Gari amepewa na silence ocean ya biashara yeye na baba levo yani uonyeshe upendo sehemu nyingine baada ya familia yake eti akupe gari unajitia sheikh unasema daimond na rayvan wanatembea na wanawake wakristo wakati wako umeshindwa kumbadilisha dini wala jina
Mwijaku si alisema yeye nitajiri ana hela kumshinda daimond sasa Leo Hana hela vipi? Alafu ana deal na beti za WCB na matangazo mengine kaona haya kusema kanunua yeye watu watamponda gari ya rahisi angalau angenunua gari ya milion 60 kwasababu yeye anasifa kukosoa watu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 dume zima linafurahiya kupewa gali na mkewe kama kaongwa anakupumbaza uyo mkeo aya kunasiku atakuzawadia na mume mwingine na umpokeeee na utangazee kama unavo ropoka asaivi
Hongera Mwijaku mwanaume mwenye kujiamini 👍👍👍
Asante Da Huu umeweka ukweli halisi hakuna kuficha. Hizo hela za Royal Tours aseme tu ukweli sio kudanya umma
Elimu bila kujitambuwa ni adhabu ya kichwa. Huyu bwana hekima hana wala hofu ya mungu. Vijana tupambane maisha ni fumbo
Kama umemuelewa mwijaku kaamua kujinunulia gari ili kumkumbusha Mama Samia amkumbuke kwa kujipendekeza kwake gonga like hapa🤣🤣🤣🤣😂😂
Uyo mwamba waga namkubali sana yeye na Levo 💪💪💪💪💪💪 maisha niku pambana kwa kila njia mna jua kuzi saka saana
Me too
Asante dadaangu umeliumbua lipumbavuu hiloo
Gari amepewa na silence ocean ya biashara yeye na baba levo yani uonyeshe upendo sehemu nyingine baada ya familia yake eti akupe gari unajitia sheikh unasema daimond na rayvan wanatembea na wanawake wakristo wakati wako umeshindwa kumbadilisha dini wala jina
Huyu baba muongo jamani midevu kama striwaya😂😂😂
Yahni
Chama la wana
WATOTO✔️
NYUMBA ✔️
GARI✔️
SIMU✔️
😂😂😂 unamuita mpaka mkeo, mme wangu 🤗🤗
👏👏👏👏
Nimewapenda bure mmeongea ukweli mwijaku mpigaji cna na vijana wanachulia vtu simple cna
fresh sana mwijaku,sifa za mwanamke wako ni kitu kikubwa sana ,upendo 🌹
Mwijaku we love you from Congo 🇨🇩
Da geah mzuri
ila mwijaku usife sasa ivi mungu akuweke tunacheka sana juuu yako,
" Et mme wangu,aaah mke wangu" 😁😁😁😁😁
Safi mwijaku.Napenda sana wewe uko mwongea wazi.Salamu kutoka Somalia.
Mwijaku we unajua kufurahisha binaadam big up bro me uo uso wako ndo unanifurahisha yani unaonesha kabisaa km unaongea unachojiskia tu kuongea. 😀😀😀👍
*Da huu* Umetisha, wallah nimecheka 😀😀😀😀
Jicho kwa da Geah kwa Mwijaku daaaah🤣🤣🤣🤣🤣limenichekesha sana
Mwijaku muongo amenunua mwenyewe anataka kuonesha amenunua,aliona akionesha mwenyewe watu watamchamba kwasababu anasema watu kila siku
Mwijaku muongoo,😂😂😂Anasutwaa jamniii😂😂
😀😁😂 ananifurahisha sana Mwijaku mambo yake
Napenda sana vituko vyake 😀😀😀 mwijaku khaaaa😀😀😀
Nmecheka🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽
🤣🤣🤣 mwijaku mtambo sana ana utoto mwingi sana
Da huu ❤
Hela ya mwijaku nagar kaenda kununua yeye mwenyewe kampa mkewe apate kuongelewa
Mwijaku si alisema yeye nitajiri ana hela kumshinda daimond sasa Leo Hana hela vipi? Alafu ana deal na beti za WCB na matangazo mengine kaona haya kusema kanunua yeye watu watamponda gari ya rahisi angalau angenunua gari ya milion 60 kwasababu yeye anasifa kukosoa watu
Kumbe hata babalevo pia yuko na hela kumshinda🤣
Mwjaku 🙌🙌😂😂
Mwajaku Chawa mwenye Akili nyingi
Mwijaku uko sahihi mkuu
Husna safi sana huo ndio ukweli
Kumbe wanakujua wenzio 😂😂😂
Muongo hivyo 😂😂😂😂😂😂😂😂
Hiyo gari kanunuwa mwenyewe mwijaku wewe unapenda sana sifa na kubwiiru
Hivi mwijaku yuko sawa kweli???
Eti wanamkopa 🤣🤣 halooo mwijaku
Nimeskia iyo kauli ya million tano ya yule kaka kumbe mbwa tu
Mwijaku maneno ya uongo na kujiamini kwake ukisikia yanaumiza 🙋🏾♂️😖
Jitu Kama hili siyo la kuliiga fala
Napendaga mwijaku,akipambambanishwa na baba levo
Hapo wasema kweli
Mwijajo ni mbishi aliesoma aiseeeeee
Duuu jamaa Ana macho makavu huyu hahahahaha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bwana Mwinjaaaaaaa!!!!
