Daa aya maisha ni funzo sana ivi kweli chidy umebaki mtu wa rawama muda wote sasa hapo harmonize amefanya kosa gani mtu anakupa mkono autaki asingesalimia ungesema anajskia lipi jema kmn daa ww hipo op yy bongo frevr WAP na wp pore bro chidy
madawa sio mazuri aisee sasa tatizo nini apo alilofanya harmo basi utakuta aliwah muomba pesa akamnyima ndio kaweka rohoni daaah chid kazingua mwanangu uhuni ukizid sana inakua tabu kwa kwel kila mtu utagombana nae
Tatizo la chidy unga anauvuta badala ya kusonga ugali!huwezi ukawa mzima kwa staili hiyo afu Dogo kacheeekatu kampiga hug afu kaendelea na yake something good ambayo muungwana yeyote hufanya..namsifu sana hamonize hajaonesha dharau wala hasira.good boy
huyo naye vp Aache kutumalizia MB zabure Unaxhindana Nam2 Anaekalibia kuwa A Tanzania me harmonize Namkubalisana Maana nim2 Anae jitahidi ku2mia Kipaji chake Sawa sawa Hizi nyimbo zake 3 1) MATATIZO 2) SINA 3)ATARUDI ZINAELIMIXHA KUNA WENGINE WANAKAZANIA KUIMBA ZAKIMAPENZI2 ILA PONGEZI IENDE KWA PLATINMZ KWAKUMWEZESHA!!!
hiyo hasira ungepeleka kwenye madawa hivi tunavyoongea ugekuwa kitu tofauti lakini sasa ulituambia rabda Dawa waache kuuza sasa jibu ni hili Dawa zitaendelea kuuzwa mpaka wewe zitakapokuuza zenyewe.🤔
Msipende kusambaza habari ambazo hazinamaana mngemtafuta chidi muulize km anatatizo na harmo pia mumtafute harmonize km anamatatizo na chidi ndio mtuletee habari hapo inawezekana ilikuwa utani tu ilanyie tayari mmeyakuza mxiiiuuuu😂😂
Chidbenz Hana jimpya kama amefeli yeye anataka wote wafeli big up hormonize ameonyesha lav kama hana habari kbx
Kama unakubaluana na mm Chidi asumbuliwa na wivu gonga like twende sawa👌👍😂😂😂
Priscilar Kahindi hana wivu we vipi kunamambo yaliyo pitikana kati yao that's why he didn't wanna shake his hand kuwa wa proves vya vitu kisha ongea
kama umemuona chid benz kawa mzee gonga like hapa
Walahi chidi zimeruka kabisaaaaaaaaaa wivu yooo, salamu nialazima
Junior Mwamba kweli hata kama mtu humpendi kumsalimia ni wajibu
Daa aya maisha ni funzo sana ivi kweli chidy umebaki mtu wa rawama muda wote sasa hapo harmonize amefanya kosa gani mtu anakupa mkono autaki asingesalimia ungesema anajskia lipi jema kmn daa ww hipo op yy bongo frevr WAP na wp pore bro chidy
ukifeli kila mtu
unamuona adui
mohamed selungwi kweli kabisa
chidi ni mfasi wa ali kiba ndio mana alifanya ivo uyu aliwai kumchunia ali kiba salam
Big up Chidi Benz. Nakukubali sana
Unga sio mboga
CHIDI BENZ tulikupenda lakini madawa ya kulevya yame kupenda zaidi ( saiv utamuona kila mtu adui Kwako)
yes soo nice
Unga hahaaaa alijua waugali kudadeki mshamba chidbenz kuanza Leo najivua kumshabikia kabisa
That was a great and wise move Harmonize took,the fool was left wondering shamelessly thinking -vely
Hata hivyo kavuu 2 mwenzako anatusua na ww umebakia na sifaa nilikua nilikua ilikua achana na bwimbwi lilimshinda mzee sadari!
kafeli ndo maana anaona aibu wakati hamo kamkuta kwenye game na kapitwa mbali saaaaaaana #utasoma namba saan chid bro pole
madawa sio mazuri aisee sasa tatizo nini apo alilofanya harmo basi utakuta aliwah muomba pesa akamnyima ndio kaweka rohoni daaah chid kazingua mwanangu uhuni ukizid sana inakua tabu kwa kwel kila mtu utagombana nae
Kwel kabisa kaka kumbe umeona ee uhuni ukizidi sana sio vizuri
juma jux
JONIJOO ahusike hapa. Tunaomba utuletee Chuma Chidi Benz kwenye kipindi atupe sababu.
