Uyu mzee anavyoongea naskia kucheka na kulia wallah pole babu yangu Ila hii tzd 🙌🙌🙌hpana tusalini jmn naona km Giza machoni mwangu vibaka watazidi mtaani 😭
Subhanallah innalillahi mtihani mkubwa Tanzania yetu Allah atuondolee mabalaa yanayoendelea kuikumba Tanzania hatusongi mbele kibiashara kila ukicha kurudi nyuma
Hawa wanawahi kama ni nyumba ya kiongoz inaungua moto. Ila kama ni mali inayohusu wananchi wa kawaida hawawahi. Arusha soko liliwaka mpk likaisha na wkt ilipo fire Station ni mita mia na hamsini tu.
Kuna umhimu wa kufanya uchunguzi wa wazi juu ya haya majanga màana yamekisiri kila kukicha kurudishana nyumba tu, kariakoo mpaka leo uchunguzi hatujausikia inaumiza sana.
Moto ukitokea huko mikoroshini fire kufika inachukua mda haya huku je? Yani karume na fire kuna umbali gani? Hizo magari za zima moto ziko wapi jamaaaani? Mpaka soko liungue asilimia 98%.
Nirahisi kusema fire walikuwa wapi, ila ningependa tukumbuke fire wapo hapo toka jana usiku mpaka mchana na bado moto hauja zimika, hii inaonesha ugumu wakazi walio pitia.
Uyu mzee anavyoongea naskia kucheka na kulia wallah pole babu yangu Ila hii tzd 🙌🙌🙌hpana tusalini jmn naona km Giza machoni mwangu vibaka watazidi mtaani 😭
Hii nchi ngumu sana
Subhanallah innalillahi mtihani mkubwa Tanzania yetu Allah atuondolee mabalaa yanayoendelea kuikumba Tanzania hatusongi mbele kibiashara kila ukicha kurudi nyuma
Duuu poleni sana mungu awape nguvu na mowo wasubra wafania biashara wa soko la karume.kweni kipindi kigumu hiki
Poleni sana aisee
Fungueni macho africa.Hivi ndo soko la Gikomba kenya huwa linachomeka.inakaa niagizo la wazungu.
nina hakika hawa viongozi nao wanaona uchungu lakn ni maagizo ya hao watu,,
Siyo Kenya tu,hata Burundi wamekuwa wakiunguliwa sana,tena masoko makubwa
Selikali niyakisenge hii wanajua kinachoendelea
Infact
Bado Hujaacha kufikiri kwa matako?😎
Poleni kwa majanga ya moto
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
awazimamoto sijawai kusikia wamewai kwenyetukio wamezima moto kilasiku wanakuta majivu Sijui wanafaida gani Yan 😲
Wa wahi vipi na wakati ni madili yao? Inaingia hakilini kkoo saa saba karume saa saba si kwa ufirimasoni huo
Kwakweli ni ajabu...Karume na fire station ni umbali wa kama kilomita mbili na kwa usiku huo barabara zipo wazi hakuna foleni.
Alafu hawako mbali nakarume
Hawa wanawahi kama ni nyumba ya kiongoz inaungua moto. Ila kama ni mali inayohusu wananchi wa kawaida hawawahi. Arusha soko liliwaka mpk likaisha na wkt ilipo fire Station ni mita mia na hamsini tu.
Eeeh mwenyez MUNGU tusaidie😔
Poleni sana jamani
Daaaaa, cjui tanzania inaenda wap Sasa jaman🙆♀️🙆♀️🙆♀️ 🙆♀️ 🙆♀️ 🙆♀️ 🙆♀️
Weeee mungu watie. Ngumu wahanga yaraby 🤲🤲🤲🤲🤲
Serikali ya wanyonge imeondoka imekuja ya wababe.
Kaz inaendelea jamn sndio tumekubalian na kesho tutaambiw anaupiga mwingi
KESHO UTAAMBIWA WANATAKA KUJENGA SOKO LA KISASA HIVYO WAFANYABIASHARA WAPISHE KWA MUDA.
Polen Sana. Jaman.. Mbona Ali inazid kua ngumu😪
Hawa zimamamoto wanazima nini sahizi moto umewaka tangu usiku
Tz hakuna fire tusidanganyane moto unapo tokea unawapigia sim wanakuja baada ya lisaa yotehaya nikumdhalau mama anavyo ongea nao akiwabaniapua ilakama angekua moto heshima ingekuja sasaivi nizam hakuna wanamchuliapoa kama anavyo wachukuliapoa mwenyewe
Fire hamna kitu wanapata mishahara bure hawa. Ivunjwe iundwe upya
Poleni jaman8
Pole sana baba yangu kwa kufanya kazi yako vizuri. Mungu akubariki
Alaaaniwe Aliyechoma
Sasa wazima nn na kila kitu kishaisha 😀😃😄
Kuna umhimu wa kufanya uchunguzi wa wazi juu ya haya majanga màana yamekisiri kila kukicha kurudishana nyumba tu, kariakoo mpaka leo uchunguzi hatujausikia inaumiza sana.
Sasa ao zimamoto wanaokoa nini so wangeendelea kulala tu
Haya mambo yaangaliwe vzur maana jinsi hii tutakua wadogo sana duniani tukizan ndo wakubwa labda tuonavyo
Maisha yanazid kuwa magum kwakwel
Moto ukitokea huko mikoroshini fire kufika inachukua mda haya huku je? Yani karume na fire kuna umbali gani? Hizo magari za zima moto ziko wapi jamaaaani? Mpaka soko liungue asilimia 98%.
Serikali ina mkono mlefu itawasaidia mitaji
Uchawi mwingi hii nchi
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭subhana llaah
Nirahisi kusema fire walikuwa wapi, ila ningependa tukumbuke fire wapo hapo toka jana usiku mpaka mchana na bado moto hauja zimika, hii inaonesha ugumu wakazi walio pitia.
Uwepobwa fire sio kigezo cha moto kutosababisha maafa wao wanaplay part yao mengine mungu ndo anasaidia
@@birianination7097 walifika saa ngap?
Bado tz tupo nyuma sana kwenye kupambana na moto
Hatari hii
ua-cam.com/video/dDBwWu_ANd4/v-deo.html