Nakumbuka mamangu mpendwa Anyili Naswa 1973 nikiwa mdogosana Radio kenya KBC tukienda kutafuta pombe Changaa ilitukauze maisha yalikua taabu lakini Mungu nimeema sasa mamangu hayuko namimi sasa ninapesa kama njugu sioni wakusaidia lakini tukifika mbinguni Mungu atajibu maswali yangu. Mimi sasa ni Pastor Baraza Matibila muhubiri naishi washington dc America ajabu sana 🙏
Dah! Natamani ningeweza kubadilisha mshale wa saa na kurudisha siku hizo. Waliozaliwa na kukua nyakati hizo walifurahia mengi. Wengi wa wanamziki hawa wameishatangulia mbele ya haki. Raha ya milele uwape Ee Bwana, na mwanga wa milele uwaangazie. Wapumzike kwa amani. Amina. Nimefurahi sana kupata mziki huu. Nimeutafuta kwa muda mrefu sana. Unanikumbusha miaka ya 80 ukichezwa kwenye RTD nyakati hizo nikiwa kule Bukoba mkoani Kagera. Ya kale ni dhahabu! Sote tuliousikia na kuupenda sasa tumeishakuwa wahenga!
Huu Wimbo wanikumbusha mwaka 1973, wakati tukiishi huko kijijini Ibulamansi, Wilaya ya Mpanda, miaka hizo tukiwa wadogo. Mimi ni Raphael Kihoria naishi Marekani,(USA).
asante sana uncle Nguzo umenikumbusha mbali sana,yaani jamani enzi za radio band mbili ,RTD.kipindi hicho nafikiri nilkuwa na umri wa miaka 10 hivi kama sikosei,basi ukitunwa sukari dukani kwa mwarabu,ukisubiri kupimiwa sukari wakati mwingine utasikia mdundo huu,na vijana wa enzi hizo pia nao wakiuimba,yaani ni raha mtindo mmoja.natamani nyakati zirudi ili tuendelee kuzisikia hizi nyimbo tena.Mariam Fritsi Switzerland.12.03.17.
Vigelegele, Rosa, Jela ya Mapenzi , Sadaka na Wenzangu nawauliza nyimbo hizi zimenikumbusha Enzo sold Western Jazz ikitoa ushindani mkubwa kwenye taenia ya muziki, hususan gala Car. RIP Shamba Ramadhan na Wenzangu Abdalla
nilikuwa nasikiliza muziki huu nikiwa mdogo kule kijijini Swebo - wilaya ya Rungwe, miaka ya 70. baba alikuwa na redio aina ya PHILIPS 1BAND. zilikuwa siku nzuri sana.
Eddie, unaniliza! wimbo huu unanikumbusha nilipokuwa mdogo mama yangu, RIP alipenda sana kuuimba jioni. kwa hiyo unanikumbusha kuwa mama yangu kweli sinaye
Huu wimbo nakumbuka kuna kaka yangu nilishawahi kukuta anausikiliza na kuimba kwa hisia sana ile miaka ya mwanzoni mwanzo wa 80s, mimi nilikuwa natoka shule Lugalo primary Enzi hinzo, nimekuja kukumbuka kuwa alikuwa katendwa na demu wake mmoja mitaa ya mwenge maana Enzi hizo mademu walikuwa bidhaa adimu sana.
Kwa kweli najisikia huzuni, wimbo unanirudisha nyumba nilikuwa Mdogo nasoma mzimuni PR sch, DSM, marehemu baba yangu aliupenda na nilikuwa namsikia akiuimba, ooo baba ulale salama pamoja na mama, amina
Mr. Nassor, it is me again. Nitafurahi sana ikiwezekana kupatikana mwimbo wa huyu ndugu yetu marehem Wema Abdallah unao itwa Muhidina wangu kukupenda sana nimejichongea na ambapo hiyo ndio kawaida...