😂😂😂😂🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
Kazi kwelii kwelii
🤣🤣🤣🤣 Kazi ipo hapo kwa Mwijaku
🤣🤣nacheka kama mazuri
Geah🤣🤣🤣🤣🤣
Namsubiria babalevo anajibie maswal hayo😂😂🤣😂
Gea ni mweupe pee😁
maneno mengi mpaka umetoboa siri mwisho ukasema 'nimenunua kwa Jasho langu' 😆 Mwijaku wewe!!!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nicheke mie watazania acheni Kuishi maisha ya kujisifu tunajuwa mnavyotaka maisha feck
Kwenye leo tena kasema milioni 18 hapa anakomaa 22
mwijaku nimekupenda sababu unamsaport Konde
Kapewa na Mama anatangaza movie
Mwijaku wewe umepewa hela ya royo ya mazaaa bana wacha kutuzengua wewe😅
Kha!! Lexus??😳🤣🤣🤣
Mwijaku unawafanya wanaume wezio wajione kama awaoa wanawake saiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mwijaku msifie Hadi upokonywe
Mimi nataka niwe chawa wako
Aya bwan
Mhh km unaoa Kwa sababu ya ivyo Kuna mapenzi ya dhati kwr hp 🤔🤷🏾♂️
Wabongo kweli wanafi yaani mke kumpa zawadi mumewe nyie kinawauma nini jamani wivu mbaya ongera sana mwijaku
Sio kwamba wivu..... Mwijaku kaona akisema kanunua Gari bovu ivyo Gari kama nyumba kama box wakina baba levo watamcheka kaona asingizie mke wake
Wanaushamba
😃🤣🤣🤣🤣 kha Mwijaku atafika Mbinguni amechoka sana kwa UONGO ANAVYOUPIGA🥲🥲
Sasa lazima uje uoneshe mtandaoni mambo ya gari,kazi kupenda kusema wenzako kumbe nawewe unapenda kujionesha huna lolote
Kakojoe ulali lela..
Kabisa akojoe alale kweli
Na wewe km unalo onyesha 🤸🏻♂️🤸🏻♂️🤸🏻♂️
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 dume zima linafurahiya kupewa gali na mkewe kama kaongwa anakupumbaza uyo mkeo aya kunasiku atakuzawadia na mume mwingine na umpokeeee na utangazee kama unavo ropoka asaivi
Nimecheka 😂
Muongo mwijaku
Kanunua mwenyewe
Me tunakaa watatu na laki 5 hainitoshi jmn 😭😭😭
Kumbe bajaji ilikuwa ya kwake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jomba Mwijaku Leo unasutwa makavu live 🤣🤣🤣🤣
Mwijaku 😂😂😂
Unamshugulikia vizuri iyo ndo zawadi ya kumshugulikia vizur
Dada nimekuelewaaaa
Yan na ile bajaji nimekuelewaaa
Mmesema kweli tuache mitandao
Umesema ukweli dada yagu
😄😄😄😄😄😄Mwijaku nyie🙌
katika majinga duniani we lijinga ,ushamba wakiume unamdomo mtoto , wakulelewa unajisifu misifa mingine upumbavu
Mwijaku atakuwa msenge si bure mamaaee zake
@@capteinchuimchafu7894 😄😄😄mbona hili nalisikia sana eti
mwijaku shika adabu yakoo bwana acha kuzusha mambo ya mtume wetu wa islaam bwege wewe
Yeye ni muislam na hakuna alilokosea hacha ushamba
@@ibrahtibah acha ushamba wewe dini hujui unakurupukia mambo tuu sikiliza kwa umakin utajuwa kakosea wapi bwegee wee
Anawadanganya iyo nimilion 8000.000
huyu jamaa mpigaji saaana😆😆😆😆
Huyu jamaa watu wengi hawamuelewi ni comedian watu wanafikiri viingine
😂 😂
laki tano kenya haitoshi hata week kwa mtu mmoja 21000ksh
Fumbo kwa mama samia
Ndio maana inasemwa kuwa wanawake hatunaga siri kwakweli
MwijKu apatwa kigugumizi🙄🙄aibuu
Tangazo hili jamani
😃
Mwijaku ndio kanunua Gari kama box hahaha hahahahaha kaona aibu kusema kanunua yeye a naona haibu
Sikweli unayosema mwijako kisahicho
Mwijaku leo kapowa kumbe yupo na bosi wake, katupiga gari kanunua mwenyewe, alafu wenzake wakionesha magari yeye analaumu oooh ushamba kumbe na wewe ndio yale yale
Alivyo mkavu Sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Una bere wara nyuma
Mwajuma choko tu
Haha Yaani Tanzanians nawapenda tu sana
Dahuu umempatia Huyo kapewa afanyematengazo
😂😂😂😂🤣tuma mtambua sasa
Lexus ina steering ya Toyota🙈
😁😁😁😁chawa huyu
mmempa makavu. nimependa
Ulongo au Uongo??
ilo Gali au jini mjini
usituchoshe bwana umenunua mwenyewe huna uwanaume wa kuhongwa gari
Hahahhaaa
Rekebisha Kauli zako