HARMONZE ADONDOKA STEJINI - RAIS SAMIA ACHEKA - MWINYI NAYE HOI - TAZAMA ALICHOKIFANYA....

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 жов 2024
  • HARMONZE ADONDOKA STEJINI - RAIS SAMIA ACHEKA - MWINYI NAYE HOI - TAZAMA ALICHOKIFANYA....
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 20

  • @mohamedkisenga6654
    @mohamedkisenga6654 2 місяці тому +2

    Ovyooo sana Kodi zetu hizo dar

  • @AltamimSoud
    @AltamimSoud 2 місяці тому +2

    Naona sherehe za kizimkazi zinafanyika Zanzibar ila wasaa wa Tanganyika watupu hakuna mzaznibari hata mmoja hata waimba Taarabu zaidi ya mzanibari wa Daimond ambae hatukai nae Zanzibar waleteni wasanii wa Zanzibar pia hata waimbaji taarab ili tuone muungano sawa mnajipendelea wasanii wenu wa kizazi chenu kipya tu

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 2 місяці тому +3

    Tunaambiwa tunatangaza nchi au tunatangaza sehemu alipozaliwa samia huu ni ufujaji mkubwa wa pesa za nchi ambazo tunaenda kila siku kuziomba kwa wazungu Leo maadili Ya kizanzibar yameendelea kuharibu siku baada Ya siku ulevi na music ndio imekuwa hali yetu Zanzibar Leo imekuwa chaka la kufanyia ngono kila mzinifu pakujifichia ni Zanzibar

  • @EdnaJohn-c5x
    @EdnaJohn-c5x 2 місяці тому +6

    Nyimbo.ali imba zuchu bwana ya magu❤❤

  • @IbrahimElly-p5c
    @IbrahimElly-p5c 2 місяці тому +1

    Nchi ngum sana hii An watu wanatesk wengne wana shereh Duuh Mungu anatuon Tz

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 2 місяці тому +1

    👍

  • @HasanOmar-c3p
    @HasanOmar-c3p 2 місяці тому

    Nakubl

  • @TidoThefuture-fh4gj
    @TidoThefuture-fh4gj 2 місяці тому +1

    Yani anaangalia show anaacha kuskiliz wananchi wanashida gani Duuuh nchi ngum sana hii Yani uyo konde anavomsifia hapo anaona raha pumbavu sana

  • @FatmaHalfan-w3l
    @FatmaHalfan-w3l 2 місяці тому +2

    Kipipa kimedondoka😂😂

  • @BizzBoy-g4o
    @BizzBoy-g4o 2 місяці тому +2

    Jipigieni mihela vijana

  • @DavidSemu-gu6wp
    @DavidSemu-gu6wp 2 місяці тому +1

    Ana angushwa na nini? Madeni ya CRDB wewe ununulie kila mwanamke gari unajifamya sultani wa brunei,. Mshamba sana dogo.

  • @patelokoh5828
    @patelokoh5828 2 місяці тому +1

    Pole bro hio hutokea but next time just b careful

  • @wilsonwafulachebokati4933
    @wilsonwafulachebokati4933 2 місяці тому

    Mh mngejuwa mtaani hatumkubali

  • @ronaldgaudensi
    @ronaldgaudensi 2 місяці тому +3

    Wewe rajabu hapo uko kimaslahi wewe ulikuwa wa magufuli wewe

    • @mbaroukally8655
      @mbaroukally8655 2 місяці тому

      Sasa ulikuwa unataka amfate huko makaburini au

  • @Nuru8700
    @Nuru8700 2 місяці тому +2

    Huyu hana style nyengine ya kucheza

  • @wilsonwafulachebokati4933
    @wilsonwafulachebokati4933 2 місяці тому +2

    Wenu na mama yako

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 2 місяці тому +2

    Harmonize kaishiwa kabisa

  • @mgawemwasiti6551
    @mgawemwasiti6551 2 місяці тому

    I. Know this movie it's called the boy