ZANGU NI KUSOMA COMMETS TU NIPE LIKE ZENU KAMA SIKO PEKEYANGU KUSOMA COMMENTS.
Unga sio chaii
Tatizo la chidy unga anauvuta badala ya kusonga ugali!huwezi ukawa mzima kwa staili hiyo afu Dogo kacheeekatu kampiga hug afu kaendelea na yake something good ambayo muungwana yeyote hufanya..namsifu sana hamonize hajaonesha dharau wala hasira.good boy
huyo naye vp Aache kutumalizia MB zabure Unaxhindana Nam2 Anaekalibia kuwa A Tanzania
me harmonize Namkubalisana
Maana nim2 Anae jitahidi
ku2mia Kipaji chake Sawa sawa Hizi nyimbo zake 3
1) MATATIZO
2) SINA
3)ATARUDI
ZINAELIMIXHA KUNA WENGINE WANAKAZANIA
KUIMBA ZAKIMAPENZI2
ILA PONGEZI IENDE KWA PLATINMZ KWAKUMWEZESHA!!!
Harmonize msamehe bure chid ... Network search huyo
My observation.Tanzanians follow wave not content that's why Chidi benz got frustrated n started doing drugs.Hamna kama Chidi ..mistari kamili.
hahahahaha kama samaki kaliwa kabakishwa mwiba na kichwa alivobaki chidi
chidbenz kazeeka sana halafu hana mpya harafu kawa kama zombi furan iv anapewa hai analeta mapenzi fara kweli
Chidi kazingua kweli
Kamsha feli chidy
Nimekukubali benzino
Kula ngada mpaka sasa unaonavibaya kwa wenzako kufanikiwa.
hyu fala naona hiyo dona ishapanda kichwani
tumuombee tuuuu kwa mungu yanawezekana subira huvuta her
Chide Kawaza bangi Ni mchicha, no acha wenzako wafanya Kazi Hadi upate taabu !!
chid umezingua saana mzee
Nakukubali xana Chidi Benz ila hapo umezingua mbayaaaaaaaa
Nomaa sana chidi
fara chid benz hata usipomsalimia hamo kashakuacha kimaisha bwege tu
w nn chid atakama usimpe mkono tayari kafanikiwa mana najua inakuuma
sawa sawa kutompa mkono sababu ni chawa.
chidi benzi bonge la mshamba asiyependa mafanikio ya mtu, zilipendwa huyo, achana nae konde boy, nobody can stop you but God
Sio mzz kawa mshamba
Sas kukataa mkono wa Harmonize amempunguzia nin au ndo anajipa presha tu kwa sababu wenzie wanatusua ye amekalia kula madawa mpuuzi huyo
Kweli mateja hawaminik hata Salam hatak
HATUTAKI SALAM ZA MASHOGA... WAVAA VIKUKU
Sawaaa Sawaaa
Chid Benz Maringo haiezi kupeleka Mbali....Unadhani Ni wangpi wamekuwa na hawako....Pambana na Hali yako
Mimi nasoma comments zenu tu Gonga like kama na wewe unasoma kama mimi
Alikuwa kwenye mood ya unga
Fala huyo alizani unga sembe jitu linapewa hai kutoka moyoni linauchuna umepotea sasa baada ya chid amekuwa chiba
Chidi una wivu
Wivuuuuuuu
Safi sana chidi kwa kula jiwe
mustaph yassin tena mwenzio nini maana yule alinyimwa hela ya sembe
Bangi mbaya
bangi na hajielewi mwenhu chidi Benz wala hana muonekano wa msanii chogo hilo bamia
Mshua kaisha
anatafta kiki hyo falaaaah chid pumbav zkeee
teja hana shukrani
ukimnyima pesa lawama
Yani mambo yakikuendea kombo basi kila mtu unahisi anakuchawia chid umelosti
Hahahahaaa, Tabu sana
hiyo hasira ungepeleka kwenye madawa hivi tunavyoongea ugekuwa kitu tofauti lakini sasa ulituambia rabda Dawa waache kuuza sasa jibu ni hili Dawa zitaendelea kuuzwa mpaka wewe zitakapokuuza zenyewe.🤔
Unga umezidi kicwani
What goes around comes around.
