Hongera! sana!! baba kwa uamzi wako wa busara.Tulipoona uamzi wa mahakama unapingwa (((unakiukwa!!))) mchana kweupe wapenda amani tuliogopa sana. Lakini wewe hukuona sababu ya kushinda mnavutana.(Kugombania maji ukiwa baharini )Tunawaomba watanzania wapenda amani waone,waelewe kisha wakuunge mkono.DAIMA HAKI ITASHINDA tu.Hongera sana baba umeonyesha umahili wako ki-siasa.
nafurahi kusikia kauli ya Mzee Seif ni mtu mzima sana kiukweli lakini bado ni mpigania hakia, na anaonekana bado ana hari yenye nguvu. Hongera sana Maalim Seif uko vizuri sana mzee wetu. Tuko pamoja daima
Yani waafrica bwana, yan mtu akiwania uongozi akiwa upinzani ana tamaa na uongozi, ila akigombea akiwa cha tawala hana tamaa na uongozi. Aisee aya sawa bi dada.
Yohana Mwamkili Tatizo langu ni kwa nini wapinzani wanahama hama? Wabunge wanachaguliwa na wananchi baada ya muda wanahama, viongozi wakubwa kama huyu anahama sasa watu kama hawa wanataka nini? Nini kinawafanya wasitulie? Wakipewa nchi itakuwaje? Umeona wapi duniani viongozi wanahama hama kama Tanzania? Labda unisaidie. Wanaua democracy kwa njaa zao za tamaa. Na hiyo ni kama laana haitawatoka hata huko wanakoenda kama mambo hayatakuwa walivyotaka nako watahama?
CCM OYEEEE..✊. NA BADO UTATAPATAPA SANAAA WW..MWENZIO KESHARUDI CCM ANAKULA KUKU NA BATA KWA MRIJA..SASA WW NENDA UTAKAKO MWANAKWENDA.MFA MAJI UNATAPATAPA WW..HUKUPATA ASUBUHI UTAPATA JUA.LISHATUA..HUNA JIPYA...TUNASUBIRI TUONE ..KIVURUGE TUSHAKUZOEA.
Msibishane au kujenga hoja kwa akili fupi Kama yahuyo mwcheni tu nae ajifurahishe😅. Maana kama hao wanakula je yeye anakula Nini kinachotoka kwa anaowapigia debe?
MAALIM LOOK BEFORE YOU LEAP MAKAO MAKUU YA CHAMA HICHO YATAKUWA WAPI VIONGOZI WOTE NI WA MUDA ITAKUAJE HAWA WANASIASA WA TANGANYIKA MARA HUSEMA WANAREJEA NYUMBANI UNALIJUA HILO
Ajue tu akienda na UKAWA wake muda mfupi na humo watamtimua,Chadema ndio walioimaliza CUF,Sasa nyie kalieni tunafuata mtu na sio chama,mtahama mpaka nchi
Ndo kusema upinzani Zanzibar umekufa? Mbona democracy inakufa? Ama kweli Tanzania upinzani bado sana, CCM utaendelea kuwaburuza. Mtapambanaje na democrasia wakati viongozi/wabunge wapinzani wote mnahama hama hovyo??? Inasikitisha sana. Pia viongozi wapewe umri wa kustaafu ili vijana wa take over labda watakuja na democracy ya kweli watatulia kutakuwa hamna kuhama hama. Mungu ibariki Tanzania
J JOSE Watu watakuwa na imani gani na vyama vya upinzani tena. Think about it unamchagua mbunge unayeona anafaa kukuwakilisha Bungeni ghafla kahama chama anarudi kule unakotaka kukutoa madarakani unajisikiaje anyway sijui watu huwa wanapiga kura kuchagua viongozi wakiangalia nini. Nafasi yangu nisinge waamini viongozi kama hao lakini ndo hivyo tunatofautiana
MwIsho utarejea CCM chama chako cha mwanzo. Wewe na lipumba .lowasa mbowe nyote CCM washenzi umeshakula mapesa ya michango uliowachangisha CUF .baadae umewakimbia na huko unakwenda kuwachangisha .tapeli sefu mwanga .ccm wanakutumilieni
Kweli Maalim una matatizo Mbona hukwenda Kwa Mboe? Si jamaa yako yule, mlipanga kumuweka Lowasa pamoja. Au Mboe kaku kataa? Haya 2020 utapambana na Lipumba sio CCM tena.
