BUNGE LIVE: KIKAO CHA KWANZA MKUTANO WA TATU WA BUNGE LA KUMI NA MBILI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 7

  • @fridamwenda5728
    @fridamwenda5728 3 місяці тому

    Naomba Serikali iongeze ushirikiano wa kutosha na Sheria hii ya Ubakaji na Ulawiti kwa watoto isimamiwe ipasavyo maana matukio yanazidi kuongezeka siku hadi siku, na watu wanashindwa kutoa taarifa kwani wahalifu hawa wanaachiliwa huru na kuhatarisha maisha ya watoa taarifa na wahudumu wanaoibua na kusimamia Mashauri ya kesi za watoto katika jamii

  • @wanderaothumani4919
    @wanderaothumani4919 3 роки тому

    God bless Tanzania

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 3 роки тому

    Sheria ya ubakaji uko kila mahali katika Dunia nzima lakini Nchi za maendeleo Watoto wanafundischwa Shuleni namna ya kujikinga na hili janga la ukatili ubakaji lakini pia ni janga la Umaskini katika Familia

  • @JohnJuma
    @JohnJuma 3 роки тому

    Yaani hawa watu wamekataa kuvaa mask? Nyinyi mtakuja kufa kaa nzige

    • @ginnimoreno6239
      @ginnimoreno6239 3 роки тому +1

      Uko kwen Kenya mbona kila siku mnaongeza lock down na mnavaa mask naskia icu pia imezidiwa na bado mnavaa mask

    • @JohnJuma
      @JohnJuma 3 роки тому +1

      @@ginnimoreno6239 Mimi si mkenya wala sipafahamu huko.

    • @ginnimoreno6239
      @ginnimoreno6239 3 роки тому

      @@JohnJuma hata kama si mkenya point yang utakuwa umeipata nchi zte wanavaa mask na bado watu wanadanchi