Wapi zamani enzi hizo imebaki ni kuwaombeya waliyo tutanguliya mbele ya haki upendo maisha yalikuwa rahisi hakuna vita vya udangayifu kama hivi wakati huu wimbo huu unanikumbisha mchana mwema saa12 nikitoka praimary school mwlimu wangu mwakibete mjini sumbawanga sokoni
Naweza kupata wapi studio ya nyimbo zote hizi za Zamani ZILIPENDWA namkumbuka baba yangu Kipenzi ameshatangulia mbele ya haki kila Jumapili nadhani alikuwa anakumbuka enzi zake msaada STUDIO
Nakumbuka mamangu mpendwa Anyili Naswa 1973 nikiwa mdogosana Radio kenya KBC tukienda kutafuta pombe Changaa ilitukauze maisha yalikua taabu lakini Mungu nimeema sasa mamangu hayuko namimi sasa ninapesa kama njugu sioni wakusaidia lakini tukifika mbinguni Mungu atajibu maswali yangu.
Mimi sasa ni Pastor Baraza Matibila muhubiri naishi washington dc America ajabu sana 🙏
Duh asante sana kwa wimbo huu , nakumbuka nikiwa mdogo miaka ya 80 tukiwa tunasikiliza sana kwenye santuri na player, RIP Shamba Ramadhani
Mwimbo wa marehemu baba yangu mzee Kitwana Kondo.Mungu amrwhemu baba yangu
Namba 1 kwenye kumi bora ya RTD ya kwa miezi kadhaa 1973
i think this was between 1970-1973 tanzania oyee respect from canada
Ni kweli kaka
I used to hear this song from my father. R.I.P Anselm! He used to sing it when he’s off from work 😭
Napenda kitu Kama hiki mwafrica .
Ilikuwa moja ya wimbo niliotokea kuupenda sana wkt huo hadi sasa. Old is gold.
Dah! Natamani ningeweza kubadilisha mshale wa saa na kurudisha siku hizo. Waliozaliwa na kukua nyakati hizo walifurahia mengi. Wengi wa wanamziki hawa wameishatangulia mbele ya haki. Raha ya milele uwape Ee Bwana, na mwanga wa milele uwaangazie. Wapumzike kwa amani. Amina. Nimefurahi sana kupata mziki huu. Nimeutafuta kwa muda mrefu sana. Unanikumbusha miaka ya 80 ukichezwa kwenye RTD nyakati hizo nikiwa kule Bukoba mkoani Kagera. Ya kale ni dhahabu! Sote tuliousikia na kuupenda sasa tumeishakuwa wahenga!
Wazee wetu walikuwa wanafurahia fresh air with full really music
Those who are thumb down must be nuts, do not understand the value of this music!
Kabisaaaaaaaa.
I think Donald Trump on the dislike oyee
Huu Wimbo wanikumbusha mwaka 1973, wakati tukiishi huko kijijini Ibulamansi, Wilaya ya Mpanda, miaka hizo tukiwa wadogo. Mimi ni Raphael Kihoria naishi Marekani,(USA).
Nipo kashaulili mpanda, naisikiliza
In remembrance of my loving father..nimezijua hizi nyimbo nikiwa mdogo sana...! watu wazima kazini..sio kazi ndogo!!!
Mungu amlaze mahala pema peponi
stunning music...reminds me those beautiful
days
Hakika umefanya kazi ya ziada ndugu Eddie kwa kuutundika uhondo huu kama nilivyokuomba.Shukran saana!!
asante sana uncle Nguzo umenikumbusha mbali sana,yaani jamani enzi za radio band mbili ,RTD.kipindi hicho nafikiri nilkuwa na umri wa miaka 10 hivi kama sikosei,basi ukitunwa sukari dukani kwa mwarabu,ukisubiri kupimiwa sukari wakati mwingine utasikia mdundo huu,na vijana wa enzi hizo pia nao wakiuimba,yaani ni raha mtindo mmoja.natamani nyakati zirudi ili tuendelee kuzisikia hizi nyimbo tena.Mariam Fritsi Switzerland.12.03.17.