Heri nusu shari kuliko shari kamili umefanya maamuzi mazuri hamna sababu ya kugombana .nenda salama na Mungu akupe hekima ukaijenge demokrasia huko A CT wewe ni jembe .
Mtaelewa tu mziki wa Lipumba ACT mliita CCM B leo CUF mnaita Ccm B,huku nyie wenyewe mkiwa Ccm A. Lipumba ni advantage kwake,kwanza hategemei Zanzibar ndio ibebe chama kama akili tope zinavyowatuma
Zainabu Ahmed zainabu ww ni mshamba alaf mnafik sasa mtu ajiuzulu alaf arudi ten kwa lengo la kukiuwa chma flani kwa tamaa zake tunasem sisi waznzbr muchukue cuf yenu mliounga kwa kuforce lkn seif ni mpambanaji w2 popote alipo 2po na 2020 lipumba mbunge atapata hko huko bara ila sio visiwan boya kuma nyinyi
ila zito hakumsoma huyo na hisyoria yake asingeli kubali kirahisi zito avae life jacket kabisa maana lazima atamtoa kama kamuuzia chama sawa awaangalie we nzake akina mapalala Hamad rashid walimkaribisha kwa heshima mwisho akawatimua name ajiandae kwa hilo
Huku Mamu hakuna shangwe lolote,zaidi ya walitengenezwa kushangilia,vijikundi tu. Zanzibar sio ile ya miaka chini ya 2010,sasa hivi siasa huku hazina mvuto kabisaaa
Nitajaribu kuku jibu kwa ufupi tu ule mpango wa kuapishwa ndio ume ishia hapo. Na zile figisu figisu za Lipumba ilikuwa ni njia moja wapo ya kumkwamisha Maalim Seif na wame fanikiwa. Na ile pressure walio kuwa waki ipata kutoka mataifa ya nje nayo haito kuwepo.
karbuni nyumban mwenzenu lowasa tayari tunakula naye bata ikuru wewe ndio cuf sasa unahama huko unafikiri kuna nn tena 2020 tunawapiga kama tumesimama vile bila gharama yeyeto
Maalimu Seif huko uendako ukumbuke.kusoma.vizuri katiba ya ACT wazalendo. Na usije ukatufia tena kosa ulilolifanya kwa Lipumba alipokuandikia barua ya kung'atuka. Na hiyo sumu ya serkalu ya mkataba uiache hukooooo👉👉
bigup xn mseif, mungu yu pamoja nawe. ukombozi ni sasa. Tumechoka na hiki chama ccm, ni ufala tu na mabavu.
Hongera! sana!! baba kwa uamzi wako wa busara.Tulipoona uamzi wa mahakama unapingwa (((unakiukwa!!))) mchana kweupe wapenda amani tuliogopa sana. Lakini wewe hukuona sababu ya kushinda mnavutana.(Kugombania maji ukiwa baharini )Tunawaomba watanzania wapenda amani waone,waelewe kisha wakuunge mkono.DAIMA HAKI ITASHINDA tu.Hongera sana baba umeonyesha umahili wako ki-siasa.
Maalim seifu mwenyezi mungu yupo pomoja na wewe haki ya wazanzibar ishaall itapatikana.. twende mbele. Aminin
nafurahi kusikia kauli ya Mzee Seif ni mtu mzima sana kiukweli lakini bado ni mpigania hakia, na anaonekana bado ana hari yenye nguvu. Hongera sana Maalim Seif uko vizuri sana mzee wetu. Tuko pamoja daima
Yaaaaan naskiliza mpaka nalia ila tuko pamoja na ww Maalim insha Allah 2020 tlliwalo na liwe
Asante sana maaali seif never give up nakupendajeee mzeee babaaaaaa
Dah kwenye siasa kweli noma yaan mzee kipindi chamapambano alikimbia mapambano yameisha amelud nawatu bado wanamsapot amakweli akilininywele. Maalim pambana mungu anakuona ww sio mnafik
Wakati mwengine kheri inatokana na shari basi shari yao hii in sha Allah ndo itakua kheri yetu. Kheri itazaliwa kwa uwezo wa Allah
Me nakukubali mzee Seif Maalim Mungu akutanguliye
Kwa wazanzibar nawakubali kwa misimamo ,lipumba ajiandae kisaikolojia ,umefanya Jambo zur kuepusha marumbano yasokuwa na tija ,
safi sama malim hakika umetizama mbele
Ulipo tupooo
Lipumba hawajui vizuri wapemba, atawajua vizuri mwaka huu.
