Salama Na KAJALA Ep 35 | JERAHA LA MOYO Part 2
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
Kajala Winfrida Masanja ndo jina lake alipopewa na Mama yake kipenzi alipozaliwa. Mama ambaye alikua akilitumikia jeshi la Polisi Tanzania miaka ya nyuma, ambaye alihakikisha binti yake huyu anakua katika maadili yaliyo bora na nidhamu yake iwe ya hali ya juu. So nini haswa kilitokea mpaka akawa si mtoto mzuri yule ambaye Mama alifanya kila aliwezalo kuhakikisha anakua hivyo miaka ya nyuma? Sasa ni Mama na mfanyabiashara anayejielewa tu. Ila yepi haswa ambayo yalishawahi kutokea kwenye maisha yake na ambayo hajivunii hata kidogo?
Mimi na K tunafahamiana miaka mingi sana, mara ya kwanza tulikuna kwenye michezo, kwenye uwanja wa basketball wa Pazi pale Drive In enzi hizo, skuizi nadhani panaitwa Ubalozi maana ni mkabala kabisa na ubalozi wa Marekani na uwanja umo ndani ya nyumba za Tanesco na sisi pia tulikua tukipaita hivyo. I remember alikua anakuja kucheza na sisi enzi hizo yeye anasoma Jitegemee nami nasoma Makongo Secondary School, hakua mchezaji mkaaali ila alikua na juhudi, na kwa mujibu wa maongezi yetu haya aliniambia ile pia ilikua ni moja ya njia zake za kutoka nyumbani na kupata kijihewa ivi, kwa kukutana na watu tofauti 😀. Sisi tulikua tukimshangaa kwa mitkasi yake mingi, alikua anatoka, yuko na marafiki ambao walikua wakubwa kuliko yeye na kama alikua na mambo mengi ivi. Ila huko ndo kukua sasa, maana unachojifunza wakati unafanya jambo ndo hapo unapoweza kujua kama ni zuri au baya na kama lina faida nawe au laa.
Next thing I know Kajala ni mpenzi wa producer mataaata haswa enzi hizo ndani ya P-Funk na kwenye story zetu za humu amezungumzia hilo kwa urefu haswa, vile walivyokutana, alivyokua anakaa nae, reaction ya wazazi wake na waalimu shuleni na mahusioano yao mpaka yalipofika tamati. Jinsi ambavyo walikua wakiishi yeye na PFunk bila ya Mama yake Majani kujua kama mwanae anaishi na mwanafunzi ndani ya nyumba yake na mpaka akapata mimba bila ya yeye kujua. Paula alipozaliwa ndo mambo yakawa hadharani.
Mapenzi yake na PFunk yalikua na mambo mengi ambayo niliyauliza kwenye episode hii ya 35, walikutanaje, waliendeleaje, wazazi, Paula na pengine watu wengine kuhusika na mapenzi yao hayo. Aliniambia mwisho wa siku ilibidi afanye liwezekanalo ili aweze kutoka humo na maisha yaendelee na akafanikiwa kukutana na mtu mwengine Ila na kwake naye mambo hayakua matamu kama ambavyo yalianza. Yaliisha kwa machozi na chuki ambayo anadhani iko upande
wa pili zaidi maana kwake maisha yamesogea na maombi yake ya kuanza upya yamebarikiwa.
Kajala amepitia mambo mengi kwenye maisha yake ambayo mengine anajivunia na mengine siyo hata kidogo. Kama kawaida, yangu matumaini utaokota mawili matatu humu na ambayo pia kama nia na madhumuni yatakufanya ushangae na kujifunza mwisho wa siku. Tafadhali enjoy!
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Nampenda sana sister Kajala yuko very humble mwenyezi MUNGU azidi kumuweka zaidi na zaidi na amzidishie kipato chake cha kila siku
Salama your very professional yani hadi raha kusikiliza interview zako
salama you're the best, yani you gat my ear and eyes like no one sio hapa sio kwenye podcast yani i learn alot😩😩❤️❤️❤️ ilysm
Bip up sana salama. I wish you could do this interview this time as i am talking. 😆😆😆😂😂
Napenda saana maswali yako Salama you so professional na unaheshimu saana maamuzi ya mtu kama hataki kuongelea kitu hulazimishi ❤️❤️
She is a good mother 🙏🏾
Amefunguka vizuri tu na hasa kuhusu mtoto huku nyuma ya pazia tunahisi kama vile ni yeye anaedekeza kumbe nimegundua ni mama mkali kwa mwanae
She takes things positive thats great
Daaah! kumbe ni kweli Paula alikuwa shinyanga!
