TANZANIA YA UJUZI SHUHUDIA WANACHUO WALIOAMUA KUACHA MAJUKUMU YAO YA KAWAIDA NA KUINGIA DARASANI.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • +255 765696076 WhatsApp namba, ni kwamba unaweza kuwa na kitu fulani cha kufanya hapo ulipo na kinakuingizia chochote kitu kila siku lakini kama utaamua kusema ukiongezee thamani hicho ulichonacho ama kupata kitu kingine zaidi tofauti na ulichonacho basi ujue utakuwa unaondokana na hali duni kwa maana ya kuwa wa tofauti katika kila hatua; vijana wengi sasa wameiona fursa ya kupata ujuzi na mara baada ya kuhitimu kile alichokuwa anakisomea basi amekuwa wa tofauti kuanzia yeye mwenyewe vilevile hadi kimaendeleo pamoja na upeo hivyo basi fursa zinavyokuja usiziache zipite hali unao huo uwezo wa kuzitumia na kufanya vizuri sana.

КОМЕНТАРІ • 2