This is a true definition of the word siasa (si asa)
We mwenyewe mpemba,wapemba hawa jipya
cuf lipumba anaiuwaaa nami ni ACT eazalendo maalim sefu ulipo nami nipo wamekudhurumu sana
Serekali ijiandae maana mumemuonea Maalim Seif. Lipumba ni msaliti na mtajionea.
Kwel kabsa
Safii sanaa Maalim umefanya busara sanaa
Mzee busara uliyoitumiaa pongezisaaaana najua niwachachesaaana wanaokubali matokeoo ilachaguo ulilolifanya pongeziiiiiiisaaana Mzee tuponyumayakoo
Uyu mzee angelikua baba yangu kwa busara hizi nisinge pata kugombana na majirani
Lipumba simpendi hafai mnafiki sana
Daaaah Kila nikikuangalia namkumbuka mzee jumbe..daaah seif..haya tutaona ..laana inaendelea
ulipo tupo maalim sefu popote ulipo
maamuzi mazuri siku zote hayajutiwi.....nakupongeza malim. umetumia haki yako ya kikatiba. Ongereni
iki chama cha ACT Wazalendo kitakuwa sio mda mrefu na kukipiku chama Fulani ila wanaokipongeza Leo ndio walikiita hiki chama kama CCM B
Ibrahim Pumba??? Aisee
Genus. NECK IN NECK....KUDADEKI....LAZIMA WAITE KIKAO CHA DHARURA...FYUUUUU.MAALIM SEIF MUNGI YUPO NAWE
Safi Maalim
Mamuzi mazuri
Na hiyo cuf ife kabisa lipumba abaki mwemyewe
maalim seif ulipo na sisi tupooo
Bora mm nilivyokuwa cn chama
Kweli mzeee wangu mm M4C
Ni ngumu sana CCM Kuiondoa. Vyama vya Upinzani mnatamaa sana Na Hamna misimamo mweee
Anisia ludelemla
Wanatia hadi hasira, wanaua democracy then wanailaumu CCM
Yani waafrica bwana, yan mtu akiwania uongozi akiwa upinzani ana tamaa na uongozi, ila akigombea akiwa cha tawala hana tamaa na uongozi. Aisee aya sawa bi dada.
Yohana Mwamkili
Tatizo langu ni kwa nini wapinzani wanahama hama? Wabunge wanachaguliwa na wananchi baada ya muda wanahama, viongozi wakubwa kama huyu anahama sasa watu kama hawa wanataka nini? Nini kinawafanya wasitulie? Wakipewa nchi itakuwaje?
Umeona wapi duniani viongozi wanahama hama kama Tanzania?
Labda unisaidie. Wanaua democracy kwa njaa zao za tamaa. Na hiyo ni kama laana haitawatoka hata huko wanakoenda kama mambo hayatakuwa walivyotaka nako watahama?
@@yohanamwamkili4397 mawazo ya mwanamke yasikumize kichwa bro. Kila kwenye wake kumi tambua ni mmoja tu mwenye mawazo sahihi.
@@namisgiggah1571 Kwa Mtazamo wako uko sahihi na usimwone mwanamke ana mawazo finyu. Huoni hali ya hewa eee
Sawa sawa baba,, cuf ndio bai bai tena..
sio tatizo kuhama nnchi kama haina faida nawewe
Daah huyu mzee sijamuon mtu anaemchukia
ACT inaamini juu ya ujamaa na nyinyi mlikuwa na falsafa ya uliberali
Kazi kwenu wana siasi sisi kwetu ni kutizama Tu muendako maana kila mmoja atakufa kula kwa wanae hakuna jipya
Ajabu ya leo alieshindwa anacheka alie shinda analia
na mm nahamia wazalendo lipumba ulikuwa utumie akili
Hivi Kwa nini vyombo vikubwa vya Habari huwa havichukui Habari hizi ???
