Huo ni utoto ifike mahala tukaheshim kazi zawatu. Performance nzuri yatimu inaletwa najuhudi zawachezaji wenyewe kutokana namaelezo yamazoezini kupitia walim wao.
Darby ya kesho kutwa iwe ya pekeee xana aanzie mmoja labda aanze first half mpenja au aanze mzinga afu amalizie mwingine ila wore watangaze waweke historia dunian
Mpira wetu utafika mbali kwa kuondoa fikra duni za eti fulani akitangaza eti timu inashinda ni ushamba tu labda mawazo binafsi sometimes aaah mm sioni ni upuuzi
Mimi ni shabiki na mwanachama wa yanga lkn kiukweli Kuna wanayanga wanaroho mbaya sana kwanini mmeamua kumdhofisha mpenja? Ninyi niwatu wabaya sana acheni roho mbaya !!
Mpenja ni bonge la dunduka --- kuna kipindi hapa alipotea,aliporudi ametangaza game NNE mfululizo --- lakini namna anavyoipamba Simba haina uhalisia --- inapitiliza, mfano " ukuta wa Yeriko" CHE MARONE FONDO,ni ukuta kweli wa yeriko huo --- hakuna uhalisia.
Yanga na club africain hii mechi sitakaa nihisau jmn Gharibu Mungu akubariki sana mdg wng
Huo ni utoto ifike mahala tukaheshim kazi zawatu. Performance nzuri yatimu inaletwa najuhudi zawachezaji wenyewe kutokana namaelezo yamazoezini kupitia walim wao.
Mi mwana yanga nakupenda mpenja unavyo tangaza
Kaka mm mwanauyanga Mpenja tangaza unajua sana sauti yako safi sana
mpenja hongera sana unaweza sana🎉
Piga kazi Baraka mpenja
Wote mko vizuri
Sema wew galib mim nakupenda wew unatangaza kama muchambuz
Mpenja hao washamba nakukubali sana yoyote akifungwa toa udambwi udambwi haijalishi timu yangu
Dada uko sawa
Full interview bs plz!!!!
Hakuna Kama mpenja Tanzania hii mpenja no one.
Mzinga kwasasa no1
Mwamba wa umalima na kilwa finest wote nawakubali from all the way back. Hapa ndo tutaona Nan anaupepo baina ya hizi mechi
My self nimefurahi kumuona peter na Jon champion katika truck moja
Kak mim ni shambiki wa yanga ira unapo tangaza mchi ya Simba na yang mim Huwa nainjoi sn mngu akupe maisha maref
Kwani watangazaji ndo wanafunga, Atangaze mzinga au Mpenja wachezaji wakicheza mpira wanafunga
Mpenja Ni Mtu Wa Maana Kabsa
Siamini kama mna studio mbaya hivyo😂😂😂😂😂😂
Mpenja awo wanapenda kuj proud waxhambasan yangahawo
Mimi nawakubali sana watu wangu wa nguvu
Mzinga ni Bora sana kwa dabi
Wote nawapendaa Mungu wa mbinguni awaongeze cku. Kwakooo James Samweli
Mwambiy mpenj ajianday kumpa jina gued akifung jumamos
mzinga anasaut mzur sana ya kutangaza
Sauti ya radi hiyo ni ya mtu mmoja.
Safi sana mie napenda hiyo nyie muwe nyote itakuwa ni bul bul
Kwel kaka
Issue uyu jamaa ni simba
Mprnja kupamba mechi unaweza
Anayechukua video hapo studio anatumia simu ya infinix hot 8 dadek
Mpenja uko p sana
Hapo sio upepo ni dhana ya usimba na uyanga mpenja anasadikika ni simba kindakindaki
Mzinga ndio tunamtaka leo ndan ya yanga na Simba kariakoo dabi
Hahahaha kaka umejibu vzur
Mpenja atangaze
Hakuna kama mpenja watasema sana hakuna wakumkaribia hata robo
Pigeni kazi vijana mashabiki hatuna zuri 🤣🤣🤣
Akitangaza mzinga kuna gori 5
Yaani wewe ni.kama ni.mimi
Tawire
Tunataka gharibu mzinga hayo maporojo Yako asa sisi hatuwez kujua
Mimi ni Yanga ila mashabiki wenzangu wana chuki zao binafsi
Mzinga magoli ya yanga utangaze weww
Mzinga ndio tunamtaka leo
Manara ni chanzo cha maneno ya wanayanga kwa mpenja.. na shida ya manara ni biashara ya online tv.. mpenja tv inakimbiza..