Yani ilikuwa stor kubwaa tukiwa shuleni ni kuwa kuna binti anafanana na Paula. alijitahidi kuwa msiri hajajulikana😂
Salamaaa jabir 🥰kajala mpole mremboooo🥰🥰🥰salama bana sasa mtu alkua mumewe lzma atampenda...ukiolewa na mtu haupend lkn jinc mnavokaa mda kupenda itakuja...
Interview Mzuri tumejifunza vitu vingi tumefurahi umelifanya kuwa jukwa sito la kutengeneza magonvi I like that, hila tuongeze kitu hiwe ni sehumu kwa wale ambao aziendi kuwa ni sehemu ya kuwasuluhisha
Like mother like daughter,ofcourse.
Shukran Sana anty sadaka your our grate mother
Kajala we mpole sana ata mm sikupendaga watu walivyo muongelea pau
Salama ur the best ever n forever yn hujachuja vile tumekufahamu unavyohoji mpk Leo ur one of my best yani
I love this Woman, she is Real 🙌
Sema Kajala anaonekana mpole anavyoongea yan alifaa kuwa mama mchungaji no wonder alitaka kuwa nun sema sasa hilo shepu c ingekuwa matumizi mabaya ya shepu.
🤣🤣🤣🤣
Hilo shepu lingeleta balaa kwa mapadri 😀😀😀
Huyu dada ni mwanamke bora sana katika malezi
Dah Salama yani you are very good at your Job! Hongera sana.
Pole sana kajala kwa mapito ulopitia dada angu nimeumia sana😭😭😭, nakupenda bure.pia hongr sana da salama kwakuendesha kipnd hiki💪
Umekuwa muwazii saanaa kajala umekiri makosa yako yotee Mungu akuinue zaidi
Mama paula nakupenda tu hunaga mbwembwe
She's a protective mom. Keep it up
Mtu mwenye nafasi awaonyeshe hao watu wanaotafuta part one or two kwa sababu zipo zote hapahapa ila naona wanalalamika.
😂😂😂
😂😂😂
Nampenda San huyu dada nmstaarb Hadi kuongea
Kabisa
Na nimkwel mno..
Inauma sana kama mzazi naelewa nini unajisikia kajala
Aunti Sadaka anaitajika tena, please mpeleke kwa MWAKA mzima..🙏🙏🙏
Salama anahoji vizuri sana and very professional 👌
Eti Aunt kiboko😂😂😂😂😂 wewe ni Aunt-no-filter👊🏽😂💕
Naam, shukran sana, tunazidi kujifunza mengi mnooo...
Ahsante
Tenda Wema wende zako usingoje shukrani,mh! basi haya ☹️☹️
Tena aunt kiboko haswaaaa 😂😂
Kajala Masanja,cku izi Industry yenu mbna imekua changamoto sana,mmekua mnapenda skendo kuliko kuigiza,Maisha yenu halisi,yamekua ndio maigizo
Yeye umemuona kwenye skendo? Yaan haya majina ya Baraka sijui kwnn ni laana, huwa mnashindwa hata kujielewa
@@belak999 samaki mmoja akioza,C tunajua wote wameoza mbweha we
@@barakayohana6021 sio kwa mbweha iyo hahaha bila shaka ww ni mhehe
Yaani hii tabia ya watu kuzusha maneno inaumiza sana sijui huwa wanafikilia nini dah😥 salama tunamuomba Jenifer kyaka
Love this ladyy! Much love kajala! I remember meeting you samaki samaki ulikuwa na kina baby madaha and i gave you a hug 2015/6! 🥰
Flaviana Matata plz
Nampenda Sana kajala mstarabu Sana ata ajisikii
Kajala so humble
Asante Salama kwa mafundisho yako.
Mimi napenda kusikia unavyotamka jina la Jesca.
Yes,Jessica!! halafu kuna huyo Jesca unayemsema wewe
Ooooh hupendi tattoo na mbona umechorana na harmo😀😀 hivi ukirejea hii interview unajickiaje
Jamani😂😂😂
S ndo apo xx
Salama tulelee madam wema
Hapa ndiyo kwenye tatizo la ndoa za kikatoliki ,hamjaachana lkn una mtu na unatafuta mtoto,poleni sana
Kuachana hakupo kabisa kwenye ndoa za kikristo.
