DARASA LA UMEME jinsi ya kuweka na kupima Earth Rod

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 41

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 3 роки тому +3

    Vizr sna mwalim umetoa Elim kubwa sana

  • @sokaonline_tz4720
    @sokaonline_tz4720 3 роки тому +3

    Daah Mwalimu mungu akubariki unazidi kutufanya tuwe mafundi wazuri

  • @denicejoas1703
    @denicejoas1703 Рік тому +1

    Asante mwalimu kwa somi zuri he napaswa kuweka chumvi kias gan katka earthrod yangu

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Рік тому

    Ahsante kwa darasa zury, Have long life

  • @MartiniR0bati
    @MartiniR0bati Місяць тому

    Sanaa

  • @robertmagaga
    @robertmagaga 2 роки тому

    Mungu akubariki sana mwalimu

  • @japharysingano2742
    @japharysingano2742 Місяць тому

    Hapo umesahau lazm C/B trip

  • @barrymrutu51
    @barrymrutu51 Рік тому

    Ninekuelewaaa mwalimu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Рік тому

    Asante Mwalimu.

  • @ahmadifakii2727
    @ahmadifakii2727 3 роки тому +1

    Asante 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @alihamisimbarawa3300
    @alihamisimbarawa3300 21 день тому

    Mwalimu kama ukiweka balubu ikawaka kwa kuendelea bila kuzima je ni sawa?

  • @AlexanderAnthony-n6s
    @AlexanderAnthony-n6s 12 днів тому

    Tumia spanner

  • @husseinhamis1428
    @husseinhamis1428 Рік тому

    Hamna fundi hapo bhana wemwenyew maiko mzuri2 naona

  • @leudkihanza898
    @leudkihanza898 3 роки тому

    Nimekubali

  • @hamisinasirinjenga204
    @hamisinasirinjenga204 Рік тому +1

    Sawa sasa iyo earth wire inafungwa wapi kule kwenye main switch

  • @mutaijacob
    @mutaijacob Рік тому

    Thanks so much

  • @surekingu5719
    @surekingu5719 3 роки тому

    Darasa safi xnaa hili

  • @michaeljonathan60
    @michaeljonathan60 2 роки тому

    Nimelipenda darasa la leo

  • @newtonmuchala9556
    @newtonmuchala9556 Рік тому

    Good video its better you use english.

  • @mondtd3854
    @mondtd3854 3 роки тому +2

    Mwalimu katika kipomo icho chakujua kama ETH iko sawa je naweza Pima kwa waya ulioungwa kwa main switch mojakwamoja ??

    • @godfreymagehema6282
      @godfreymagehema6282 2 роки тому

      Kuna kipimo cha each kinaitwa mega je hiyo sio lovely ya holder na babu na ni kila babu au incandescent lamp tu

  • @immasanga5713
    @immasanga5713 Рік тому

    Nakuelewa Zaidi kuliko hata mwalimu wangu alivyo nifundisha

  • @fadhiliemmanueli.147
    @fadhiliemmanueli.147 2 роки тому

    Naitaji nambazako

  • @fredchuwa845
    @fredchuwa845 6 місяців тому +1

    Kuna video mbili umetuma kuhusu earth rod namna ya kupima, maelekezo ni tofauti,, kule umesema kama iko vizuri taa itawaka sekunde chache itazima earthrod yako itakuwa vizuri, lakini video nyingine unasema taa itawaka moja kwa moja earth yako itakuwa vizuri na pia ni org,, embu fafanua zaidi, huu ni umeme ni hatari usije ukaua watu😂😂

  • @silaamichael2918
    @silaamichael2918 2 роки тому

    Mwalim apo umezingua

  • @KelvinNyaitara
    @KelvinNyaitara Рік тому

  • @joycegeorge4712
    @joycegeorge4712 Рік тому

    Kwa nini hujaweka chumvi?

  • @ramamchina4730
    @ramamchina4730 2 роки тому

    Nime ku elewa lakin uwe na vitendo ni muimu mm mwana funz wko na elew

  • @pambepvisionchannel2955
    @pambepvisionchannel2955 Рік тому +1

    Mkuu kwa nyumba hilio jengwa juu ya mwamba earth rod unaiwekaje au unatumia njia gani , yani hakuna alizi

  • @samsonelishakifunyu8167
    @samsonelishakifunyu8167 2 роки тому

    Mwl tunapunguzaje matumizi ya Umeme kwenye friji

  • @YakoboNgondya-mf9ju
    @YakoboNgondya-mf9ju Рік тому

    Sorry teacher hio chumvi ni kwaajiri yanini na je bila hio chumvi earthrod haiwezi kufanya kazi?

  • @nurusele3260
    @nurusele3260 3 роки тому +1

    Kwani taaa unafunga kwenye mcb IP na waya Aina gani?

  • @hellyfridy
    @hellyfridy 2 роки тому +1

    Naomba kuuliza hiyo earthwire kule kwenye main swith unaenda kufunga sehem gani?

  • @ramadhaniahmad3190
    @ramadhaniahmad3190 2 роки тому

    Chumvi sio razima inategemea Na Haridhi

  • @johnmanase7461
    @johnmanase7461 2 роки тому

    Chumvi iwe kiasi gani na ipi hiy0 ya magadi aam laah,,,,,

  • @brooeddy8965
    @brooeddy8965 3 роки тому

    Mwalimu kwani tunaweka vumbi la mkoa na chumvi ya mawe naitaji kufahamu mwalimu samahani.