Huenda walianza kuomba rushwa polisi jichunguzeni upya mambo haya si ya kawaida mjitazame upya kama mnatekeleza wajibu wao kwa weledi mmetulazimisha kufikia hapo kwa lazima
@@musafrancis3584hizo ni fikra za kihisia ila si za mantiki Nani kasema liondolewe ? Wawe jeshi la polisi lenye kutekeleza wajibu wake kikatiba unadhani hayo wanayoyafanya ni vile wanavyotakiwa? Kwanini watu wasiende kuwazomea manesi au walimu mashuleni Leo wawazomee mapolisi , mbona watu hawajawazomea wanajeshi au magereza kwanini wawazomee polisi
@@musafrancis3584hii y watekaji ndio unasema msaada upi x Aliy kibao x sugu ,na wenzie leo Bonface Geita wamepigw na abiria Dodomaauaji kila cku wamesaidia nn eb comment zenu, Tatizo shule au nn w Tanganyika tumelogw wp,
Askar anatusaidia sisi abiria ujue askr hasafir wakati huo utashabikia lkn likitokea utajikuta umevunjik miguu mpk bx askr wakt huo hayupo si ulikuwa unashabiki bx umevunjika au umekufa shabikia Sasa ukiwa umekufa ,ukiona dereva anafanya mabaya toa taarifa Kuna familia zinatutegemea
Dada yangu tatizo c raia tu hata askali zako ni wa ovyo sana kwa nn hamjashituka makofi ya askali ambae alikuwa anampiga raia mwanza je ndo hamyaoni hayo hata huyo askali mchukulieni hatua
Mnashangaza ktk ulimwengu huu wa kiteknologia mbali na kuwa na ajali nyng hamna japo online tv ya kutoa elimu kw raia kuhusu usalama barabaran mmkekaa mnalaumu watu wasio na elimu/uelewa. Na suala la vtoch lilipunguza ajali sijui km lipo au ufanisi umepungua.
Embu tusiharibu amani ya nchi yetu askari na raiya turudishe urafiki wetu jamani msiwaone askari kama maadui sisi ni ndugu utendaji wetu wakazi usitutenge wananchi tupendane askari na raia wote ni wananchi wa tanzanià jamani
Mi nampongeza sana DTO wa sengerema tuliwai kua kwenye coaster moja kutoka mwanza kupitia njia ya kisesa fela kuvukia kigongo ferry dereva akawa ameweka nyimbo za kisukuma sauti juu alafu akawa anaendesha gari vibaya sana tulijaribu kumuonya hasa kwenye kuovertake akawa anaovertake vibaya sana hajali kona wala gari linakuja kutoka upande wa pili kwa bahati nzuri nilikua na namba yake nikampigia nikampa taarifa dereva alikamatwa na akapigwa adhabu yakutosha na safari ikawa ya amani sana nashauri abiria tunapoona mwendo sio salama tutoe taaarifa uhai wetu ni wa mhimu sana
Sasa hakimu hajatoa hukumu wewe umeshahukumu tayari dereva hatoendesha tena, na abilia kifungo kinawasubili, sidhani kma abilia wote waliokuwepo ghafla wawashambulie tu police lazma uchunguzi ufanyike huenda police ndiyo walianza matumizi ya nguvu abilia wakajibu
Kuna mambo mengine ni ya kuonya au kukumbushia lakini unakuta polisi wao ndio polisi na wanaenda mbali zaidi kuwa mahakimu mimi sijui kazi maalum ya polisi ni nini.
BUSARA NDOGO TU INATAKIWA: MABASI YAKAGULIWE KABLA HAYAJAENDA STENDI KUPAKIA ABIRIA. HII ITAONDOA USUMBUFU USIO NA LAZIMA KWA ABIRIA. BUSARA NDOGO KABISA.
Wananchi wa wamefikia hatua za kuwachukia askari kutokana na vitendo viovu hasa kupokea rushwa pia kitendo Cha askari kusema watu waliokamatwa watafungwa kana kwamba wewe ndia mahakama
Huenda walianza kuomba rushwa polisi jichunguzeni upya mambo haya si ya kawaida mjitazame upya kama mnatekeleza wajibu wao kwa weledi mmetulazimisha kufikia hapo kwa lazima
🎉🎉🎉
Wewe wapeleke mahakamani ndio itakayotoa hukumu siyo wewe,
Tatizo la polis wanajikuta wao ndio watu sana ipo cku watakuja kupigika awa mpaka washangae
Kuna shida iko raia wameshakua na chuki na polisi na kama mtadharau hili mtakuja kuona mengi sana
Unajiskiaje km jeshi la polisi tukiliondoa kbx na lisiwepo ktk nchi hii je ww utaishi kwel ....
