1.ITUMIE DAMU YA YESU KAMA SILAHA YA VITA
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2021
- SHARE LIKE COMMENT AND SUBSCRIBE
KWA SADAKA NA MAOMBEZI
0713403882 AU 0758914023
BANK ACCOUNT CRDB TANZANIA
NAME:GRACE MATHIAS NKILA
ACCOUNT NUMBER(A/C) -0152442235700
@ NLC TABATA 2021
#NENO_LA_MUNGU #DAMU_YA_YESU_SILAHA_YA_VITA
#INJILI_DUNIANI #
Damu ya Yesu ni ya Yesu mwenyewe. Haijawahi kupungua uwezo Wala mamlaka. Popote ilipo damu ya Yesu na Yesu yupo waziwazi.
Damu ya Yesu ina jina la Yesu. Na jina la Yesu Lina uwezo mkubwa.
Damu ya Yesu ina Roho wa Yesu.
Ndani ya damu ya Yesu Kuna uhai wa Yesu. Mahali ambapo hakuna uhai inaweka uhai.
Damu ya Yesu inaweza kuongea.
Ndani ya damu ya Yesu Kuna agano.
Ref: Waebrania 11:1
Kutoka 12:22-25
Waebrania 11:6
Aminaaa Mtumishi wa MUNGU, Eeee YESU Damu yako naachichalia kwa ofisi yangu. Na kwa familia yangu
Praise God servants of God have been praying no answer i want to trust God with you keep me in prayer my family no peace
Asante Yesu kwa Damu yako . Napokeya uponaji na restoration 🙌🙌🙏🙏🙏
Asante Yesu Kwa kimtumia mtumishi wako Kwa ajili yetu
Ni mafundisho Bora kabisa. Mungu akubariki Sana mwalimu na uzidi kutoa maarifa Kwa wote walio tayari kuyapokea.
Bwana akubariki mutumishi wa mungu
Najifunza Damu ya Yesu Ina nguvu nyingi
Amen Mtumishi wa Mungu Grace.Mungu azidi kukuinua na kukupaka mafuta mabichi.
AMEEN AMEEN AMEEN AMEEN
Amina,nashukuru, sitaacha kumtukia Mungu ataibadilisha historia ya maisha yangu, Zaburi 103:1-3
Ameni
Mungu akubariki saaaana mtumishi ninapona mimi
barikiwa sana mjakazi wa Bwana🙏🙏👏👏👏👏
Asate sana maman ubarikiwe sana kwa iyi neno la Mungu 🙏 na kufata ku Ireland 🇮🇪
Asante sana mwalim Grace. Umenibariki sana na maombi yako mungu akubariki sana.
Mungu akubariki
Amen mtumishi
Unanibariki sana sana🙏
Halleluyah Amen
Amina barikiwa mtumishi wa Mungu
Barikiwa mtumishi
Ameeen
A real blessing.God bless you
amen
Ameen
Nimebarikiwa Sana. Mungu awabariki
Amen
Amen mchungaji....❤
Amina mama
Amin
Amina
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu aliyehai
Nahachilia.damu.ya.yesu.Amen
Naomba, namba zako Mtumishi, Mungu akuongezee maarifa, kwa Damu ya Yesu Afya yangu inakwenda kurejeshwa
哈利路亚
Amina mtumishi Mungu akubariki mno,niombee naweza kupata namba yake
Damu ya YESU inauwahi Amina mtumishi
Shalom mwalimu,ivi mwanza mtakua na semina lini na wapi?
Amen
Amen
Amen
Amen