Salama Na KAJALA Ep 35 | JERAHA LA MOYO Part 2

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
    Kajala Winfrida Masanja ndo jina lake alipopewa na Mama yake kipenzi alipozaliwa. Mama ambaye alikua akilitumikia jeshi la Polisi Tanzania miaka ya nyuma, ambaye alihakikisha binti yake huyu anakua katika maadili yaliyo bora na nidhamu yake iwe ya hali ya juu. So nini haswa kilitokea mpaka akawa si mtoto mzuri yule ambaye Mama alifanya kila aliwezalo kuhakikisha anakua hivyo miaka ya nyuma? Sasa ni Mama na mfanyabiashara anayejielewa tu. Ila yepi haswa ambayo yalishawahi kutokea kwenye maisha yake na ambayo hajivunii hata kidogo?
    Mimi na K tunafahamiana miaka mingi sana, mara ya kwanza tulikuna kwenye michezo, kwenye uwanja wa basketball wa Pazi pale Drive In enzi hizo, skuizi nadhani panaitwa Ubalozi maana ni mkabala kabisa na ubalozi wa Marekani na uwanja umo ndani ya nyumba za Tanesco na sisi pia tulikua tukipaita hivyo. I remember alikua anakuja kucheza na sisi enzi hizo yeye anasoma Jitegemee nami nasoma Makongo Secondary School, hakua mchezaji mkaaali ila alikua na juhudi, na kwa mujibu wa maongezi yetu haya aliniambia ile pia ilikua ni moja ya njia zake za kutoka nyumbani na kupata kijihewa ivi, kwa kukutana na watu tofauti 😀. Sisi tulikua tukimshangaa kwa mitkasi yake mingi, alikua anatoka, yuko na marafiki ambao walikua wakubwa kuliko yeye na kama alikua na mambo mengi ivi. Ila huko ndo kukua sasa, maana unachojifunza wakati unafanya jambo ndo hapo unapoweza kujua kama ni zuri au baya na kama lina faida nawe au laa.
    Next thing I know Kajala ni mpenzi wa producer mataaata haswa enzi hizo ndani ya P-Funk na kwenye story zetu za humu amezungumzia hilo kwa urefu haswa, vile walivyokutana, alivyokua anakaa nae, reaction ya wazazi wake na waalimu shuleni na mahusioano yao mpaka yalipofika tamati. Jinsi ambavyo walikua wakiishi yeye na PFunk bila ya Mama yake Majani kujua kama mwanae anaishi na mwanafunzi ndani ya nyumba yake na mpaka akapata mimba bila ya yeye kujua. Paula alipozaliwa ndo mambo yakawa hadharani.
    Mapenzi yake na PFunk yalikua na mambo mengi ambayo niliyauliza kwenye episode hii ya 35, walikutanaje, waliendeleaje, wazazi, Paula na pengine watu wengine kuhusika na mapenzi yao hayo. Aliniambia mwisho wa siku ilibidi afanye liwezekanalo ili aweze kutoka humo na maisha yaendelee na akafanikiwa kukutana na mtu mwengine Ila na kwake naye mambo hayakua matamu kama ambavyo yalianza. Yaliisha kwa machozi na chuki ambayo anadhani iko upande
    wa pili zaidi maana kwake maisha yamesogea na maombi yake ya kuanza upya yamebarikiwa.
    Kajala amepitia mambo mengi kwenye maisha yake ambayo mengine anajivunia na mengine siyo hata kidogo. Kama kawaida, yangu matumaini utaokota mawili matatu humu na ambayo pia kama nia na madhumuni yatakufanya ushangae na kujifunza mwisho wa siku. Tafadhali enjoy!
    Love,
    Salama.
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown

КОМЕНТАРІ • 180

  • @evaristmrope
    @evaristmrope 4 роки тому +42

    Nampenda sana sister Kajala yuko very humble mwenyezi MUNGU azidi kumuweka zaidi na zaidi na amzidishie kipato chake cha kila siku

  • @anniegabby8085
    @anniegabby8085 2 роки тому +13

    Salama your very professional yani hadi raha kusikiliza interview zako

  • @nasradodo2365
    @nasradodo2365 4 роки тому +18

    salama you're the best, yani you gat my ear and eyes like no one sio hapa sio kwenye podcast yani i learn alot😩😩❤️❤️❤️ ilysm

