KUFICHUA SIRI ZA WACHAWI PART 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 106

  • @angelkanoga2175
    @angelkanoga2175 3 роки тому +1

    Asante kwa ufunuo huu sasa najua kama kuna kitu kinaendelea maaana si kwa uzito huu maombi kwa mbinde Bible nikisoma sielewi YESU NISAIDIE

  • @yvonnemashuda3004
    @yvonnemashuda3004 3 роки тому +9

    Wengi i tumekua tukichukulia very lightly mambo ya uchawi, na ukiangalia mifano dhahiri na ku relate unaona kabisa, kuna mambo yanakua yanaendelea katika familia au ukoo, ambayo its typical witchcraft, Mungu atuwezeshe kushinda nguvu za kichawi ..Ahsante mtumishi wa Mungu.

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 3 роки тому +4

    Jamani eee nimecheka yangu yote mchungaji alipo sema Bangladesh nikamkumbuka senga,🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌ubarikiwe sana Mungu akuinue zaidi mchungaji 🙏🙏 uchawi upo na tunaitawanyisha kwa njia saba

  • @gracekwila5674
    @gracekwila5674 3 роки тому +6

    Asante chief apostle kwa somo hili Mungu ameendelea kukutumia tena kwaajiri yangu..
    Natamka kila mchawi aliyechukua ufahamu wangu kamata motoooo🔥🔥

  • @esthercharles2210
    @esthercharles2210 3 роки тому +4

    Powerful!!! YESU akutunze Apostle somo zuri sana.

  • @aayeshakhan9962
    @aayeshakhan9962 3 роки тому +1

    Somo nzuri sana kabisa

  • @vickyalphonce4813
    @vickyalphonce4813 3 роки тому +7

    Asante Chisf Apostle, kwa Somo zuri ,binafsi yangu nijifunza kitu kikubwa Sana !

  • @episonfelician7670
    @episonfelician7670 3 роки тому +2

    Asante Mtumishi Apostle Mtalemwa kwa Neno lako ubarikiwe Mungu akuzidishie miaka mingi sana ya utumishi wako napenda sana mahubiri yako

  • @basilkihanga8019
    @basilkihanga8019 3 роки тому +1

    Naona mpaka sasa tunawachawi saba walio dislike haya mafundisho powerful lakin wamesahu kilichompata elima na kwa hili tunaweza kushuhudia kua wamerogwa ufahamu na wamepigwa upofu.
    Asante mtumishi wa Mungu kwa kutufungua kiroho, kimwili na kiakili Bwana Yesu akubariki sana, akulinde na kukuhifadhi na neema yake ikazidi kwako zaidi kwa utukufu wa Jina lake Yesu Kristo, Amen.

  • @Devothakimei
    @Devothakimei 3 роки тому +3

    Mungu akutunze baba yangu mlezi wa roho yangu, unayenilea kufuata njia za Mungu. Ubarikiwe mnooo. Hakika thawabu yako ipo. Asante kwa somo zuri mnoooo

  • @robinahumphrey9725
    @robinahumphrey9725 3 роки тому +1

    Mungu akutumie zaidi.

  • @SonofMajor1
    @SonofMajor1 3 роки тому +2

    Ahsante kwa fundisho zuri baba. Ubarikiwe mkuu.

  • @gracekanyanza4816
    @gracekanyanza4816 2 роки тому +1

    It's powerfully

  • @jacklineikoki6653
    @jacklineikoki6653 3 роки тому +1

    Nabarikiwa Sana nafunguliwa pia

  • @josephmatunda2297
    @josephmatunda2297 3 роки тому +2

    God bless you man of god IS trust wengi wamelogwa kabisa makanisani uchawi upo na kiakili watu wa melogwa kabisa

  • @dariusorao6039
    @dariusorao6039 3 роки тому +1

    Asante kwa somo nzuri mtumishi

  • @haidaryashock179
    @haidaryashock179 3 роки тому

    Apostle your too much,,Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu. Amen

  • @siakiwelu3255
    @siakiwelu3255 7 місяців тому

    Kila napokusikiliza mtumishi wa Mungu najifunza kitu kipya. Namshukuru Mungu kwa kunikutanisha na mahubiri yako hapa UA-cam

