Ivi mnajua kontawa akiamua kuimba ile serious kabxa tunampata mtu mwingine kabxa na mi naona upande uo atatisha zaidi xio kwamba uku kwenye rap hayupo poa yuko vzr sana tena sana ila muziki wa kuimba nafikiri utampa sana pesa kutokana na watu wanaosapot ni wengi zaidi
Ivi mnajua kontawa akiamua kuimba ile serious kabxa tunampata mtu mwingine kabxa na mi naona upande uo atatisha zaidi xio kwamba uku kwenye rap hayupo poa yuko vzr sana tena sana ila muziki wa kuimba nafikiri utampa sana pesa kutokana na watu wanaosapot ni wengi zaidi
Namuona King zilla kabisaa hapaa
Mwanangu kontawa anajuwa sana bigapu sana ntawa
Tawaaa kwahaya mashairi anyo yatoa umetisha sanaa✍️🔥🔥🔥🔥
Kweli akiimba Anajua anakua mnomaa
Azzah Dorah Nakuunga mkono kk
Haujawahi Niangusha Kaka Tawa🔥🔥 Good story
Hii hapa 👇.....🕊
ua-cam.com/video/TwjTkvxxmA4/v-deo.html
Love from Kenya....wapi like zake jameni
Wewe ni star wangu ninaye moenda 💗💗💖💋
Ntawa we ni Nyoko Sana hujawahi tuangusha wahuni🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
bro we ni mkali Kwa utunzi mungu akuzidishie Sema TAWA TAWA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🎉🎉🎉 yuvu Master of tawa unajuwa xan kaka 😢😢😢
Ila TAWA uko vzur mno kwenye aina hii ya nyimbo🔥🔥🔥
this guy is serious a rapper...ana story ambazo ni nzuri sanaaa
kontawa best of best 🎉❤ more love more blessing
Uko vizur kontawa mungu atakusaidia usijal mwaya
Unajua sana broh fanya mpango mkutane na @dizasta vina mtaua ataree
Kaka una uwezo na story unazoimba ziko true. Mimi hapa shabiki wako wa kitu cha kwanza,big up!🎶💖
Ime bidi nirudie hii ngoma 🔥🔥🔥🙌🙌
🙏🏾🔥🤍
Mashairi yaliyopangwa kweli I love ❤️ Kontawa #🇰🇪
Mungu akulinde blood yangu haujawah kutuangusha you is really amazing boy from Africa big up xana Ngoma zako tunaishi nazo
Walahi hii song ni kali imeweza bro
Woooow am so proud of u.
Ongeza bidii uchukue tunzo.
Nimependaaa
Daaah congratulations 🎉 bro uko poa sana hii ngoma na doctor nimezielewaaah
🙏🏾🔥
Daah umeuwa mwanangu noma sana
🔥🔥🙏🏾
Comment kutoka visiwani😂😂 comment la kivita yaani mwambaaa huyuuu hapaaaaa🌴🌴🌴🌴🌴🏝🏝🤣😂 🔥 ngoma ya kwenda💪🏿
😄😄
🔥🔥🔥🔥🔥 nakubali sana kontawa big up much love from Kenya 🇰🇪(254)
Mwenetu kontawa tunakubali .....Dunga mawe
Daaaah tumekosa mke hapo 🔥🔥🔥🙌🏿🙌🏿
Bro Niko Congo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 unajuwa sana mungu akulinde nasafari ya muziki kontawa
Umeweza kaka najaribu kama ww
Kizazi sanaa tawa unanyoosha mno blessing 2 you
🔥🙏🏾💪🏽
U alwys drop the movies 💥 can't wait......
💯🤗🤗🤗much love from kenya unajuwa baba shikamoo
daah mwanang umetisha sana nyimbo saf sana hii
Wanaoimba good music hawana nyota wenye nyota wanaimba kawaidaa daaaah😭😭😭one day yes go TAWA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🙏🏾🔥
Broo kwakweli ngoma zako kiboko sana afu zinafundisha sana nakubar sana kaka popote ulipo
Uyu mwamba stoli sjui ata anazipata wap mnyama Sana 🎵🎶
tawa shikamoo sna Neno kwako Kaka uyujamaa nifundi asee
Nakukubali hujawahi kuniangusha keep it up 👍 my G🥰
🙏🏾🔥
Nomaree kijana ya mwea amema ni fire
Alaways huna kazi mbovu
Be blessed tawa✊🏽
Talended boy huna kazi mbovu TAWAAAAA
😳😳😳 Masaibu kwa siku moja mzee 🤣🤣💪🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🔥♨️
We bana wewe 🙌🙌🙌🙌🙌😀😀😀😀😀 yaaan storii haiishii masikioni
munyama... kontawa good mungu akutangulie kk
Mungu ibaraki Tanzania kazi nzuri
Tawa Bhanaa🔥🔥
Jaman Mimi nakupenda kontawa...😍😍😘
Nipo hama Marekani nakula mziki mzuri wa kontawa, bless mdogo wangu 🙌🏿
Dahh umetisha sana kaka kwann usiendelee kuimba km iv manaake mpk uyo dayoo aingii ndani
Hii style yako ya uimbaji ni ya kichoko achana nayo, endelea kuflow kama zamani....
