КОМЕНТАРІ •

  • @ivangeorge1578
    @ivangeorge1578 2 роки тому +4

    Mnapoteza MDA mkizeeka mtakuwa hoi Sana tembea bila kujiengeneza maisha yako

    • @amosjuma4536
      @amosjuma4536 2 роки тому

      Ukisema ivo unakosea kwasababu sio wonte Nimatajili umemanisha wanapoteza Munda kutafuta maisha ety wanatembea naomba uteguwe kauli

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife4263 2 роки тому

    Hongereni sana, inawezekana leo watu baadhi wasiwaelewe ila ipo siku watawakumbuka. Hakika ninyi ni wazalendo. Ni dua yangu mbele za Mungu aliye hai awatunze na kuwafanikisha katika malengo yenu kwa Taifa la TZ. Mungu ibariki TZ na Mungu wabariki watu wako hawa.

  • @africankidsnegebumamlemale9176
    @africankidsnegebumamlemale9176 2 роки тому +1

    Njaa sio nzuri

  • @alexsalum7824
    @alexsalum7824 2 роки тому +3

    Ongereni na pongezi nyingi sana kwenu kwa wachache ni ngumu kuwaelewa kwa kile mnachofanya lkn kwa kina maana kubwa sana maana hkn serekali yoyote Duniani itakayofanya mipango yake ya maendeleo pasipo kujua idadi ya wananchi wake,M/MUNGU awasimamie........Amina.

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 2 роки тому +1

    Mashaallah nguvu moja💪🔥🔥🔥🔥

  • @songweairport7602
    @songweairport7602 2 роки тому

    SUPER MTANGAZAJI,SIMPLE AND SHORT QUATIONS.... HONGERA

  • @hadiaali5517
    @hadiaali5517 2 роки тому

    Safi sana mungu awabariki mbona hujamhoji dd

  • @chiefchacha2992
    @chiefchacha2992 2 роки тому +2

    Kwa mabango hayo, lazima serikali iwape fungu la maana na huwenda wakawa mabalozi wa sensa na chanjo ya uviko- 19

  • @aishambondo8923
    @aishambondo8923 2 роки тому

    Mnalala wapi

  • @rehemaa597
    @rehemaa597 2 роки тому +1

    Hasa dude lenyewe mmetengeneza naona kama ni zito mnatumia nguvu mtamaliza mikoa yotee kweli

  • @theprovitionofnature9188
    @theprovitionofnature9188 2 роки тому

    Hapo sawa

  • @DanyEnto
    @DanyEnto Місяць тому

    Eti hivyo ni vitambulisho au?😂😂😂

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 2 роки тому +2

    Heee njaa hizi lazma tuseme nazo jmn

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 2 роки тому

    Hii Ni Sanaa

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 2 роки тому +2

    Nchi yenye wapuuzi watupu wanasahau majukum yao wakiwa vijana

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 4 місяці тому

    Oooh allah hakika kila penye mwanzo pana mwisho hara wanadamu wafanyaje kama riziki ni ya mtu itabaki kuwa yake tu

  • @timamusulemani7306
    @timamusulemani7306 2 роки тому +1

    Awana kz yakufanya Bangi mbaya sana

  • @adamambangile7819
    @adamambangile7819 2 роки тому +2

    Huyo Dada kanuna au kachoka?

  • @mariasalumu474
    @mariasalumu474 2 роки тому

    Mmmmmmh mimi huo uzalendo sina kwakweli

  • @zihinjishinifa7573
    @zihinjishinifa7573 Рік тому

    Kwanza nicheke mie😅😅😅😅

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 2 роки тому

    Safi sana kila kitu kinawezekana

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 2 роки тому

    Mhhhhhh

  • @allytv1714
    @allytv1714 2 роки тому +3

    Mimi naweza kujiita mzalendo pale naisema serikali iliopo madarakani ikikosea na ikipatia kuipongeza lakini nchi yetu daima vyombo vya habari na wasani wanapongeza serikali iliyopo madarakani at kama inakosea ety kisa wapate kula na kusifiwa wapo pamoja huo ni unafki sema ukweli ukuweke huru

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 2 роки тому

      Hakika we jembe nimebkukubali 🙏🙏🙏💕💕🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 2 роки тому +2

    Dada atafikia labor moja kwa moja ili azae tu ....dada mwenyewe kanuna kama kala ukwaju

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa Рік тому

      Hapo hakuna kazi. Hapo ni ngoswe, penzi kituvo cha uzembe. Hakuna chochote kitakachotokea hapo.

