Siku ya Arafa ni Lini :: Ust. Mbarak Ahmed Awes

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 70

  • @salmaswalehomar9719
    @salmaswalehomar9719 3 роки тому +15

    Hapo shekhe umenimaliza kwa kufutwa kuwailimisha washinda Allah akuweke akupe umriii mrefuu naafiya nanguvoo yakuitumikiya diniii 🤲❤💯

  • @zubeirahmad219
    @zubeirahmad219 5 років тому +33

    Yaani Wallahi kama utaamua kumsikiliza huyu Sheikh,basiii wallaahi hauhitaji hoja yoyoote wala kubisha maana kiila kitu kikowaaazi kabisaaaa

  • @mohamedabubakar9852
    @mohamedabubakar9852 3 роки тому +11

    Mashallah Tabarakallah...Umefafanua kwa Uwazi..uwamuzi ni wetu sisi...Shukran Habib ALLAH akuhifadhi...Ameen

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 5 років тому +13

    Siachi kukuombea dua shekh wangu kwa utulivu ninaopata kupitia darsa zako Alla akulipe Jannah

  • @khamisijuma3167
    @khamisijuma3167 3 роки тому +9

    Sheikh uko vizuri umetuzindua Allah akujaze elimu zaidi

  • @abdallaramadhan3850
    @abdallaramadhan3850 4 роки тому +6

    Mashaa Allah tumekuelewa vizur sana,Allah akulipe kheiyr na fauza fiyl dunniya wal akheyr.

  • @adamnssirisiri9338
    @adamnssirisiri9338 5 років тому +18

    Mashallah umenisomesha Alhamdullah

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 5 років тому +8

    Baaraka LLAHU fiiku Allah atakulipeni kwa juhudi zenu zakuelimisha Umma uliozingirwa. na utata huu ulioingizwa kwa makusudi. ktk jamii za waislam

  • @kasimuayoub6666
    @kasimuayoub6666 5 років тому +13

    Allah akubariki Allah akulinde na husda wallahi faida imepatikana....Allah akulipe kheri. Ila nataka faida kuhusu Siku mbili alizowakuta nazo bwana mtume watu wa madina wakisherehekea ni zipi

  • @abdulnadhiffakizubeir6185
    @abdulnadhiffakizubeir6185 3 роки тому +3

    Asant Sana maalim umefafanua vzr Allah akujaalie kila la kheri

  • @salumidd7536
    @salumidd7536 4 роки тому +9

    shukran shekh Wabishi wapo toka enzi ya mtume ten wabishi sio sas hiv zimebaki copy zao tu kwa ufupi umeeleweka san

  • @hakimtamimi26
    @hakimtamimi26 5 років тому +11

    Jazaka Allah kheir ustadh

  • @zulfasultan8948
    @zulfasultan8948 3 роки тому +3

    Shukulani Jazeera shehe Alihadullilah kwa kunisomesha

  • @mpondamedia2416
    @mpondamedia2416 3 роки тому +6

    jazaaka rrahmaani khayra shaikh Mbarak Ahmed Awes

  • @abdullahiiddi4109
    @abdullahiiddi4109 3 роки тому +3

    Allah akujaalie afya yenye kheri tuzidi kunufaika katika
    Mafundisho na. Makumbusho mazuri kabisa sheikh. Allah atuezeshe kufwata maamrisho.

  • @abuibra
    @abuibra 5 років тому +5

    AZAKALLAH KHEIRAN,ALLAH AKUZIDISHIE KILA LA KHERI KHUTBA ULIO TOA IMETOA SHAKA KATIKA NAFSI ZA MA’MILIONI YA WAISLAMU SHUKRAN YA SHAIKH.

  • @binabeid7322
    @binabeid7322 5 років тому +8

    Masha Allah umenitowa kizan sheikh mwenyezimungu akulipe kila la kheir

  • @mussaally2369
    @mussaally2369 5 років тому +15

    maashaa'allah nampenda sana masomo yake yapo makini sana ALLAH amlipe jannah

  • @swalehalhabshy6575
    @swalehalhabshy6575 5 років тому +10

    Ahsaaantaa habiby mbarak ....jazakallahu kheeiyrr

  • @abdulqahirhassan3003
    @abdulqahirhassan3003 3 роки тому +3

    Kilichobaki ni sisi kufata tu.,, INSHAALLAH kila kitu kimeelezewa vizur

  • @mwanahamisjuma3361
    @mwanahamisjuma3361 5 років тому +6

    Nashkur sheikh kwa kutuelimisha mana kuna redio huku tanga nimeskia inasema lazima tufange sawa na watu wa Makkah na jmos haifai kufunga nashkur sana Allah akulipe

  • @ramadhanimakange9766
    @ramadhanimakange9766 3 роки тому +3

    Kaka uko vizuri sana Allah akuzidishie Ilmu yako.

