Mziki wa dansi zilipendwa -Jela ya mapenzi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 107

  • @barazamatibila8412
    @barazamatibila8412 5 місяців тому

    Nakumbuka mamangu mpendwa Anyili Naswa 1973 nikiwa mdogosana Radio kenya KBC tukienda kutafuta pombe Changaa ilitukauze maisha yalikua taabu lakini Mungu nimeema sasa mamangu hayuko namimi sasa ninapesa kama njugu sioni wakusaidia lakini tukifika mbinguni Mungu atajibu maswali yangu.
    Mimi sasa ni Pastor Baraza Matibila muhubiri naishi washington dc America ajabu sana 🙏

  • @abbasmungia6107
    @abbasmungia6107 3 роки тому +1

    Duh asante sana kwa wimbo huu , nakumbuka nikiwa mdogo miaka ya 80 tukiwa tunasikiliza sana kwenye santuri na player, RIP Shamba Ramadhani

  • @msakuzikondo536
    @msakuzikondo536 2 роки тому

    Mwimbo wa marehemu baba yangu mzee Kitwana Kondo.Mungu amrwhemu baba yangu

  • @herrymcharo9757
    @herrymcharo9757 5 років тому +6

    Namba 1 kwenye kumi bora ya RTD ya kwa miezi kadhaa 1973

  • @mohamedmohamud3639
    @mohamedmohamud3639 6 років тому +5

    i think this was between 1970-1973 tanzania oyee respect from canada

  • @Babylon_Must_Fall
    @Babylon_Must_Fall 2 роки тому

    I used to hear this song from my father. R.I.P Anselm! He used to sing it when he’s off from work 😭

  • @Georgemzuzuri-jz2ry
    @Georgemzuzuri-jz2ry Рік тому

    Napenda kitu Kama hiki mwafrica .

  • @herculesthepower1544
    @herculesthepower1544 5 років тому +1

    Ilikuwa moja ya wimbo niliotokea kuupenda sana wkt huo hadi sasa. Old is gold.

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 5 років тому +1

    Dah! Natamani ningeweza kubadilisha mshale wa saa na kurudisha siku hizo. Waliozaliwa na kukua nyakati hizo walifurahia mengi. Wengi wa wanamziki hawa wameishatangulia mbele ya haki. Raha ya milele uwape Ee Bwana, na mwanga wa milele uwaangazie. Wapumzike kwa amani. Amina. Nimefurahi sana kupata mziki huu. Nimeutafuta kwa muda mrefu sana. Unanikumbusha miaka ya 80 ukichezwa kwenye RTD nyakati hizo nikiwa kule Bukoba mkoani Kagera. Ya kale ni dhahabu! Sote tuliousikia na kuupenda sasa tumeishakuwa wahenga!

    • @nyangehassan902
      @nyangehassan902 Рік тому

      Wazee wetu walikuwa wanafurahia fresh air with full really music

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery 5 років тому +8

    Those who are thumb down must be nuts, do not understand the value of this music!

  • @raphaelgathuru8935
    @raphaelgathuru8935 7 років тому +10

    Huu Wimbo wanikumbusha mwaka 1973, wakati tukiishi huko kijijini Ibulamansi, Wilaya ya Mpanda, miaka hizo tukiwa wadogo. Mimi ni Raphael Kihoria naishi Marekani,(USA).

  • @aroldcharles7753
    @aroldcharles7753 10 років тому +3

    In remembrance of my loving father..nimezijua hizi nyimbo nikiwa mdogo sana...! watu wazima kazini..sio kazi ndogo!!!

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery 10 років тому +4

    stunning music...reminds me those beautiful
    days

  • @hassanbugu5000
    @hassanbugu5000 10 років тому +2

    Hakika umefanya kazi ya ziada ndugu Eddie kwa kuutundika uhondo huu kama nilivyokuomba.Shukran saana!!

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 8 років тому +3

    asante sana uncle Nguzo umenikumbusha mbali sana,yaani jamani enzi za radio band mbili ,RTD.kipindi hicho nafikiri nilkuwa na umri wa miaka 10 hivi kama sikosei,basi ukitunwa sukari dukani kwa mwarabu,ukisubiri kupimiwa sukari wakati mwingine utasikia mdundo huu,na vijana wa enzi hizo pia nao wakiuimba,yaani ni raha mtindo mmoja.natamani nyakati zirudi ili tuendelee kuzisikia hizi nyimbo tena.Mariam Fritsi Switzerland.12.03.17.