@@musafrancis3584hizo ni fikra za kihisia ila si za mantiki Nani kasema liondolewe ? Wawe jeshi la polisi lenye kutekeleza wajibu wake kikatiba unadhani hayo wanayoyafanya ni vile wanavyotakiwa? Kwanini watu wasiende kuwazomea manesi au walimu mashuleni Leo wawazomee mapolisi , mbona watu hawajawazomea wanajeshi au magereza kwanini wawazomee polisi
@@musafrancis3584Liondolewe tu
@@musafrancis3584hii y watekaji ndio unasema msaada upi x Aliy kibao x sugu ,na wenzie leo Bonface Geita wamepigw na abiria Dodomaauaji kila cku wamesaidia nn eb comment zenu, Tatizo shule au nn w Tanganyika tumelogw wp,
Kwani wewe unaishi Kwa ajili ya uwepo wa polisi? Kweli wewe kiazi Tena mbatata@@musafrancis3584
Rushwa pia uongee.. Wewe mama
Afande fanya uchunguzu kwanza ucwatete sana polisi utawapa kichwa maana watu kumi18 wote hao hakuna mwema kutakuwa natatizo hapo fanyeni uchunguzi
KUONGEA vzr sema kasimama upande wa askar yaan kazidisha chuki
Askari wake wamepgwa ulitaka asimame upande gan ??
Askar anatusaidia sisi abiria ujue askr hasafir wakati huo utashabikia lkn likitokea utajikuta umevunjik miguu mpk bx askr wakt huo hayupo si ulikuwa unashabiki bx umevunjika au umekufa shabikia Sasa ukiwa umekufa ,ukiona dereva anafanya mabaya toa taarifa Kuna familia zinatutegemea
Dada yangu tatizo c raia tu hata askali zako ni wa ovyo sana kwa nn hamjashituka makofi ya askali ambae alikuwa anampiga raia mwanza je ndo hamyaoni hayo hata huyo askali mchukulieni hatua
Mahakama ndo inaweza kuamuru mtu afungwe na sio kauli yako huna mamlaka hayo,wew sema wataenda mahakama then taratibu za kisheria zitafata
Ikitokea ajali tunalaumu askari, wakiangalia usalama tunalalamika, watanzania tubadilike co kila kitu ushabiki
Acha wapigwe tu
Tatizo police muko watekaji😂😂
Mnashangaza ktk ulimwengu huu wa kiteknologia mbali na kuwa na ajali nyng hamna japo online tv ya kutoa elimu kw raia kuhusu usalama barabaran mmkekaa mnalaumu watu wasio na elimu/uelewa. Na suala la vtoch lilipunguza ajali sijui km lipo au ufanisi umepungua.
Shida askari hamtulindi sis wananchiii
Vzr xnaaaa wanachi
Na bado
Polis kalindeni NDUGU zenu
Askari ni adui samia must go
Embu tusiharibu amani ya nchi yetu askari na raiya turudishe urafiki wetu jamani msiwaone askari kama maadui sisi ni ndugu utendaji wetu wakazi usitutenge wananchi tupendane askari na raia wote ni wananchi wa tanzanià jamani
Mim nawachukua xnaaaa police Tz ni wauwaji watekaji sas tunawaamini VP acha tu abilia kushanikia mpaka kitaeleweka
Una ushaidi? Ukiambiwa upeleke ushaidi mahakamani utaweza? Tuache kushabikia kisa mmelishwa na wanasiasa
Mshatutosha ndo maana hamna mana pesa 2
Mi nampongeza sana DTO wa sengerema tuliwai kua kwenye coaster moja kutoka mwanza kupitia njia ya kisesa fela kuvukia kigongo ferry dereva akawa ameweka nyimbo za kisukuma sauti juu alafu akawa anaendesha gari vibaya sana tulijaribu kumuonya hasa kwenye kuovertake akawa anaovertake vibaya sana hajali kona wala gari linakuja kutoka upande wa pili kwa bahati nzuri nilikua na namba yake nikampigia nikampa taarifa dereva alikamatwa na akapigwa adhabu yakutosha na safari ikawa ya amani sana nashauri abiria tunapoona mwendo sio salama tutoe taaarifa uhai wetu ni wa mhimu sana
Sasa hakimu hajatoa hukumu wewe umeshahukumu tayari dereva hatoendesha tena, na abilia kifungo kinawasubili, sidhani kma abilia wote waliokuwepo ghafla wawashambulie tu police lazma uchunguzi ufanyike huenda police ndiyo walianza matumizi ya nguvu abilia wakajibu
Nyie polisi bd hamna kazi
Hao abiria wamekosea sana, hongera afanfe
Hongera afande kwa hilo
Hii chuki wanaitengeneza wenyewe
Mnakela
😂😂Watu wamechoka na Polisi wote ni CCM
Wacha na wao chamtekuni kichapo,wt wameshaamka,i
Tumewachoka askari
Waliogopa kutekwa
Kwa kifupi sana, mmi nawachukia sana polisi. Hata nikute anaomba maji anywe ili aokoe maishayake nayamwaga chin huku akishuhudia
Polici weziii mna penda ela sana lushwa m2 mki mkamata akunjee ela ajee pembeni akupe ao sio benkiii
Kunatatizo sehemu embu tujitafakari tena kuna sehemu tunakosea hii hali si sawa
Mwananchi unabebwa kama mbuzi na bado unamzomea askari,ovyo kabisa.kwa kweli mabasi mengi ni shida na wanakimbia ovyo
Ww askari kuma kwanini mushukiwe nyinyi kama nani?