Vigelegele, Rosa, Jela ya Mapenzi , Sadaka na Wenzangu nawauliza nyimbo hizi zimenikumbusha Enzo sold Western Jazz ikitoa ushindani mkubwa kwenye taenia ya muziki, hususan gala Car. RIP Shamba Ramadhan na Wenzangu Abdalla
Kumbukumbu nzuri sana hii, nakumbuka udogoni
nilikuwa nasikiliza muziki huu nikiwa mdogo kule kijijini Swebo - wilaya ya Rungwe, miaka ya 70. baba alikuwa na redio aina ya PHILIPS 1BAND. zilikuwa siku nzuri sana.
Kaka umenikumbusha advert ya Philips..."Philips, ndiyo yenyewe; sauti safi, sauti kubwa."😊
Tanzania imejaliwa kuwa na wapiga gitaa hodari sana. Huyu anayekung'uta solo hapa ni Wema Abdallah.
Unajua kaka wapiga solo wengine mimi nilikuwa hata sijui majina yao! nakubaliana na wewe kabisa.Huyu alielikung'uta hili si mchezo!!
Walikuwepo pia kina Rashid Hanzuruni na kina Maiko Enoki
Siyo wa sasa hivi wao ni computer tuu
Bongo flavor tengenezeni huu wimbo kuifanya wa kileo mtasaajabu itakavyo hit.
Bila ubishi,alishirikiana na kijana mwingine kutoka kigoma akipiga rhythm shamba ramadhani
Naomba unitafutie wimbo wa Ewe mpenzi wangu pokea hizi salaam, huenda tukarudiana hapo badaae, usife moyo
Eddie, unaniliza! wimbo huu unanikumbusha nilipokuwa mdogo mama yangu, RIP alipenda sana kuuimba jioni. kwa hiyo unanikumbusha kuwa mama yangu kweli sinaye
Pole sana Anthony.Mungu ampe makazi bora peponi
Pole sana Anthony. Apumzike kwa amani mama.
Pole sana
du mzee hii imenikumbusha mbali sana mitaa ya magomeni mapipa..thanx..
Hahahahaa,haya burudika kaka!
Tukiwa wadogo na Dada yangu husna pale magomeni mapipa a lipenda sana imba huu mwimbo
Album ya mwaka 1973 "wanaiona saboso" nostalgic, zamani hairudi tena
Hizi ndio the best song
Hawa ni Western Jazz band katika miondoko yao ya Saboso walivuma sana katika anga ya muziki miaka ya 70
Hongera zamani nitakukumbuka Sana najua huwezi kurudi
Very nostalgic and meaningful indeed! sensational & Nyce to hear .
Huu wimbo nakumbuka kuna kaka yangu nilishawahi kukuta anausikiliza na kuimba kwa hisia sana ile miaka ya mwanzoni mwanzo wa 80s, mimi nilikuwa natoka shule Lugalo primary Enzi hinzo, nimekuja kukumbuka kuwa alikuwa katendwa na demu wake mmoja mitaa ya mwenge maana Enzi hizo mademu walikuwa bidhaa adimu sana.
Nawakubali mpaka Leo enzi hizo Si mchezo
Namkumbuka sana mama angu Salome mkhande na daktari john mkongewa nalia jamani Rest In Peace
Kwa kweli najisikia huzuni, wimbo unanirudisha nyumba nilikuwa Mdogo nasoma mzimuni PR sch, DSM, marehemu baba yangu aliupenda na nilikuwa namsikia akiuimba, ooo baba ulale salama pamoja na mama, amina
I enjoy very much
Mr. Nassor, it is me again. Nitafurahi sana ikiwezekana kupatikana mwimbo wa huyu ndugu yetu marehem Wema Abdallah unao itwa Muhidina wangu kukupenda sana nimejichongea na ambapo hiyo ndio kawaida...
kuna mzee mmoja mtaani kwetu alikua akitoka ulevini ndo wimbo wake
Alikuwa anaanguka?
Eddie Nassor hahaha yap,
Wakati huo nilikuwa dalaza la nne. Kipindi cha jioni njema RTD
Old is Gold.
Nakumbuka miaka ya 72 nikiwa msingi nilizoea kuusikia wimbo huu RTD ila hata sikujua mapenzi ni nini.ila leo ndio najua maana ya huu wimbo.
