Wanawake wa herufi "F" hii ndio siri ya maisha yao.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 54

  • @HamadDialo
    @HamadDialo Рік тому +4

    Shekre tushushee usiwakatishe tamaa watu maana kuna watu wanaishi vizur tuu hata mtume wetu Muhammad SAW amemuita binti yake fatma .mungu akusamehe tuu maana unaenda mbali sana

  • @patrickprudence7957
    @patrickprudence7957 25 днів тому +1

    Duuuuuh..!! Aisee. Nimejifunza kitu kikubwa leo. Dunia inasiri nzito sana na kweli Kila jambo linalofanywa na mtu au kitu kinachotokea duniani hakitokei kwa bahati mbaya...Kila kitu kina chimbuko na sababu za kutokea. Ninae Fatuma pia uliyoyasema nikimuangalia ni almost very big percent. Kikubwa kilichonifurahisha hapo Mimi ni P🙌 ananisumbua sana kwa kweli ila nampenda Sana na namvumilia pia.❤️✔️

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Рік тому +3

    Ni kweli mtupu mana kuna ndugu yangu anafanya wema ila anavyo fanyiwa yeye ni mtihani

  • @ogotsilvester
    @ogotsilvester Рік тому +3

    Ally kk. Niko na rafiki yangu anaitwa Francis .ni kweli uasumbuliwa na kibofu Cha mkojo.nikweli waaaah

  • @fatmamuhammad4772
    @fatmamuhammad4772 7 місяців тому +4

    Hii siamini kwasababu majina ya Herufi F. Yana bahati sana haswa wanawake wa F. Ni nyota kali sana nzuri yenye bahati wana mvuto mkubwa wanawake wa harufu F.. ❤❤❤

    • @FurahaAmosi-m4w
      @FurahaAmosi-m4w 5 місяців тому

      Ni kweli kabisaa f ni wakorofi ila Wana bahati sanaaa

    • @FRIDAHNTHENYA-i9x
      @FRIDAHNTHENYA-i9x 5 місяців тому

      Nikweli tuko na hasira lakini tuko nabahati sanaa

    • @GatekaFatma
      @GatekaFatma 5 місяців тому

      Yani hamjakosea mwenyewe ni hivo nina bahati Kweli

    • @dahandsomy412
      @dahandsomy412 4 місяці тому

      Hakuna kitu

    • @AnnaGeorge-cp5iv
      @AnnaGeorge-cp5iv 3 місяці тому

      F wengi hamkubali ukweli.

  • @olivakalinga3788
    @olivakalinga3788 Рік тому +2

    kaka ni mimi kabisa nilipo zaliwa nilipewa la furahini sangazi yangu marehemu akalikataa jina akanipa jina lake alilokua anaitwa yeye ndilo lilivuma paka leo lakini jina la furahini naona ndilo linanitawala yani unavyo ongea ni mimi mtupu kabisa

  • @annageorge43
    @annageorge43 Рік тому

    Asante ninae frenk kama una msema yeye.

  • @FridaMatanila
    @FridaMatanila Місяць тому

    Kweli kabisa naitwa mchawi mimi

  • @FatmaKhatib-rl3hl
    @FatmaKhatib-rl3hl 25 днів тому

    Kweli yote unayoyasema asilimiya 1000000

  • @bethernyirenda4809
    @bethernyirenda4809 6 місяців тому +1

    Yaaani uliyoyasema ni kweli kabisa yooooote mimi nayapitia sana ila suluhisho ni nini maana mimi najua akuna kisichokuwa na tiba

  • @FatumaSalimu-f9o
    @FatumaSalimu-f9o 4 місяці тому

    Kwelii jaman

  • @FaidaMbinga
    @FaidaMbinga 20 днів тому

    Yani Hyo sijamuelwa Hata kidgo utabiri wake

  • @BakariMaulidi-rn8pj
    @BakariMaulidi-rn8pj 7 місяців тому

    Nikwel kak mam Yang aitwa Fatuma nasumbuliwa Sana na yutiay

  • @FatumaSalimu-f9o
    @FatumaSalimu-f9o 4 місяці тому

    Sio kwel jaman watutisha tu😮

  • @Happysaimon-z5q
    @Happysaimon-z5q 6 місяців тому

    Ni kweli Mimi huwa Nina penda kuwa debdea wema watu lkn wao huwaa wana nijibu ubayaa. Na huwa Nina jitoa kwa kila mtu

  • @FatumaNchimbi-g9l
    @FatumaNchimbi-g9l 4 місяці тому

    Mhhh mbona mm nimemkuta mmewangu ayupo vizuri lakini saizi tupo vizuri san jamani

  • @Sefaniatailoringsmart
    @Sefaniatailoringsmart 22 дні тому

    Mimi nina mpenzi wangu ni f na mm ni s nampenda siwezi kumuacha je nifanyeje ili nisije shuka kiuchumi