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 2 роки тому

    Mmekosa kazi

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 2 роки тому

    😄😄😄😄 mtakuja kuvimba miguu ukienda hospitali ndio mtajua kua hii nchi ngumu

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 2 роки тому

    Vichaa nyinyi madishi yanayumba

  • @mohamedalirachidi380
    @mohamedalirachidi380 2 роки тому +3

    HAO HATEMBEI KWA MIGUU NCHI NZIMA WASITUDANGANYE

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 2 роки тому

    Hamna kaz mbwa nyinyi kalimeni mnajitesa tu hafu hamaambulii kitu shika jembe kalime

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 2 роки тому

    Wako vzr

  • @calvinmramba8087
    @calvinmramba8087 2 роки тому +1

    Hawana kazi hawa

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP 2 роки тому

    Daaaa

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 роки тому

    Wamefika wapi Hadi sasa jamani 🤣

  • @DanyEnto
    @DanyEnto Місяць тому

    😂😂😂😂😂 aki tanzania sihami😅

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 2 роки тому

    basi ndyo maana hauchoki, mnalala wapi mkichoka 😂

  • @HelbethMlelwa
    @HelbethMlelwa Рік тому

    Bangiiiii

  • @annrobin9291
    @annrobin9291 2 роки тому +1

    Washezi hawa hawanakazii 😏😏

  • @elibarikikivuyo5946
    @elibarikikivuyo5946 2 роки тому +1

    Madhara ya kutoajiri kwa mda mrefu ndo haya matokeo

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 роки тому

    Kwa mwendo huo ni miaka5

  • @adamrenatus4235
    @adamrenatus4235 2 роки тому

    Waongo

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 10 місяців тому

    Acheni kudanganya watu hakuna uzalendo wa kipuuzi Kama huo kwanza kutembea nchi nzima ni uongo na kutembea mme na mke sio mke wako inakuaje na Kwa Nini msitafute shamba shamba mkalime.

  • @jafarimruke9111
    @jafarimruke9111 Рік тому

    Si wakachunge ng'ombe jaman🤣🤣🤣 desi shaur yako

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 2 роки тому +1

    huko maporini ngoja mkutane na MAJAMBAZI muuwawe, mna dhalilisha wasukuma

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 2 роки тому

    We unafikiri mda wanaozunguka wanakula nn? Na wanafaidika nn wanatuongopea ni mchongo huo

  • @saidasanga3233
    @saidasanga3233 Рік тому

    Tatzo sio uzalendo bali vjana wamekosa Kaz za kufanya mngekuwa nakaz za kufanya msinge pata mda wakuzunguka hvyo vijana tufanye Kaz kwa bidii tusipende kutegemea mafungu bro

  • @mkushiandikayakoachananaya7944
    @mkushiandikayakoachananaya7944 2 роки тому +1

    Akili wameishiwa hao!

  • @lanlady2504
    @lanlady2504 2 роки тому +1

    Kuna kila sababu ya kutoa elimu kuhusu UZALENDO. Uzalendo sio kujitesa! Uzalendo sio kubeba mabango au kutembea kwa miguu, baiskeli nk. UZALENDO ni dhana pana sana.

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Рік тому

    Mmhhj,🤣🤣ety kwa mguuu. C wangebaki vipara kama tairi za gari... wazarendo wa michongo haoooo

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Рік тому

    Mtafia njiani, watu wanakula hela nyie mnajitesa tu

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 2 роки тому

    Hakika nyinyi ni wazalendo wa kweli

  • @hagarbills4023
    @hagarbills4023 2 роки тому

    Kazi zenyewe akuna hichi ndio tulicho kiacha ni kubeba mabango ndio tumekiacha

  • @evancymassawekenya7521
    @evancymassawekenya7521 2 роки тому +1

    Serikali nayo imelala unaangalia watu vitu azina Kochwa kwani technology yenu mpaka Leo iko Nyuma hivyo nashangaa hawa watu tangazeni Kwa station za radio Na runingaa,mtaamka lini lakini Aki acheni hizo

