[Eng sub] Best African Action Movie 2024 | Operation Red Sea - Beast of no nation | Netflix
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- The Minister of the interior is captured while in an unofficial Trip, the Minister's office decides to send a secret force to rescue the Minister to hide the shame, the force is called OPERATION M22 Written & directed by Benroyal
This is Channel is for action movies based on African Movies in English and Swahili HD movies don't forget to subscribe @BenroyalMovies
Operation Red Sea 2018
Operation M22
Genre: Action
Written & Directed by: Bernard Edson (Benroyal)
Year of Production: 2022
Country: Tanzania
Original Language: Swahili
Synopsis
Operation M22 is the name of the operation given to five soldiers who went to rescue the minister who was kidnapped by the gang of thieves.
Cast
Peter Mwasomola
Sebastian Gwakisa
Ally Siwila
-Lazima utoe machozi ukitazama Filamu hii
-Benroyal movie iliyoshinda tuzo
-Awards winning movie
-African war Movies
-Operation red sea
-Operation M22
-Bongo movie ya kivita
-Dj Mack
-Dj Afro
#zuchu #juakaliseries #chekatu #benroyalpicturesmovies
Alhamdulillah wa kwanza kukomenti like kuangalia naombeni like zenu maana nilikuwa naisubiria kwa hamu💞💕
Noma sana hii move Yani naipenda mpaka basi
@@joancalling3837 mi Kila mda nilikuwa nairudia mara mbili mbili
Niwap hongera wote walio shiriki kwenye mov hiii mumefany vizur San hongelen machalii nimeipend hiy hongel sn joj kwa kaz nzuri
Karibuni sana kutazama Filamu ya Operation M22 iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa
Nakubali kaka
Tupo kijana wetu we tena
@@Benroyalmovies naomba niseme... Katika movie ambazo nafsi yang imekubali mmecheza hiii Ni kali ... Movie zen zote nazfuatilia ila hii mmeiweka kwenye ubora. Kusema kweli bas mna weza kabsa mkaendeleza Kaz yenu ikwa international sana Hongeren nawakubali kila mmoja kwenye sehem yake anajua kuicheza. Ila kuna bwana mdogo mmoja alie cheza na Starling pale mwshon wanapokutana wawili skmbuki alcheza kama nani Kit kama gwakisa aongeze seriusness yan awe serious
Ila bigup sana
Dah we jamaa ni Noma sana, Movie iko vizuri sana na inapaswa kwenda NETFLIX
Shukran Sana tutafika Tu huko Netflix
Kigongo cha maana nilisubiria sana usiku na mchana ,, sasa ngoja nikae mkao kuangalia dude letu lilobeba tuzo 🇹🇿👏 Benroyal the great💪
Shukran Sana
Yeyeyeyooooooooo💪💪💪 bongee la kazii sarout sana team mzima dadeki hii kaz nzury sana nikama naangalia mission impossible 💪💪
Kazi nzuri sanaaaaa, sema Bongo bahati Mbaya kiwango cha Kimataifa 🙌🏻🙌🏻🙌🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
kudadeq 💥💥💥💯🙌 noma sana hiiii
Karibuni kuitazama movie yetu pendwa OPERATION M22. Inspector BANZO hapa super power 🔥🔥
SEMA we jamaa unajua kuuvaa uhusika
Iisnema niwatugan wamechez au niwanchigan
Nyie nyie TANZANIA tunatisha sana acheni masihara mzigo wa Hollywood 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Asante sanaa
Director pongezi nyingi saaaaanah!kwa kazi nzuri.Home sweet home baby🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Big up napenda movie zenu sana zimeesha shule zikaiva
Kazi imenyoka sana bigapu family 🎉🎉
Best dana
Aiseee nawakubali sana, Tanzania pia tumeanza kufanya vizuri sana kwenye movie za namna hii. Big sana
Bon wangu jamani nakupenda sana🤩🤩🤩
Asante sana 🙏❤️
Duuuu!!!mmetishaa
Ni 🔥
KAZI NZURI SANA... BiG UP SANA TEAM NZIMA YA #BENROYAL_PICTURES 🙌🙌🙌🎥🎬💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daaahhhhh nyie viumbe ni shida,mnajua hadi mnakera,big up kwenu mungu aendelee kuwapa afya njema mzidi kufanya mazuri zaidi na zaidi,na pia awajaalie muweze kutimiza malengo yenu ya kimaisha inshaallah,salute sana kwa wanangu CHUI NA DUBU
Asante sanaa
Respect san mwanangu 💪💪💪
Nawapenda Sana benroyal much love from Kenya 🇰🇪
Actress wapo hot Saaaanaah!heshima kwenu.Home sweet home baby 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hii movie n zaidi ya action walai tena wajeshi wangu from 254 IAM here to congratulate bongo movie
Asante sana
Big up
Nilishaweka notification on hamjawahi kuniamgusha makamanda wangu wa Green city❤❤❤❤
Endelea kutupa mambo nawapenda sana kazi nzuri
Dah hamna wapinzani. Mpo vizuri sana nyieeeeeeee. Nawakubali sanaaaa
Hii movie imekubali sio poah....🔥🔥🔥🔥🔥🔥Salute benroyal 👏👏
Shukran Sana
Maze hii ni bonge la movie nawapata nikiwa🇰🇪🇰🇪Kenya wanangu
Mashallah movie nzr mno asanteni
Yapo makosa madogo madogo ila big up, mmeua hongereni.