@Harmonize, unakumbuka ulichomfanyia ALI KIBA Kwa Mazishi ya Masogange?
Hayo ni malipo my Friend
Bangi litamuponza alikuwa anataka apewe hela?
achana naee mchawi uyo
mambo yakienda kombo dawa inakifanya kila aliyeko juu ni adui..
Hata unavyofungua interview tu....staay with me!
Ntalifanyia kazi bro..Ahsante kwa ushauri wako
nakukubali chid lakini kwahili kabisa umevunja utamaduni , nahili tusemenini isipo kusema this is wivu kari
He was drunk 😵 that why he didn’t say hey 👋 to the king 🤴 Harmonize, too much Ganja wee.....
Chidi akawa chizi
Mmh chidi benzi na dudu baya nyie cyo wazima kwenye vichwa vyenuu
When u fail to achieve jelous becomes UA potion
Word
Chidy nani bhana harmonaiz akitaka kupeana mikono na watu c hata karne inaisha
Karimu Juma
Da watu wengine bwana
Bora upumzike kufanya muziki maana umebakiza wivu na Bichwa.
Harmo is just smilling the guy use to be big star but now lakokaina imemmaliza he is just jealous
Chid benz teja
Chidi zee zima😏😏😏
Duh chidi kafulia hadi wivu sasa mwanaume una kataa kusalimiwa kama demu huo umama
duh chidi pumbavu2
Atari ni uswahili ulio mjaa nini xx apo
Asamehewe bure ty cy akili yake ni akili ya vumbi analotumia
Ukichezea nafasi then akatokea mtu akakupiga gap ni shida sana
Haji tambui kabisaa
Kweli unga bado inamsumbu chid
Mshamba huyo chid dogo kamfanyia nn mwaache kwanza hampunguzii chochote
Jmn mwee
ana wivu...afu amekonda anaogopa kuvunjwa
Waniwenzako wanatakakukurudisha kwenye gm unakstaaaa izo bangi hazitagusaidia ki2 mzhee
chidi ananate ramani chizi uyo uchukulie poa2 hamo
C chid tn ni child, mana duuuh...kwl unga c mboga
Chid mshamba ndio maana ameshindwa kuuhimili umaarufu wake.maskini tu hatishi uhuni kuwa na hela
😂😂😂😂watuache ma-nigga na uchu wetu#hardcole
Ameuguza chidi ataki hata salamu kweli amechoka
chid naona imeshindikana kuacha ngada
safi chid wanafki hao
Unamkataa mtu ana ela zakee 😂😂😂 ye anachk we unanuna
Uwo wako sio uhun uwo usenge mjinga ww mambo ayo afany dad ako sio ww mfupa
Bangi hizo utapata tabusana chid
Chidi analaumu kila mtu sababu ya makosa yake mwenyewe
Msipende kusambaza habari ambazo hazinamaana mngemtafuta chidi muulize km anatatizo na harmo pia mumtafute harmonize km anamatatizo na chidi ndio mtuletee habari hapo inawezekana ilikuwa utani tu ilanyie tayari mmeyakuza mxiiiuuuu😂😂
Vivian Minja Do you know the meaning of entertainment?
Chid madwa ya namsumbua tusi mlaumu
Chid anafeli uhuni uczidi xana aixeee