Kwanza Mungu ampee shufaa ya haraka Inshallah.Pili Serikali ya Tanzania kindly,Wekeni mikakati yenye inawalinda wanasanii wote.Tanzania imeimarika na kutambulika kupitia wasanii wote kwa Jumla kwa ushirikiano upndo.Kindlyz,Gvmnt of Tanzania saidie vitu kama hvyo bila mchngo wala nn hyo Issue sio ya Utani.Quick recover my Brother.
Pole sana Mwamba Zimwi. Nadhani hili suala ni dogo sana kwa serikali, ni suala la kuagiza tu apelekwe hospitali atibiwe bure. Japo nadhani baada ya hili umoja wenu ujikite kwenye kuiomba serikali iwawekee utaratibu mzuri wasanii wa comedi ili muweze kunufaika na kazi zenu. Lakini pia mjitahidi kuwa mnajiwekea akiba na hata ikiwezekana kujitahidi kujiunga na huduma ya bima ya afya. (Msisubili serikali kuwapa BIMA bure) mjipange muingie wenyewe. Bima zinasaidia ndugu zangu wasanii.
Mungu yu pamoja naye...Mungu onyesha miujiza Katika hili mfanyie wepesi Kakaetu Zimwi na wengine wenye matatizo pia..AMEN... Mi ni mwanamuziki mwana sanaa pia
Mungu ni mwenye rehema.. naomba kutoa ushauri juu ya matibabu ya ndgu yetu ni.. vyema zaidi mkatumia dawa za asili... Naamini atapona kabisa kwa neema ya Mungu..... 🙏🙏...
Mungu amponye.. ila vijana hao wenye vitambi kubwa kubwa waanze mazoezi tusije wachanhia pia, huo sio utajiri, ni maradhi wanaifadhi ila hawatoelewa kabisa!!
@@jasminemahad ni moyo tu unamsumbua ila hajapata matibabu kamilifu huu mwaka wa pili unaingia tokea lianze Hilo tatizo si unamuona mwili wote umeisha moyo sio mchezo
Wampe msamaha basi serikali! Watanzania wako hooooi na kuchangia kila konaaa, wagonjwa wengi vipatato vya wa watanzania sio vizuri kabisaa, hapa serikali isimame na nyie.
Naipenda nchi ya Tanzania kwakweli mko n umoja Mungu awazidishie mzidi kupendana ❤pole snà Kaka zimwi Mungu akujalie shifaa ya haraka akupe nguvu n afya njema chochote nilichonacho nitatoa😢
YESU ANAPONYA MAGONJWA YOTE. MWAMINI TU, PAMOJA NA MATIBABU LAZIMA UTOKEE MSAADA WA KIMUNGU. JAMBO HILO NI DOGO SANA, BROTHER ZIMWI ATAPONA TU. KARIBU OMEGA MINISTRIES KWA PROPHET SS ROLINGA
Zimwi nenda kanisani kwa KUHANI RICHARD MUSA mbezi temboni utapona❤❤❤❤❤ugonjwa mwingine ni uchawi yaani kulogwa tu Mimi ninaimani utapona nenda utapona ❤❤❤❤
Mungu wangu 😭 pole Sanaa ndg yetu Allah akuponye haraka👏
Pole sana zimwi kwa maradhi, mungu atakufanyia wepesi 🤲
Amiin
Huyu ni Msemaji Kweli... Ameongea Vizuri Sana
Kwa jina la yesu kristo wa nazareti uponyanyaji ukafanyike kwa ndugu yetu ZIMWI. na uumbaji ukafanyike upya mwilini mwake AMEN.
Mungu amfanyie wepesi ndugu yetu Zimwi. Naamini atapona na atapata msaada.
Amiin
Dah pole sana mungu amponye ila ndg zangu wengine kuna kitu cha kujifunza vitambi ni tatizo, mkojan na wenzake pambaneni tunawitaji
Ni kweli aise.