  • @mauahussein9833
    @mauahussein9833 Рік тому

    Me naitwa Farida nayaona Na mwanangu ananzia r je naweza kumbadilishia jina ana miaka 2 kasoro mwezi

  • @FatumaAbdallah-mk5qk
    @FatumaAbdallah-mk5qk 5 місяців тому

    dah kaka kuhusu jela yan mulemule nishaenda jela

  • @faridaabdallah7424
    @faridaabdallah7424 Рік тому

    Nimimi kbs 😢

  • @fridahkaigongi9901
    @fridahkaigongi9901 Рік тому

    Mi kila siku ni vita😢

  • @GatekaFatma
    @GatekaFatma 5 місяців тому

    Siokweli mimi mume wangu hanibanduki kwa utam nilonao nasi a tatizo lolote ukweni nat unaendelea vizuri tu kimaisha

  • @هلاهلو-ث3ع
    @هلاهلو-ث3ع Рік тому

    😢😢

  • @wardaally7233
    @wardaally7233 Рік тому +1

    Kwakweli wewe ni zaidi ya mtafiti.❤❤❤❤

  • @TumainiIbabu
    @TumainiIbabu 4 місяці тому

    Acha uongo huo mbona mm na mtt wangu jina linaanzia n f lakini yote hayo hatunayo mh hapo umechapia kijana

  • @Zlfa-y2p
    @Zlfa-y2p 11 місяців тому

    Hat mm nikigomban n mdogo wangu asubh naumwa nyumbn baba anamwita mchawi ni mdogo hat miak 20 hajafk

  • @missmajor254
    @missmajor254 5 місяців тому

    Been so lucky in my life.

  • @abubakaripasto2696
    @abubakaripasto2696 Рік тому +2

    Kaka anaesema wewe muongo asikuvunje moyo chizi huyooo kaka mie naiywa frenk ila nimeslimu asaivi naitwa abubakari ila unayoyasema kuhusu sie wa f upo sahihi kabisa

    • @annageorge43
      @annageorge43 Рік тому

      Ukiwa na akili lazima utamuelewa tu

  • @FURAHINIGADAU
    @FURAHINIGADAU 10 місяців тому

    Nakupataje plzzzz ni mm kabisa

  • @OctavianPastory
    @OctavianPastory 5 місяців тому

    Mimi nina mpenzi wangu na jina lake linaanzia na herufi f na mimi pia ni f lakini napanga kuona nae je hatutakua na migogoro

  • @FatumaJuma-gv5op
    @FatumaJuma-gv5op Рік тому

    Shekhe naomba nikuone ninashida

  • @PiliAntony
    @PiliAntony 4 місяці тому

    Kaka dd angu hivyo hivyo Yan kama umemuona du

  • @FaridaSwabra-o2c
    @FaridaSwabra-o2c 6 місяців тому +1

    Si kweli mm nitwa farida mbona hakuna mwanaume nilio Kaa nae akaugua magonjwa ya riri na hata kushuka kiuchumi zaidi yy hua tajiri au kipato chale hupanda 8:34

    • @selemanyousuf
      @selemanyousuf 6 днів тому

      Sasa unabisha mwenyew kwenye kundi la watuote

  • @FathiaMzee
    @FathiaMzee 4 місяці тому

    Kwel mm Nina heruf f ila bahat Sina

  • @fridahkaigongi9901
    @fridahkaigongi9901 Рік тому

    Kama mimi kila Pahari ni nuksi tyu😢

  • @HappyCharles-z4n
    @HappyCharles-z4n 9 місяців тому

    Muongo kabisa kwaiyo hakuna jambo zuri katika nyota hii umetaja mabaya tu.

  • @FadhilaSwalehe-dl8ko
    @FadhilaSwalehe-dl8ko Рік тому

    Kunaueezekano wakubadilisha jmn

  • @beatricekyando4574
    @beatricekyando4574 7 місяців тому

    Sio uongo nikweli kabisa hujakosea

  • @FatmaFatma-s9q
    @FatmaFatma-s9q 6 місяців тому

    Apo mi xierew ngoj nipit kwaz mbon mi nik n bahat san n baby wangu kafanikiwa san nikinun mamb ayaend mmmmm

  • @AdveninaPius
    @AdveninaPius 5 місяців тому

    We nae umzd uongo hayo unayosema uongo mtupu

  • @FaridaRamadhani-w2r
    @FaridaRamadhani-w2r Рік тому

    Ww ni muongo kaka.

  • @Farida34-kx8fl
    @Farida34-kx8fl 9 місяців тому

    Uongo mbn me xkuumwa

  • @HappyCharles-z4n
    @HappyCharles-z4n 9 місяців тому

    Muongo kabisa kwaiyo hakuna jambo zuri katika nyota hii umetaja mabaya tu.