  • @joycemabarika584
    @joycemabarika584 3 роки тому

    Ubarikiwe Sana Mtumishi niliyapitia hayo, bila Mungu nisingekuwepo kwenye USO WA Dunia, zidi kuuliza Imani yangu, japo Niko mbali, lakini Kwa NENO la MUNGU, Hakika Niko salama, Nia nitanena na wengine, ubarikiwe sana

  • @hamisirugai2528
    @hamisirugai2528 3 роки тому

    Namkubali Rev. Mtalemwa!!
    Be blessed!!

  • @misssharonerasmus
    @misssharonerasmus 3 роки тому +2

    Chief Apostle Unatufunza sana 🤝🤝

  • @happymlay4696
    @happymlay4696 3 роки тому +2

    Wachawi wote !!!!catch fireeee ,,,,Mungu wa Major 1awaumbue kama elima kwa jina la Yesu

  • @akhalakwalubisia1738
    @akhalakwalubisia1738 Рік тому

    Very powerful prophet is ture
    God comfort you

  • @lizymmbogo-yg7zt
    @lizymmbogo-yg7zt Рік тому

    Hallelujah glory to God nawachukia wachawi jaman

  • @happymlay4696
    @happymlay4696 3 роки тому +1

    Sema tupone baba yetu chief nakupenda

  • @monicabh1668
    @monicabh1668 3 роки тому

    Asante apostle mtalemwa bushiri kwa neno zuri 🙏🙏 Mungu azidi kukuweka viwango vya juu

  • @eliwemaambaida6216
    @eliwemaambaida6216 3 роки тому +1

    Asante sana Chief kwa ufunuo huu hakika hajaja hivi hivi umenikomboa sana

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 2 роки тому +1

    Hili somo huwa nalisikiliza sana mara kwa mara

  • @gracekanyanza4816
    @gracekanyanza4816 2 роки тому

    Exactly 💯 Apostle

  • @gladysgladys7393
    @gladysgladys7393 3 роки тому +1

    Hoo lord 🙏 remember me and my family in Jesus name protect against witchcraft

  • @deborahdelly4532
    @deborahdelly4532 3 роки тому

    Hahahaha Baba nimecheka na nimepata kujifunza kitu ubarikiwe mnoooo

  • @eunicemarugu3595
    @eunicemarugu3595 2 роки тому

    Nakubali uchawi upo sana tu

  • @reymasenya6450
    @reymasenya6450 3 роки тому

    Asante Sana Mwajina Wa Baba Yangu Mutalemwa

  • @gracemwakasanga1521
    @gracemwakasanga1521 3 роки тому +1

    Mungu akubariki mtumishi

  • @happymlay4696
    @happymlay4696 3 роки тому +2

    Hahahahaaaaaaa!!!umelogwa na mtu wa shinyanga

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Рік тому +1

    Nalisikiliza hili somo leo tena 16-12-2022 nikiwa arusha sinoni mtaa wa migungani. Asubuhi saa moja

  • @jacmueni7907
    @jacmueni7907 2 роки тому

    Barikiwa sana mtumishi

  • @annasteel8925
    @annasteel8925 3 роки тому

    Lovly apostle
    ..🤣🤣 Bangaladash....thats funny .

  • @apostlesamwelisautiyasimba238
    @apostlesamwelisautiyasimba238 3 роки тому

    Ahsante Sana chief apostle mtalemwa kwa SoMo zuri

  • @eunicemarugu3595
    @eunicemarugu3595 2 роки тому

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🤸wapigweee

  • @joycemushi248
    @joycemushi248 3 роки тому

    Oooooh halelujaaaa ubarikiwe man of God

  • @pastorkennypauls9486
    @pastorkennypauls9486 3 роки тому +6

    This is God speaking

  • @highzacknnko4002
    @highzacknnko4002 3 роки тому +4

    Mimi itikadi yangu natambua kuna kulogwa!!! Najua uchawi umetajwa!! Kwenye biblia kwahyo uchawi upo