Dah! Pole sana Zimwi hata mimi nimeguswa kwa hili naahidi kuchangia chochote maana huwa unanifurahisha sana
Wasanii wetu Wa comedy mwenyezi mungu awapiganie kama kuna shetani mbaya katikati ee mungu uturehemu sote
Aminaaaa
Mwenyezi mungu atakusaidia na utapona utaludi kufanya kazizako za sanaa kama zamani🙏
Poleni sana mungu ni mwema atakuponya kaka pole sana
Mwenyezi Mungu amfanyie shifaa kweli
ACTOR BONGO MOVIE
Mungu akujalie maisha mema 🙏🙏
MashaAllah MashaAllah Hongereni sana nimeipenda sana hii umoja ndo kitu kizuri maishani❤❤❤❤
Pole sana aise sema wasanii wetu mjiwekezee ikitokea kamahivi mnajua kujisaidia wenyewe
Pole sana ndugu yangu mwenyezi MUNGU akufanyie wepesi ili uweze pona inshallah 🙏
Kwanza Mungu ampee shufaa ya haraka Inshallah.Pili Serikali ya Tanzania kindly,Wekeni mikakati yenye inawalinda wanasanii wote.Tanzania imeimarika na kutambulika kupitia wasanii wote kwa Jumla kwa ushirikiano upndo.Kindlyz,Gvmnt of Tanzania saidie vitu kama hvyo bila mchngo wala nn hyo Issue sio ya Utani.Quick recover my Brother.
Pole Sana Kaka Zimwi Mungu akufanyie wepesi ili burudani yako isipotee Kaka.
Pole sana mkuu mungu akufanyie wepesi utakua sawa
Mwenyez Mungu akufanyie wepesiii Zimwii
Mchangie pesa ya miogo basi
Pole san kaka
Pole sana Mwamba Zimwi.
Nadhani hili suala ni dogo sana kwa serikali, ni suala la kuagiza tu apelekwe hospitali atibiwe bure.
Japo nadhani baada ya hili umoja wenu ujikite kwenye kuiomba serikali iwawekee utaratibu mzuri wasanii wa comedi ili muweze kunufaika na kazi zenu. Lakini pia mjitahidi kuwa mnajiwekea akiba na hata ikiwezekana kujitahidi kujiunga na huduma ya bima ya afya. (Msisubili serikali kuwapa BIMA bure) mjipange muingie wenyewe. Bima zinasaidia ndugu zangu wasanii.
Uyu Anahitaji Matibabu Nasio Vinginevo Ukweli Jamaa Anaumwa Kwelikweli
ata serikali ya Kenya ichangie maana sisi ni ma shabiki wenu pia mnatuburudisha sana...asanti
Mungu amfanyie wepesi,amponye🙏🙏🙏
E mungu mjalie afya njema zimwi aweze kurejea katika hali yake ya kawaida ameen
Mungu akupe ahuweni tunakupenda sana😍😍
Mchango badi
Mungu akutoe maradhi, akupe uzima km mwanao, hakika binadamu so chcht, pumzi ND inatudanganya
@@mirajiabeid1129 Amina
Mungu atakuafu inshallah
In sha Allah atapata afueni ya haraka
Allah atampa Nusra in sha Allah ndugu yetu zimwi❤
NIPENI NUMBER NICHANGIE KIDOGO CHANGU KAMA MSANII MDOGO WA KENYA 🇰🇪 SOTE BINADAM
Namba ameitaja mwishowe alipoambiwa aongee ameitaja namba yake mwenyewe Zimwi
Mashallah Allah akuzidishie khery
Sikiliza hadi mwisho mbon kataja no yake
Ovyooo
Huskizi adi mwisho af unaitisha namba unafki tu msheeeew
Safi sana ndungu zangu Kwa mshikamano mvuri M/mungu atawasaidia
Allah atampa Shifaa yake, wacheni maneno mengi fanyeni vitendo
MY BROTHER ZIMWI MY ALLAH WILL GIVE YOU SHIFA INSHALLAH AMEEN AMEEN AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤
Ufisadi kila kukicha wakati watanzania wanakosa matibabu kisa fedha, pole sana ndugu Mungu akukumbuke.