    • @celestin4684
      @celestin4684 3 роки тому

      Bip up sana salama. I wish you could do this interview this time as i am talking. 😆😆😆😂😂

  • @joanna_kitchens6402
    @joanna_kitchens6402 4 роки тому +26

    Napenda saana maswali yako Salama you so professional na unaheshimu saana maamuzi ya mtu kama hataki kuongelea kitu hulazimishi ❤️❤️

  • @bilolove23
    @bilolove23 4 роки тому +27

    She is a good mother 🙏🏾

  • @naasamson4905
    @naasamson4905 3 роки тому +7

    Amefunguka vizuri tu na hasa kuhusu mtoto huku nyuma ya pazia tunahisi kama vile ni yeye anaedekeza kumbe nimegundua ni mama mkali kwa mwanae

  • @agnesexavery6625
    @agnesexavery6625 3 роки тому +12

    She takes things positive thats great

  • @eliassoingei2046
    @eliassoingei2046 23 дні тому +1

    Daaah! kumbe ni kweli Paula alikuwa shinyanga!
    Yani ilikuwa stor kubwaa tukiwa shuleni ni kuwa kuna binti anafanana na Paula. alijitahidi kuwa msiri hajajulikana😂

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 4 роки тому +11

    Salamaaa jabir 🥰kajala mpole mremboooo🥰🥰🥰salama bana sasa mtu alkua mumewe lzma atampenda...ukiolewa na mtu haupend lkn jinc mnavokaa mda kupenda itakuja...

  • @hythalkarume2843
    @hythalkarume2843 4 роки тому +3

    Interview Mzuri tumejifunza vitu vingi tumefurahi umelifanya kuwa jukwa sito la kutengeneza magonvi I like that, hila tuongeze kitu hiwe ni sehumu kwa wale ambao aziendi kuwa ni sehemu ya kuwasuluhisha

  • @Kazubassyathyvry89
    @Kazubassyathyvry89 3 роки тому +4

    Like mother like daughter,ofcourse.

  • @babyhamisi5331
    @babyhamisi5331 4 роки тому +5

    Shukran Sana anty sadaka your our grate mother

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 3 роки тому +7

    Kajala we mpole sana ata mm sikupendaga watu walivyo muongelea pau

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 3 роки тому +3

    Salama ur the best ever n forever yn hujachuja vile tumekufahamu unavyohoji mpk Leo ur one of my best yani

  • @agnesrutebuka827
    @agnesrutebuka827 Рік тому +1

    I love this Woman, she is Real 🙌

  • @princemujuni9803
    @princemujuni9803 4 роки тому +26

    Sema Kajala anaonekana mpole anavyoongea yan alifaa kuwa mama mchungaji no wonder alitaka kuwa nun sema sasa hilo shepu c ingekuwa matumizi mabaya ya shepu.

    • @sofiajuma3075
      @sofiajuma3075 4 роки тому

      🤣🤣🤣🤣

    • @leonelleo4425
      @leonelleo4425 4 роки тому +1

      Hilo shepu lingeleta balaa kwa mapadri 😀😀😀

  • @glorykimaro5528
    @glorykimaro5528 4 роки тому +3

    Huyu dada ni mwanamke bora sana katika malezi

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 3 роки тому +4

    Dah Salama yani you are very good at your Job! Hongera sana.

  • @aminihaminih7846
    @aminihaminih7846 4 роки тому +5

    Pole sana kajala kwa mapito ulopitia dada angu nimeumia sana😭😭😭, nakupenda bure.pia hongr sana da salama kwakuendesha kipnd hiki💪

  • @franktimothkisimbo5354
    @franktimothkisimbo5354 3 роки тому +4

    Umekuwa muwazii saanaa kajala umekiri makosa yako yotee Mungu akuinue zaidi

  • @ummulkheirzubeir6320
    @ummulkheirzubeir6320 4 роки тому +5

    Mama paula nakupenda tu hunaga mbwembwe

  • @barakagwakisa909
    @barakagwakisa909 2 роки тому +1

    She's a protective mom. Keep it up

  • @queenmichael5319
    @queenmichael5319 4 роки тому +10

    Mtu mwenye nafasi awaonyeshe hao watu wanaotafuta part one or two kwa sababu zipo zote hapahapa ila naona wanalalamika.

