiona mbali onasasa mnaenda mjini kutesa kwazamu mkajikuta mko kwamama fred chezea sima lkn sio damu yamtu mana hailali
Utajir unakuja taratibu baada ya uwekezaji wa muda. Utajir wa tamaa sio mzur.
Uchawi upooo😀😀😀😀😀
Pole kwayote kakaangu
Huyo mamake fred ndio kapamga mpango mzima hata fred ni njama yake aonekana ni mchawi mkubwa davistar hongera twajifunza mengi
Subhannallah
Mama Fred aliwaweza
Tamaa mbaya i sey ridhika na ulicho nacho
Amen
Do Kuishi kwingi kuonamangi pesa MBAYA sana jamani 💔😭😭
Ehehh mmelala hapa nyie watu
Dah leo ume tuweka sana mzee
Poleni sana
@@DavistarMataMediaDMmi wa misho
mtangazaji davista damu ya mwana adam sio mchezooo.
Aisee
Ndo maana Freddy alikua ana bahati ya kupata gold. Vitu Kwa ground uwa different 🤷🇰🇪
Umeongea ukweli
Fredi alichanjwa kwao na alikuwa na maagano kutoka kwa mama yake
Nikweli kabisa huyu kaka anasema kitu kilimvaa lameki,nakubaliana nae,sikuizi dunia nihatari sana,ata mm yame wai nikuta,yani roho fulani inakuingia tu,ilikukamilisha malengo ya mtu,lakini kaka mungu yupo,angalia hii video itakusaidia sana,part 1to11,z👉MIAKA 990,KATIKA UFALME WA GIZA,,ANGALIA UTABARIKIWA SANA,NA PIA UPEANE MAISHA YAKO KWA YESU WAISRAEL,MWANA WA MUNGU KWA DAMU YAKE ITAKUWEKA HURU,TAFUTA KANISA LAKWELI MAANA MAKANISA MENGI NI MATAPELI TU,USIFE MOYO KAKA BE BLESSED
Kwa kwel pesa zitatuua sana tunashukuru davistamata kwa mafunzo!!
Inasikitisha san tena inatisha na hiv mmekaa gizani had naogopa
Nimewah leo hhhh
Mama Fred mchawi, ametoa kafara Fred ndo apate Mali....... dunia mtihani.
Hii story perfect for a movie🤔
Yani nimeshinda naitafuta hii shokraan
Nipo tena
On top ✌️
Waooh😍
Mmh kweli tamaa mbaya
mmmh aiseee
Katika story zote #davistar hii ni kali mno😪inamajibu mengi sio tu ati walitumwa kishirikina ili pesa zile zifike mikononi mwa huyo mama
Poleni kwa msiba watanzania wenzangu😭..Mimi nna fluu hatari😕...tuendelee kujifunza..👩💻
Pole sana Bitte!
@@Fm-MornStar2014 Asanteee sana
Jifukize mavi ya punda makavu nimazuri sn kwa kuponya fluu
@@deusdeodavid5360 Ntayapata wapi sasa..napiga nyungu zetu tu zakawaida..😊
@@beatricekweka6683 basi jitahidi Mungu atakuponya
Aisee damuyamtu nzito Sana he
Kabsa
Daah
Am sure yule mwanamke pia alipitia yake... Davista kama ungempata uyo dada stori ingebamba sana
Pamoja nimewahi leo
Naomben namba za mama fredi
Davista embu koment japo kidogo nikupe MTU wa story huku
😄😄😄 haya nipe mtu wa stori
😂😂😂😂😂
Hahaaa😁
Tamaa mbaya sana 😭😭😭😪😪😪🙏🙏
Mshahara wa dhambi ni mauti
Daaah😭
Hey I'm late today😃😃😃😃
Wa kwanza Leo 🤾♀️
Hongera
Waa sad story
Hoiiiii apo chacha
Aisee huluma yako ndo imekufikixha hapa mzee ungekuwa na roho kama ya Lameck ungeenda na maji
Nomaaaa xana
Nakukubali sanaaaa davistar🔥
Mie nakukubali wewe
Thank you so much
Huu mziki tena sound
Pesa inastory za kutisha sana
actually its like a movie
Mh!! Jaman bora hata mngeongea na fred angewapa hata milion kumikumi zingewasaidia, mama hakutaka kuwapeleka kwenye sheria aliwahukum mwenyewe
Hukuwa na ubaya kaka ishi hivyo hivyo dunia inamengi kaka
Yani nikiona nimewahi nakuta watu mshawahi
Dah pesa imevunja utu