Mungu amponye InshaaAllah nduguyetu Zimwi Anaonekana kweli anaumwa maana hakua ivo mungu amponye InshaaAllah Amiin 🙏
Pole Sana brother mungu atakujalia utapona
Inshallah mwenyezi Mungu atafanya njia pasipo na njia Zimwi atapona na kurudi kwenye majukumu yake
Allah amfanyie wepes amuhaf Inshallah
Pole sana zimwi Allah atakuondolea inshaa Allah
Mungu atakusimamia ndugu yetu zimwi
Polee sn zimwi Mungu atakupa nafuu inshaallah
Mwenyezi mungu tunaomba kwaku nyenyekea mpe afya nzuri zimwi atuna mwingine wakulilia zaidi yako wew ndie msaada wakwanza
Allahumma Amiin 🙏🤝
Daah pole sana bro
Mungu yu pamoja naye...Mungu onyesha miujiza Katika hili mfanyie wepesi Kakaetu Zimwi na wengine wenye matatizo pia..AMEN...
Mi ni mwanamuziki mwana sanaa pia
Tuma mchango namba ndio hiyo umeshaiskia
Pole sana ndugu zimwi
Allah 🤲atampa wepesi in shaa Allah nakuweza kumponyesha maradhi alio nayo
Mungu ni mwenye rehema.. naomba kutoa ushauri juu ya matibabu ya ndgu yetu ni.. vyema zaidi mkatumia dawa za asili... Naamini atapona kabisa kwa neema ya Mungu..... 🙏🙏...
Wewe ukiumwa unatumia hizo dawa za Asili au yeye tu ndo unamshauri hivo.?
@@kingayzaq8076 Ndio huwa natumia ndo maaana nkatoa ushauri..
Mungu amponye.. ila vijana hao wenye vitambi kubwa kubwa waanze mazoezi tusije wachanhia pia, huo sio utajiri, ni maradhi wanaifadhi ila hawatoelewa kabisa!!
Cha ajabu mbona wanafanya siri NI ugonjwa gani anaumwa....
Moyo
@@karimkassam571 ana tatizo la moyo hapo labda apelekwe india
@@karimkassam571 hawatKi kusema
@@jasminemahad ni moyo tu unamsumbua ila hajapata matibabu kamilifu huu mwaka wa pili unaingia tokea lianze Hilo tatizo si unamuona mwili wote umeisha moyo sio mchezo
Pole sana brother Mungu ni mwema na akuponye
Pole sana zimwi, Mwenyezi MUNGU akujalie afya njema ili uweze kuendelea na majukumu Yako.
Pole sana kaka zimwi mungu akufanyie wepesi
Pole sana Mwenyezi Mungu akupe uwepesi ndugu Zimwi
Mungu atakufanyia wepesi
Kwan harmonize Mungu wao..watanzania wakawaida watamsaidia
Pole sana kaka yangu zimwi Mungu ata kusaidi utapona utarudi kwenye ariyako kama samani
Upone kaka Zimwi kwa Nguvu za Mungu, Matibabu yatakusaidia uwe na Imani utapona.
Pole sana bwana zimwi mungu akufanyie uwepes upone harak
Duuu pole sana Zimwi Mungu ni.mwema atatuma Malaika wengine kuja na matibabu kamili
Polesana ndugu allahuma jaalna afya Wal afiya halaa zimwi wajamiaa Tanzania ammmmin
Wampe msamaha basi serikali! Watanzania wako hooooi na kuchangia kila konaaa, wagonjwa wengi vipatato vya wa watanzania sio vizuri kabisaa, hapa serikali isimame na nyie.
Mi najiuliza si ni ntanzani? Kama hali ya kiuchum awana uwezo si wamtibu tu jamani?
Wagonjwa matibabu juu ila mpira kila goli milion tanoo
Poleni sana ,,,,pia nishauri kitu anzeni na nyinyi kujitoa kwa kutimia Sanaa yenu fanyeni show kiingilio kiende Moja kwa Moja kwa matibabu ,,,
Pole Sana. Zimwi mungu akufanyie wepesi utapona
Pole sana ZIMWI mchekeshaji wangu pendwa M/mungu atakuaufuu inshallah
Pole mzee mungu yupo utapona.