  • @magdaestomihmdee3755
    @magdaestomihmdee3755 3 роки тому +3

    Mungu akutunze kwa utukufu wake chief asante kwa somo zuri

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 роки тому

    asante Yesu kwa kumleta chief apostle

  • @edwarddaud6785
    @edwarddaud6785 3 роки тому +2

    I understand the topic be blessed

  • @issackpastor1915
    @issackpastor1915 2 роки тому

    Nakukubar baba

  • @eunicemarugu3595
    @eunicemarugu3595 2 роки тому +1

    🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️👏👏👏

  • @domitiladsm
    @domitiladsm 3 роки тому +1

    Asante Sana Apostle...

  • @gracekanyanza4816
    @gracekanyanza4816 2 роки тому

    Amen

  • @mgessimatiko2379
    @mgessimatiko2379 3 роки тому +2

    Powerful

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 3 роки тому +2

    BABA KTK JINA LA YESU. NINABARIKIWA NA MAFUNDISHO YANAYOENDELEA KUHUSU SPIRIT YA UCHAWI KTK MAISHA. NINAOMBA BABA MUNGU WFTU AONDOE KABISAAAAA UCHAWI KTK FAMILY, KWANI SIJUI KWA NINI BAADHI YA NDUGU WAUZUNGUMZE. YESU WANGU UWASHUT UP KABISA. ..

  • @doriskyaruzi7509
    @doriskyaruzi7509 3 роки тому +1

    Hakika apostle nakukubali tufundishe tupone maana uchawi upo

  • @pauloteleja7548
    @pauloteleja7548 3 роки тому

    Aminaa

  • @peresisilikale3789
    @peresisilikale3789 3 роки тому

    #Amina.+👏 👏 👏

  • @evalynerwegasira7485
    @evalynerwegasira7485 3 роки тому +1

    NIMEPENDA SOMO Lako UBARIKIWE mno.

  • @anaaanick4187
    @anaaanick4187 3 роки тому

    Ameen ushindwe kwa jina la yesu

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies1782 3 роки тому +1

    Amina Amina

  • @vickymahanga7734
    @vickymahanga7734 3 роки тому +2

    Thx dady

  • @evamwabulambo390
    @evamwabulambo390 3 роки тому

    Bigup Apostle

  • @putgmedia
    @putgmedia 3 роки тому +1

    Amen.

  • @alexandergitonga770
    @alexandergitonga770 3 роки тому

    God bless you more and more

  • @estherjohnmwambazi4679
    @estherjohnmwambazi4679 3 роки тому +1

    Nimebarikiwa Sana.

  • @jacksonkamuzora6029
    @jacksonkamuzora6029 3 роки тому

    Asante mtumishi was Mungu

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Рік тому

    Nasikiliza hili somo leo 24.1.2023 nikiwa kibaha pwani kata ya kongowe mtaa wa bamba!!! Mungu nisaidie nimalize mwendo na wachawi na waganga wasinishinde

  • @gladysgladys7393
    @gladysgladys7393 3 роки тому +1

    Come out from my family in Jesus name 🙏

  • @Devothakimei
    @Devothakimei Рік тому

    Somo strong sana hili

  • @neemahamisi4302
    @neemahamisi4302 3 роки тому +2

    Kweli chief hata mimi nimelogwa Mungu anisaidie🙏🏻

  • @JacklineIkoki-u6g
    @JacklineIkoki-u6g 10 місяців тому

    ❤❤❤

  • @joykapaya1970
    @joykapaya1970 3 роки тому

    👏👏👏

  • @UsafiMichael-mc8kt
    @UsafiMichael-mc8kt 10 місяців тому

    Uchawi upo nimegundua kumbe baba yangũ alikufa kwa kulogwa

  • @jokshannubuntu2580
    @jokshannubuntu2580 3 роки тому

    ❤️🇧🇮

  • @monicabh1668
    @monicabh1668 3 роки тому

    Wewe mchawi Elima uliyeniloga upewe upofu wa muda Katika jina la yesu it’s done ☑️

