Kwa Mungu anasema ndoa nahieshimiwe nakila mtu na nenola Mungu linasema kutembe namke amume wa mtu nisawa nakumpalia makaa yamoto kifuani hatatulia hadi akuangamize
Ndio maana Wana nchi huwa Wana chukua Sheria mikononi wakisema wafate Sheria ndio kama hivi watu Wana achiwa ila nawa shauri Hawa wazazi wasome sana Dua za usiku kwaajili ya mtoto wao najua wao hawana uwezo wa kufanya chochote ila Mwenyezi Mungu ata wasaidia hakuna Mwingine wa kumutegemea zaidi ya Mwenyezi Mungu acha wao wazitegemee pesa ila mwisho wata uona
Mna muhukumu bure afande wawatu hasira yako sihasira ya Mungu ingekuwawewe ndiyo mtu anatembea na mke wako au mume wako utajisikiaje na yamkini umesha mwonya akakataa kusikia inauma nivile haijakukuta wewe mandiko yanasema kutembe namke wamtu nisawa nakumpalia makaa ya moto kifuani hatatulia hata akuangamize, ingekuwa wew kama unamwamini Mungu ungemwombe mabaya yampate ikiwezekana afe ,anaeamini nguvu zagiza naeangefanya hivyo ndiyo sababu Mungu akasema ndoa nahieshimiwe nakila mtu sikwa nafurahia alichofanyiwa ni dada zetu nainauma kibina damu lakini waache tamaa nikweli hali ya maisha ningumu lakini wafanyekazi nawarizike nakidogo cha halali wanacho kipata jiulize asinge tembea na mume wa mtu walevijana wadogo wange hukumiwa kifungo chamaisha ,wote wamefanya makosa tumwombe Mungu awarehemu pia nasisi tujifunze mamuzi tunayochukua yanaweza husababisha matatizo kwa wengine au jamii zinazo tuzunguka
bila hata kutizama video ila hawa wanaonekana wahalifu kitu ambacho ni kweli lakin serikali yetu kunawatu wahalifu ambao nao wanauwa watu wanaiba mabilion ya pesa ila wanaachwa tuu hivo na hwashitakiwi...ni shida kweli duniani huku
Akamatwe afungwe, wanaotaka afande afungwe wagonge like apa
Ushawahi fika gerezan ndg yangu.
Haki haipotei haki ifanyike tufuate katiba na Sheria zake ndiyo amani itadumu
@@Aksa-yk1dpUnataka kumaanisha nini?
Sio afungwe anyongwe afai kwenye dunia
Na hao waliopelekwa mahakamani wakidai wamefungwa kifungo cha maishaa hilo ni chambo tuu tuwapee mwezi mmoja mtawaona uraiani mchana kweupeee
Karibu Tanzania, Nchi ambayo jela ni ya wanyonge tu
Duh! Kesi za wakubwa🥺🤔🤔
Yetu macho na maskio
Huyu kama mahakama imeshindwa tumshakie mungu tuone atatojea wapi maana kwa mungu hakuna kubwa atalipa na riba
oyaah babuu eeh mengine sio yakumuachia mungu..ni sisi kwa sisi na sheria zetu zifanyi kazi😢
Umalaya wake ndo ulie mpoza uanze kusema unamuachia mungu acha ku promote uzinzi
Kwa Mungu anasema ndoa nahieshimiwe nakila mtu na nenola Mungu linasema kutembe namke amume wa mtu nisawa nakumpalia makaa yamoto kifuani hatatulia hadi akuangamize
Ndio maana Wana nchi huwa Wana chukua Sheria mikononi wakisema wafate Sheria ndio kama hivi watu Wana achiwa ila nawa shauri Hawa wazazi wasome sana Dua za usiku kwaajili ya mtoto wao najua wao hawana uwezo wa kufanya chochote ila Mwenyezi Mungu ata wasaidia hakuna Mwingine wa kumutegemea zaidi ya Mwenyezi Mungu
acha wao wazitegemee pesa ila mwisho wata uona
Tena huyu mama msenge kabisa, anaroho ya kichawi kweli, watuachie raia naona police kesi zimewashinda
Hakuna haki nchi hii lakini alitakiwa na yeye hukumu yakaanza afanyiwe kama yule mtoto mpaka akmbe maji halafu atumikie kifungo miaka 30
#Mamasamia Huyu hakimu mtumbue anazingua so sad
Mama haingilii muhimili wa mahakama 😂
Yaani mtu mmoja tu ndo anawasumbua hivyo huyo ni wakufunga tu na yeye
Itakua hakim kalogwa.
Sitaki kuamini sitak kuamin kama Huyu mama analindwa kias hiki mkuma wa mama ake Huyo hakimu
Jamani umeamua kutukana Tena kwa heluf kubwa 😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Kwn afande alibak hn hatia bhn kwnz tumeshàsàhàu msitukumbushe bhn
Alafu mtu anasema Tanzania Kuna amani mmmh sio kweli
Nenda Congo ndo utaelewa kama tz ni mbinguni😂😂😂
Ni Vile tu see more...
