MWIJAKU ABANANISHWA NA DAHUU, GEAH ISHU YA KUPEWA GARI NA MKEWE, TAZAMA AKIJITETEA ATOBOA SIRI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 тра 2022

КОМЕНТАРІ • 199

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Рік тому +3

    Hongera Mwijaku mwanaume mwenye kujiamini 👍👍👍

  • @Official83640
    @Official83640 2 роки тому +5

    Asante Da Huu umeweka ukweli halisi hakuna kuficha. Hizo hela za Royal Tours aseme tu ukweli sio kudanya umma

  • @mesikamesika3008
    @mesikamesika3008 2 роки тому +6

    Elimu bila kujitambuwa ni adhabu ya kichwa. Huyu bwana hekima hana wala hofu ya mungu. Vijana tupambane maisha ni fumbo

  • @deotvonline2776
    @deotvonline2776 2 роки тому +11

    Kama umemuelewa mwijaku kaamua kujinunulia gari ili kumkumbusha Mama Samia amkumbuke kwa kujipendekeza kwake gonga like hapa🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @dogojahman9381
    @dogojahman9381 2 роки тому +7

    Uyo mwamba waga namkubali sana yeye na Levo 💪💪💪💪💪💪 maisha niku pambana kwa kila njia mna jua kuzi saka saana

  • @methuselamarco7108
    @methuselamarco7108 2 роки тому +1

    Asante dadaangu umeliumbua lipumbavuu hiloo

  • @rahima928
    @rahima928 2 роки тому +8

    Gari amepewa na silence ocean ya biashara yeye na baba levo yani uonyeshe upendo sehemu nyingine baada ya familia yake eti akupe gari unajitia sheikh unasema daimond na rayvan wanatembea na wanawake wakristo wakati wako umeshindwa kumbadilisha dini wala jina

  • @hdggu6792
    @hdggu6792 2 роки тому +10

    Huyu baba muongo jamani midevu kama striwaya😂😂😂

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 2 роки тому +6

    Chama la wana
    WATOTO✔️
    NYUMBA ✔️
    GARI✔️
    SIMU✔️
    😂😂😂 unamuita mpaka mkeo, mme wangu 🤗🤗
    👏👏👏👏

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 2 роки тому +9

    Nimewapenda bure mmeongea ukweli mwijaku mpigaji cna na vijana wanachulia vtu simple cna

  • @allenudindo3803
    @allenudindo3803 2 роки тому +5

    fresh sana mwijaku,sifa za mwanamke wako ni kitu kikubwa sana ,upendo 🌹

  • @KamstheMixologist
    @KamstheMixologist 2 роки тому +5

    Mwijaku we love you from Congo 🇨🇩

  • @liciouscharles3370
    @liciouscharles3370 2 роки тому +5

    Da geah mzuri

  • @nyamkamawanjara29
    @nyamkamawanjara29 2 роки тому +3

    ila mwijaku usife sasa ivi mungu akuweke tunacheka sana juuu yako,

  • @abdulnaseerabdulhakeem9302
    @abdulnaseerabdulhakeem9302 2 роки тому +5

    " Et mme wangu,aaah mke wangu" 😁😁😁😁😁

    • @samatarabdullahi8083
      @samatarabdullahi8083 2 роки тому

      Safi mwijaku.Napenda sana wewe uko mwongea wazi.Salamu kutoka Somalia.

  • @SaidSaid-ef8md
    @SaidSaid-ef8md 2 роки тому

    Mwijaku we unajua kufurahisha binaadam big up bro me uo uso wako ndo unanifurahisha yani unaonesha kabisaa km unaongea unachojiskia tu kuongea. 😀😀😀👍

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому +1

    *Da huu* Umetisha, wallah nimecheka 😀😀😀😀

  • @ramadhankanoun3007
    @ramadhankanoun3007 2 роки тому

    Jicho kwa da Geah kwa Mwijaku daaaah🤣🤣🤣🤣🤣limenichekesha sana

  • @lelarubea6405
    @lelarubea6405 2 роки тому +5

    Mwijaku muongo amenunua mwenyewe anataka kuonesha amenunua,aliona akionesha mwenyewe watu watamchamba kwasababu anasema watu kila siku