Pamoja tunaweza
Benroyal u are the best
.. bongo NZIMA hakuna kama ninyi🙏🏿♥️💪🏆
Shukran Sana kaka
Saaafiii
Mimi leo wa pili na omba likes zangu
Nmekuona ndugu yangu
What a movie watching from South Africa
Kali sanaaaaa
Kamwe team boni hajawah kunilet down appreciate you benroyal team ni fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@@Boneseries 👍
Dude ilo wow amaizing story amazing act great work GREEN CITY BOYS
you guys you are the best
muvi Kali Mzee🙏🙏🙏💥
Dah BenRoyal , nimewakubali
Move zurisan ❤❤❤
Nc mambo ni 🔥🔥
Nlikua naisubir kwa hamu Sana kazi nzr
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾💯❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪ONE love from kenya
Love from Dodoma mmetish snaa wakubwa ongela kwakila hatua kikubwa kazeni kufika mnapo taka kwenda 💫💫💫💥💥💥💥💥💥💥💥💣💣💣💣💣
Nilikuwa naisubiri hii movie Kwa muda mrefu baada ya kuona trela yake mwaka jana na hatimaye.
Mbeya city to the world
Tunaweza zaidi
safi zaidi nilikuwa naisubili sana hii
Kazi nzuri akways nyie jamaa hamnaga kazi mbovu, nawakubali sana aisee
Gig up
Ni Noma bas💥💥🇹🇿
Jamaa munaweza sana haiseeeee
Salurt kwenu akika kazi zenu nazikubari
Kazi nzuriiiii sana nawapenda ❤️
MBEYA CITY I LOVE YOU FOREVER ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Siwapingi 💪💪💪💪💪💪💪🥰
gooood job very very step
kaz nzuri sana
Movie kaliii unyama mwingi2 🎉
Mnajua. Move kariii
Tume subili san movies nzuri hatimaye mungu amejib
iko poa sana
Iko poa sana
This is nice bring more and more full movie 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
da nyie jamaa safi sana mnaleta changes kubwa sana kwenye bongo industry ya action movies
Movie zenu ziko poa. Hakika mmetuaminisha hata watanzania tunaweza kufanya kazi nzuri
Asante Sana
Hii movie inastahili kurushwa NETFLIX appriciatiate on you people you deserve reward.
Asante sanaa
Balaaa Ni Kubwa Sana Humu 🤞🤞
Netflix bado sana viwango ila storiiii na movie nzuri sana na wahusika wazidishe ubora zaidi
Sure
🔥🔥🔥
Heshima Yenu sanaaa
Benroyal hana kazi mbovu yani ni bonge la director...alafu mm nasema mbeya kuna watu wana vipaji ni vile tu sio dar lakini hawa jamaa hatari
Aisay Mungu awabaarik inshllah awape uwezo zaidi inshllah ❤
Asanteni kwa kazi nzuri sana,mmetufanya kupenda kazi zetu wenyewe.Mmetubadilisha mtazamo wetu maana Kila kukicha ni simulizi za mapenzi kulikua hamana kazi tofauti ila kwenu tunapata radha tofauti.Kazi njema kwenu
Eehh jamani nzuri sanaaaa,ila vipande vyakupigana mm naogopa
Pole samsha
Good jobu
Nayipenda sana this movie, nothing 4rom Angola 🇦🇴
Nyi jamaa mko ju Sana napenda kufatia movie zenu mi natokea Kenya mombasa
Togolaise in Kurdistan . Love you gayssss.
Nimefurahi kuona kuna tunzo mbili kazi nzuri #BENROYAL#
Nasemaga Benroyal ni mmoja tu ❤❤❤
Asante sana
kaZi nzuliii
Nice movie
nazipenda filamu zenu natazama nikiwa dammam😍😍😍😍
Naanza na comment hii
Eb niingie ndan sasa
Peter mwasomola yuko vizur namkubali mwamba wangu pambana dogo tuko nyuma yako
Amjawahi kuniangusha Hata siku moja!! Mume weza Sana
Daaaaaah hongereni Sana kwa kazi nzuri na mungu awazidishie mfanye zaidi ya hapa kwa maana nimefurahi kwakua hiki ndio kitu nilichokua natamani kukiona Sasa katika bongo move ya leo
Kazi poa xana kbs love mi
Next level hongera mtengenezaji unaweza Sana
Abrahamu akinyoa anakaa smart,,,
OPERATION M22.🔥🔥💪💪 Big up sana Director wangu na Wanangu wotee kwa kazi yetu Bora kabisa🙌🙌🙌🙌
Pamoja sana Royal invester
😂😂😂😂Wawekezaji wa mchongo
Sema Nala kwenye movie Kuna muda unatia huruma sana nakukubali sana
Ila kwenye mtu Inabidi tuitafute ata Chanel 10 maana najua Hawana tamthilia Kali kama zenu
Benroyal nawapenda sana ❤ kutoka Kenya
Who watched today🙈🙈🙈🙈🙈nice movie interesting much love from kenya
nimeipenda
Mungu awasaidie
I,m watching this movie form liberia 🇱🇷 keep the good work okay.
Thanks very much
Film nzuli sana mungu akujalieni mufanye nzuli zaid
benroyar kiukweli umetisha sana hii movie ni kari vibaya mno,ubunifu ,editing za kisasa kabisa wewe ni TANZANIA ONE wa action movies kama hizi hakuna mwingine mwamba
Shukran Sana
God bless 🙏
Ni kali htr I can't imagine!!
Kazi dzuri kabisa
Hongereni Sana
Tunaorudia rudia movie hii 2024 tujuane jaman inabidi mkazane kutupatia vitu now mnachelewa sana jaman hadi tunarudia vya kale 😂😂