  • @jacksonmidala7293
    @jacksonmidala7293 7 років тому +2

    Vigelegele, Rosa, Jela ya Mapenzi , Sadaka na Wenzangu nawauliza nyimbo hizi zimenikumbusha Enzo sold Western Jazz ikitoa ushindani mkubwa kwenye taenia ya muziki, hususan gala Car. RIP Shamba Ramadhan na Wenzangu Abdalla

  • @tilugulilwa
    @tilugulilwa 4 роки тому +1

    Kumbukumbu nzuri sana hii, nakumbuka udogoni

  • @henrychaula1174
    @henrychaula1174 8 років тому +4

    nilikuwa nasikiliza muziki huu nikiwa mdogo kule kijijini Swebo - wilaya ya Rungwe, miaka ya 70. baba alikuwa na redio aina ya PHILIPS 1BAND. zilikuwa siku nzuri sana.

    • @abellabv
      @abellabv 4 роки тому

      Kaka umenikumbusha advert ya Philips..."Philips, ndiyo yenyewe; sauti safi, sauti kubwa."😊

  • @bingwason
    @bingwason 8 років тому +16

    Tanzania imejaliwa kuwa na wapiga gitaa hodari sana. Huyu anayekung'uta solo hapa ni Wema Abdallah.

    • @eddienassor480
      @eddienassor480  8 років тому +3

      Unajua kaka wapiga solo wengine mimi nilikuwa hata sijui majina yao! nakubaliana na wewe kabisa.Huyu alielikung'uta hili si mchezo!!

    • @leonardkipondya4216
      @leonardkipondya4216 6 років тому +1

      Walikuwepo pia kina Rashid Hanzuruni na kina Maiko Enoki

    • @herculesthepower1544
      @herculesthepower1544 5 років тому +2

      Siyo wa sasa hivi wao ni computer tuu

    • @herculesthepower1544
      @herculesthepower1544 5 років тому +3

      Bongo flavor tengenezeni huu wimbo kuifanya wa kileo mtasaajabu itakavyo hit.

    • @admirabisikiduduye1516
      @admirabisikiduduye1516 5 років тому +1

      Bila ubishi,alishirikiana na kijana mwingine kutoka kigoma akipiga rhythm shamba ramadhani

  • @phedrickmanangwa1725
    @phedrickmanangwa1725 7 років тому +3

    Naomba unitafutie wimbo wa Ewe mpenzi wangu pokea hizi salaam, huenda tukarudiana hapo badaae, usife moyo

  • @AnthonyKisondella
    @AnthonyKisondella 10 років тому +5

    Eddie, unaniliza! wimbo huu unanikumbusha nilipokuwa mdogo mama yangu, RIP alipenda sana kuuimba jioni. kwa hiyo unanikumbusha kuwa mama yangu kweli sinaye

  • @claudibrain1153
    @claudibrain1153 10 років тому +2

    du mzee hii imenikumbusha mbali sana mitaa ya magomeni mapipa..thanx..

  • @machupaseleman1574
    @machupaseleman1574 9 років тому +4

    Tukiwa wadogo na Dada yangu husna pale magomeni mapipa a lipenda sana imba huu mwimbo

  • @abbasmungia6107
    @abbasmungia6107 3 роки тому

    Album ya mwaka 1973 "wanaiona saboso" nostalgic, zamani hairudi tena

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 4 роки тому +1

    Hizi ndio the best song

  • @khalifasaid7695
    @khalifasaid7695 4 роки тому +1

    Hawa ni Western Jazz band katika miondoko yao ya Saboso walivuma sana katika anga ya muziki miaka ya 70

  • @mohamedmasanga9134
    @mohamedmasanga9134 5 років тому

    Hongera zamani nitakukumbuka Sana najua huwezi kurudi

  • @markmakowa6154
    @markmakowa6154 2 роки тому

    Very nostalgic and meaningful indeed! sensational & Nyce to hear .

  • @jamessuwi5980
    @jamessuwi5980 6 років тому +3

    Huu wimbo nakumbuka kuna kaka yangu nilishawahi kukuta anausikiliza na kuimba kwa hisia sana ile miaka ya mwanzoni mwanzo wa 80s, mimi nilikuwa natoka shule Lugalo primary Enzi hinzo, nimekuja kukumbuka kuwa alikuwa katendwa na demu wake mmoja mitaa ya mwenge maana Enzi hizo mademu walikuwa bidhaa adimu sana.