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 2 роки тому +1

    Mwijaku muongoo,😂😂😂Anasutwaa jamniii😂😂

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 2 роки тому +3

    😀😁😂 ananifurahisha sana Mwijaku mambo yake

  • @aminakazogolo2229
    @aminakazogolo2229 2 роки тому +3

    Nmecheka🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 2 роки тому +5

    🤣🤣🤣 mwijaku mtambo sana ana utoto mwingi sana

  • @shaniashani7026
    @shaniashani7026 2 роки тому

    Da huu ❤

  • @najuf8021
    @najuf8021 2 роки тому +4

    Hela ya mwijaku nagar kaenda kununua yeye mwenyewe kampa mkewe apate kuongelewa

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 2 роки тому +6

    Mwijaku si alisema yeye nitajiri ana hela kumshinda daimond sasa Leo Hana hela vipi? Alafu ana deal na beti za WCB na matangazo mengine kaona haya kusema kanunua yeye watu watamponda gari ya rahisi angalau angenunua gari ya milion 60 kwasababu yeye anasifa kukosoa watu

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 2 роки тому

      Kumbe hata babalevo pia yuko na hela kumshinda🤣

  • @fadymoses4994
    @fadymoses4994 2 роки тому +2

    Mwjaku 🙌🙌😂😂

  • @saleheheda4537
    @saleheheda4537 2 роки тому +1

    Mwajaku Chawa mwenye Akili nyingi

  • @almachiusemmanuel9506
    @almachiusemmanuel9506 2 роки тому +1

    Mwijaku uko sahihi mkuu

  • @shamsishaaban6695
    @shamsishaaban6695 2 роки тому +1

    Husna safi sana huo ndio ukweli

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy3940 2 роки тому +1

    Kumbe wanakujua wenzio 😂😂😂
    Muongo hivyo 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sophiamumbe888
    @sophiamumbe888 Рік тому

    Hiyo gari kanunuwa mwenyewe mwijaku wewe unapenda sana sifa na kubwiiru

  • @charlottempangala3881
    @charlottempangala3881 2 роки тому +1

    Hivi mwijaku yuko sawa kweli???

  • @felistersmejumaa5188
    @felistersmejumaa5188 2 роки тому

    Eti wanamkopa 🤣🤣 halooo mwijaku

  • @betrackjasson6698
    @betrackjasson6698 2 роки тому

    Nimeskia iyo kauli ya million tano ya yule kaka kumbe mbwa tu

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 2 роки тому +4

    Mwijaku maneno ya uongo na kujiamini kwake ukisikia yanaumiza 🙋🏾‍♂️😖

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 2 роки тому

    Napendaga mwijaku,akipambambanishwa na baba levo

  • @rukkynassor2279
    @rukkynassor2279 2 роки тому +1

    Hapo wasema kweli

  • @chieframadhani4976
    @chieframadhani4976 2 роки тому

    Mwijajo ni mbishi aliesoma aiseeeeee

  • @kimingowameno4068
    @kimingowameno4068 2 роки тому +2

    Duuu jamaa Ana macho makavu huyu hahahahaha

  • @stn4873
    @stn4873 2 роки тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bwana Mwinjaaaaaaa!!!!

    • @hosnakamees5454
      @hosnakamees5454 2 роки тому

      😂😂😂😂🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 2 роки тому

    Kazi kwelii kwelii

  • @felistersmejumaa5188
    @felistersmejumaa5188 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣 Kazi ipo hapo kwa Mwijaku

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 2 роки тому +1

    🤣🤣nacheka kama mazuri

  • @aminakazogolo2229
    @aminakazogolo2229 2 роки тому +2

    Geah🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nesto3587
    @nesto3587 2 роки тому +1

    Namsubiria babalevo anajibie maswal hayo😂😂🤣😂

  • @francismwacha253
    @francismwacha253 2 роки тому +1

    Gea ni mweupe pee😁

  • @innat04
    @innat04 2 роки тому

    maneno mengi mpaka umetoboa siri mwisho ukasema 'nimenunua kwa Jasho langu' 😆 Mwijaku wewe!!!