Mungu akuponye kufa hautakufa Bali utaishi kwa jina la yesu
Dozi kubwa ni jina la mungu baba mwenyezi mi nashauri mumpeke kwenye maombi kwa mwamposa atapona kwaimani yake
Pole kaka mungu ni mwema utapona tu inshalah
Pole kaka mungu akupe wepesi baba
Mungu naungana na mgonjwa ktk maombi yake ya kupona mfanyie miujiza aweze kurudi ktk hali inayo mfaa kama ulio mjalia mwanzo
Allah amfanyie wepesi " labasa twahuur in shaa Allah"
Allah ampe shifaa inshallah kwa uwezo wake manani atapona
pole sana Kaka ALLAH atakuafu.
I'll fuzo waxanii mujue Kuna maisha bada ya xanaa
Mkono unabusara Sana na zimwi ALLAH yupo pamoja nawewe inshaallah
Polen sana sanaa Wana comedy movies
Pia mungu nimwema n aweze kumlejeshe nguv yak ka awali
Yanga wakifunga goal moja 5M simba vile vile last time wamefunga bao 5 walipewa 35M sasa pesa wanazo pewa pana watu wengi wana zihitajia
Utapona inshaAllah kaka kwani sikuzote mungu hakupi jambo usiloliweza na Nina Imani utapona kaka zimwi .....alaah! Iyeeeeeee! Umeonaeeeeee nakutambua sanaaa
Tiny white unanivunjanga mbavu babae iko vizuri
Not only in Tanzania wekeni number am in Kenya nitachangia
Pole sana ndugu yangu, tunakuombea dua upate nafuu ya haraka.
Mungu amponye🙏lkn me nashauri akatiwe bima itapunguza gharama
Jambo laweza kuwa zuri ila Mambo madogo madogo yakaharibu,,,sasa kuna haja gan ya kumuonesh mwanzo mwisho wa mazungumzo! Upuuz tu kaz bila maadil
Mungu amuajalie kheri
Naipenda nchi ya Tanzania kwakweli mko n umoja Mungu awazidishie mzidi kupendana ❤pole snà Kaka zimwi Mungu akujalie shifaa ya haraka akupe nguvu n afya njema chochote nilichonacho nitatoa😢
Poleni sana aisee tunamwombea sana apone
Pole sana mwenyezi
Mungu akuponye
POLE NDUGU Zimwi mungu akuwepesishie!
Mngeandaa tamasha kama comedian ili kumchangia ndugu yetu
Wazo zuri sana
wazo zuriii sana jamniyyy hiliii
Mwenyezi mungu amuone na jicho la huruma amuponye
Pole sana mungu nimwema atakufanyia wepesi
Pole sana zimwi..mungu akupe afueni ya haraka
YESU ANAPONYA MAGONJWA YOTE.
MWAMINI TU, PAMOJA NA MATIBABU LAZIMA UTOKEE MSAADA WA KIMUNGU.
JAMBO HILO NI DOGO SANA, BROTHER ZIMWI ATAPONA TU. KARIBU OMEGA MINISTRIES KWA PROPHET SS ROLINGA
Mungu akuokoe.zimwi wetu
Pole sana kaka MUNGU atakupa wepesi utapona tu
Pole sana mungu yu pamoja nawe atakuponya
Mungu ni wetu sote ...utapona kakangu mungu yu pamoja nawe anakujua vyemaa
From 254,jamani namuombea sana zimwi tungali tunamhitaji apone mapema
Tuma na mchango wako namba ndio hiyo umeshaiskia
Mwenyez akufanyie wepesi
Pole sana zimwi utapona kwa uwezo wa araah
Mungu amponye kwajina la yesu
Mungu ampe hafiifu inshallah
Zimwi nenda kanisani kwa KUHANI RICHARD MUSA mbezi temboni utapona❤❤❤❤❤ugonjwa mwingine ni uchawi yaani kulogwa tu Mimi ninaimani utapona nenda utapona ❤❤❤❤
Duuh marazi haya ni hatari sana,, pia si vibaya akaenda katika maombi Yesu wa Nazareth anaponya
Amen hakuna kama YESU KRISTO Bwana na Mwokozi wetu hashindwi na jambo lolote ndugu yangu. Atakuponya, ukiamini tu.
mungu amfnyie wepesi