  • @aoman5214
    @aoman5214 4 роки тому +10

    Nampenda San huyu dada nmstaarb Hadi kuongea

  • @melvinkyando9081
    @melvinkyando9081 2 роки тому +1

    Inauma sana kama mzazi naelewa nini unajisikia kajala

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 3 роки тому +5

    Aunti Sadaka anaitajika tena, please mpeleke kwa MWAKA mzima..🙏🙏🙏

  • @sophiamkandara1834
    @sophiamkandara1834 2 роки тому +1

    Salama anahoji vizuri sana and very professional 👌

  • @medyamon
    @medyamon 4 роки тому +5

    Eti Aunt kiboko😂😂😂😂😂 wewe ni Aunt-no-filter👊🏽😂💕

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 3 роки тому +1

    Naam, shukran sana, tunazidi kujifunza mengi mnooo...

  • @user-zq6ce2vu9j
    @user-zq6ce2vu9j 3 дні тому

    Ahsante

  • @tumakassim6286
    @tumakassim6286 4 роки тому +4

    Tenda Wema wende zako usingoje shukrani,mh! basi haya ☹️☹️

  • @jescaemmanuel100
    @jescaemmanuel100 4 роки тому +8

    Tena aunt kiboko haswaaaa 😂😂

  • @barakayohana6021
    @barakayohana6021 4 роки тому +2

    Kajala Masanja,cku izi Industry yenu mbna imekua changamoto sana,mmekua mnapenda skendo kuliko kuigiza,Maisha yenu halisi,yamekua ndio maigizo

    • @belak999
      @belak999 4 роки тому

      Yeye umemuona kwenye skendo? Yaan haya majina ya Baraka sijui kwnn ni laana, huwa mnashindwa hata kujielewa

    • @barakayohana6021
      @barakayohana6021 3 роки тому

      @@belak999 samaki mmoja akioza,C tunajua wote wameoza mbweha we

    • @ms_caramel2688
      @ms_caramel2688 3 роки тому

      @@barakayohana6021 sio kwa mbweha iyo hahaha bila shaka ww ni mhehe

  • @elizalwakatare8070
    @elizalwakatare8070 4 роки тому +6

    Yaani hii tabia ya watu kuzusha maneno inaumiza sana sijui huwa wanafikilia nini dah😥 salama tunamuomba Jenifer kyaka

  • @Richard_Range
    @Richard_Range 3 роки тому +2

    Love this ladyy! Much love kajala! I remember meeting you samaki samaki ulikuwa na kina baby madaha and i gave you a hug 2015/6! 🥰

  • @nancykimaro3845
    @nancykimaro3845 4 роки тому +4

    Flaviana Matata plz

  • @doreentraavis1701
    @doreentraavis1701 4 роки тому +7

    Nampenda Sana kajala mstarabu Sana ata ajisikii

  • @aishakidotigakii6157
    @aishakidotigakii6157 4 роки тому +3

    Kajala so humble

  • @ednacelemon5950
    @ednacelemon5950 4 роки тому +1

    Asante Salama kwa mafundisho yako.

  • @ednacelemon5950
    @ednacelemon5950 4 роки тому +3

    Mimi napenda kusikia unavyotamka jina la Jesca.

  • @pbye2974
    @pbye2974 3 роки тому +3

    Ooooh hupendi tattoo na mbona umechorana na harmo😀😀 hivi ukirejea hii interview unajickiaje

  • @princesbimkhamis6446
    @princesbimkhamis6446 3 роки тому +3

    Salama tulelee madam wema

  • @mahmoudukusso4488
    @mahmoudukusso4488 4 роки тому +4

    Hapa ndiyo kwenye tatizo la ndoa za kikatoliki ,hamjaachana lkn una mtu na unatafuta mtoto,poleni sana

    • @silverdavid6200
      @silverdavid6200 3 роки тому

      Kuachana hakupo kabisa kwenye ndoa za kikristo.

    • @mahmoudukusso4488
      @mahmoudukusso4488 3 роки тому

      @@silverdavid6200 umesikiliza maelezo yake? Mwenyewe anakiri wameachana

  • @jacintabati6238
    @jacintabati6238 3 роки тому +1

    Kajala is so beautiful and adorable

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 4 роки тому +1

    Pore sana dada kajara..mungu ata kupa mwengine

  • @ab3ab313
    @ab3ab313 3 роки тому +2

    kajara nakupenda bure❤❤❤

  • @didah6556
    @didah6556 4 роки тому +4

    Asante aunt kiboko😂

  • @kotindimfinanga1169
    @kotindimfinanga1169 4 роки тому +2

    I love you kajala

  • @kavishejrkavishe9643
    @kavishejrkavishe9643 4 роки тому +4

    Jamanieee hii background beat nyimbo inaitwaje?