  • @hajigahimbare579
    @hajigahimbare579 5 років тому +10

    بارك اللّه فيك يا حبيب👏

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan1400 3 роки тому +4

    Asante sheikh, na ya mwaka huu pia ni Jumatano

    • @yusarjunkhanna4100
      @yusarjunkhanna4100 3 роки тому

      Dalili za idd ziko wazii, kwahvyo wa jumatano pia ni siku ya Pili ya idd hakuna nenoo

  • @hamadamaani2516
    @hamadamaani2516 5 років тому +11

    الله يبارك فيك شيخنا الجليل

  • @mwalimameir4305
    @mwalimameir4305 3 роки тому +12

    Wewe ni msomi wa wasomi.

  • @salamakhamis8092
    @salamakhamis8092 3 роки тому +3

    Allah akuhifadhi Yaa Sheykh

  • @zubeirahmad219
    @zubeirahmad219 5 років тому +9

    Nampenda sana huyu Sheikh Mbarak Ahmed Awes

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana5601 4 роки тому +5

    Ulipo kabisa sahihi sheikh

  • @samiasadiki2928
    @samiasadiki2928 3 роки тому +2

    Yeye anatoa ufafanuzi kazi iko kichwani kwako ukitaka fuata maelezo yake Kama hutaki umfuate unae muamini yote sawa tu.

  • @hassansaidy3827
    @hassansaidy3827 5 років тому +7

    hawa mawahabi huwa hawana hadabu hupendasana kumezeshwa kuliko kusoma shekh umeeleweka

  • @khamisyasin3276
    @khamisyasin3276 5 років тому +5

    Mashaallah jambo liko wazi kabisa

  • @khatwibutv9091
    @khatwibutv9091 2 роки тому +1

    Allah akulipe Bora ya jazaa

  • @jiongezeemaarifa1496
    @jiongezeemaarifa1496 5 років тому +7

    ماشاء الله

  • @inabikorwaneema8815
    @inabikorwaneema8815 5 років тому +3

    Barak'Allahu fiiQ

  • @junaytadarwesh4708
    @junaytadarwesh4708 5 років тому +2

    Well said. Asiyefahamu hapo basi tena. Tumejichanganya na hili neno Arafa. Arafa ni tarekh 9 mfungo 3. Sahih kabisa.

  • @kubraislam7524
    @kubraislam7524 3 роки тому +3

    Mashaallah,shekh

  • @mohamedbadru8005
    @mohamedbadru8005 5 років тому +5

    Shekh umeeleweka saana sema ubishi wa mwanadam uko pale pale vijana humu wengi hawajasoma wanataka waende na usasa mpaka kwenye masuala ya Dini hata mitume waliwaambia watu wao ukweli ila bado wakaendelea kuwapinga mpaka wakakutwa na maangamizi Allah akulipe kheri uendelee kutuelimisha

  • @lelaallububa5739
    @lelaallububa5739 5 років тому +7

    Jazak lah khaira

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 5 років тому +7

    shukran sheikh mbarak

  • @rashidkadui9950
    @rashidkadui9950 5 років тому +4

    Allaah ukulipe shekhe

  • @mustafakiluagianabakiejama9648
    @mustafakiluagianabakiejama9648 5 років тому +3

    Hongela Shekhe wetuu

  • @nassirabrahman4126
    @nassirabrahman4126 5 років тому +3

    Mashallah

  • @ummulkheir8321
    @ummulkheir8321 5 років тому +4

    Mashaallah

  • @khashimhashim3739
    @khashimhashim3739 3 роки тому +2

    Clear

  • @hudishehdadi7790
    @hudishehdadi7790 5 років тому +3

    Allah baarik

  • @jaffarmguwa5566
    @jaffarmguwa5566 5 років тому +6

    Msituletee khabari za masheikh na khitilaaf.... Mwandamo ni mmoja na udhuru Wa kila mtu kufunga kivyake umekwisha .... Ka ma mtume amefunga na kufunga kwa kupewa habari sisi nanai mpaka tusifunge.... Siasa NDIO zinazoharibu uislam.....

  • @masoudsalim4745
    @masoudsalim4745 5 років тому +4

    mashaAllah ALLAHU Barik

  • @mussashaaban3136
    @mussashaaban3136 5 років тому +5

    Hao kwasababu wako nyuma ya masaa Mwenyezi Mungu atawalipa wala hawatakosa fadhila za siku ya Arafa, kwa sisi ambao hatujatofautiana hata saa moja ni wajibu kufunga pale mahujaji wanapokua kwenye viwanja vya Arafa

  • @mohameddhussein6164
    @mohameddhussein6164 5 років тому +2

    Sasa shekhee iyi swaumu iliitwaje kabla ibada ya hajji kuwepo

  • @jokhasaid8666
    @jokhasaid8666 5 років тому +7

    Watu siku hizi wanajichanganya wenyewe. Kila nchi kuna kadhi/muft mafrudh watu wafate mufti wa nchi yao.