MZINGA anaweza sawa lakini MPENJA mwamba kweli Kweli 🔥🔥🔥
mpenja SI kitu Kwa garibu mzinga
@@SilivestaKonga MPENJA anajua sana
Wewe nikolo bwana usijitetee
Mpenja mnyama
mzinga hyo tulinyongwa hatukupoteza
Husna...et MMH😂😂😂😂😂
Hahah Yanga bingwa
😂😂😂😂 Young awam hi hatok
Kwakweli kipigo ni kipigo tu hao watangazaji wa dabi ni watabaki kama wahoo mwenye timu nzuri ndo mwenyekuamua gemu
Simba nguvu moja uwaga nimepana Simba magoli yetu uwaga anatangaza na mudi sana
kwani mpenja yeye yu upande gan?
Mimi ni shabiki wa yanga ila wanaompanda Baraka mpenja mwamba wa umarila huo ni muono wao huwezi kuwazuia ila na mkubali sana Mwamba wa umarila
Mpenja akitangaza Simba dhidi ya Yanga inakuwa poa sana ila Azam dhidi ya Yanga Aaaah nakubali hapo Mzinga lazima sherehe ifane
Hamna ukwel wowote hapo, kwan watangazaji wanaingia uwanjani, acheni ushamba
😂😂 hauna gundu Mwamba wa Umalila 🔥
Mimi ni yanga damu na ninapenda vile unatangaza nakukubali achana na hao wenye mawazo mabovu
Kama , mpenja ndo comitator one yanga hatuna chetu
Kilwa finest gharib mzinga nakukubal sana ww ndo ushikilie maiki derby day
Azam wenyewe wamesha ingia kwenye huo mtego wa nan anaenda na mechi
Wenye uhakika na mpira wao hawawezi shoboka na mtangazaji kwani yeye ndo anaefunga magoli nakuwlewa kaka we tangaza mechi
Kumfikisha mwanadamu nisafari isiyo fikwa
Darby ya kesho kutwa iwe ya pekeee xana aanzie mmoja labda aanze first half mpenja au aanze mzinga afu amalizie mwingine ila wore watangaze waweke historia dunian
Kiukweli yeyote atangaze mie Niko tayari nyote mnaweza na sauti zenu ni burudani
Mpira wetu utafika mbali kwa kuondoa fikra duni za eti fulani akitangaza eti timu inashinda ni ushamba tu labda mawazo binafsi sometimes aaah mm sioni ni upuuzi
Mpenja kubali ilo goli lasimba uwatangaza kwamudi
mpenja ajawai kuipamba yanga wandewa tumepigwaaa
Hamna mpenja ni simba hana lolote gharib mzinga huyo hajulikani ni bora gharib mzinga mpenja huwa ana tibia ya kutotenda haki
Watu wamelishwa matango pori na manara....watangazaji hawahusiki kwemye ushindi..ni ujinga tuuuu
Mimi ni shabiki na mwanachama wa yanga lkn kiukweli Kuna wanayanga wanaroho mbaya sana kwanini mmeamua kumdhofisha mpenja? Ninyi niwatu wabaya sana acheni roho mbaya !!
Wengine sio roho mbaya xhida mpenja kajionexha wazwaz kua yeye ni simba dam
Mimi natamani mechi moja waje watangaze wote mwingine kipindi cha kwanza mwingine cha pilli au watangaze wote
Toto la kimalila
Gharibu atangazee io mechiii
Kaka mubenja kakukubar sn sarut
USIWAKATIE TAMAA WANANCHI
Mpenja ni bonge la dunduka --- kuna kipindi hapa alipotea,aliporudi ametangaza game NNE mfululizo --- lakini namna anavyoipamba Simba haina uhalisia --- inapitiliza, mfano " ukuta wa Yeriko" CHE MARONE FONDO,ni ukuta kweli wa yeriko huo --- hakuna uhalisia.
Asha uboya wewe. Magoli yayanga atangaze galib mznga anaecheza uwanjan😊
Wachezaji walijituma usitupange mtangazaj hauna mchango wwte kupata matokeooooooo yyte !
Mpenja hajui wachezaji
No to me Gharib ni commentator wa boli na Mpenja ni noise maker
Tangaza bori kaka achana nahao wanaosema vitu hovyo mim niyanga naikubali sana kazi yako, bila wew burudani hainog hakika sauti yako nikivutio tosha kwakila mpenda football. Simama wew tarehe nane tuenjoy maneno matam ya mwanzo wa msimu.
Ujinga mkubwa sana kwani mtangazaji anasaidia nini timu ishinde au ifungwe?
Tusajiri na tuwekeze basi watangazaji hawachangii chochote