Hilo gitaa la solo baada ya kumalizika wimbo huu nadhani lilikuwa la moto kama pasi. Si kwa kupigwa huku aisee!
Umenichekesha sanaa....Dah
Nimevheka nami pia
Wakati huo mabo yalikua moto sana radio 277 aliinunua mama sh.350. C mchezo hapo
Saaaaaaaaafi kabisa. Yaani sijui kama nyakati hizo zitarudi.
Kuna wimbo pia "mwezenu kupenda kwangu "
Kitu kimenikosha yaani huu mzik we acha tu
Mwaka 1
Inaonesha wakati huo Dsm ilikuwa na watu Elfu 9 tu, kabla sasa ilivyovamiwa na vurugu, walikula raha wazee zetu, kazi nzuri
Twila Mtumbi .. mbaguzi wee hahahaha
@@gabrielmzomkunda9487 ubaguzi upo papi kaka, Mtumbi kaongea wazo lake
Kwangu ni nilioucheza mwaka 68 wakati huo Western wako Sikukuu street opposite na Cosmopolitan f.c
ukitaka raha sikiliza vigelegele. Rosa.utasikia utamu wa solo na rythm
Wwaaaww enzii..
silikua goma poa sanaaa
Nakumbuka rungwe
nice song
aaaha hakika yakale dhahabu jela ya mapenzi
BN
Enzi hizo acha tu huu mziki umenikumbusha mbali saana solo inamtoa nyoka pangoni
Unanikumbusha miaka ya 70 nikisoma sekondari ya Mazengo Dodoma
Jela ya mapenzi
Nakumbuka mbali sana
Usilie tu Deo :)
Huu mziki unanikumbusha mwaka 1980 nikiwa huko nyumbani kahama shinyanga
Blandina na Anna Antoni
naomba nitafutie wimbo wamikidadi nagombile likwata uja jazz band zilipendwa
nakubuka
kijijini
kwetu
songa
batini
muheza
tanga
Wapi zamani enzi hizo imebaki ni kuwaombeya waliyo tutanguliya mbele ya haki upendo maisha yalikuwa rahisi hakuna vita vya udangayifu kama hivi wakati huu wimbo huu unanikumbisha mchana mwema saa12 nikitoka praimary school mwlimu wangu mwakibete mjini sumbawanga sokoni
Jela ya mapenzi ulitisha sana
atari
Na huu ulivuma wakati wake.
ilikuwa pata shika enzi hizo!!
Hakuna kugombana kisa hii kitu
Dada Magdalena unao? Please!
Siyo Tbr jazz, bali walikuwa ni wana wa magharibi au ukipenda kimombo ni western jazz.
Naweza kupata wapi studio ya nyimbo zote hizi za Zamani ZILIPENDWA namkumbuka baba yangu Kipenzi ameshatangulia mbele ya haki kila Jumapili nadhani alikuwa anakumbuka enzi zake msaada STUDIO
Well done Wema Abdalah, Hamis Tosha, Shamba Ramadhan na wengineo mlioifanya kazi hii.
kama sikosei hawa ni Tabora Jazz?
Hawa ni Saboso a.k.a. Western Jazz
inanikumbusha wakati nachunga ngombe na redio 1bendi nikiwa kondoa
no western jazz
hawa ni western jazz 1973
Saad Mazen western jazx hawa
Eddy we na ajali ya aminani wa oss
Wimbo huu unanitekenya kabisa nakumbuka Tabora jazz na western na super volcano zili kua na upinzani mkubwa.
@@remykabenga4933 Yaani we acha tu. Hizo ndo zilikuwa nyakati za mziki wenyewe wa Kiafrika!
@@gosbertrwezahura3645 ukowapi mimi niko Buja
@@remykabenga4933 Asante sana ndugu. Mimi niko Bukoba.
@@gosbertrwezahura3645 Bukoba napaona Karagwe mpakani panaitwa mulongo kikagati ngambo yamulongo Uganda Rugasha gihinda kiaka nakungineko nipe no zako.