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 роки тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nicheke mie watazania acheni Kuishi maisha ya kujisifu tunajuwa mnavyotaka maisha feck

  • @barracksgabriell9152
    @barracksgabriell9152 2 роки тому +1

    Kwenye leo tena kasema milioni 18 hapa anakomaa 22

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 2 роки тому

    mwijaku nimekupenda sababu unamsaport Konde

  • @allykota8355
    @allykota8355 2 роки тому

    Kapewa na Mama anatangaza movie

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 2 роки тому +2

    Mwijaku wewe umepewa hela ya royo ya mazaaa bana wacha kutuzengua wewe😅

  • @Zenny89
    @Zenny89 2 роки тому

    Kha!! Lexus??😳🤣🤣🤣

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 2 роки тому +1

    Mwijaku unawafanya wanaume wezio wajione kama awaoa wanawake saiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mwijaku msifie Hadi upokonywe

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Рік тому

      Mimi nataka niwe chawa wako

  • @mwombekimartin4761
    @mwombekimartin4761 2 роки тому

    Aya bwan

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 2 роки тому

    Mhh km unaoa Kwa sababu ya ivyo Kuna mapenzi ya dhati kwr hp 🤔🤷🏾‍♂️

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 2 роки тому +2

    Wabongo kweli wanafi yaani mke kumpa zawadi mumewe nyie kinawauma nini jamani wivu mbaya ongera sana mwijaku

    • @ayubukedimundi3221
      @ayubukedimundi3221 2 роки тому

      Sio kwamba wivu..... Mwijaku kaona akisema kanunua Gari bovu ivyo Gari kama nyumba kama box wakina baba levo watamcheka kaona asingizie mke wake

    • @maryamdunga3896
      @maryamdunga3896 2 роки тому

      Wanaushamba

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 2 роки тому

    😃🤣🤣🤣🤣 kha Mwijaku atafika Mbinguni amechoka sana kwa UONGO ANAVYOUPIGA🥲🥲

  • @lelarubea6405
    @lelarubea6405 2 роки тому +8

    Sasa lazima uje uoneshe mtandaoni mambo ya gari,kazi kupenda kusema wenzako kumbe nawewe unapenda kujionesha huna lolote

    • @mdalamgir-gu9hu
      @mdalamgir-gu9hu 2 роки тому +1

      Kakojoe ulali lela..

    • @kassioothemiracle1688
      @kassioothemiracle1688 2 роки тому +2

      Kabisa akojoe alale kweli

    • @belak999
      @belak999 2 роки тому

      Na wewe km unalo onyesha 🤸🏻‍♂️🤸🏻‍♂️🤸🏻‍♂️

  • @shabansalee4924
    @shabansalee4924 2 роки тому +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 dume zima linafurahiya kupewa gali na mkewe kama kaongwa anakupumbaza uyo mkeo aya kunasiku atakuzawadia na mume mwingine na umpokeeee na utangazee kama unavo ropoka asaivi

  • @mariamally1244
    @mariamally1244 2 роки тому +1

    Muongo mwijaku

  • @realramjen3270
    @realramjen3270 2 роки тому

    Kanunua mwenyewe

  • @monicaalute3143
    @monicaalute3143 2 роки тому

    Me tunakaa watatu na laki 5 hainitoshi jmn 😭😭😭

  • @bernadyahimba4279
    @bernadyahimba4279 2 роки тому +1

    Kumbe bajaji ilikuwa ya kwake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 2 роки тому

    Jomba Mwijaku Leo unasutwa makavu live 🤣🤣🤣🤣

  • @lillianbarongo2807
    @lillianbarongo2807 2 роки тому +1

    Mwijaku 😂😂😂

  • @jailoschahe9124
    @jailoschahe9124 2 роки тому

    Unamshugulikia vizuri iyo ndo zawadi ya kumshugulikia vizur

  • @laizerlekisongo1216
    @laizerlekisongo1216 2 роки тому

    Dada nimekuelewaaaa
    Yan na ile bajaji nimekuelewaaa

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 2 роки тому

    Mmesema kweli tuache mitandao

  • @simiyioninkwaya9291
    @simiyioninkwaya9291 2 роки тому

    Umesema ukweli dada yagu

  • @zenamwasekaga7460
    @zenamwasekaga7460 2 роки тому

    😄😄😄😄😄😄Mwijaku nyie🙌

  • @mzeewa6999
    @mzeewa6999 2 роки тому +5

    katika majinga duniani we lijinga ,ushamba wakiume unamdomo mtoto , wakulelewa unajisifu misifa mingine upumbavu