@@silverdavid6200 umesikiliza maelezo yake? Mwenyewe anakiri wameachana
Kajala is so beautiful and adorable
Pore sana dada kajara..mungu ata kupa mwengine
kajara nakupenda bure❤❤❤
Asante aunt kiboko😂
I love you kajala
Jamanieee hii background beat nyimbo inaitwaje?
sawa aunt Kiboko…..niletee Mr. Blue.
Asante aunt kibokoo😜mm ntakusaka tupige story😘
Good job
Nikki wa pili please...we need him
Premier Diva Salama , asante kwa kazi yako
Online media za bongo ukiondoa Wasafi mnafanya mambo kimazoea sana! Juzi Earadio walifanya hivi hivi. Wameweka part one halafu part two sijui wataweka lini
Mbona IPO
Good job Aljabir
Hivi kuna mtu anaeweza kumuhoji SALAMA na jinsi alivo na IQ ya ajabu, labda OPRAH
She has to be with Ellen or Salim kikeke
Milladiayo yupo
Dada salama mwambie da kajara nampenda san
Master Jay plz plz
Nakupenda sana kajala
Najifunzaaa sanaaaa kajala stay blessed mom
Salama!!Nakupendaaaaaaa we dadaake 😘😘
Kwenye biblia Imekatazwa kuchora mwili. Ya pili watu wenye tattoo hawaruhusiwi kuwapa
damu watu wanohitajiya. Watu wafikiriye.
Kwahyo watu wafe kisa anaetoa anatatoo
Salama uko powa kazi nzuri
Salama we noma napenda cocktails zako ......
Chakula cha kisasa mambo yako makbwa ongera kwa hilo
Nimejifunzaa mengi kupitia maojiano ayaa
Nakpenda sana kajala❤❤❤
Kwenye tattoo umesema ukweli usiosemwa na wengi...
Dope
Salama you dont understand what she is doing for a living right? 🤦♀️ me too.. 🙆♀️
Nakupenda sana nashukuly ku mule ta kajala
Kajala love uuu.nimejifunza kitu
Sema hiyo leo inaitwa Tanga wiki iliyopita ilikuwa inaitwa Arusha , Salama unanichanganya
Safi sana interview nzuri Salama
Nawapenda
Mnazinguwa part one iko wapi
Ipo hukuangalia wewe umedandia gari kwa mbele 😂
@@renathajohn879 😀😀😀😀
ua-cam.com/video/QzqbXK2nVC0/v-deo.html
@@renathajohn879 so funny 😂😂🇬🇧
Nice....INTERVIEW BRING JUMA NATURE AUNTY HE IS GREAT TOO
Part 1
Salamaaaa.... Skafu unapata wapi/ unanunua wap
Amesema hapendi tattoo lkn kaenda mchora harmonize. Wasanii wasanii sana lol
Duuh,
Nawapenda sana!!!!!
Hey where's part one?
Ipo mbona
Nice
Kajala mrembo jamani nampenda Sana
Pole sana dada yangu ndo binadam
Gonga rike Kama uko pamoja na salama
🙏
Nampnda San kajara
Umlete Paula plzzzz nataka kuskia lifestyle yake
Nice kajala
Part one iko wapi
Leo umeamuwa kuwa na mtu maarufu.Duuuhhh hi dunia nihatari.
Nzuri
Where's part one?
Gonga like kama unamtaka Master Jay😀
Unatupa raha Sana stress Free
Hongera sana Jesica wetu kuwaletea wahusika wetu msosi na kinywaji kizuri.
Ndio maana maongezi yananoga sana.
Nimetamani sana kuja Samaki samaki.
Insh mtaniona.
Big up kwa Salama na Kajala.
Nice interview.
Hamkuwai waza kurudiana na P funk majani baada ya kuachana???
Yule jamaa korofi asee na ule mwili anaweza kuua mtoto wa watu asee...
@@josephk90 hahahaha kwenye mapenz hakuna komando banah...anaweza kuwa mkorofi kwenye sekta nyingine ila sekta zingine akawa kaduchuuuu
Salama kipindi chako kimepoteza mwelekeo bora uache kama uwezi kuwarudisha wale jamaa zako .hivyo vitambaa mmmmh!!!!
Kama maisha yako tu Baba.
MACHOZI NIISHARA YAMAUMIVU MAKALI LKN PIA NIISHALA YAKWAMBA UMETOA SUMU MWILINI LKN POLE SANA
Wabara hawana adabu, wanachoyo wajinga kweli kumi attack mtoto kama wao wako perfect