  • @vevo3130
    @vevo3130 3 роки тому +1

    sawa aunt Kiboko…..niletee Mr. Blue.

  • @mamusmama2882
    @mamusmama2882 3 роки тому

    Asante aunt kibokoo😜mm ntakusaka tupige story😘
    Good job

  • @zildatwahid6526
    @zildatwahid6526 4 роки тому +1

    Nikki wa pili please...we need him

  • @mwasakafyukasamson
    @mwasakafyukasamson 4 роки тому +1

    Premier Diva Salama , asante kwa kazi yako

  • @suleymanmakiwa1651
    @suleymanmakiwa1651 4 роки тому +1

    Online media za bongo ukiondoa Wasafi mnafanya mambo kimazoea sana! Juzi Earadio walifanya hivi hivi. Wameweka part one halafu part two sijui wataweka lini

  • @abdulkhalim5564
    @abdulkhalim5564 4 роки тому +1

    Good job Aljabir

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 3 роки тому +3

    Hivi kuna mtu anaeweza kumuhoji SALAMA na jinsi alivo na IQ ya ajabu, labda OPRAH

  • @faudhatymalembuka7151
    @faudhatymalembuka7151 2 роки тому

    Dada salama mwambie da kajara nampenda san

  • @nancykimaro3845
    @nancykimaro3845 4 роки тому +1

    Master Jay plz plz

  • @user-lp4vb5dj9k
    @user-lp4vb5dj9k 7 місяців тому

    Nakupenda sana kajala

  • @mwamvuakayanda8730
    @mwamvuakayanda8730 2 роки тому

    Najifunzaaa sanaaaa kajala stay blessed mom

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 3 роки тому +2

    Salama!!Nakupendaaaaaaa we dadaake 😘😘

  • @karthala6676
    @karthala6676 4 роки тому +4

    Kwenye biblia Imekatazwa kuchora mwili. Ya pili watu wenye tattoo hawaruhusiwi kuwapa
    damu watu wanohitajiya. Watu wafikiriye.

    • @joycejohn7754
      @joycejohn7754 4 роки тому

      Kwahyo watu wafe kisa anaetoa anatatoo

  • @zandonaabrondi1906
    @zandonaabrondi1906 4 роки тому +1

    Salama uko powa kazi nzuri

  • @sadikiballack1631
    @sadikiballack1631 2 роки тому

    Salama we noma napenda cocktails zako ......
    Chakula cha kisasa mambo yako makbwa ongera kwa hilo

  • @abenizermusic6694
    @abenizermusic6694 2 роки тому

    Nimejifunzaa mengi kupitia maojiano ayaa

  • @levinaleonard7652
    @levinaleonard7652 10 місяців тому

    Nakpenda sana kajala❤❤❤

  • @kulwamwakagali24
    @kulwamwakagali24 3 роки тому +2

    Kwenye tattoo umesema ukweli usiosemwa na wengi...

  • @rashidchimwenda
    @rashidchimwenda 4 роки тому +1

    Dope

  • @kikie_chyna
    @kikie_chyna 2 роки тому

    Salama you dont understand what she is doing for a living right? 🤦‍♀️ me too.. 🙆‍♀️

  • @sylviemugeni1887
    @sylviemugeni1887 3 роки тому

    Nakupenda sana nashukuly ku mule ta kajala

  • @nissamwapoladi7345
    @nissamwapoladi7345 2 роки тому

    Kajala love uuu.nimejifunza kitu

  • @princemujuni9803
    @princemujuni9803 4 роки тому

    Sema hiyo leo inaitwa Tanga wiki iliyopita ilikuwa inaitwa Arusha , Salama unanichanganya

