JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Kwa Mujibu Wa Manabii Na Mtume Wanajua Kama Uchawi Upo Duniani Yesu Anajua Uwepo Wa Uchawi Na Mtume Muhamadi Anajua Uwepo Wa Uchawi Lakini Sasa Wachawi Walioko Kwenye Mitandao Wanapinga Uwepo Wa Uchawi Lakini Watu Hao Hao Wakiulizwa Wazazi Wao Juu Ya Malezi Ya Watoto Wao Utakuta Walipelekwa Kwa Waganga Sasa Kama Manabii Wanajua Wenye Mamlaka Moja Kwa Moja Kutoka Kwa Mungu Iweje Wewe Ambae Unalala Usiku Ufanyi Kazi Asubuhi Unaamka Mwili Hoi Kwa Uchavu Na Usingizi Sio Kazi Lakini Unaamka Ukiwa Hoi Inamana Jiulize Kwa nini Jiulize Kwa nini Yako Magonjwa Hata Hospto Ayaonekani Lakini Mgonjwa Yu Hoi Kitandani Lakini Vipimo Avioni Tatizo Kila Mtu Mwenye Imani Ya Dini Anajua Uchawi Upo Kwa Mujibu Wa Vitabu Sasa Ubishi Unatokea Wapi Ukitaka Kujua Uchawi Upo Jifanye Mganga Dar.Uone Kama Ujapelekwa Kabulini Kwa Siku Chache
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Sasa
Namkubalidr manyau manyau
Yesu anaweza yoteee
Kwa Mujibu Wa Manabii Na Mtume Wanajua Kama Uchawi Upo Duniani Yesu Anajua Uwepo Wa Uchawi Na Mtume Muhamadi Anajua Uwepo Wa Uchawi Lakini Sasa Wachawi Walioko Kwenye Mitandao Wanapinga Uwepo Wa Uchawi Lakini Watu Hao Hao Wakiulizwa Wazazi Wao Juu Ya Malezi Ya Watoto Wao Utakuta Walipelekwa Kwa Waganga Sasa Kama Manabii Wanajua Wenye Mamlaka Moja Kwa Moja Kutoka Kwa Mungu Iweje Wewe Ambae Unalala Usiku Ufanyi Kazi Asubuhi Unaamka Mwili Hoi Kwa Uchavu Na Usingizi Sio Kazi Lakini Unaamka Ukiwa Hoi Inamana Jiulize Kwa nini Jiulize Kwa nini Yako Magonjwa Hata Hospto Ayaonekani Lakini Mgonjwa Yu Hoi Kitandani Lakini Vipimo Avioni Tatizo Kila Mtu Mwenye Imani Ya Dini Anajua Uchawi Upo Kwa Mujibu Wa Vitabu Sasa Ubishi Unatokea Wapi Ukitaka Kujua Uchawi Upo Jifanye Mganga Dar.Uone Kama Ujapelekwa Kabulini Kwa Siku Chache
Mtafuteni Yesu KRISTO
Daaaa makubwa
Tapeli tu anawaibia wasiojielewa
Kumekucha😅😅
Tapeli tu huyu akina sharif majini