Uko poa sanaa kaka pambanaa nakukubaliiisanaa
Kontawa mashabiki zako tunakuona mbali sana tunaamini hutotuangusha kabisa
Kontawa wew daaaah unajua mpaka unakera 🔥 🔥 🔥 🔥
Story nzuri snaa, big up
Koooontawaaaaaa una hatari mdogo wangu,
🙏🏾🔥
@Kusali from Kenya
I love the lyrics 🔥
You good Kontawa 👊✊
🙏🏾🔥
nakubali song zako ❤ kontaw
Kontwa brooo hakika unajua sana kaza tuuu
kontawa man uko sawa unafow vyaani huwezi AMINI, bonge la ng0ma
Quality and brilliant idea ang good music
👍👍👍👌👌ngoma imesimama kaka salute xanaaaa
Mhh mwamba umepangilia👐👐👏
Tawa umeua bana umenibamba much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hawawana wanajua sana2
Nimekufata uku kwasababu Championi nimeielewa
Hapo utok mzee wangu
story imefika hadi komoro 🇰🇲🇰🇲 ... big story and big up sn bro
🙏🏾🤍
Talent 🔥 uyu aisee ni kipaji
Oaaa ,kontawa anajua ni kisengee bana
Respect kaka uja wahii kuniangusha mtu wangu 💯💯💯🔥
🙏🏾🔥
Hii story nikama nishawahi kuskia ila ulivyoihadisia umeongeza utamu na manjonjo #Umetisha #Kontawa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥
We jamaaa fire 🔥🔥 sanaaaa
We Waiting For This Awesome Brodah Hujawahi Niangusha
kaka ume weza San kwenye hii ngoma 🙌🙌🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
mungu akusaidie weee jamaaa unajua San kuimba
Weeèee mbwaaaa unajuaaaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🚀🚀🚀🚀🚀🚀🚀
Utapa mwamba komaa hapo hapo🔥🔥
Daktari,and mke my favorite songs 💯🔥🔥💫
Kuna ya derrva boda boda ni 🔥🔥
@@energeticmbn4596 ohooooo kabsaa
Dah mwanangu mzk unaujua
Jamaa mashairi yanatufikia San
Duh kk we noma nakubali
Oya Mwanangu TAWA 😂😂😂😂Apo umeisha sema bonge la Ideas ☝️
🔥🔥🙏🏾
Safiiiii Kaz nitakusapot na mm nitakuja kuimba kama ww
Aujawayi niangusha 💪💪
Kaza homeboy zaidi ya hapa uje kua na jina la uelimishaj na uburudishaj
Daaaaaaaaaah nakubali sana hujakosea
Nakukubal sana kontawa unajua sana kijana
Nishakuwa shabiki yako bro I like how you sing salutations
Mashine zipo nyingi dar ila kontawa ni baba laoooooo kweliiiii
Yho mzee baba iyi kali kishenz bro much love from captown south africa
🔥🔥🔥
Oya mwamba anajua 😢😊
Nmependa ufundi wa kishule,hii inataka makini ukisikiza
Aaah Tawaa Mfalme wa Sadfa na Kinaya...Ngoma kaliii 🔥
Huu ndo utofauti tunaoutafuta kwenye hiphop muzik sio punch tu but how you write your stanza nimependa sana real excited
Niliisubir kwa mdaaa sana
😂🤣😅🤣ngoma kali sana.sema mke hupati😂
Asante harmo uyu jamaaa anajuwa kabisa ila nilikuwa simufaham ila kutokan na remix ya i am champion namufaham sasa
Upo vizur sana mwamba
Mjuba umetisha kinomaa
Yeeeh kakaka mikono juuu unajuaa
Apo aupati mke kweli broo
Uyu jamaaa anabonge la sauti mzee
Hiii haina kuchimba dawa ✊🔥🔥🔥🔥