Oble Mongi ukitoka apo njoo ada tadea babaa
Mzee umefanya maamuzi magumu ila ungeenda CCM ,ungekua umefanya maamuzi mazuri zaidi tunakuhitaji uje
Mzee huyu hua ana busara hapendagi ugomvi hovyo ndio maana kaona itoshe maskini.
Hua nampenda sana jpo si mfuasi wake
Na mm nahamia CHAWACO Chama cha wasoma comment cpendagi ujinga mm
Bacholo mzee wa tobooooo
😂😂😂
Kabisaaaa na hicho tumekuchagua wewe uwe mgombea urais we2,😉😁
CCM OYEEEE..✊. NA BADO UTATAPATAPA SANAAA WW..MWENZIO KESHARUDI CCM ANAKULA KUKU NA BATA KWA MRIJA..SASA WW NENDA UTAKAKO MWANAKWENDA.MFA MAJI UNATAPATAPA WW..HUKUPATA ASUBUHI UTAPATA JUA.LISHATUA..HUNA JIPYA...TUNASUBIRI TUONE ..KIVURUGE TUSHAKUZOEA.
Mtoajı nı Mungu
Alıowapa waliopo ndıo alıo mnyıma yeye mengıne sababu
Huyu mwanamke ni Malaya loooh
Anatafuta mwanaume wa kumnanihii
Msibishane au kujenga hoja kwa akili fupi Kama yahuyo mwcheni tu nae ajifurahishe😅.
Maana kama hao wanakula je yeye anakula Nini kinachotoka kwa anaowapigia debe?
Ama kwel siasa ni mchezo usio na refaree
#MAALIM SEIF KUHAMIA ACT# ALUTA CONTINUA NEVER FAIL #LIFE IS GO ON# BEHiND OF THOSE THERE IS.........#
lipumba sasa ataona mambo vile yatageuka
Lipumba kakufukuza usichezee profesa...
Safi sana Mwenyekiti Lipumba umetimiza majukumu yako....
MAALIM LOOK BEFORE YOU LEAP MAKAO MAKUU YA CHAMA HICHO YATAKUWA WAPI VIONGOZI WOTE NI WA MUDA ITAKUAJE HAWA WANASIASA WA TANGANYIKA MARA HUSEMA WANAREJEA NYUMBANI UNALIJUA HILO
Fact
wewe unafikiri halijui hilo? ndio maana kaenda chama kidogo na cyo chadema kwa kuwa anajua ushawishi wake kule ACT utakuwa mkubwa tofauti na chadema.
lipumba kaz kwako na Tim yako
siasa mi siielewi
Yap
Ulipo tupo
Ajue tu akienda na UKAWA wake muda mfupi na humo watamtimua,Chadema ndio walioimaliza CUF,Sasa nyie kalieni tunafuata mtu na sio chama,mtahama mpaka nchi
auna akili
@@fatihiayohana6770 Jina lenyewe la kizinifu,sikujibu.
Andika jina lako viziri,FATIHIA ndio jina gani,msituharibie lafidh
maamuzi mazuri lipumba sio mpinzani
Nami mbona naamia ACT
Nyinyi anakuzugeni tu huyo kueni na akili Hugo ni nnge anatafuna mbele na nyuma mwanzo alikudanganyeni anaapishwa Leo yamekua hayo?
Wewe nano kwan anazuga vip
Ulipo tupo baba Ict wazalendo
Tz bado sana siasa badoooooooo saaaaana kabisaaaaaaa.
Huyu jamaa dah sijui tunfanye nn asipendwe 😡
Fahad Khamis aaaaa atbki kupndw tu
Saf sana baba
Safi maalimu tutakufuata hukohuko
Mnaulisha watu tuu baadae hamna lolote oh Mara kesho naapishwa siasa mnazifanya Kama ibaada
Shusha dodoma pandisha dodoma safari iendelee hii ndiyo siasa bongo wanauwana wenyewe kisha utasikia ccm hao
CUF ndo inakufa hivyo Lipumba atashangaa.huyu mzee ni tajiri na ana wafuasi wengi sana bara na visiwani!
historia kitu gani Lipumba wako kigeu geu huyo!