  • @yassinmmbwera9273
    @yassinmmbwera9273 5 років тому +3

    Hivi hawa Masheikh wetu kuna anayetoa Fatwa kwa Ufahamu wake. Jibu hapana.. fatwah zao wote ktk vitabu vitabu vitukufu Pamoja na vya Maimam wetu, Imam Shafii, Imam Malik na kadhalika hakuna anayejitungia.

  • @husseinally1318
    @husseinally1318 3 роки тому +1

    Sheikh nina ombi naomba unifahamishe vizuri kwa kupitia qur-aan tukufu yani nataka kuijua hii aya ktka quraan tukufu inyoeielezea hii arafa na swaum ya arafa. Mana ukisema ufuate madhehebu utajikuta kuna mtihani wa kubadilika leo huku kesho huku na ni mtihani mkubwa huu tulionao wa mizozano. Allah atujaalie tuwe ni kuiepuka mizozano hio

    • @husseinally1318
      @husseinally1318 3 роки тому +1

      Tuwe ni miongoni mwa wanaoiepuka mizozano hio

  • @ustzsele66
    @ustzsele66 3 роки тому +1

    Mpelekeni kwa sheikh Abdallah Humeyd aksome .Mana apotezaweng

  • @yassinmkubwayassin688
    @yassinmkubwayassin688 5 років тому +1

    Haijawahi kutokea... tokea kuumbwa kwa Dunia nchi mbili zilizo kuwa katika ukanda mmoja wa Dunia yaani Latitude moja, Alfajiri ya nchi mbili hizi ni sawasawa, Adhuhuri huwa wakati mmoja, Laasiri, Insha, nchi mbili hizi hazitafautiani...na ikiwa nchi moja ni Jumatatu na nyengine huwa Jumatatu iwe nchi hizi mbili zina tafautiana ki,matalii haiwezekani kabisa.

  • @twalibalihamza280
    @twalibalihamza280 4 роки тому +1

    Sasa hawa mawahabi mbna wanapotosha watu haya mambo yakowaziiiiiii

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 4 роки тому +3

    Shekhe wewe Ni Fundi.

  • @yahpinfo16
    @yahpinfo16 5 років тому +6

    Shekh katika dunia hii hakuna nchi inayo pishana na mecca kwa siku wote tupo ndani ya msaa 24 nchi iliyo pishana sana ni masaa 9 hii kauli yoko kuwa wao wapo katika siku nyingine haina mashiko

  • @111simplifier3
    @111simplifier3 5 років тому +3

    kielimu sheikh bdo hajaeleza kitu daaah ijapokuwa ni bngwa kwa watu wasiokuw na upeo wa kielimu

  • @ziadazidi2658
    @ziadazidi2658 5 років тому +6

    Sheilh hauna hoja unababaika tu

  • @harunhassan5237
    @harunhassan5237 5 років тому +2

    Sheikh hao watu washam na madina je mpaka leo wafunga mbalimbali

  • @harunhassan5237
    @harunhassan5237 5 років тому +2

    Na kama suudia akupangia hajj na huko kwenu tarehe haiko sawa na muandamo ya mwezi sasa hajj yako iko sawa ukienda,maana suudia wameona mwanzo na wewe kwenu kabla kusafiri hamujauona mwezi

  • @yahpinfo16
    @yahpinfo16 5 років тому +2

    Pili una nukuu mashekh na maulamaa wanao pendekeza kufunga kila mtu kulingana na mwezi wa kwao je ni wanazuoni wate duniani wana unga mkono kila mtu kufunga kulingana na mwezi wa kwao na kama wapo kwanini hutoi hoja zao watu wazipime unaonekana una upande wako ndiyo unajaribu kuelekeza watu huko kwani mpaka unaona watu wana fuata mwezi ama arafa ya mecca juma kuna wanazuani wamejenga hoja zikaeleweka kama wewe ulivyo waelewa wakwako

  • @deluxermahyono5290
    @deluxermahyono5290 5 років тому +1

    Kwani miezi iko mingapi duniani? Kwahiyo arafa ni nini? Ila mnatuchanganya sana jamani. Inamaana arafa ni siku ya 9 na co kisimamo cha arafa? Sasa ww hauko Tokyo mbona! Ni sawa na kusema ww ni myahudi mweusi. Mfano unaotoa mbona haiingii kwa akili.

  • @hanzunimgogoro5722
    @hanzunimgogoro5722 5 років тому +3

    Mashallah

  • @hanzwala9704
    @hanzwala9704 3 роки тому +2

    Mashaallah