Kuhusu hiyo sabotage ni kitu ambacho kiko nje ya uwezo wa kibinadu --- Hata ktk kundi la wanafunzi 12 wa Bwana Yesu,alikuwepo mwanafunzi mmoja,aliyekuwa msaliti, YUDA ISKARIOTE --- sasa unashangaa nini ktk bodi ya wadhamini ya Yanga,kuwepo mmoja,ambaye ni msaliti --- Hivyo ndivyo walivyo wanadamu mioyoni mwao.-- Moyo wa Mwanadamu ni mdanganyifu,tena una ugonjwa wa kufisha ...". Yeremia 17:9 .
Wanegushi signature ya mama Karume😂 hao kifungo kinawahusu washenzi hao
Yanga ni makesikesikei.......
Waandishi maandazi na fikra tunduizi ni 0% wanatengeneza taharuki inayowarudia wao
Uyo magoma choko tuuuu
Huyo kinyago Magoma na wenzake Milembe inawahusu, hana adabu, hana akili ni mshenzi tu, akauze makalio yake Kariakoo kwa buku moja tu mbwa huyo
Kuna mtu hapa sijui ka kaenda shule!!! Eti magoma mwamba huyooo!! Shocking ! Mtu anafurahia ujinga!!
Mjinga hufurahia ujinga Kwene ukweli mjinga anasononeka
Kuhusu hiyo sabotage ni kitu ambacho kiko nje ya uwezo wa kibinadu --- Hata ktk kundi la wanafunzi 12 wa Bwana Yesu,alikuwepo mwanafunzi mmoja,aliyekuwa msaliti, YUDA ISKARIOTE --- sasa unashangaa nini ktk bodi ya wadhamini ya Yanga,kuwepo mmoja,ambaye ni msaliti --- Hivyo ndivyo walivyo wanadamu mioyoni mwao.-- Moyo wa Mwanadamu ni mdanganyifu,tena una ugonjwa wa kufisha ...". Yeremia 17:9 .
Huwezi kujifunza kama hujakosea
Huyu jamaa vipi! Abed Juma! Yuko body ipi? Mwandishi lazima ujue Kuna ya sasa ambayo Iko Kwa katiba mpya na Ile body iliokuwepo Kwa katiba ya 2011.
Mtangazaji hajelewa bado