Mtawapambanisha wasio akili tu wenye akili hawatopambanishwa kwa sasa sipakuangalia siasa hivi sasa ni mida wa kuangalia amani tu
Lipumba kwisha habari
Ndo kusema upinzani Zanzibar umekufa? Mbona democracy inakufa? Ama kweli Tanzania upinzani bado sana, CCM utaendelea kuwaburuza. Mtapambanaje na democrasia wakati viongozi/wabunge wapinzani wote mnahama hama hovyo??? Inasikitisha sana.
Pia viongozi wapewe umri wa kustaafu ili vijana wa take over labda watakuja na democracy ya kweli watatulia kutakuwa hamna kuhama hama. Mungu ibariki Tanzania
Nani alikwambia upinzani unakufa?? Upinzani huwa haufi! Kinachokufa nichama tu.
J JOSE
Watu watakuwa na imani gani na vyama vya upinzani tena. Think about it unamchagua mbunge unayeona anafaa kukuwakilisha Bungeni ghafla kahama chama anarudi kule unakotaka kukutoa madarakani unajisikiaje anyway sijui watu huwa wanapiga kura kuchagua viongozi wakiangalia nini. Nafasi yangu nisinge waamini viongozi kama hao lakini ndo hivyo tunatofautiana
Sawa mzee tup pamoja
Wote ni wasaka tonge. Hampenyezi na huyo mkongomani wenu Zito
Taratibu atahamia ccm
Nipo hapa nyuma yako nakufata fata baba angu
MwIsho utarejea CCM chama chako cha mwanzo. Wewe na lipumba .lowasa mbowe nyote CCM washenzi umeshakula mapesa ya michango uliowachangisha CUF .baadae umewakimbia na huko unakwenda kuwachangisha .tapeli sefu mwanga .ccm wanakutumilieni
lipumbu na cuf ccm yake kwishaaaaa
Kweli Maalim una matatizo Mbona hukwenda Kwa Mboe? Si jamaa yako yule, mlipanga kumuweka Lowasa pamoja. Au Mboe kaku kataa? Haya 2020 utapambana na Lipumba sio CCM tena.
LAANA YA DR. SLAA YA YAKULIKUBALI FISADI LOWASSA INAENDELEA. FISADI LOWASSA NI NGURUWE UKILISAFISA BADO LITARUDI KWENYE MATOPE!!
godfrey mbwambo
Somehow nakubaliana na wewe
Yetu macho
Nikiangaliya hizi komedi namkumbuka lowasa mzee amekuwa akalee wajukuu tu siasa imemshinda huyu
kwa Zito kabwe naona kugumu na ww unataka cheo itakuwaje!!!!
Maulid Yussuf zito labwe yeye yupo bara cc tupo Zanzibar
Heri nusu shari kuliko shari kamili umefanya maamuzi mazuri hamna sababu ya kugombana .nenda salama na Mungu akupe hekima ukaijenge demokrasia huko A CT wewe ni jembe .
gilliana lema
gilliana lema
Mfa maji haachi kutapatapa
Mtaelewa tu mziki wa Lipumba
ACT mliita CCM B leo CUF mnaita Ccm B,huku nyie wenyewe mkiwa Ccm A.
Lipumba ni advantage kwake,kwanza hategemei Zanzibar ndio ibebe chama kama akili tope zinavyowatuma
Zainabu Ahmed Lipumbafu ni jingaaa sanaaa
Zainabu Ahmed zainabu ww ni mshamba alaf mnafik sasa mtu ajiuzulu alaf arudi ten kwa lengo la kukiuwa chma flani kwa tamaa zake tunasem sisi waznzbr muchukue cuf yenu mliounga kwa kuforce lkn seif ni mpambanaji w2 popote alipo 2po na 2020 lipumba mbunge atapata hko huko bara ila sio visiwan boya kuma nyinyi
Kumamamayo zuberi mohammed msenge we
Bro Msamehe bure, si vyema kutukanana, samahani kama nami nitakuwa nimekukwaza
Ulipo 2po maalim lipumba msalit tena kumamayo lipumba
😆😆😆😆😆😆mbavuzangu😆😆😆😆
Kwa nini usiunde cha kwako unadandia vya wenzako. Umma ulishashindwa.