Hapo ndoutajua hela haishindwi ila mungu yupo afande kajillani vizazivinne
Kila nkiona hizi sura moyowangu unakosa aman kbs😢😢
Mungu turehemu cc na watoto wetu
Mama samia naomba umfunge uyo afande
Huyu # Nywambulu tungaraja nae ni wakutumbua anazingua sana a
😢😢😢😢Mimi naona nikiandika haitoshi nimerekodi voice note👇
▶︎•|၊|။||||။၊|။|||။|||။ 03:53
Safi sana
General never wrong
Safiii...mume mwonea uyooo afande
Hamza RIP 😢😢
Inashangaza kwakwelii
Akamatwe na yeye
Hata waliohukumiwa hawezi kukaa mjengoni!!
Mungu atahuku na kingine huyo afande ajuwe tu wanainchi wana hasila vibaya mnoo
Natamani Magufuli arudi wewani
Hataree
Mbona sielewi
Hakimu hakimu malipo hapahapa duniani kumbuka na wewe ni mzazi
Mna muhukumu bure afande wawatu hasira yako sihasira ya Mungu ingekuwawewe ndiyo mtu anatembea na mke wako au mume wako utajisikiaje na yamkini umesha mwonya akakataa kusikia inauma nivile haijakukuta wewe mandiko yanasema kutembe namke wamtu nisawa nakumpalia makaa ya moto kifuani hatatulia hata akuangamize, ingekuwa wew kama unamwamini Mungu ungemwombe mabaya yampate ikiwezekana afe ,anaeamini nguvu zagiza naeangefanya hivyo ndiyo sababu Mungu akasema ndoa nahieshimiwe nakila mtu sikwa nafurahia alichofanyiwa ni dada zetu nainauma kibina damu lakini waache tamaa nikweli hali ya maisha ningumu lakini wafanyekazi nawarizike nakidogo cha halali wanacho kipata jiulize asinge tembea na mume wa mtu walevijana wadogo wange hukumiwa kifungo chamaisha ,wote wamefanya makosa tumwombe Mungu awarehemu pia nasisi tujifunze mamuzi tunayochukua yanaweza husababisha matatizo kwa wengine au jamii zinazo tuzunguka
Siku hizi hakuna mumeo wala mke wako kwani huyo siyo mama yako. Kwann asingewatuma wamlawiti mumewe? ambaye ndiye aliyemtaka huyo binti
Kwani anavyosema mume wake. Huyo mume ana uhakika gani kuwa ni mume wake au huenda alikuwaga mume wa mtu
Sio Mme wake na wewe Mme wake alishafarik waligombea bwana tu wote hajawaoa
imeisha iyoooo
tunataka picha yakee uyo afande
Tangia mwanzo ilijionyesha wazi Muhutumiwa ni mtu wa hali duni haki zake zitazimwa kwa pesa
Huyo mkubwa hawezi kufungwa
Familia ya bint alie bakwa,wafanye Albadir yaani hapo haki itapatikana kwa uwezo wake Allah!
Dawa ya moto ni moto huyo Afande wamubake afanyiwe kama alivyo tuma
Sielewiiiiii
Vijana watolewe hao
Pesa imetumika
😢😢😢😢
Mpaka namkumbuka magufuli usenge huu asingelazia damu
wanamtetea afande hakuna serikal hapa
Hii ndo Tanzania yetu sasa
Hhhhhhha bongo😢😢😢😢😢
Hi kesi Ina ujanja unanja mwingi mno haki ya mtu iko wapi
Aki akuna apo hainiingii akilini serikali aki itendeke kosa liko waz
Muacheni afande aendelee na maisha yke wabongo wanafiki
Wew chizi
Sema tu umevaa kihuni vile, kama 50 cent
Nchi hii watu wazito hawaguswi.... Sheria ni kwaajili ya wanyonge tu... Angekua Magu hapo huyu Fatma ata asingethubutu kuwatuma wale vijana...
Shida ni jeshi na mahakama vinatekeleza ilani ya ccm kifupi hiyo ndio shida, so ccm ndio tatizo tena kubwa.
Kura hatupigi! Yani mnatufanya sisi mabwege tuu. Haki hakuna na mnatuteka ovyo na kutuua kama ngedere. Wasenge nyie!
Hilo liuaji likamaywe lifungwe au linyongwe waachen kuahirisha sas wanaharishaje wakati ushahidi hupo? Huo ni upuuz wekeni ndani huyo
Ata akina nyundo nao watatoka tu
Comment yangu asiguse mtu ,nilijuw nilijuw 😂
We sema tu unaomba like 😂😂😂😂😂😂
bila hata kutizama video ila hawa wanaonekana wahalifu kitu ambacho ni kweli lakin serikali yetu kunawatu wahalifu ambao nao wanauwa watu wanaiba mabilion ya pesa ila wanaachwa tuu hivo na hwashitakiwi...ni shida kweli duniani huku