    • @capteinchuimchafu7894
      @capteinchuimchafu7894 2 роки тому

      Mwijaku atakuwa msenge si bure mamaaee zake

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 2 роки тому

      @@capteinchuimchafu7894 😄😄😄mbona hili nalisikia sana eti

  • @sadiqmashakaabdallahhassan9573
    @sadiqmashakaabdallahhassan9573 2 роки тому +9

    mwijaku shika adabu yakoo bwana acha kuzusha mambo ya mtume wetu wa islaam bwege wewe

    • @ibrahtibah
      @ibrahtibah 2 роки тому

      Yeye ni muislam na hakuna alilokosea hacha ushamba

    • @sadiqmashakaabdallahhassan9573
      @sadiqmashakaabdallahhassan9573 2 роки тому

      @@ibrahtibah acha ushamba wewe dini hujui unakurupukia mambo tuu sikiliza kwa umakin utajuwa kakosea wapi bwegee wee

  • @majaliwakinyonyi1006
    @majaliwakinyonyi1006 2 роки тому +1

    Anawadanganya iyo nimilion 8000.000

  • @festomatewa3638
    @festomatewa3638 2 роки тому

    huyu jamaa mpigaji saaana😆😆😆😆

  • @universitylink
    @universitylink Рік тому

    Huyu jamaa watu wengi hawamuelewi ni comedian watu wanafikiri viingine

  • @worldstartz
    @worldstartz 2 роки тому +1

    😂 😂

  • @wasalimie11
    @wasalimie11 2 роки тому

    laki tano kenya haitoshi hata week kwa mtu mmoja 21000ksh

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed6327 2 роки тому

    Fumbo kwa mama samia

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 2 роки тому

    Ndio maana inasemwa kuwa wanawake hatunaga siri kwakweli

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty2067 2 роки тому

    MwijKu apatwa kigugumizi🙄🙄aibuu

  • @godlistenorio5950
    @godlistenorio5950 2 роки тому

    Tangazo hili jamani

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 2 роки тому

    😃

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 2 роки тому +1

    Mwijaku ndio kanunua Gari kama box hahaha hahahahaha kaona aibu kusema kanunua yeye a naona haibu

  • @beautyandfashiontipsforbot4524
    @beautyandfashiontipsforbot4524 2 роки тому

    Sikweli unayosema mwijako kisahicho

  • @AbdulGermany210
    @AbdulGermany210 2 роки тому

    Mwijaku leo kapowa kumbe yupo na bosi wake, katupiga gari kanunua mwenyewe, alafu wenzake wakionesha magari yeye analaumu oooh ushamba kumbe na wewe ndio yale yale

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar3172 2 роки тому

    Alivyo mkavu Sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @majutosanaelias4307
    @majutosanaelias4307 2 роки тому

    Una bere wara nyuma

  • @melcksedeki1012
    @melcksedeki1012 2 роки тому

    Mwajuma choko tu

  • @mosesgatsinzi7308
    @mosesgatsinzi7308 2 роки тому

    Haha Yaani Tanzanians nawapenda tu sana

  • @babuujames4173
    @babuujames4173 2 роки тому

    Dahuu umempatia Huyo kapewa afanyematengazo

  • @fidelekahezi5175
    @fidelekahezi5175 2 роки тому

    😂😂😂😂🤣tuma mtambua sasa

  • @jjrussell081
    @jjrussell081 2 роки тому

    Lexus ina steering ya Toyota🙈

  • @alkhudhertarek976
    @alkhudhertarek976 2 роки тому

    😁😁😁😁chawa huyu

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah6524 2 роки тому

    mmempa makavu. nimependa

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 2 роки тому

    Ulongo au Uongo??

  • @robinhomesuza8906
    @robinhomesuza8906 2 роки тому +1

    ilo Gali au jini mjini

  • @hawakambi5310
    @hawakambi5310 2 роки тому

    usituchoshe bwana umenunua mwenyewe huna uwanaume wa kuhongwa gari

  • @abubakarkassimmwinyimwinyi6382
    @abubakarkassimmwinyimwinyi6382 2 роки тому

    Rekebisha Kauli zako