MVUA YA MISUMARI ! MPINA AWAKA BAADA YA KUSIMAMISHWA NA BUNGE "NIMEONEWA SANA"
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- Nachongewa
Wanafanya kampeni nitoke CCM niwaache wao,
Mmenikuta CCM wengine mimi ndio nimewapokea, Mtakuja kuwa na kibarua kigumu sana
Ni majungu tu rekodi yangu inajulikana
Nimetumwa na watanzania
Nimetafakari sana naenda mahakamani
Mm nadhan mama angetumia vifaa kama hivi kwa kusikiliza hoja zao na kufanya upembuzi wa maamuzi bas angejitengenezea fun base kubwa na yenye kumfanya apite 2025 bila ukakasi wa aina yoyote.
Ni mtazamo tu.
Mpina.tunakuombea.kwa.mungu.watanzania.mambo.yako.yaede.vinzuri.mtetezi.wawanyonge.ndiyo.tuko.wegi.wao.wezi.ni.wachache.tu.kwenye.kura.wataona.tu
.
Tukutane Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025 sisi Vijana tumeamua hatupigii Kura CCM ili ianguke kama ANC Chama cha Afrika Kusini
Serikali imekataa kutoa fursa za Ajira sasa Vijana wengi wapambanaji tumeamua kujikita katika Ujasariamali lakini Serikali mnatupiga Kodi kubwa. Lengo la CCM ni kutengeneza Vijana Maskini na sio Mabilionea
Watanzania wengi vijana tunaona mambo yanayoendelea Bungeni kuanzia kutupandishia Kodi na Tozo kubwa mpaka kupelekea Migomo ya Wafanyabiashara nchi nzima
Njoo chadema bhana. .....
Pili uliambiwa hujitambui
Mh. upo vzr, tunapenda mbunge mwenye msimamo.
Ningekuwa na uwezo ningemuomba mungu aichome Dunia ili waumbwe wengine
Nchi hii hakuna mzalendo , sio wabunge , waziri wala raisi wa nchi , wote ni wasaka tonge tu
Tunakuunga mkono Mpina. CCM isubiri uchaguzi ujao itaona nini tutaifanyia.
Mpina amekuwa mtetez wa wanyonge ningetaman kuona wabunge wegine wanamuu ga mkono
MH Safi Sana mbunge wetu Ila viongozi waliokufa walidai hawawaogopi wakubwa bas naww usiwaogope Mungu mbaliki mpina Mungu ibaliki tanzania
MWENYEZI MUNGU TUJALIE TUPATE TANGANYIKA YETU KWA AMANI NA BARAKA ZAKO
Tupo tayari watanzania
mungu atusaidie tupate viongozi bora mwakani mfano wa mpina na kina mwambukusi na makonda
My country!