Askari pia wazidi issue ya rushwa
Kuna mambo mengine ni ya kuonya au kukumbushia lakini unakuta polisi wao ndio polisi na wanaenda mbali zaidi kuwa mahakimu mimi sijui kazi maalum ya polisi ni nini.
Ahahahahaaaaa jamani,abiria ,kwakweli wote mushambulie Afande?mngefanya kwa hekima tu,hasira hasara,
Mbona polisi hutuambia kuwa watatupoteza leo wao wamepapaswa tu mmeongeeeea
Labda walihisi niwatekaj
Wewe wacha kuropoka. Nyie police ndio chanzo cha matatizo. Walikosea hao abiria wangewauwa kabisa hao mapolisi.
Kwa kuomba rushwa ndiyo zao. Raia wamechoka bhana 😅
Wamezidi kuomba rushwa askari kila kona trafiki wanataka hela
Hawa huwa hawajiheshimu.
Polis vyenyewe ni form four fairs asa waheshimike na nani
Mimi nshauri police kuweni na weledi
BUSARA NDOGO TU INATAKIWA: MABASI YAKAGULIWE KABLA HAYAJAENDA STENDI KUPAKIA ABIRIA. HII ITAONDOA USUMBUFU USIO NA LAZIMA KWA ABIRIA. BUSARA NDOGO KABISA.
Hapo bado haya mmeyataka wenyewe acha yawarud.. Watu wanaunganisha dot na mnaenda kutengeneza tanzania yamachafuko ambayo hayakuwepo
Rushwa ndogondogo ni kitendo Cha aibu na fedhea
Mnyaki mwenzangu 😂😂😂
Mnakeraaa ndio njiani kilakona kusimama rushwa tu
Wanyoosheni hao wananchi hawana akili. Wafungwe miezi 12 ili wajue sisi ndo serikali
Kuna maaskari wengine hawana uwezo wa kisheria barabaran
Wananchi wa wamefikia hatua za kuwachukia askari kutokana na vitendo viovu hasa kupokea rushwa pia kitendo Cha askari kusema watu waliokamatwa watafungwa kana kwamba wewe ndia mahakama
Askali sidhan kama wanatusaidia humo barabarani
Yapigwe tu yanatuteka sisi
Polisi kama binadamu anaweza kukosea. Ila kupigana nae akiwa amevaa sare haikubaliki.!! hata kama mtuhumiwa ni baba yangu mzazi utaozea jela
Mdundwe wajiga police majambazi
bado ujasema hadi usemeee na utasema tu
mbona mwendokasi unajaza kama mahindi kimyaaa
Haka kamama vp
Hata mimi siwa
Duu
😂😂😂😂 na bado
Ayo ni maelezo yako ila najua wote waliyo kamatwa wanamaelezo yao wakipewa ruhusa ya kuongea kwenye media haiwezekani kufanya ivo kunajambo liliwakera
Tatizo mnatetea mno maaskari.
Koma
Kwanza hujui kujielezea wewe go back to school police wa mchongo
Polisi 😂😂😂
Wasweke Wote ndani Wapate Akili....Tena Iwe fundisho kwa Wengine.
Acha mkwara wewe
Kumekucha Tz vutukotu