Kumepigwa marufuku vyama vipya
ila zito hakumsoma huyo na hisyoria yake asingeli kubali kirahisi zito avae life jacket kabisa maana lazima atamtoa kama kamuuzia chama sawa awaangalie we nzake akina mapalala Hamad rashid walimkaribisha kwa heshima mwisho akawatimua name ajiandae kwa hilo
@@godisgreat1845 Nani alikaribishwa Zito anafaida Zaid ujio wa huyo mzee Cz 2020 atapata wabunge Zaid ya 50 ktk bunge so ruzuku itakuwa juu
Hahaha wa zanzibar wote tupo pamoja na wewe maalim baba wa wazanzibar
mahir shaame siowote
Kwann msijiunge chadema mliofanya nao kampeni 2015 siasa ni upuuzi huu
Mkuu huu ni mkakati mzuri tu, fikiria vizuri utaona ni faida kwa act na cdm
Tuko pamoja baba uendako tuko nyuma yako
Naona zanzibar kumenoga uko 😅
Huku Mamu hakuna shangwe lolote,zaidi ya walitengenezwa kushangilia,vijikundi tu.
Zanzibar sio ile ya miaka chini ya 2010,sasa hivi siasa huku hazina mvuto kabisaaa
Hili babu pia halina ishu
Ule uraisi cjui kuapishwa bhaas tena au😹😹 naulza tu c kwa ubaya😹
Nitajaribu kuku jibu kwa ufupi tu ule mpango wa kuapishwa ndio ume ishia hapo.
Na zile figisu figisu za Lipumba ilikuwa ni njia moja wapo ya kumkwamisha Maalim Seif na wame fanikiwa.
Na ile pressure walio kuwa waki ipata kutoka mataifa ya nje nayo haito kuwepo.
karbuni nyumban mwenzenu lowasa tayari tunakula naye bata ikuru wewe ndio cuf sasa unahama huko unafikiri kuna nn tena 2020 tunawapiga kama tumesimama vile bila gharama yeyeto
Unawaza kijima sana
Sasa. Huko. Wazalendo. Katibu. Mkuu. Atakuwa. Nani. Mwenyekiti. Nani. Haya. Mgombea. uraisi. Nani. Sharifu. Anaitaka. Uraisi. Zitto. Yumo. Huko. Wazalendo. Kuna kilimo. Heka moja. Mazao. Mchanganyiko. Hilo shamba. Kutapandwa. Mazao. Yanayo tambaa. Maboga. Matikiti. Maji. Matango. Viyazi vitamu. Nyanya. Njegere. Matembele. Pembeni. Mwa. Shamba. Watazungushia. Michikichi. Na. Mikarafuu. Twende. Tuone. Maendeleo. Ya. Shamba. Kilimo. Cha mababu. (47) jembe. La mkono.
Faraji Hassan yaan full mvurugano
Maalimu Seif huko uendako ukumbuke.kusoma.vizuri katiba ya ACT wazalendo. Na usije ukatufia tena kosa ulilolifanya kwa Lipumba alipokuandikia barua ya kung'atuka. Na hiyo sumu ya serkalu ya mkataba uiache hukooooo👉👉
Simchezo
mbona hajajiunga na chadema ???
Yassine Brahimi chadema Zanzibar haipo ndo maana
Hawa wote wanatafuta shibe tu
Maalim unapotea nenda ccm umalize kazi ulipokwenda roho mbaya uko
Haya tuone
na ndio maana muhamad alihama makka akahamia madina baada.yakuona watu kama lipumba
Mau tafadhali heshimu dini, usimfananishe Mtukufu wa darja na mambo yenu ya siasa.
Una mkusudia Mohammad sharti useme Mohammad(s.a.w)
Na usihusishe dini na siasa zenu zinazo zingumzia demokrasia, upuuzi wa Siasa sisawa na hekma za dini,
lipumba ni ccm b tutaona sasa kama atapata hata mwenyekiti wa mtaa
Cuf imekufa,na ilikuwa na nguvu sana Zanzibar,CCM daima!
Hahaha muosha huoshwa maalim alikuwa bingwa wa kuwaondoa wana cuf