  • @omarimtunguja5540
    @omarimtunguja5540 Рік тому

    Nawakubali mpaka Leo enzi hizo Si mchezo

  • @victormkongewa5229
    @victormkongewa5229 7 років тому +4

    Namkumbuka sana mama angu Salome mkhande na daktari john mkongewa nalia jamani Rest In Peace

  • @deodatusmvambe7891
    @deodatusmvambe7891 5 років тому

    Kwa kweli najisikia huzuni, wimbo unanirudisha nyumba nilikuwa Mdogo nasoma mzimuni PR sch, DSM, marehemu baba yangu aliupenda na nilikuwa namsikia akiuimba, ooo baba ulale salama pamoja na mama, amina

  • @enockrajab672
    @enockrajab672 4 роки тому

    I enjoy very much

  • @abdullahnassiralharthi2981
    @abdullahnassiralharthi2981 10 років тому

    Mr. Nassor, it is me again. Nitafurahi sana ikiwezekana kupatikana mwimbo wa huyu ndugu yetu marehem Wema Abdallah unao itwa Muhidina wangu kukupenda sana nimejichongea na ambapo hiyo ndio kawaida...

  • @asrams
    @asrams 10 років тому +5

    kuna mzee mmoja mtaani kwetu alikua akitoka ulevini ndo wimbo wake

    • @eddienassor480
      @eddienassor480  10 років тому

      Alikuwa anaanguka?

    • @asrams
      @asrams 10 років тому

      Eddie Nassor hahaha yap,

  • @gilbertmasaki2965
    @gilbertmasaki2965 4 роки тому +2

    Wakati huo nilikuwa dalaza la nne. Kipindi cha jioni njema RTD

  • @ngaizaanatory1819
    @ngaizaanatory1819 3 роки тому +1

    Old is Gold.

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 5 років тому +2

    Nakumbuka miaka ya 72 nikiwa msingi nilizoea kuusikia wimbo huu RTD ila hata sikujua mapenzi ni nini.ila leo ndio najua maana ya huu wimbo.

  • @bingwason
    @bingwason 6 років тому +5

    Hilo gitaa la solo baada ya kumalizika wimbo huu nadhani lilikuwa la moto kama pasi. Si kwa kupigwa huku aisee!

  • @selemtambo2771
    @selemtambo2771 6 років тому +3

    Wakati huo mabo yalikua moto sana radio 277 aliinunua mama sh.350. C mchezo hapo

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 5 років тому

      Saaaaaaaaafi kabisa. Yaani sijui kama nyakati hizo zitarudi.

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 4 роки тому +1

    Kuna wimbo pia "mwezenu kupenda kwangu "

  • @paulangoloko8642
    @paulangoloko8642 2 роки тому

    Kitu kimenikosha yaani huu mzik we acha tu

  • @simonmagambo2209
    @simonmagambo2209 Рік тому

    Mwaka 1

  • @twilamtumbi2647
    @twilamtumbi2647 9 років тому +5

    Inaonesha wakati huo Dsm ilikuwa na watu Elfu 9 tu, kabla sasa ilivyovamiwa na vurugu, walikula raha wazee zetu, kazi nzuri

  • @abdallahissashekhan4310
    @abdallahissashekhan4310 6 років тому +5

    Kwangu ni nilioucheza mwaka 68 wakati huo Western wako Sikukuu street opposite na Cosmopolitan f.c

  • @ibrahimaboker9086
    @ibrahimaboker9086 8 років тому +3

    ukitaka raha sikiliza vigelegele. Rosa.utasikia utamu wa solo na rythm

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 4 роки тому

    Wwaaaww enzii..

