Tatizo la waTz hawajui maana ya ubunifu na hiyo jezi kimataifa itaenda zaidi kuliko ndani ya Tz. Kinachotaarishwa na Yanga SC ndugu zangu kikikaa sawa kuna watu hawataleta team.
Tena ni kuongezee point nyingine ---- kocha wa madunduka,analalamika akiwa anacheza mechi na timu dhaifu,tena game zisizo na presha --- sijui itakuwaje atakapokutana na vipimo vya uhakika ---- Yanga ni MNRI --- kipimo kitakacho onyesha magonjwa yote ya madunduka tar 08/08 " Fadlu Devis,christmas hafiki "
Wewe Ambokile unaposema hawa wachezaji ni wazuriila siyo bora umewaona wapi? Simba imesajili na bado hatujaiona. Tusubiri tuione mechi zaidi ya 5 then tutaweza kusema. Siku hizi mtu akiweza kupiga kelele tu basini mchambuzi. Tulieni kwanza then tutaona kilichopo
WEWE UNAZUNGUKA KUWA HUNA UPANDE UNAJIONYESHA KABISA KUWA WEWE NI YANGA, WEWE NA MCHOMA SAWA SAWA UNAONGEA YANGA KABISAAA, SIMBA HUJAIONA ALAFU UNAPANGA MSIMU WA WEEKI IJAYO KISHABIKI
MCHAMBUZI SAHIHI AEGEMEI UPANDE ALAFU UKITAKA KUJUA NI YANGA ANASAEME HANA UPANDE NI MUONGO KUNA WACHAMBUZI HAPA TUNAWAJUA NA WAMETAJA TIMU ZAO LAKINI WAKICHAMBUA MPIRA UNATAMAA I WASIMALIZE KIPINDI LAKINI HUYU YEYE KILA SIKU TIMU YAKE NI NZURI ,USITULETEE SIASA KWENYE MOIRA
Unajua uchambuzi wa ball,uko vzr🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu jamaa anajua sana
Aisee ambokile upo vizr sana
Uko vizuri kaka
Nimekubari ambokile
Etii jamani wachambuzi wengine maandazi we uko vizuri
Asante sana Ambukile wewe ni mchambuzi wa kweli Yani unaijua mpira kweli.
Saf sana mchambuz ww unaelimisha vzr sana
Tatizo ambokile anachambua kishabiki sanaanaipenda sana yanga mbona alifungwa na Hiefu na akifungwa
Safi sana mchambuzi hakika unaongea ukweli ukweli mtupu ila inawauma hao hawajui
Ni mchambuzi sahihi
Huna baya Kaka Ambokile ❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🪑
Uko ok,
Tatizo la waTz hawajui maana ya ubunifu na hiyo jezi kimataifa itaenda zaidi kuliko ndani ya Tz.
Kinachotaarishwa na Yanga SC ndugu zangu kikikaa sawa kuna watu hawataleta team.
Mbona Tp mazembe walikuja kujifunza Kwa Yanga
Unacho taka kukisema ni nn
Wa kwanza like zangu 🎉🎉
Makolo zingatieni sana icho alisema mwamba hapo mwisho
kweli kabisa kama yanga walivyomuondoa fei namba sita wakampeleka kumi
Samahani sana AMBOKILE " WEWE NI MNYAKYUSA AU MGOSI( WA TANGA) AMBOKILE ( WANYAKYUSA) ILA LAFUDHI YA KIDIGO( TANGA) SINA BAYA🙏🙏🙏
Mgosi huyu
Mgosi huyu
Ukovizuli sana
We nae hauna point kwa upandw wa jezi
Mfichaficha Maradhi Kilio Kitamfichua. Kitamuumbua
Ww mbona unasifia san yanga
Huyu nae hana lolote yanga damu
We mwandishi acha kumkata mtu akiongea kiherehere
Ukovizu sana
Ambagile upo sahihi wanaokuchukia acha wakuchukie ila ongea ukwel kaka
Uyu sio ambangile uyu ni ambokile
Huyu cyo ambangile uyu ni ambokile.
Tena ni kuongezee point nyingine ---- kocha wa madunduka,analalamika akiwa anacheza mechi na timu dhaifu,tena game zisizo na presha --- sijui itakuwaje atakapokutana na vipimo vya uhakika ---- Yanga ni MNRI --- kipimo kitakacho onyesha magonjwa yote ya madunduka tar 08/08 " Fadlu Devis,christmas hafiki "
Ambukile usiwaume jamaa wako hali mbaya
Kocha hataki asomwe mbinu zake mmusubiri uwanjani
Si kazi yenu kumpangia mazoezi yake acheni afanye mazoezi sisi tumgonjee kuanzia 3/8/2024
😅😅😅 haya husije kulaumu ww 😅😅😅
Sa anaogopa nn mwisho wa siku atacheza uwanjani kila mtu ataona au mechi zake zote zitakuwa in door😂😂 aache woga inacheza miguu sio macho ya watu
Wacha leag ianze af kitaereweka jaman
Mpira hauchezwi chumbani we kolo
Tabia ya mtu masikini akipata ni shida
Simba walikuwa na wachezaji wenye ubora mkubwa lakini walikuwa wasaliti ndio walio igharimu
Ww ambokile weka hakiba ya maneno
unamakamasi kwenye ubungo wewe kuwa kocha bas
Huyu bwana yuko kwenye uhalisia hajalemea upande mmoja
Sema akiba siyo hakiba
Uyo mchambuzi yanga hakuna kibaya bora ungemwambia achambue mambo ya yanga tuu
Tanzania mchambuzi akiwa mkweli atalaumiwa ushabiki.
Hakuna lolote huyu ni Yanga anapingana na vision ya simba hawa wachambuzi kuweni nao makini sana
Wewe Ambokile unaposema hawa wachezaji ni wazuriila siyo bora umewaona wapi? Simba imesajili na bado hatujaiona. Tusubiri tuione mechi zaidi ya 5 then tutaweza kusema. Siku hizi mtu akiweza kupiga kelele tu basini mchambuzi. Tulieni kwanza then tutaona kilichopo
Anaongea kishabiki hajiu mpira wachezaji wapya yy kawaona wapi
WEWE UNAZUNGUKA KUWA HUNA UPANDE UNAJIONYESHA KABISA KUWA WEWE NI YANGA, WEWE NA MCHOMA SAWA SAWA UNAONGEA YANGA KABISAAA,
SIMBA HUJAIONA ALAFU UNAPANGA MSIMU WA WEEKI IJAYO KISHABIKI
huyo mchambuzi ni mshabiki wa yanga mchambuzi anayejielewa hawezi kutabiri matokeo ya ligi kabla match hazijachezwa
MCHAMBUZI SAHIHI AEGEMEI UPANDE ALAFU UKITAKA KUJUA NI YANGA ANASAEME HANA UPANDE NI MUONGO KUNA WACHAMBUZI HAPA TUNAWAJUA NA WAMETAJA TIMU ZAO LAKINI WAKICHAMBUA MPIRA UNATAMAA I WASIMALIZE KIPINDI LAKINI HUYU YEYE KILA SIKU TIMU YAKE NI NZURI ,USITULETEE SIASA KWENYE MOIRA
Kwani ni lazima umsikilize?
Hakuna mchambuz àpa huyo ni mnaz tu wa vyura wachezaj wa simba umewaona wap
Ss unazi wake upo wapi?