  • @AK-od4by
    @AK-od4by 3 роки тому +1

    Anayejua huduma hii ilipo aniambie tafadhali, maana leo nimejifunza mno

    • @tressahun8115
      @tressahun8115 3 роки тому

      Kanisa linaitwa ecg lipo kwnye njia kama unaelekea makongo juu

    • @angelmsoffe398
      @angelmsoffe398 3 роки тому

      Karibu sn tupo makongo juu kituo mashine au mdaada kanisani. Karibu tuabudu wote

  • @furahaatuwene9981
    @furahaatuwene9981 3 роки тому +1

    🙏🏼

  • @Erickvicent4124
    @Erickvicent4124 3 роки тому

    Hakika

  • @marykageha4305
    @marykageha4305 3 роки тому +1

    YES CHIEF UMENIONGELEA MIMI .HAKIKA PANAUCHAWI KATIKA MAISHA NIKIANGALIA KUNA ELIMA MAHALI ANANICHAWI ICONNECT KILA MCHAWI CATCH FIRE .NA POKEA ANOINTING KATIKA JINA LA YESU LIKE FATHER , LIKE SON .. ORAY FIRE ME CONECTING FROM LEBNON.

  • @saramalila4441
    @saramalila4441 3 роки тому +2

    Ukijua habali za yesu kristo ni faida

    • @basilkihanga8019
      @basilkihanga8019 3 роки тому +1

      Amina dada Sara, naomba tu nkukumbushe kua jina la Yesu linaanza kwa herufi kubwa, ubarikiwe sana na Bwana Yesu.

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 роки тому

    samea mara saba sabini hizo nyama za watoto uliokula utazitapika

  • @clairemuchai623
    @clairemuchai623 3 роки тому +1

    Amen be blessed

  • @leatimoth3611
    @leatimoth3611 Рік тому

    Nani amesikiza hii message 2023 kama uko pita na like

  • @marykageha4305
    @marykageha4305 3 роки тому +1

    CHIEF NIOMBEE NIMEKAZIWA NA BOSS WANGU KUCONNECT MIRACLE OIL .IMAGINE MAMA HUYU AMEKATAA . ETI NIKITAKA MAFUTA YA ANOINTING NI NUNUWE KWA INCHI YAO NAMI NILUJIBU NO NATAKA YA SPIRITUAL FATHER WANGU , OOH ANEKIMYA PLZ DENGUWA UCHAWI HUU UNITOKEE MAISHANI MWANGU .

  • @aminam267
    @aminam267 3 роки тому +2

    Mimi amina🙏🙏🙏

  • @joycemaige8683
    @joycemaige8683 3 роки тому

    Yani humu kwenye comments Kuna watu na viatu huyu pastor akiongea neno ambalo unakuta limekuingia utaona wanashangilia akianza kuhubilia watu na kutoa mapepo akitoa unabii wake mnakuja na comments za ajabu mnatuvunja moyo wafatiliaji jmn tulioko nje ya tz jmn

  • @lissochacha5218
    @lissochacha5218 3 роки тому

    Duh naona wachawi wame dislike vidio hii

  • @josephmatunda2297
    @josephmatunda2297 3 роки тому +2

    God bless you man of god IS trust wengi wamelogwa kabisa makanisani uchawi upo na kiakili watu wa melogwa kabisa

  • @jacmueni7907
    @jacmueni7907 2 роки тому

    Barikiwa sana mtumishi

  • @estherfaidamalkia4021
    @estherfaidamalkia4021 3 роки тому

    Amen

  • @apostlesamwelisautiyasimba238
    @apostlesamwelisautiyasimba238 3 роки тому

    Ahsante Sana chief apostle mtalemwa kwa SoMo zuro

  • @jacmueni7907
    @jacmueni7907 2 роки тому

    Barikiwa sana mtumishi

  • @jacmueni7907
    @jacmueni7907 2 роки тому

    Barikiwa sana mtumishi

  • @toyclaude776
    @toyclaude776 3 роки тому +1

    Amen

  • @johndenis8768
    @johndenis8768 3 роки тому +1

    Amen

  • @kadzomasha8539
    @kadzomasha8539 3 роки тому

    Amen