  • @duncanmulwa5050
    @duncanmulwa5050 7 років тому +1

    silikua goma poa sanaaa

  • @abelmkinga8012
    @abelmkinga8012 Рік тому

    Nakumbuka rungwe

  • @latifahsalum3479
    @latifahsalum3479 7 років тому +1

    nice song

  • @sautiafricatv2924
    @sautiafricatv2924 7 років тому +1

    aaaha hakika yakale dhahabu jela ya mapenzi

  • @elamodelamusica1
    @elamodelamusica1 Рік тому

    BN

  • @lucasmororo2949
    @lucasmororo2949 6 років тому

    Enzi hizo acha tu huu mziki umenikumbusha mbali saana solo inamtoa nyoka pangoni

  • @josephkyuzakitundu2116
    @josephkyuzakitundu2116 7 років тому +1

    Unanikumbusha miaka ya 70 nikisoma sekondari ya Mazengo Dodoma

  • @gemmstore
    @gemmstore 4 роки тому

    Jela ya mapenzi

  • @deombeleka1905
    @deombeleka1905 10 років тому

    Nakumbuka mbali sana

  • @richardmaziku9935
    @richardmaziku9935 6 років тому

    Huu mziki unanikumbusha mwaka 1980 nikiwa huko nyumbani kahama shinyanga

  • @siriliusbertram1673
    @siriliusbertram1673 8 років тому

    Blandina na Anna Antoni

  • @abdlaabadala322
    @abdlaabadala322 6 років тому

    naomba nitafutie wimbo wamikidadi nagombile likwata uja jazz band zilipendwa

  • @nohujoho4570
    @nohujoho4570 7 років тому +2

    nakubuka
    kijijini
    kwetu
    songa
    batini
    muheza
    tanga

    • @saleemalshuk8147
      @saleemalshuk8147 6 років тому

      Wapi zamani enzi hizo imebaki ni kuwaombeya waliyo tutanguliya mbele ya haki upendo maisha yalikuwa rahisi hakuna vita vya udangayifu kama hivi wakati huu wimbo huu unanikumbisha mchana mwema saa12 nikitoka praimary school mwlimu wangu mwakibete mjini sumbawanga sokoni

  • @nafisarashidhassan8474
    @nafisarashidhassan8474 7 років тому

    Jela ya mapenzi ulitisha sana

  • @innocentmtui3595
    @innocentmtui3595 8 років тому +1

    atari

  • @abdullahnassiralharthi2981
    @abdullahnassiralharthi2981 10 років тому

    Na huu ulivuma wakati wake.

  • @daudmabulamashenene1854
    @daudmabulamashenene1854 6 років тому

    ilikuwa pata shika enzi hizo!!

  • @nganambwepallangyo9979
    @nganambwepallangyo9979 5 років тому

    Hakuna kugombana kisa hii kitu

  • @siriliusbertram1673
    @siriliusbertram1673 8 років тому

    Dada Magdalena unao? Please!

    • @lameckhenrymayolo7369
      @lameckhenrymayolo7369 6 років тому

      Siyo Tbr jazz, bali walikuwa ni wana wa magharibi au ukipenda kimombo ni western jazz.

    • @saadamagige8632
      @saadamagige8632 6 років тому

      Naweza kupata wapi studio ya nyimbo zote hizi za Zamani ZILIPENDWA namkumbuka baba yangu Kipenzi ameshatangulia mbele ya haki kila Jumapili nadhani alikuwa anakumbuka enzi zake msaada STUDIO

    • @lameckhenrymayolo7369
      @lameckhenrymayolo7369 6 років тому

      Well done Wema Abdalah, Hamis Tosha, Shamba Ramadhan na wengineo mlioifanya kazi hii.

  • @saadmazen4528
    @saadmazen4528 10 років тому

    kama sikosei hawa ni Tabora Jazz?

  • @ezzymoneylambert4261
    @ezzymoneylambert4261 9 років тому

    Eddy we na ajali ya aminani wa oss

    • @remykabenga4933
      @remykabenga4933 5 років тому +1

      Wimbo huu unanitekenya kabisa nakumbuka Tabora jazz na western na super volcano zili kua na upinzani mkubwa.

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 5 років тому

      @@remykabenga4933 Yaani we acha tu. Hizo ndo zilikuwa nyakati za mziki wenyewe wa Kiafrika!

    • @remykabenga4933
      @remykabenga4933 4 роки тому

      @@gosbertrwezahura3645 ukowapi mimi niko Buja

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 4 роки тому

      @@remykabenga4933 Asante sana ndugu. Mimi niko Bukoba.

    • @remykabenga4933
      @remykabenga4933 4 роки тому

      @@gosbertrwezahura3645 Bukoba napaona Karagwe mpakani panaitwa mulongo kikagati ngambo yamulongo Uganda Rugasha gihinda kiaka nakungineko nipe no zako.