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 2 роки тому

    Kazi mnayo

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP 2 роки тому

    Daaaa sio poa

  • @amourmunga8356
    @amourmunga8356 2 роки тому +1

    mnatumalizia bandoo milard

  • @salomeyuvenali3700
    @salomeyuvenali3700 2 роки тому

    Uzalendo gani nawakati sisi teali ni Mali ya mzungu
    mzalendo alikua Nyerere na maguli hakuna tenaa.

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 2 роки тому

    Kubwa tuu mtt wa watu asije akabebea mimba brbrni hiyo safari itakuwa ngumu sana

  • @menikojohn2782
    @menikojohn2782 5 місяців тому

    Mpaka mmalize hiyo safari huyo Dada atakuwa tayali ana mimba ya miezi mitatu, jiandae kutoa mahali kabisa.

  • @chiefchacha2992
    @chiefchacha2992 2 роки тому

    Alafu mbona host kawa mmbaguzi jamni...
    Hajamuhoji dada mbona ama me ndo sijaelewa?

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 4 місяці тому

    Hatakama iwekwe kipingamizi namna gani itarudi kuwa haki tu

  • @kauyegeorge3335
    @kauyegeorge3335 2 роки тому +1

    Hawawezi tembea kw mguu nchi nzima

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 2 роки тому

    Hawana kazi ya kufanya wanakula nini wanalipwaje hawana family😂😂😂😂

  • @jumannerajabu6324
    @jumannerajabu6324 2 роки тому

    wanatafuta rawama2 ili bdae waseme serikari haitujali haitupi chochote kwani mlitumwa

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 2 роки тому

    Wanatfta kiki awa kw mama Samia ili wagange njaa

  • @suzanfelix7703
    @suzanfelix7703 2 роки тому +1

    Kwaiyo wapo mtu na mke wake 😂 wajanja Sana hawa

  • @noelmmari8570
    @noelmmari8570 2 роки тому

    😄😄😄😄😄😄 wamechanja wakachanganyikiwa😁😁😁😁🤒🤒🤒

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson3577 Рік тому

    😂😂😂😂😂 Eti wanatembea kwa Miguu nchi nzima hahhahaahhaaaaaaa Ni nchi ipi iyo ! Tanzania imekua uwanja wa mpira nini ! Pelekeni ujinga wenu uko Na wapongeza kwa uzalendo ila pelekeni ujinga wenu kwa kunidanganya eti Tanzania nzima kwa miguu Nyoooooooooooooooooooooo

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 2 роки тому +1

    mafala hawa yani wamekosa kazi kwa kweli

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 2 роки тому

      Hahahaaaa kule raisi alisema awape zawadi eti kanga karamu na tisheti hahaaaa

  • @GwakisaMwasemele
    @GwakisaMwasemele 2 місяці тому

    Hapo tumepigwa,wataishia kuoana tu

  • @collinmhema5443
    @collinmhema5443 2 роки тому

    Mpaka unamalizia hiyo safar nadhan tutapata na kachanga

  • @veronikamkuwele9072
    @veronikamkuwele9072 2 роки тому

    Upuuzi huo

  • @FakihiNapunda
    @FakihiNapunda 2 роки тому

    Dah

  • @evaristimramba9047
    @evaristimramba9047 2 роки тому

    Kutembea dar nzima muhimbil utapumua kidg

  • @rehemaa597
    @rehemaa597 2 роки тому

    Kuchanja ndio mkome kabisaa tangazani mengine

  • @amourmunga8356
    @amourmunga8356 2 роки тому

    kwaiyoo zanzibar mnapasua bahari kama musa

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 2 роки тому

    Duh

  • @aishambondo8923
    @aishambondo8923 2 роки тому

    Niwashaurii mpige pichaa na mikoa. Yote muweze kushut na kutoa move ya history

  • @mustafaalli4698
    @mustafaalli4698 2 роки тому +1

    Kutembea wa mguu nchi mzima unafikir ni utani musitufanye sio mabwege,tena kwa mwendo huo..😳

