Dr. Chris Mauki: Mambo 5 ya kufahamu unapokuwa kwenye mgogoro na mpenzi wako
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- Ili kuzuia migogoro yenu kwenye mahusiano na ndoa isiwaletee athari kubwa, haya hapa mambo 5 muhimu sana ya kuyafahamu#DrChrisMauki#Mgogoro#DrChrisMauki#Mpenzi
Doctor chriss kuna namna unatufikisha sehem aisee nataman kua kama wewe one love doctor
Una tofauti Sana na mpenz wako
Msilikilizaji
Jielewe
Tamaza mambo kwa upande wake pia
Fahamu kuwa hata ww unakosea
Shukran sana Dr. Kwa somo zur sana Mungu akubaliki. Akupe maisha marefu ww na familia yako
Mungu akutunze zaidi mwalimu kazi yako ni njema Sana
Leo nimejifunza kitu...mungu akubariki
Tunajifunza vingi dr mungu akubarki...
Ni kweli kabisa kabisa.
Nimeokota kitu, Asante saana
Asante🙌🙌🙌🙌🙌
Mungu akubariki. Sana unatufundisha mengi mazuli Mungu akubariki
Thanks
Dah! Asante sana doctor yaan nlkua na Hal mbaya but baada ya kukusikiliza nimejikuta napata na usingizi 🙏🙏
Pole mungu akutie nguvu
@@mnanaoportunity3472 Amina🙏
Good things
Asante kw somo lako Dr
Shukrani sana dokta,Somo lako zuri,naomba namba yako ya Whatsapp,tafadhar.
Nzuri sana kwakweli Dr thanks
Atamm nipo kwenye mgongoro ila nimejitahidi kuomba msamaha ila amenipa mtihani ambao haupo kwenye uwezo wangu napia wamekuwa pamoja namke wangu je nifanyaje
Pole na kazi dor. samahani naomba namba yako
Dr Kuna wakati unajua kitu unamuliza mpz wako anakataaa kabic hiii inaumiza San inapelekea mim kuwa na hasira
Vitabu vyako ni shingp