Kuna video mbili umetuma kuhusu earth rod namna ya kupima, maelekezo ni tofauti,, kule umesema kama iko vizuri taa itawaka sekunde chache itazima earthrod yako itakuwa vizuri, lakini video nyingine unasema taa itawaka moja kwa moja earth yako itakuwa vizuri na pia ni org,, embu fafanua zaidi, huu ni umeme ni hatari usije ukaua watu😂😂
Vizr sna mwalim umetoa Elim kubwa sana
Daah Mwalimu mungu akubariki unazidi kutufanya tuwe mafundi wazuri
Asante mwalimu kwa somi zuri he napaswa kuweka chumvi kias gan katka earthrod yangu
Inategemea na mkaa nikiasi gani
Ahsante kwa darasa zury, Have long life
Sanaa
Mungu akubariki sana mwalimu
Hapo umesahau lazm C/B trip
Ninekuelewaaa mwalimu
Asante Mwalimu.
Asante 🤲🤲🤲🤲🤲
Mwalimu kama ukiweka balubu ikawaka kwa kuendelea bila kuzima je ni sawa?
Tumia spanner
Hamna fundi hapo bhana wemwenyew maiko mzuri2 naona
Nimekubali
Sawa sasa iyo earth wire inafungwa wapi kule kwenye main switch
Thanks so much
Darasa safi xnaa hili
Nimelipenda darasa la leo
Good video its better you use english.
Mwalimu katika kipomo icho chakujua kama ETH iko sawa je naweza Pima kwa waya ulioungwa kwa main switch mojakwamoja ??
Kuna kipimo cha each kinaitwa mega je hiyo sio lovely ya holder na babu na ni kila babu au incandescent lamp tu
Nakuelewa Zaidi kuliko hata mwalimu wangu alivyo nifundisha
Naitaji nambazako
Kuna video mbili umetuma kuhusu earth rod namna ya kupima, maelekezo ni tofauti,, kule umesema kama iko vizuri taa itawaka sekunde chache itazima earthrod yako itakuwa vizuri, lakini video nyingine unasema taa itawaka moja kwa moja earth yako itakuwa vizuri na pia ni org,, embu fafanua zaidi, huu ni umeme ni hatari usije ukaua watu😂😂
Hahaha mwehu kwel wewe
Mwalim apo umezingua
✊
Kwa nini hujaweka chumvi?
Nime ku elewa lakin uwe na vitendo ni muimu mm mwana funz wko na elew
Mkuu kwa nyumba hilio jengwa juu ya mwamba earth rod unaiwekaje au unatumia njia gani , yani hakuna alizi
Mwl tunapunguzaje matumizi ya Umeme kwenye friji
Sorry teacher hio chumvi ni kwaajiri yanini na je bila hio chumvi earthrod haiwezi kufanya kazi?
Kwani taaa unafunga kwenye mcb IP na waya Aina gani?
Waya inafungwa kwenye mcb ya 6A au 10 A.
Pius nipo mwanza Bwiru hongera sana umekuwa msada kwangu sana sana
1,5
Naomba kuuliza hiyo earthwire kule kwenye main swith unaenda kufunga sehem gani?
Chumvi sio razima inategemea Na Haridhi
Chumvi iwe kiasi gani na ipi hiy0 ya magadi aam laah,,,,,
Mwalimu kwani tunaweka vumbi la mkoa na chumvi ya mawe naitaji kufahamu mwalimu samahani.