  • @jubilatemanase9050
    @jubilatemanase9050 2 роки тому

    Kweli Tz ukifa kwa stress nikujitakia 🙄

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 2 роки тому

    Niliwaona na mlikuwa nao na sio mmekitana

  • @neemalema5312
    @neemalema5312 2 роки тому +3

    Jamani hivi vitu si vinatangazwa kwenye vyombo vya Habari huu muda si mngefanya kazi km kweli ni wazalendo 😒

  • @anahna6788
    @anahna6788 2 роки тому

    Duu nimejikuta nacheka tu kwa sauti
    Mmeshakuwa wapenzi
    Sasa kutembea kite huko
    Mnakula kwenye vichaka Yale mambo yetu

  • @hemedchuma9603
    @hemedchuma9603 2 роки тому

    Ww unampango wako na uyo dem

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 2 роки тому

    Wanajikuta vasco dagama

  • @jacobjoel3804
    @jacobjoel3804 2 роки тому

    Hao waache umbea hawatopata kitu chochote wanajichosha tu kutembea waache ujinga warudi wakafanye kazi hatuna cofid hap

  • @allytv1714
    @allytv1714 2 роки тому

    Mh by foot huo siyo uzalendo ni matumizi mabaya ya muda na icho ndo kinatumiza watu weusi me ningewaona wazalendo kama mngeisemea serika ukweli pale wanapo kosea na pale wanapopatia kuwapongeza acheni kupoteza mda mwisho mtapata maradhi muanze kuomba msaada wa kurejea mlipotoka

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 роки тому

    Wangeandaa mashamba mvua hz zinakuja muaze kupanda, Tanzania nzima mtembee mnatuongopea hv hv 😏😏

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 роки тому

    Bongo kwa kutafuta umaarufu na mwishowe jitu kitakwenda kimya barabarani

  • @newschannel1558
    @newschannel1558 2 роки тому +1

    Bora mtangaze hayo mwingine lakini kuhusu CHANJO siwaungi mkono SEMA tu hamjui kilichomo NDANI yake hizo CHANJO Ila ipo siku mtàkuja kujua system inapoanza kufanya kazi

  • @patrinussanga3081
    @patrinussanga3081 2 роки тому

    Jamani jamani muda wa kufanya kazi mnazunguka muda mnaopoteza ungekuwa labda mmepewa fungu

  • @mwanahawarajabu9253
    @mwanahawarajabu9253 2 роки тому

    LENGO kikuamsha hamasatu kwa vijana kuipenda nchi yao

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 2 роки тому

    Hakuna Tanzania visiwani

  • @gambathegreat8997
    @gambathegreat8997 2 роки тому

    Acheni uongo

  • @sofiyabakari9730
    @sofiyabakari9730 Рік тому

    Pesa za matumiz mnatoa wap Kula kunywa na n k

  • @winterkasela9033
    @winterkasela9033 2 роки тому

    Nyie mmechanja

  • @josephinelyimo2467
    @josephinelyimo2467 2 роки тому

    Vijana nendeni shambani
    Mkajiajiri kwenye kilimo
    Naamini kwa Tanzania hii huwezi kukosa kabisa eneo la kulima
    Naamini kinachowasumbua
    Ni ukosefu wa ajira na njaa
    Na si uzalendo !

  • @nardhismhagama6266
    @nardhismhagama6266 Рік тому

    Mkamwambie mwiguru

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 2 роки тому

    Inahitaji moyo kusukuma damu kweli. Hamfiki hata mikoa 15mshazalishana, uzalendo shughuli pevu mjue. Ohooo

  • @victormashauri3374
    @victormashauri3374 2 роки тому

    Uongo tu nyie

  • @sagilododomamedelipeter1893
    @sagilododomamedelipeter1893 2 роки тому

    Mbwa nyie hamna kazi za kufanya uzalendo gani upuuzi unailinda nchi ww mnalala wapi 🤣🤣msipotumia akili vzr ujanani na kujishughulisha mtaitesa Sana miili yenu baadae uzeeni endeleeni kupoteza mda usije ikamtia mimba dada wa watu mjinga we🏃🏃🏃