  • @winfridamdaki5699
    @winfridamdaki5699 4 роки тому +1

    Safi sana interview nzuri Salama

  • @safiangaiwa2597
    @safiangaiwa2597 2 роки тому

    Nawapenda

  • @noohmahdy2336
    @noohmahdy2336 4 роки тому +4

    Mnazinguwa part one iko wapi

    • @renathajohn879
      @renathajohn879 4 роки тому

      Ipo hukuangalia wewe umedandia gari kwa mbele 😂

    • @eshalibaba1195
      @eshalibaba1195 4 роки тому

      @@renathajohn879 😀😀😀😀

    • @itshaluastyle
      @itshaluastyle 4 роки тому

      ua-cam.com/video/QzqbXK2nVC0/v-deo.html

    • @sabihasalim942
      @sabihasalim942 4 роки тому

      @@renathajohn879 so funny 😂😂🇬🇧

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 4 роки тому +2

    Nice....INTERVIEW BRING JUMA NATURE AUNTY HE IS GREAT TOO

  • @magrethmkira6250
    @magrethmkira6250 4 роки тому

    Part 1

  • @wemamlaga3714
    @wemamlaga3714 4 роки тому +1

    Salamaaaa.... Skafu unapata wapi/ unanunua wap

  • @montteyfloki3953
    @montteyfloki3953 3 роки тому +1

    Amesema hapendi tattoo lkn kaenda mchora harmonize. Wasanii wasanii sana lol

  • @rahmarajab3688
    @rahmarajab3688 2 роки тому

    Duuh,
    Nawapenda sana!!!!!

  • @elizabethmlonganile5000
    @elizabethmlonganile5000 4 роки тому +2

    Hey where's part one?

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 4 роки тому

    Nice

  • @munirandinda7448
    @munirandinda7448 3 роки тому

    Kajala mrembo jamani nampenda Sana

  • @bujsaudaselemani5562
    @bujsaudaselemani5562 3 роки тому

    Pole sana dada yangu ndo binadam

  • @devotajoel3730
    @devotajoel3730 4 роки тому +3

    Gonga rike Kama uko pamoja na salama

  • @a.856
    @a.856 4 роки тому +1

    🙏

  • @judithkarikwera9091
    @judithkarikwera9091 4 роки тому +1

    Nampnda San kajara

  • @kozbeahani2328
    @kozbeahani2328 3 роки тому

    Umlete Paula plzzzz nataka kuskia lifestyle yake

  • @nahimanajo8993
    @nahimanajo8993 3 роки тому

    Nice kajala

  • @priscaiman2081
    @priscaiman2081 4 роки тому +3

    Part one iko wapi

  • @Kazubassyathyvry89
    @Kazubassyathyvry89 3 роки тому

    Leo umeamuwa kuwa na mtu maarufu.Duuuhhh hi dunia nihatari.

  • @feristerdavid-lq2en
    @feristerdavid-lq2en Рік тому

    Nzuri

  • @haskao77
    @haskao77 4 роки тому +3

    Where's part one?

  • @nancykimaro3845
    @nancykimaro3845 4 роки тому +1

    Gonga like kama unamtaka Master Jay😀

  • @hellenmwasha8482
    @hellenmwasha8482 4 роки тому

    Unatupa raha Sana stress Free

  • @jokhasuleiman4536
    @jokhasuleiman4536 4 роки тому

    Hongera sana Jesica wetu kuwaletea wahusika wetu msosi na kinywaji kizuri.
    Ndio maana maongezi yananoga sana.
    Nimetamani sana kuja Samaki samaki.
    Insh mtaniona.
    Big up kwa Salama na Kajala.
    Nice interview.

  • @firdausgreen1391
    @firdausgreen1391 4 роки тому +1

    Hamkuwai waza kurudiana na P funk majani baada ya kuachana???

    • @josephk90
      @josephk90 4 роки тому

      Yule jamaa korofi asee na ule mwili anaweza kuua mtoto wa watu asee...

    • @firdausgreen1391
      @firdausgreen1391 4 роки тому +1

      @@josephk90 hahahaha kwenye mapenz hakuna komando banah...anaweza kuwa mkorofi kwenye sekta nyingine ila sekta zingine akawa kaduchuuuu

  • @emmanuelayo9594
    @emmanuelayo9594 4 роки тому

    Salama kipindi chako kimepoteza mwelekeo bora uache kama uwezi kuwarudisha wale jamaa zako .hivyo vitambaa mmmmh!!!!

  • @catherinecharles932
    @catherinecharles932 2 роки тому

    MACHOZI NIISHARA YAMAUMIVU MAKALI LKN PIA NIISHALA YAKWAMBA UMETOA SUMU MWILINI LKN POLE SANA

  • @khalifa_wayy1979
    @khalifa_wayy1979 3 роки тому +1

    Wabara hawana adabu, wanachoyo wajinga kweli kumi attack mtoto kama wao wako perfect